Hayati Dkt. Magufuli alikuwa akiwaza nini?

Hayati Dkt. Magufuli alikuwa akiwaza nini?

Kama ni ivo angeanza kufa kim jong aka kiduku wa korea north. Jamaa anaogopwa na kuabudiwa shetani mwenyewe anaona wivu.
 
Acheni ujinga, hakuna anemtukuza wale aliekuwa akimtukuza zaid ya heshim na uoga kwa mkuu wa nchi

Ni kweli jamaa alikuwa akiogopeka hiyo sabbu ya ukali wake kwa wazembe na wapuuzi, so hata reactions za viongoz pindi akiwepo huyo bwana lazma ziwe za kusifu na kuogopa ili kumfurahisha bosi na kumpa heshima yake, tofaut na hapo wapinzani muache chuki na Uongo wakipuuzi kama mnahis jamaa alkuwa akiabudiwa bas mtakuwa hamumjui putin, xi jin pin, na kim wa north korea, hawa ndio hufanyiwa hizo munazotaka kutuaminisha kuwa ni sifa na kuabudu maana huko ni full udicteta,.

Nje na hapo, mzee magu alijuwa kuwanyoosha wapumbav mpka leo hamkomi kumuongelea, hiyo ni proof kuwa spana zake ziliwakolea[emoji23][emoji23]
 
Tuacha ujinga wa kusema watu waliotangulia mbele za haki.
Kifo ni funzo la sisi tuliopo, kifo ni ibada yenye tafakuli pana na wala sio sehemu ya kukejeli au kuwananga marehemu.
 
Kwa jinsi alivyokuwa amejijengea kuogopwa, kusifiwa, kuabudiwa, kusujudiwa ni wazi alikuwa anawaza kuwa Rais kwa vipindi zaidi ya viwili vile vilivyowekwa kikatiba.

Siku moja nikiwa na jamaa yangu mmoja tulikuwa tunamuangalia Magufuli kwenye runinga akiwa nafikiri Dodoma, alikuwa kwenye ibada kanisani kwa jinsi alivyokuwa anasujudiwa na viongozi mle kanisani, unganisha na Matukio ya akina agrey Mwanri na viongozi wengine wa dini walivyokuwa wanamtukuza kiumbe yule.

Siku ile nkamwambia jamaa yangu maneno yafuatayo" Huyu mtu atakufa mungu hawezi kukubali kiumbe chake alichokiumba kipewe sifa anazostahili kupewa yeye muumba" yule jamaa yangu nae uzuri alikuwa mtu wa hofu japo ni mtu nyeti serikalini akasema hata mimi hii tabia inanipa mashaka sana (binadamu kutukuzwa )

Tulimalizia soda zetu tukaagana, siku ambayo msiba unatangazwa rasmi jamaa yangu alinipigia cm akanambia unakumbuka yale maneno yetu? Nkasema ndiyak akasema yametimia, nkamuuliza yapi? Akasema Magu, alipenda kumuita Magu. Amefariki nilishtuka kdg lkn nkasema wacha aende tu!

Nawatakieni kheri ya mwaka mpya!
Huna ndugu zako waliokufa?je walisifiwa ndo wakafa?
Vipi watoto wadogo wanaokufa nao walibeba utukufu wa Mungu akawaua?,vipi mimba zilizoharibika zilijivuna hata Mungu akaziharibu?

Heri yako wewe mwema maana hutakufa.
 
Tuacha ujinga wa kusema watu waliotangulia mbele za haki.
Kifo ni funzo la sisi tuliopo, kifo ni ibada yenye tafakuli pana na wala sio sehemu ya kukejeli au kuwananga marehemu.
Kwa hiyo unawapangia watu la kutoa mawazoni mwao?Waache watoe sumu iliyotengenezwa na utawala dhalimu.
 
Kwa jinsi alivyokuwa amejijengea kuogopwa, kusifiwa, kuabudiwa, kusujudiwa ni wazi alikuwa anawaza kuwa Rais kwa vipindi zaidi ya viwili vile vilivyowekwa kikatiba.

Siku moja nikiwa na jamaa yangu mmoja tulikuwa tunamuangalia Magufuli kwenye runinga akiwa nafikiri Dodoma, alikuwa kwenye ibada kanisani kwa jinsi alivyokuwa anasujudiwa na viongozi mle kanisani, unganisha na Matukio ya akina agrey Mwanri na viongozi wengine wa dini walivyokuwa wanamtukuza kiumbe yule.

Siku ile nkamwambia jamaa yangu maneno yafuatayo" Huyu mtu atakufa mungu hawezi kukubali kiumbe chake alichokiumba kipewe sifa anazostahili kupewa yeye muumba" yule jamaa yangu nae uzuri alikuwa mtu wa hofu japo ni mtu nyeti serikalini akasema hata mimi hii tabia inanipa mashaka sana (binadamu kutukuzwa )

Tulimalizia soda zetu tukaagana, siku ambayo msiba unatangazwa rasmi jamaa yangu alinipigia cm akanambia unakumbuka yale maneno yetu? Nkasema ndiyak akasema yametimia, nkamuuliza yapi? Akasema Magu, alipenda kumuita Magu. Amefariki nilishtuka kdg lkn nkasema wacha aende tu!

Nawatakieni kheri ya mwaka mpya!

Mwendazake kashaenda
Kujadiri Mambo yake hakusaidii kitu mm nadhani sana atabaki kama reference kwa mazuri yake na mabaya pia
 
Back
Top Bottom