Uchaguzi 2020 Haya ni mambo 10 niliyoona kwa CCM Vs CHADEMA mpaka sasa kuelekea kipute cha kampeni rasmi

Uchaguzi 2020 Haya ni mambo 10 niliyoona kwa CCM Vs CHADEMA mpaka sasa kuelekea kipute cha kampeni rasmi

Nimekuelewa vizuri sana lakini hapo kwenye kuungana napinga, uchaguzi siyo kitu cha dharura , kwanini wafikirie kuungana wakati wa uchaguzi tu.
 
Wakuu,

1) What a match!, Mpaka sasa CCM inabebwa na watu wenye experience ambao kipindi kama hiki ndio unajua uwezo wao. Wao kelele nyingi ziko kwenye mipango (strategies) kuliko kelele na matamko ya majukwaani.

2) Tundu Lissu is impressive as usual lakini seems Chadema hawakumuandaa, experience yake ya uanaharakati ndio unaofanya aonekane active uwanjani lakini bado hajawa na madhara kihoja ingawa bado mapema. Mambo ya kusema atamshtaki JPM kwa rushwa ya kununua jogoo laki moja ni uanaharakati si level zake tena kama mgombea Urais.

3) John Pombe Magufuli yuko composed sababu ya records zake awamu hii ya kwanza. Lakini pia kwasasa nguvu kubwa ipo kwenye kupanga vyema mabeki Majimboni na Udiwani. Hapo ndio unapoona timu kubwa na yenye watu wazoefu inavyohandle mchezo. Ni kama wameamua kuacha wapinzani wacheze huku wao wakikamilisha ramani ya ushindi.

4) Kimbinu Chadema wanahitaji timu bora kumzunguka Lissu wakiwemo waandamizi wa serikali zilizopita akiwemo Nyalandu ili kumshape Lissu kama Mgombea Urais lakini pia mipango ya kusaidia kampeni Majimboni ambako hali si nzuri

5) Kimbinu CCM wana kazi kubwa ya kumaliza mchakato wa wagombea Ubunge na Udiwani bila mpasuko lakini maeneo mengi kimbinu wamejipanga kushinda.

6) John Pombe Magufuli takwimu zinambeba na wananchi wanajua matokeo yake wakimchagua tofauti na Lissu ambaye anapaswa kujikita kwenye hoja zenye matarajio ya wananchi hasa wanyonge walio wengi. Je ataweza kuaminisha wananchi ili wamchague?

7) Financially CCM wako stable kuhandle kampeni kuliko CHADEMA ambayo imepanga pia kusimamisha wagombea majimbo yote.

8) John Pombe Magufuli amefanikiwa kuhakikisha watendaji wake wote wanajua takwimu za mambo yaliyofanyika awamu hii hivyo itabidi kila hoja za Lissu zinazogusa takwimu ajipange otherwise akikosea atapingwa hata na Makatibu Tarafa. Hizo takwimu zimeimbwa muda mrefu na hata wananchi wengi wamezikariri.

9) Angalizo, Lissu usihangaike na wimbo wa katiba mpya hauna mashiko kwa wananchi wanyonge na hautampa kura. John Pombe Magufuli pia awekeze hoja kwenye mipango mipya hasa mapinduzi kwenye kilimo na uwekezaji.

10) Wapinzani bila kusimamisha mgombea mmoja huu utakuwa uchaguzi mgumu hadi majimboni kuliko wakati wowote.

Mizania pima mwenyewe, hayo ni maoni yangu binafsi [emoji41]
Hivi unapata wapi muda wa kuandika upumbavu wote huu?
 
Hivi huyo magufuli takwimu gani zinambeba?

Hali ya kiuchumi Kwa wananchi ikoje? Kwa wakulima wa mbaaazi, korosho, tumbaku takwimu zikoje?

Suala la ajira kwa vijana kafanya nini? Ameua uwekezaji na sekta binafsi kaishia kufanya maelfu ya vijana kuwa jobless na watu kupoteza ajira

Ameua watu, kubambikia watu makesi, kuonea watu mpaka hata watoto wadigo wanajua

Ameharibu biashara kupelekea watu kufunga biashara zao na wengine kufirisiwa na mabenki?

Huyo magufuli kafanya ya nini zaidi ya haya? Njia ni nyeupe sana kwa Tundu Lissu mwaka huu.
Umewasahau hawa jamaa kwa propaganda? Ni shida
 
THIS TIME WAPINZANI BILA KUJALI WAKO MADARAKANI AU LA NITAJIUNGA NAO BUT ITOSHE KUSEMA WANA WAGOMBEA WAZURI SANA NA HAIJAWI TOKEA TANGU MFUMON WA VYAMA VINGI ,ZAMANI WAGOMBEA WENGI WALIKUA MAMLUKI SAA WAPO WAGOMBEA WANAOJUA MAHANA YA TZ mwafaaa mtiti wa mwaka huu balaa

we ingia ila wananchi hawawataki
 
CDM isihangaike na CCM, kwani CCM ni maiti tu iliyovishwa suti.
Washindani wa CDM ni wasimamizi wa uchaguzi, tume ya uchaguzi, ofisi ya msajili wa vyama vya siasa, polisi na vyombo vingine vya dola. Chadema shughulikeni na hao.
 
CDM isihangaike na CCM, kwani CCM ni maiti tu iliyovishwa suti.
Washindani wa CDM ni wasimamizi wa uchaguzi, tume ya uchaguzi, ofisi ya msajili wa vyama vya siasa, polisi na vyombo vingine vya dola. Chadema shughulikeni na hao.

ata usihangaike uko mbali sana maana hakuna mwananchi anawataka
 
CDM isihangaike na CCM, kwani CCM ni maiti tu iliyovishwa suti.
Washindani wa CDM ni wasimamizi wa uchaguzi, tume ya uchaguzi, ofisi ya msajili wa vyama vya siasa, polisi na vyombo vingine vya dola. Chadema shughulikeni na hao.
How?
 
"John Pombe Magufuli amefanikiwa kuhakikisha watendaji wake wote wanajua takwimu za mambo yaliyofanyika awamu hii hivyo itabidi kila hoja za Lissu zinazogusa takwimu ajipange otherwise akikosea atapingwa hata na Makatibu Tarafa. Hizo takwimu zimeimbwa muda mrefu na hata wananchi wengi wamezikariri"-Mwisho wa kunukuu.

Haili nimelithibitisha Mimi mwenyewe.

Serikali ya CCM ina mfumo mzuri sana wa kuaminika katika kukusanya data kuanzia ngazi ya Mjumbe, Kitongoji, Kijiji/Mtaa, Kata, Tarafa, Wilaya, Mkoa, hadi Taifa.
 
"John Pombe Magufuli amefanikiwa kuhakikisha watendaji wake wote wanajua takwimu za mambo yaliyofanyika awamu hii hivyo itabidi kila hoja za Lissu zinazogusa takwimu ajipange otherwise akikosea atapingwa hata na Makatibu Tarafa. Hizo takwimu zimeimbwa muda mrefu na hata wananchi wengi wamezikariri"-Mwisho wa kunukuu.

Haili nimelithibitisha Mimi mwenyewe.

Serikali ya CCM ina mfumo mzuri sana wa kuaminika katika kukusanya data kuanzia ngazi ya Mjumbe, Kitongoji, Kijiji/Mtaa, Kata, Tarafa, Wilaya, Mkoa, hadi Taifa.
Chadema ile kazi kubwa ya M4C imekufa kirahisi sana. Ni kazi ngumu kushinda bila mizizi hadi vijijini. Publicity za mitandaoni haziongezi kura bila kwanza kuwa na resources hasa watu huko kwenye vitongoji.
 
Chadema ile kazi kubwa ya M4C imekufa kirahisi sana. Ni kazi ngumu kushinda bila mizizi hadi vijijini. Publicity za mitandaoni haziongezi kura bila kwanza kuwa na resources hasa watu huko kwenye vitongoji.

Huwa ninashangaa hawa jamaa wanawaza Nini. Lakini jibu linalonojia kila mara ni kwamba hawana nia Wala malengo ya kushika dola yaani wanafurahia kufanya siasa bila mikakati.

Yaani bila CCM kufanya jambo wao wapinzani hawana la kufanya.

Yaani wanasubiri CCM waseme au kutenda ndiyo wapate la kukosoa.

Wamekubali kucheza ngoma ya CCM, kitu ambacho hakitakiwi katika mashindano ya hoja.

Mimi ninafikiri pesa za umma zinatumika vibaya kuwapa ruzuku hawa wachumia tumbo wasiyo na dira, mipango Wala mikakati.
 
Huwa ninashangaa hawa jamaa wanawaza Nini. Lakini jibu linalonojia kila mara ni kwamba hawana nia Wala malengo ya kushika dola yaani wanafurahia kufanya siasa bila mikakati.

Yaani bila CCM kufanya jambo wao wapinzani hawana la kufanya.

Yaani wanasubiri CCM waseme au kutenda ndiyo wapate la kukosoa.

Wamekubali kucheza ngoma ya CCM, kitu ambacho hakitakiwi katika mashindano ya hoja.

Mimi ninafikiri pesa za umma zinatumika vibaya kuwapa ruzuku hawa wachumia tumbo wasiyo na dira, mipango Wala mikakati.
Hata hapa Dar pekee maeneo kibao hakuna hata matawi ...
 
Upinzani wa Lissu na Magufuli ni sawa na ugomvi wa kuku na bata. Wakati kuku anaanza kwa spidi, sarakasi, kelele na kila aina ya mbwembwe bata yeye hua anaenda slow na mahesabu makali. Mwisho wa siku kuku hujikuta amaechoka wakati bata ndo kwanza engine inachemka, ni dakika chache unamkuta kuku kashanyonyoka kichwa kimebanwa ndani ya kwapa la bata. Msipowahi kuamua ugomvi kuku hua anakufa.



Lissu- Jogoo la kuku

Magufuli- Jogoo la bata
 
Back
Top Bottom