Haya Wewe mwana 'Group O' Mwenzangu pitia hapa ili ujijue Kitabia Wewe ni Mtu wa aina gani

Haya Wewe mwana 'Group O' Mwenzangu pitia hapa ili ujijue Kitabia Wewe ni Mtu wa aina gani

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kwa mujibu wa Mtaalam wa Afya ( Daktari ) na Mwanasaikolojia aliyekuwa akizungumza Channel Ten ( ipo YouTube ) kwa wala Matomaso ( Wasiotaka ) Kuamini wakajiridhishe ni kwamba amesema kuwa Dunia inaendeshwa na Watu wenye Damu ya Group O na kwamba bila wao ( ambao ni 40% ) ikilinganishwa na Makundi mengine dunia haitoenda kwakuwa Kiasili wao ( sisi ) ndiyo Injini ya Dunia.

Zifuatazo Sifa mbaya ( hasi) za Watu wote wenye Damu ya Group O duniani kote.....

1. Wana Hasira za haraka sana ila hazikawii Kuisha
2. Ukimkera haweki jambo Moyoni bali anakupa Makavu yako kisha yanaisha na mnaendele na Maisha
3. Ni Watu ambao hawataki Stress katika Maisha yao
4. Huugua sana Magonjwa ya Mafua, Pumu, Tezi Dume kuanzia Umri wa miaka 60 na Vidonda vya Tumbo
5. Hapendi kukaa bila kufanya Kazi au hata Kijishughuli tu chochote kwakuwa Kiasili ni Watu wenye Nguvu
6. Wapenda Ngono kupita Maelezo
7. Hawapendi longo longo na wanataka Kitu kilichonyooka au Maelezo yaliyonyooka

Zifuatazo ni Sifa nzuri ( chanya ) za Watu wote wenye Damu ya Group O duniani kote.....

1. Hawaugui hovyo hovyo kwakuwa wana Zawadi ya kuwa na Kinga Kubwa ( Strong Immunity System )
2. Ni Watu Werevu ( Intelligent ) na ndiyo maana wanaiongoza Dunia na bila Wao Dunia haiendi
3. Wana Roho Nzuri sana na ndiyo Watoaji wazuri wa Hela Harusini na hata Misibani au kwenye Shida
4. Wana Huruma na wakiwa nacho hawasubiri Kuombwa bali hutoa kwa Moyo na Furaha yao ni Kusaidia
5. Ni Waongeaji, Wachangamfu sana kila wanapokuwa na wanapenda Kujichanganya kila maeneo
6. Ni Watu ambao kamwe hawapendi kuona Mtu anaonewa / Watu wanaonewa mbele yao
7. Ni Watu wenye Maisha marefu ( muda mrefu wa Kuishi ) duniani

Mlio na Damu za Makundi mengine hata nyie ni Muhimu ila Kundi la Damu la Group O ndiyo muhimu zaidi Duniani sawa?

Ukiununia tu huu Ukweli kamnunie huyo Dokta na Mwanasaikolojia aliyekuwepo Hewani Channel Ten na siyo Mimi Sawa?
 
Kwa mujibu wa Mtaalam wa Afya ( Daktari ) na Mwanasaikolojia aliyekuwa akizungumza Channel Ten ( ipo YouTube ) kwa wala Matomaso ( Wasiotaka ) Kuamini wakajiridhishe ni kwamba amesema kuwa Dunia inaendeshwa na Watu wenye Damu ya Group O na kwamba bila wao ( ambao ni 40% ) ikilinganishwa na Makundi mengine dunia haitoenda kwakuwa Kiasili wao ( sisi ) ndiyo Injini ya Dunia.

Zifuatazo Sifa mbaya ( hasi) za Watu wote wenye Damu ya Group O duniani kote.....

1. Wana Hasira za haraka sana ila hazikawii Kuisha
2. Ukimkera haweki jambo Moyoni bali anakupa Makavu yako kisha yanaisha na mnaendele na Maisha
3. Ni Watu ambao hawataki Stress katika Maisha yao
4. Huugua sana Magonjwa ya Mafua, Pumu, Tezi Dume kuanzia Umri wa miaka 60 na Vidonda vya Tumbo
5. Hapendi kukaa bila kufanya Kazi au hata Kijishughuli tu chochote kwakuwa Kiasili ni Watu wenye Nguvu
6. Wapenda Ngono kupita Maelezo
7. Hawapendi longo longo na wanataka Kitu kilichonyooka au Maelezo yaliyonyooka

Zifuatazo ni Sifa nzuri ( chanya ) za Watu wote wenye Damu ya Group O duniani kote.....

1. Hawaugui hovyo hovyo kwakuwa wana Zawadi ya kuwa na Kinga Kubwa ( Strong Immunity System )
2. Ni Watu Werevu ( Intelligent ) na ndiyo maana wanaiongoza Dunia na bila Wao Dunia haiendi
3. Wana Roho Nzuri sana na ndiyo Watoaji wazuri wa Hela Harusini na hata Misibani au kwenye Shida
4. Wana Huruma na wakiwa nacho hawasubiri Kuombwa bali hutoa kwa Moyo na Furaha yao ni Kusaidia
5. Ni Waongeaji, Wachangamfu sana kila wanapokuwa na wanapenda Kujichanganya kila maeneo
6. Ni Watu ambao kamwe hawapendi kuona Mtu anaonewa / Watu wanaonewa mbele yao
7. Ni Watu wenye Maisha marefu ( muda mrefu wa Kuishi ) duniani

Mlio na Damu za Makundi mengine hata nyie ni Muhimu ila Kundi la Damu la Group O ndiyo muhimu zaidi Duniani sawa?

Ukiununia tu huu Ukweli kamnunie huyo Dokta na Mwanasaikolojia aliyekuwepo Hewani Channel Ten na siyo Mimi Sawa?
Daaah mkuu uko sahihi kabisa bibafisi sipendi kumuona mtu akiteseka pili kuumwa kwa nadira now ni mwaka wa 6 Sijaumwa lkn mafua ndo huumwa marachache lkn hayafiki wiki yamepona. Kingine Nina hisia sanaaa za kufanya ngono lkn kwa kuwa now najitambua huwa najizuia.kingine Nina hasira sanaa na kinyongo lkn dakika kumi nyingi zimeisha.Mkuu uko sahihi
 
Kwa mujibu wa Mtaalam wa Afya ( Daktari ) na Mwanasaikolojia aliyekuwa akizungumza Channel Ten ( ipo YouTube ) kwa wala Matomaso ( Wasiotaka ) Kuamini wakajiridhishe ni kwamba amesema kuwa Dunia inaendeshwa na Watu wenye Damu ya Group O na kwamba bila wao ( ambao ni 40% ) ikilinganishwa na Makundi mengine dunia haitoenda kwakuwa Kiasili wao ( sisi ) ndiyo Injini ya Dunia.

Zifuatazo Sifa mbaya ( hasi) za Watu wote wenye Damu ya Group O duniani kote.....

1. Wana Hasira za haraka sana ila hazikawii Kuisha
2. Ukimkera haweki jambo Moyoni bali anakupa Makavu yako kisha yanaisha na mnaendele na Maisha
3. Ni Watu ambao hawataki Stress katika Maisha yao
4. Huugua sana Magonjwa ya Mafua, Pumu, Tezi Dume kuanzia Umri wa miaka 60 na Vidonda vya Tumbo
5. Hapendi kukaa bila kufanya Kazi au hata Kijishughuli tu chochote kwakuwa Kiasili ni Watu wenye Nguvu
6. Wapenda Ngono kupita Maelezo
7. Hawapendi longo longo na wanataka Kitu kilichonyooka au Maelezo yaliyonyooka

Zifuatazo ni Sifa nzuri ( chanya ) za Watu wote wenye Damu ya Group O duniani kote.....

1. Hawaugui hovyo hovyo kwakuwa wana Zawadi ya kuwa na Kinga Kubwa ( Strong Immunity System )
2. Ni Watu Werevu ( Intelligent ) na ndiyo maana wanaiongoza Dunia na bila Wao Dunia haiendi
3. Wana Roho Nzuri sana na ndiyo Watoaji wazuri wa Hela Harusini na hata Misibani au kwenye Shida
4. Wana Huruma na wakiwa nacho hawasubiri Kuombwa bali hutoa kwa Moyo na Furaha yao ni Kusaidia
5. Ni Waongeaji, Wachangamfu sana kila wanapokuwa na wanapenda Kujichanganya kila maeneo
6. Ni Watu ambao kamwe hawapendi kuona Mtu anaonewa / Watu wanaonewa mbele yao
7. Ni Watu wenye Maisha marefu ( muda mrefu wa Kuishi ) duniani

Mlio na Damu za Makundi mengine hata nyie ni Muhimu ila Kundi la Damu la Group O ndiyo muhimu zaidi Duniani sawa?

Ukiununia tu huu Ukweli kamnunie huyo Dokta na Mwanasaikolojia aliyekuwepo Hewani Channel Ten na siyo Mimi Sawa?
 
Big up to us🫂
Wasio Kundi O wataununia kweli kweli huu Uzi ila Wasinune kwani hata Sisi hatukupenda kuwa Group O bali ni kwa Baraka zake na Upendo wake Tukuka Mwenyezi Mungu Kwetu. Na kamwe huwezi kubarikiwa na Mwenyezi Mungu kuwa 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' kama GENTAMYCINE halafu usiwe Kundi la Damu la Group O.

ASANTE MWENYEZI MUNGU.
 
Daaah mkuu uko sahihi kabisa bibafisi sipendi kumuona mtu akiteseka pili kuumwa kwa nadira now ni mwaka wa 6 Sijaumwa lkn mafua ndo huumwa marachache lkn hayafiki wiki yamepona. Kingine Nina hisia sanaaa za kufanya ngono lkn kwa kuwa now najitambua huwa najizuia.kingine Nina hasira sanaa na kinyongo lkn dakika kumi nyingi zimeisha.Mkuu uko sahihi
Ashukuriwe huyo Mtaalam Mkuu na siyo Mimi GENTAMYCINE kwani Mimi hapa nimekuwa tu ni Mjumbe kwa Kuliwasilisha Kwenu.
 
Kote umeenda vizuri kwenye sifa chanya namba 4 kutoa bila kuombwa hapana nakaa nina O lkn kama sijaombwa sitoi pesa yangu aisee
Ni ww lkn mm nikitembea nikakuta mtu kakaa kinyonge mfano pale darajani ubungo kuna watoto hata kama Nina buku mfukoni nampa na hajaniomba na nikampa yy mwenyewe anashangaa .kwahyo inategemeana siyo tabia zote hizo ukawanazo
 
Ni ww lkn mm nikitembea nikakuta mtu kakaa kinyonge mfano pale darajani ubungo kuna watoto hata kama Nina buku mfukoni nampa na hajaniomba na nikampa yy mwenyewe anashangaa .kwahyo inategemeana siyo tabia zote hizo ukawanazo
Uko kama Mimi 100% Mkuu na hivyo ndyo Watu wa Kundi la Damu ya O tulivyo huyo Jamaa nahisi atakuwa ni Kundi la Damu A au B kama akina adriz, Dr Matola PhD, Dada Leejay49 na Mpenda Mbunye wakati ana Mke mzuri sijapata Kuona Jirani yangu Bujibuji Simba Nyamaume
 
Back
Top Bottom