Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Kampala pitia Jinja, Busia, Kisumu, Migori unaingia Mara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujakosea japo Wewe na Wapumbavu wenzako mnadhani mnafanana nami au mnanipata. Kifupi ninawadharau sana.We sikuwezi kaka.Wewe ni tajiri mkubwa na Upo uganda
Asante na Asanteni sana Mkuu / Wakuu kwani kila ambaye nimekuwa nikimuulizia ananiambia hivi hivi kuhusu hii Njia.Kampala pitia Jinja, Busia, Kisumu, Migori unaingia Mara.
Yeah. Mtukula mzee mpaka uje uipate Biharamulo, Geita au Kahama uje ufike Mara mzee utakuwa umepoteza masaa mengi sana kuliko hiyo ya Jinja.Asante na Asanteni sana Mkuu / Wakuu kwani kila ambaye nimekuwa nikimuulizia ananiambia hivi hivi kuhusu hii Njia.
Wapumbavu hawatapungua Tanzania. Kumbe kuamua kupanda Basi kwenda Kijijini ni Ushamba na kwamba kupanda Ndege ndiyo Usasa na Utajiri? Yaani kama nilianza kupanda Ndege tokea nikiwa Mdogo huku nikiwa nasoma Uganda nimeipanda sana tu nikiwa na Rafiki yangu mkubwa Dotto Luhigo huku mwaka 2004 nilipoenda Kusoma Kozi fupi South Africa Chuo Kikuu cha Cape Town (UCT) nilisafiri nayo na Kaka na Mtani wangu wa Kihaya Eric Beda (aliyeko UDSM kwa sasa kama sijakosea) kipi Kipya Kwangu juu ya Kupanda Ndege?Maisha mtihani ulienda na ndege Kampala unarudi na badi uliondoka kitajiri na ndege unarudi kimaskini ukiwa hoi na basi unatafuta la bei nafuu
Asante sana Mkuu kwa Ufafanuzi mkubwa.Yeah. Mtukula mzee mpaka uje uipate Biharamulo, Geita au Kahama uje ufike Mara mzee utakuwa umepoteza masaa mengi sana kuliko hiyo ya Jinja.
Amina.Nikutakie safari njema mkuu
Yaani 'anayemuweka' aliyekuhangaikia 'Leba' anaweza akawa ni Mdogo wako?Vita gani tena mdogo wangu?
Sema tu umepigika maisha porojo nyingi za nini? Uganda unarudi hoi bin taabani mfukoniWapumbavu hawatapungua Tanzania. Kumbe kuamua kupanda Basi kwenda Kijijini ni Ushamba na kwamba kupanda Ndege ndiyo Usasa na Utajiri? Yaani kama nilianza kupanda Ndege tokea nikiwa Mdogo huku nikiwa nasoma Uganda nimeipanda sana tu nikiwa na Rafiki yangu mkubwa Dotto Luhigo huku mwaka 2004 nilipoenda Kusoma Kozi fupi South Africa Chuo Kikuu cha Cape Town (UCT) nilisafiri nayo na Kaka na Mtani wangu wa Kihaya Eric Beda (aliyeko UDSM kwa sasa kama sijakosea) kipi Kipya Kwangu juu ya Kupanda Ndege?
December naenda Kijijini na Basi ila nakuomba Pasaka ya mwakani njoo JNIA unipokee kwani nitakuja Dar es Salaam kuwasalimia Wazazi na Ndugu wa Dar es Salaam na Mapinga Bagamoyo kisha nitarejea tena hapa Kampala sawa? Ndiyo maana CCM inawatawaleni kwakuwa imegundua kuwa Wapumbavu na Washamba hamjaisha na hamtaisha Tanzania.
Nimemaliza.
Asante sana Mkuu / Wakuu wa Ramani na hakika nitatumia hii hii Ramani mliyonipa hapa. Naenda Kutambika kidogo.Hii ni nyepesi sana tena ukifika Kisumu panda zile matatuu nauli chee tu mpaka Migori. Ukifika border upande wa Tz usafiri full time.
Wapumbavu hawatapungua Tanzania. Kumbe kuamua kupanda Basi kwenda Kijijini ni Ushamba na kwamba kupanda Ndege ndiyo Usasa na Utajiri? Yaani kama nilianza kupanda Ndege tokea nikiwa Mdogo huku nikiwa nasoma Uganda nimeipanda sana tu nikiwa na Rafiki yangu mkubwa Dotto Luhigo huku mwaka 2004 nilipoenda Kusoma Kozi fupi South Africa Chuo Kikuu cha Cape Town (UCT) nilisafiri nayo na Kaka na Mtani wangu wa Kihaya Eric Beda (aliyeko UDSM kwa sasa kama sijakosea) kipi Kipya Kwangu juu ya Kupanda Ndege?Sema tu umepigika maisha porojo nyingi za nini? Uganda unarudi hoi bin taabani mfukoni
Nitakwea Mwezi April, 2025 na nitashukuru ukija na Wapumbavu pamoja na Washamba Wenzako mnaodhani Mtu kusafiri na Basi ni Umasikini sawa?kwea pipa mzee
Easiest way ni kukamata Uganda airline kutoka Entebbe to KIA, then kamata precision to Mwanza. Kutoka Mwanza jitafute mwenyewe.Na je, ni ipi ambayo nitatumia muda mfupi na ipi ambayo nitatumia muda mrefu? Na ipi ina Mabasi yaliyo Luxury tu?
Sitani Mtani wangu Arovera uchangie huu Uzi wangu kwani kwa Ushamba wako wala hujawahi Kusafiri popote sawa?
Gharama yake kwa haraka haraka ni kama Kiasi gani Mkuu?Easiest way ni kukamata Uganda airline kutoka Entebbe to KIA, then kamata precision to Mwanza. Kutoka Mwanza jitafute mwenyewe.
Asante sana Mkuu.Tarime migori kisii kisumu busia jinja kampala.
Nakwenda Butuguri Kwetu kisha nitaenda Busegwe kutembelea Kaburi la Mzee Mkono, kisha nitaenda Butiama Kuzuri Kaburi la Babu Mwalimu Nyerere kabla ya kwenda Kumtembelea Rafiki yangu tokea nilipokuwa Mdogo nikiwa na Marehemu Dada yangu CDF Mstaafu Jenerali David Bugozi Musuguri Kwake Mita chache tu kutoka kwa Mwalimu.Hapo itategemea unakwenda Mara sehemu gani, Mfano kama unakwenda Bunda pitia njia ya Bukoba ila kama unakwenda Shirati Kirongwe pitia Migori. Naomba kuwasilisha
Umeanza kunipangia lini Maisha na Ratiba zangu? Umekuwa Mke wangu au laba unalazimisha sasa uwe Mke Mwenza?mbona umefika mbali mkuu hiyo haikuwa maana yangu,
nimesema kwea pipa nikimaanisha ni usafiri wa haraka na uhakika.