KudadekViongozi wengi wa awamu yake wana viwanja Chato , walinunua ili kujenga nyumba huko , kwa vile walijua utawala ule utaendelea milele na jamaa angetumia kwao kuwa ikulu ndogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KudadekViongozi wengi wa awamu yake wana viwanja Chato , walinunua ili kujenga nyumba huko , kwa vile walijua utawala ule utaendelea milele na jamaa angetumia kwao kuwa ikulu ndogo
Ila aliwapenda sana Sabaya na BashiteVyovyote mtu unaweza kutafsiri,
Ubaya wake wote ulilenga mazuri ya badaye!
Vyeti feki ni ubaya?
Wala rushwa nao?
Vigeugeu na wapiga dili wa mabeberu je?
Uhuni wa mkiru nao?
Mafisadi kudhibitiwa napo ni ubaya?
Kudhibiti wafungulia maji mabwawa ya umeme je?
Kuwakata midomo wafaidisha mabeberu na kelele za miga je?
Okay alikuwa mbaya, basi boresheni maisha ya wananchi sasa maana hayupo sasa
Amka weye!Ubaya hauhalalishi uwe mtenda ubaya.Vyovyote mtu unaweza kutafsiri,
Ubaya wake wote ulilenga mazuri ya badaye!
Vyeti feki ni ubaya?
Wala rushwa nao?
Vigeugeu na wapiga dili wa mabeberu je?
Uhuni wa mkiru nao?
Mafisadi kudhibitiwa napo ni ubaya?
Kudhibiti wafungulia maji mabwawa ya umeme je?
Kuwakata midomo wafaidisha mabeberu na kelele za miga je?
Okay alikuwa mbaya, basi boresheni maisha ya wananchi sasa maana hayupo sasa
Funzo kwa wazazi.Leeni watoto wenu wawe watu wema.Ila aliwapenda sana Sabaya na Bashite
Akina nani hao mkuu?ngoja waje
Waliomwabudu ndo wanamponda mawe sasa hivi!!! Vp hushangai!!!?Huyu alikuwa mwanaume haswa! Watu bado wanaogopa kivuli chake hata baada ya kufariki.
Huwa mnajua kujiliwaza.Shame!😝😝😝😝Huyu alikuwa mwanaume haswa! Watu bado wanaogopa kivuli chake hata baada ya kufariki.
Hao wajinga tu hawalisaidii lolote taifa. Walipaswa watuambie uovu huo mapema. Tofauti hivyo ni wajinga,wanafiki,wambea,wazushi,wazandiki,vigeugeu,wachumia tumbo na kila jina baya wanastahili.Waliomwabudu ndo wanamponda mawe sasa hivi!!! Vp hushangai!!!?
hakuna hiyoJmn napendekeza kwa Moderator nyuz zinazomuhusu magufuli zifungwe raisimi leo iwe mwisho kuandiaka hbr zake ...au hbr zozote zinazo muhuzu jpm ziunganishwe zote Kila hbr za jpm utengenezewe jukwaha
Huo ni mtazamo wako wa kinafiki tu.Huwa mnajua kujiliwaza.Shame![emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Usiwe na hofu, nipo mchato mwingine hapa napiga jalamba kubeba mikoba.......endelezeni tu maeneo yenu.Mimi pia nilishawishika kujenga guest house Chato niliona ni fursa ya kutengeneza pesa. Nimeghairi mipango .
Muulize Mwingira akutabirie kama kweeelii mimi ni hypocrite!😝😝😝😝Huo ni mtazamo wako wa kinafiki tu.
Huyo ni nabii uchwara tu.Muulize Mwingira akutabirie kama kweeelii mimi ni hypocrite![emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]