Haya sasa twende kwenye klabu bingwa ya Africa tukimtegemea Phiri, Bocco na Kyombo kutuvusha. Nadhani wachezaji na mashabiki wamefurahi sasa.

Haya sasa twende kwenye klabu bingwa ya Africa tukimtegemea Phiri, Bocco na Kyombo kutuvusha. Nadhani wachezaji na mashabiki wamefurahi sasa.

Mo dewj atuachie timu yetu ama aweke 20b... tumechoka, huwezi kuchukua ubingwa kwa mshambuliaji kama Bocco... mo ondoka.
 
Wanao jaribu kutuaminisha kwamba "mzungu" ni bonge la striker kuliko kyombo waende wakanye kabisa! Ni mzuri kwao huko uzunguni na sio hapa! Ona wabrazil wa singida wanavyomiliki mpira aaf mwangalie na mzungu wenu anavojikanyaga ndo mtutolee utopolo wenu!
 
Moja kwa moja kwenye mada!!

Nimekaa natafakari na kuwaza kuwa tunaelekea kwenye Champions league round ya kwanza tukitegemea uwezo wa strikers kama Phiri,Bocco na Kyombo kutuvusha huku tukimwacha Striker wa kiwango cha juu ndugu Dejan Georgijevich kuondoka!!

Hivi Bocco na Kyombo ndio wa kutupelekea nusu au robo fainali ya champions league ??

Unaachana na kocha wa kiwango cha juu na mwenye CV kubwa barani Africa , unaenda kutuletea mgosi kutoka tanga atuvushe kwenda nusu fainali ya klabu bingwa Africa??!!


Arrrrgh ngoja tuone !!! Muda utaongea. Nadhani wachezaji na makocha waliokuwa wakimtengenezea zengwe Dejan watakuwa wamefurahi kama walivyofurahi kuondoka kwa kocha Zoran Maki.
Kwahyo kwavle anaondoka ndio umeleta thread ya kumsifu

Wakati yupo mlikuwa mnamkosoa hajui mpira kama unabisha em weka uzi humu ulioandika ukimsifia kuwa anajua na ataifaa SIMBA SC.
 
Moja kwa moja kwenye mada!!

Nimekaa natafakari na kuwaza kuwa tunaelekea kwenye Champions league round ya kwanza tukitegemea uwezo wa strikers kama Phiri,Bocco na Kyombo kutuvusha huku tukimwacha Striker wa kiwango cha juu ndugu Dejan Georgijevich kuondoka!!

Hivi Bocco na Kyombo ndio wa kutupelekea nusu au robo fainali ya champions league ??

Unaachana na kocha wa kiwango cha juu na mwenye CV kubwa barani Africa , unaenda kutuletea mgosi kutoka tanga atuvushe kwenda nusu fainali ya klabu bingwa Africa??!!


Arrrrgh ngoja tuone !!! Muda utaongea. Nadhani wachezaji na makocha waliokuwa wakimtengenezea zengwe Dejan watakuwa wamefurahi kama walivyofurahi kuondoka kwa kocha Zoran Maki.
Wewe ni mpiga dili hapo kwenye club?
Wakati mwingine mfiche upumbavu kocha Zoran angekufikisha wapi kila mchezaji hamtaki?

Hamtaki Chama,hamtaki Phiri hamtaki Kapombe hataki kila mtu ila anamtaka Dejan na kuna wapumbavu mnamuunga mkono?
Nyie utopolo kwa nini mnaingilia sana mambo ya Simba?
 
Moja kwa moja kwenye mada!!

Nimekaa natafakari na kuwaza kuwa tunaelekea kwenye Champions league round ya kwanza tukitegemea uwezo wa strikers kama Phiri,Bocco na Kyombo kutuvusha huku tukimwacha Striker wa kiwango cha juu ndugu Dejan Georgijevich kuondoka!!

Hivi Bocco na Kyombo ndio wa kutupelekea nusu au robo fainali ya champions league ??

Unaachana na kocha wa kiwango cha juu na mwenye CV kubwa barani Africa , unaenda kutuletea mgosi kutoka tanga atuvushe kwenda nusu fainali ya klabu bingwa Africa??!!


Arrrrgh ngoja tuone !!! Muda utaongea. Nadhani wachezaji na makocha waliokuwa wakimtengenezea zengwe Dejan watakuwa wamefurahi kama walivyofurahi kuondoka kwa kocha Zoran Maki.
Acha uchawi kijana!
 
Moja kwa moja kwenye mada!!

Nimekaa natafakari na kuwaza kuwa tunaelekea kwenye Champions league round ya kwanza tukitegemea uwezo wa strikers kama Phiri,Bocco na Kyombo kutuvusha huku tukimwacha Striker wa kiwango cha juu ndugu Dejan Georgijevich kuondoka!!

Hivi Bocco na Kyombo ndio wa kutupelekea nusu au robo fainali ya champions league ??

Unaachana na kocha wa kiwango cha juu na mwenye CV kubwa barani Africa , unaenda kutuletea mgosi kutoka tanga atuvushe kwenda nusu fainali ya klabu bingwa Africa??!!


Arrrrgh ngoja tuone !!! Muda utaongea. Nadhani wachezaji na makocha waliokuwa wakimtengenezea zengwe Dejan watakuwa wamefurahi kama walivyofurahi kuondoka kwa kocha Zoran Maki.
Wacha uchongsnishi bro haulipi, Simba SC walikosea kumpa kandarasi huyo Dejan kiufupi hana quality za kuwazidi hao uliowataja, hata nawapongeza Simba SC kwa uamuzi wa kuachana nae maana hakuwa na madhara yoyote kwa timu pinzani. Alafu nikukumbushe Simba ya 1993 ilikuwa Chino ya kocha Kibadeni na ilifika nusu fainali michuano ya CAF, Je Kibadeni alikuwa mzungu? Hebu tujenge utamaduni wa kupenda vya kwetu, Tuache kuwa watumwa wa ngozi nyeupe. By the way Mimi Ni Young African sc, Ila kwenye ukweli nasema kwa maendeleo ya mpira.
 
Wacha uchongsnishi bro haulipi, Simba SC walikosea kumpa kandarasi huyo Dejan kiufupi hana quality za kuwazidi hao uliowataja, hata nawapongeza Simba SC kwa uamuzi wa kuachana nae maana hakuwa na madhara yoyote kwa timu pinzani. Alafu nikukumbushe Simba ya 1993 ilikuwa Chino ya kocha Kibadeni na ilifika nusu fainali michuano ya CAF, Je Kibadeni alikuwa mzungu? Hebu tujenge utamaduni wa kupenda vya kwetu, Tuache kuwa watumwa wa ngozi nyeupe. By the way Mimi Ni Young African sc, Ila kwenye ukweli nasema kwa maendeleo ya mpira.
Mbona timu mlimpokonya Mkwasa mkaenda kuwatafuta kina Kaze na Nabi?? Vya kwenu hamvipendi??
 
Hebu tulieni acheni unafiki wenu, hivi watanzania nani katuloga? Wengi humu mlisema tumepigwa mzungu tumepigwa leo mnakuja kuanzisha thread za kuponda tena. Ni bora wengine tulomkubali toka mwanzo ila kama hivyo maji yameshamwagika. Simba itabaki kuwa Simba hata kama asipokuwepo Dejan kwanza alicheza mechi ngapi dkk zote mpk muanze hapa kumlilia
 
Back
Top Bottom