Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muulize Lissu akuhabarishe, Mwendazake alikuwa ni uchwara wa kiwango gani!😝😝😝😝😝Huyo ni nabii uchwara tu.
At least huyo Lissu ni mwenye akili. Amekuwa na msimamo tangu mwanzo na hajabadilika. Wanaojitokeza hivi sasa ni wajinga tu.Muulize Lissu akuhabarishe, Mwendazake alikuwa ni uchwara wa kiwango gani![emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Kwa hiyo unawaambia Mr.Poulepoule na Nduguyaye ni wajinga na wahuni?😝😝😝😝At least huyo Lissu ni mwenye akili. Amekuwa na msimamo tangu mwanzo na hajabadilika. Wanaojitokeza hivi sasa ni wajinga tu.
Sijataja jina,lakini vigeugeu hawafai kabisa. Wewe pia hapa jukwaani nakukubali kwa sababu hubadilikibadiliki kimsimamo kuchumia tumbo.Kwa hiyo unawaambia Mr.Poulepoule na ****** ni wajinga na wahuni?[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Have an Aimeeeen to the Almighty God!Utukufu ni wa Mungu Pekee
😂😂😂😂😂😂Say Aimeeeen!Sijataja jina,lakini vigeugeu hawafai kabisa. Wewe pia hapa jukwaani nakukubali kwa sababu hubadilikibadiliki kimsimamo kuchumia tumbo.
Asante!! Ila magu nae walisema ana faili mirembe au umesahauMleta mada ni mwehu kabsa
Ameen! Kuna mazuri yanafanywa na rais lakini hili la kumtesa Mbowe linatia kinyaa. Angejua angejinasua nalo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Say Aimeeeen!
Mambo mengine muwe mnaongea kwa evidence na sio utoto wakijinga, mtu kujenga kwao inamaanisha kahamisha makao? Mkiitwa nyumbu mnaona mmetukanwa kumbe ndizo akli zenuAliwaza Chato iwe makao makuu ya AU
Orodhesha unyama wake weka na evidence na sio kuropoka tuWATU WAMEKOMAA NA MAGU ANAANDIKWA KWELI HUMU KWA MAZURI NA MABAYA.ILA MAGU KWA KWELI ALIKUWA NA ROHO YA KINYAMA UKWELI LAZIMA TUSEME
wazee wa legacy uchwaraAkina nani hao mkuu?
Kwa hiyo wote mlikuwa pale "University of Milembe"(UoM)?Asante!! Ila magu nae walisema ana faili mirembe au umesahau
Huna ndugu zako waliokufa?je walisifiwa ndo wakafa?Kwa jinsi alivyokuwa amejijengea kuogopwa, kusifiwa, kuabudiwa, kusujudiwa ni wazi alikuwa anawaza kuwa Rais kwa vipindi zaidi ya viwili vile vilivyowekwa kikatiba.
Siku moja nikiwa na jamaa yangu mmoja tulikuwa tunamuangalia Magufuli kwenye runinga akiwa nafikiri Dodoma, alikuwa kwenye ibada kanisani kwa jinsi alivyokuwa anasujudiwa na viongozi mle kanisani, unganisha na Matukio ya akina agrey Mwanri na viongozi wengine wa dini walivyokuwa wanamtukuza kiumbe yule.
Siku ile nkamwambia jamaa yangu maneno yafuatayo" Huyu mtu atakufa mungu hawezi kukubali kiumbe chake alichokiumba kipewe sifa anazostahili kupewa yeye muumba" yule jamaa yangu nae uzuri alikuwa mtu wa hofu japo ni mtu nyeti serikalini akasema hata mimi hii tabia inanipa mashaka sana (binadamu kutukuzwa )
Tulimalizia soda zetu tukaagana, siku ambayo msiba unatangazwa rasmi jamaa yangu alinipigia cm akanambia unakumbuka yale maneno yetu? Nkasema ndiyak akasema yametimia, nkamuuliza yapi? Akasema Magu, alipenda kumuita Magu. Amefariki nilishtuka kdg lkn nkasema wacha aende tu!
Nawatakieni kheri ya mwaka mpya!
Kwa hiyo unawapangia watu la kutoa mawazoni mwao?Waache watoe sumu iliyotengenezwa na utawala dhalimu.Tuacha ujinga wa kusema watu waliotangulia mbele za haki.
Kifo ni funzo la sisi tuliopo, kifo ni ibada yenye tafakuli pana na wala sio sehemu ya kukejeli au kuwananga marehemu.
Kwa jinsi alivyokuwa amejijengea kuogopwa, kusifiwa, kuabudiwa, kusujudiwa ni wazi alikuwa anawaza kuwa Rais kwa vipindi zaidi ya viwili vile vilivyowekwa kikatiba.
Siku moja nikiwa na jamaa yangu mmoja tulikuwa tunamuangalia Magufuli kwenye runinga akiwa nafikiri Dodoma, alikuwa kwenye ibada kanisani kwa jinsi alivyokuwa anasujudiwa na viongozi mle kanisani, unganisha na Matukio ya akina agrey Mwanri na viongozi wengine wa dini walivyokuwa wanamtukuza kiumbe yule.
Siku ile nkamwambia jamaa yangu maneno yafuatayo" Huyu mtu atakufa mungu hawezi kukubali kiumbe chake alichokiumba kipewe sifa anazostahili kupewa yeye muumba" yule jamaa yangu nae uzuri alikuwa mtu wa hofu japo ni mtu nyeti serikalini akasema hata mimi hii tabia inanipa mashaka sana (binadamu kutukuzwa )
Tulimalizia soda zetu tukaagana, siku ambayo msiba unatangazwa rasmi jamaa yangu alinipigia cm akanambia unakumbuka yale maneno yetu? Nkasema ndiyak akasema yametimia, nkamuuliza yapi? Akasema Magu, alipenda kumuita Magu. Amefariki nilishtuka kdg lkn nkasema wacha aende tu!
Nawatakieni kheri ya mwaka mpya!