Haya ni maringo ya Wakenya au ni kujiwekea standard juu dhidi ya majirani?

Haya ni maringo ya Wakenya au ni kujiwekea standard juu dhidi ya majirani?

Ni watu maskini wanapenda sifa
tizama hapa 👇
IMG_20240819_122116.jpg

nchi ya wanyonge.
 
Ili town iwe city kuna vigezo gani?
Swali zuri na wadau wote wanajitoa ufahamu. jiji sio maghorofa, jiji ni activities, Ulaya kuna majiji kibao maghorofa unayatafuta kwa tochi,

Niliwahi kuandika hii comment kipindi cha Nyuma naipaste hapa

Tuangalie viwango vya Dunia vya Jiji kisha tufananishe na Tanga. Tutumie definition ya Wikipedia
View attachment 1626225
Hapo wikipedia wametaja sifa ya jiji kwamba ina extensive system ya
1. Housing
2.transportation
3. Sanitation
4. Utilities
5. Land use
6. Communication

Pia wameongelea uchumi usiohusisha kilimo na watu wengi kukaa kwenye eneo dogo la ardhi.

1. Tuanze na Housing, Tanga kuna makazi ambayo yamepangiliwa, nyumba nyingi mjini zina namba na hazijajengwa ovyo ovyo, zimepangiliwa kwenye mitaa na hata ukiangalia ramani ya Tanga mwenyewe unaelewa hili ni jiji limepangika, makampuni yana nyumba za wafanyakazi, mashule yana nyumba za walimu etc.

2. Transportation
Usafiri pia Tanga si shida kuna usafiri wa maji, barabara, wa ndege na hata reli, tuna connect na mombasa, pemba na zanzibar, wilaya na mikoa tofauti, na barabara za lami ukitoa ya pangani.

3. Sanitation
Mkuu tanga mjini pale jiji zima lipo connected na underground waste system, ukijenga nyumba una connect tu mifereji hio ya maji machafu huna haja ya kuchimba choo, na ni mifereji mikubwa ambayo mtu anaweza dumbukia, i doubt kama kuna mkoa Tanzania wenye system kama Hii,

Pia maji masafi Tanga ni nadra kukatika mjini, na ni masafi kweli unaweza kunywa bila kuchemsha.

Hospitali zipo, na Tanga ni moja kati ya majiji safi Tanzania.

4.communication, Tanga kuna mitandao yote tena 4g, tuna Broadband na Wifi zamani sana, Nipo mdogo city centre yote ipo covered na Wifi, una uwezo ukawa na Tablet ya wifi isiyoingia line na ukawa always connected.

5.land use
Hii inahusiana sana na maneno kutengwa kwa purpose fulani, ukienda Gofu, katikati ya kange na pongwe ama barabara ya pangani utakuta maeneo maalum ya Viwanda, hayaingiliani na makazi, ukienda maeneo ya forodhani utakuta la Casa, chichi, nyumbani hotel etc huko ni night club na starehe nyengine, ukienda barabara za namba ni makazi ya watu etc. Hii inaitofautisha Tanga na majiji mengine ambayo haijulikani wapi bar wapi makazi wapi shule etc.

6. Utilities
Huduma mbalimbali za uma kama maji, umeme, afya, shule, etc vyote vinapatikana kwa wingi na ufanisi Tanga.

So ni ujinga kutumia kigezo cha Maghorofa kama Jiji wakati hakuna mahala popote hicho ni kigezo.
 
Mwezi huu maada ya mchakato wa mwaka mzima Kenya imeitangaza rasmi Eldoret kuwa jiji la 5 katika nchi hiyo, hata hivyo Wakenya wengi wamedhihaki na kukebehi uamuzi huo wakiita Eldoret kuwa bado ni kijiji tu!
Hawa majirani zetu tuwaambie ukweli au tuwaache tu?

View attachment 3072182View attachment 3072183View attachment 3072184View attachment 3072185View attachment 3072186View attachment 3072187
Kenya IPO juu,
Bajeti ya Kenya,mapato yake, ni, sawa, na mapato ya tz,Uganda, Rwanda, Burundi, and South sudani,kwa, pamoja.
Kipato cha mkenya kwa mwaka, ni sawa na kujumlisha mapato ya mtz, mganda, Rwanda, burundi!
 
tizama hapa 👇
View attachment 3073957
nchi ya wanyonge.
Nyinyi ni nchi ya wapumbavu
 
Kenya IPO juu,
Bajeti ya Kenya,mapato yake, ni, sawa, na mapato ya tz,Uganda, Rwanda, Burundi, and South sudani,kwa, pamoja.
Kipato cha mkenya kwa mwaka, ni sawa na kujumlisha mapato ya mtz, mganda, Rwanda, burundi!
Pato peke yake halitoshi kuthibitisha Kenya ipo juu.
Ilhali hadi barabara wanalipia ushuru.
Ilhali huduma nyingi za kijamii ni mbovu Kenya.
Hiyo Kenya unayoisifia akiba ya kigeni imekwisha mpaka wakope nje.
Hiyo Kenya unayoisifia inapokea msaada wa chakula kutoka WFP.
Hiyo Kenya unayoisifia imeomba msaada wa dawa za TB Tanzania.
 
Unatafuta maajabu kwa maana ya kitu tofauti au upekee…?

Iko hivi kama ifuatavyo
Dodoma imepangiliwa yote city namaanisha
Dom iko connected na mtandao wa lami yote
Dom ina makazi bora zaid kuriko mji mwingine wwt Tz
Dom imejengeka mno kila kona
Dom ina watu wengi city center above 700k
Dom ina shughuli kubwa za kiuchumi viwanda mahotel maduka makubwa “malls”
Uwekezaji heavy upo na unaendelea kumiminika Dom
Dom, ina vyuo vikuu vikubwa kuriko mji wwt nchin tanzania UDOM, MIPANGO, St. John, CBE IFM HOMBOLO MIREMBE
Dom, ina njia nying za usafiri, anga barabara na reli SGR
DOM, ina anasa na sehemu za starehe za kutosha na nzuri sana.
Dom, ukubwa wake ukichukua kuanzia chamwino ikulu mpk NALA pana urefu wa km 60 unakua upo mjini.
Dom, ina taasisi zote za nchi hii kuanzia IKULU mpk ofisi ya mjumbe wa nyumba 10.
Dom, inapamato makubwa masalani ya pili kutoka kwa Dar city.

Nakuendelea na kuendelea nakuhimiza kuitembelea hapo mbelen na ukipata wasaa izinguke haswa kuijua vzr
Hujajibu swali la msingi; Dodoma ina nini cha ajabu?
 
Pato peke yake halitoshi kuthibitisha Kenya ipo juu.
Ilhali hadi barabara wanalipia ushuru.
Ilhali huduma nyingi za kijamii ni mbovu Kenya.
Hiyo Kenya unayoisifia akiba ya kigeni imekwisha mpaka wakope nje.
Hiyo Kenya unayoisifia inapokea msaada wa chakula kutoka WFP.
Hiyo Kenya unayoisifia imeomba msaada wa dawa za TB Tanzania.
Washamba sana hivi nchi yao ingekuwa imejengeka kama Morocco tungekoma
 
Unatafuta maajabu kwa maana ya kitu tofauti au upekee…?

Iko hivi kama ifuatavyo
Dodoma imepangiliwa yote city namaanisha
Dom iko connected na mtandao wa lami yote
Dom ina makazi bora zaid kuriko mji mwingine wwt Tz
Dom imejengeka mno kila kona
Dom ina watu wengi city center above 700k
Dom ina shughuli kubwa za kiuchumi viwanda mahotel maduka makubwa “malls”
Uwekezaji heavy upo na unaendelea kumiminika Dom
Dom, ina vyuo vikuu vikubwa kuriko mji wwt nchin tanzania UDOM, MIPANGO, St. John, CBE IFM HOMBOLO MIREMBE
Dom, ina njia nying za usafiri, anga barabara na reli SGR
DOM, ina anasa na sehemu za starehe za kutosha na nzuri sana.
Dom, ukubwa wake ukichukua kuanzia chamwino ikulu mpk NALA pana urefu wa km 60 unakua upo mjini.
Dom, ina taasisi zote za nchi hii kuanzia IKULU mpk ofisi ya mjumbe wa nyumba 10.
Dom, inapamato makubwa masalani ya pili kutoka kwa Dar city.

Nakuendelea na kuendelea nakuhimiza kuitembelea hapo mbelen na ukipata wasaa izinguke haswa kuijua vzr
Nitembee sehemu nilikozaliwa na kukulia?
 
Hakika huu ni ukweli lakini majiji yetu ni mazuri kuliko hizo miji za wakenya tatizo ni miundombinu tu hasa barabara bora ndio hatuna.
Kusema Tanzania ina majiji mazuri kushinda Kenya tatizo ni miundombinu ni kama kusema Simba ni bora kushinda Yanga tatizo ni wachezaji.
 
Washamba sana hivi nchi yao ingekuwa imejengeka kama Morocco tungekoma
Hiyo Morocco yenyewe ina maendeleo ya vitu ila sio ya watu.
Morocco ni Algeria ni nchi zinazoongoza Afrika Kaskazini kwa ukimbizi kwenda Ulaya hususan Germany na Hispania ambako wako nao karibu.
Ndio kama Kenya,maghorofa kibao ila wananchi njaa kali.
Yani siku niloiona Kenya ni matatizo matupu ni mwaka jana walipoambiana na Uganda waunge umoja na sisi wa kuagiza mafuta maana ruzuku zao hazijatosheleza kushusha bei ya mafuta.
Pia mwaka huu wameomba akiba ya fedha za kigeni Tanzania,ndio rais Samia akawaambia yake inamudu miezi mitatu tu.Haijatosha wameomba msaada wa dawa za TB Tanzania.
Sasa unajiuliza hii nchi huo uchumi wanaopigia kelele ni uchumi upi!???
 
Washamba sana hivi nchi yao ingekuwa imejengeka kama Morocco tungekoma

Hiyo Morocco yenyewe ina maendeleo ya vitu ila sio ya watu.
Morocco ni Algeria ni nchi zinazoongoza Afrika Kaskazini kwa ukimbizi kwenda Ulaya hususan Germany na Hispania ambako wako nao karibu.
Ndio kama Kenya,maghorofa kibao ila wananchi njaa kali.
Yani siku niloiona Kenya ni matatizo matupu ni mwaka jana walipoambiana na Uganda waunge umoja na sisi wa kuagiza mafuta maana ruzuku zao hazijatosheleza kushusha bei ya mafuta.
Pia mwaka huu wameomba akiba ya fedha za kigeni Tanzania,ndio rais Samia akawaambia yake inamudu miezi mitatu tu.Haijatosha wameomba msaada wa dawa za TB Tanzania.
Sasa unajiuliza hii nchi huo uchumi wanaopigia kelele ni uchumi upi!???
Nimetoa mfano wa Morocco wana infrastructure nzuri kuliko hawa manyang'au na huwezi wasikia wanapiga kelele
 
Back
Top Bottom