Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio wahubiri wanaosema sikiliza mafundisho yangu,usiangalie Matendo yangu!Sasa umeleta habari, halafu unaikataa!
Kuna ukweli hapa ila wengi watakupinga kakaHata kupata mtoto wa kiume ni lazima Mwanaume ajitunze kutokukutumika ili kuongeza sperm count zake.
Ili akipiga shuti moja tu, wamo 🤗
Hakika Mkuu, bila kusahau Ulaji wa Nazi,KarangaKuna ukweli hapa ila wengi watakupinga kaka
Mweee mie hao wahindi nilitamanigi demu mmoja tuu, pretty zintah basiiiHapa itabidi tumuachie mzabzab aje aseme kama ni kweli au uongo😂😂😂😂😂
Haya kupitia uzoefu wa huyo, umpe majibu GENTAMYCINE 😅😅😅Mweee mie hao wahindi nilitamanigi demu mmoja tuu, pretty zintah basiii
Hivyo wewe ni mwenyeji wa vitu kama hivi..?Hii mbona siyo ngeni mkuu
Wanashauriwa hivyoHivyo wewe ni mwenyeji wa vitu kama hivi..?
washauri nawewe!Wanashauriwa hivyo
Alichoandika mleta mada kinatosha mkuu...mi si mhanga wa kukosa watotowashauri nawewe!
umeelewa nilichoandika lakini..?Alichoandika mleta mada kinatosha mkuu...mi si mhanga wa kukosa watoto
😔umeelewa nilichoandika lakini..?
Unakuwa kama zezeta😂Kinakuwasha nini labda nikiileta na kuikataa?
Kuliko Mama yako?Unakuwa kama zezeta😂