Hayati Dkt. Magufuli alikuwa akiwaza nini?

Hayati Dkt. Magufuli alikuwa akiwaza nini?

Umeandika weye mwenyewe?Itoshe kusema weye ni bumunda.Unaishi nchi gani weye?
Mkumbuke Ndugai alivyoshambuliwa na makamanda wa Samia
Upate picha kuwa Kuna watu wapo tayari hata kuua kumtetea Raisi wao
Chunga Sana bwanamdogo
 
Kwa jinsi alivyokuwa amejijengea kuogopwa, kusifiwa, kuabudiwa, kusujudiwa ni wazi alikuwa anawaza kuwa Rais kwa vipindi zaidi ya viwili vile vilivyowekwa kikatiba.

Siku moja nikiwa na jamaa yangu mmoja tulikuwa tunamuangalia Magufuli kwenye runinga akiwa nafikiri Dodoma, alikuwa kwenye ibada kanisani kwa jinsi alivyokuwa anasujudiwa na viongozi mle kanisani, unganisha na Matukio ya akina agrey Mwanri na viongozi wengine wa dini walivyokuwa wanamtukuza kiumbe yule.

Siku ile nkamwambia jamaa yangu maneno yafuatayo" Huyu mtu atakufa mungu hawezi kukubali kiumbe chake alichokiumba kipewe sifa anazostahili kupewa yeye muumba" yule jamaa yangu nae uzuri alikuwa mtu wa hofu japo ni mtu nyeti serikalini akasema hata mimi hii tabia inanipa mashaka sana (binadamu kutukuzwa )

Tulimalizia soda zetu tukaagana, siku ambayo msiba unatangazwa rasmi jamaa yangu alinipigia cm akanambia unakumbuka yale maneno yetu? Nkasema ndiyak akasema yametimia, nkamuuliza yapi? Akasema Magu, alipenda kumuita Magu. Amefariki nilishtuka kdg lkn nkasema wacha aende tu!

Nawatakieni kheri ya mwaka mpya!
 

Attachments

  • IMG_1419.MP4
    532.2 KB
Ila ni aina ya kiongozi ambaye taifa lilikuwa bado linamhitaji,kwa kpnd kifupi alichokaa madarakani na mambo aliyoyafanya hakika anastahili pongezi. Rest easy Mzee baba.
IMG-20211231-WA0013.jpg
 
Kwa jinsi alivyokuwa amejijengea kuogopwa, kusifiwa, kuabudiwa, kusujudiwa ni wazi alikuwa anawaza kuwa Rais kwa vipindi zaidi ya viwili vile vilivyowekwa kikatiba.

Siku moja nikiwa na jamaa yangu mmoja tulikuwa tunamuangalia Magufuli kwenye runinga akiwa nafikiri Dodoma, alikuwa kwenye ibada kanisani kwa jinsi alivyokuwa anasujudiwa na viongozi mle kanisani, unganisha na Matukio ya akina agrey Mwanri na viongozi wengine wa dini walivyokuwa wanamtukuza kiumbe yule.

Siku ile nkamwambia jamaa yangu maneno yafuatayo" Huyu mtu atakufa mungu hawezi kukubali kiumbe chake alichokiumba kipewe sifa anazostahili kupewa yeye muumba" yule jamaa yangu nae uzuri alikuwa mtu wa hofu japo ni mtu nyeti serikalini akasema hata mimi hii tabia inanipa mashaka sana (binadamu kutukuzwa )

Tulimalizia soda zetu tukaagana, siku ambayo msiba unatangazwa rasmi jamaa yangu alinipigia cm akanambia unakumbuka yale maneno yetu? Nkasema ndiyak akasema yametimia, nkamuuliza yapi? Akasema Magu, alipenda kumuita Magu. Amefariki nilishtuka kdg lkn nkasema wacha aende tu!

Nawatakieni kheri ya mwaka mpya!
Kwa hy unafurahia mtu kufa..
 
Vyovyote mtu unaweza kutafsiri,

Ubaya wake wote ulilenga mazuri ya badaye!

Vyeti feki ni ubaya?
Wala rushwa nao?
Vigeugeu na wapiga dili wa mabeberu je?
Uhuni wa mkiru nao?
Mafisadi kudhibitiwa napo ni ubaya?
Kudhibiti wafungulia maji mabwawa ya umeme je?
Kuwakata midomo wafaidisha mabeberu na kelele za miga je?

Okay alikuwa mbaya, basi boresheni maisha ya wananchi sasa maana hayupo sasa

Tumemtelekeza M/Kiti wetu wa Chama anahangaika na kesi yake huku akisota gerezani,tumerudi kumsimanga JPM huku tunakunywa na kuimba Beer tamu.Hawa ndiyo wanategemewa kuwa mbadala wa Chama Tawala[emoji3][emoji3]
 
Akili yako haina akili...

"Siku ile nkamwambia jamaa yangu maneno yafuatayo" Huyu mtu atakufa mungu hawezi kukubali kiumbe chake alichokiumba kipewe sifa anazostahili kupewa yeye muumba" yule jamaa yangu nae uzuri alikuwa mtu wa hofu japo ni mtu nyeti serikalini akasema hata mimi hii tabia inanipa mashaka sana (binadamu kutukuzwa )

Tulimalizia soda zetu tukaagana, siku ambayo msiba unatangazwa rasmi jamaa yangu alinipigia cm akanambia unakumbuka yale maneno yetu? Nkasema ndiyak akasema yametimia, nkamuuliza yapi? Akasema Magu, alipenda kumuita Magu. Amefariki nilishtuka kdg lkn nkasema wacha aende tu!"

Hakuna atakaye ishi milele....
Ukiwa mwema, ukiwa muovu....utakufa tu.

Kesho utakuja kusema " Kizuri hakidumu".




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa jinsi alivyokuwa amejijengea kuogopwa, kusifiwa, kuabudiwa, kusujudiwa ni wazi alikuwa anawaza kuwa Rais kwa vipindi zaidi ya viwili vile vilivyowekwa kikatiba.

Siku moja nikiwa na jamaa yangu mmoja tulikuwa tunamuangalia Magufuli kwenye runinga akiwa nafikiri Dodoma, alikuwa kwenye ibada kanisani kwa jinsi alivyokuwa anasujudiwa na viongozi mle kanisani, unganisha na Matukio ya akina agrey Mwanri na viongozi wengine wa dini walivyokuwa wanamtukuza kiumbe yule.

Siku ile nkamwambia jamaa yangu maneno yafuatayo" Huyu mtu atakufa mungu hawezi kukubali kiumbe chake alichokiumba kipewe sifa anazostahili kupewa yeye muumba" yule jamaa yangu nae uzuri alikuwa mtu wa hofu japo ni mtu nyeti serikalini akasema hata mimi hii tabia inanipa mashaka sana (binadamu kutukuzwa )

Tulimalizia soda zetu tukaagana, siku ambayo msiba unatangazwa rasmi jamaa yangu alinipigia cm akanambia unakumbuka yale maneno yetu? Nkasema ndiyak akasema yametimia, nkamuuliza yapi? Akasema Magu, alipenda kumuita Magu. Amefariki nilishtuka kdg lkn nkasema wacha aende tu!

Nawatakieni kheri ya mwaka mpya!
Uchawi
Kwa jinsi alivyokuwa amejijengea kuogopwa, kusifiwa, kuabudiwa, kusujudiwa ni wazi alikuwa anawaza kuwa Rais kwa vipindi zaidi ya viwili vile vilivyowekwa kikatiba.

Siku moja nikiwa na jamaa yangu mmoja tulikuwa tunamuangalia Magufuli kwenye runinga akiwa nafikiri Dodoma, alikuwa kwenye ibada kanisani kwa jinsi alivyokuwa anasujudiwa na viongozi mle kanisani, unganisha na Matukio ya akina agrey Mwanri na viongozi wengine wa dini walivyokuwa wanamtukuza kiumbe yule.

Siku ile nkamwambia jamaa yangu maneno yafuatayo" Huyu mtu atakufa mungu hawezi kukubali kiumbe chake alichokiumba kipewe sifa anazostahili kupewa yeye muumba" yule jamaa yangu nae uzuri alikuwa mtu wa hofu japo ni mtu nyeti serikalini akasema hata mimi hii tabia inanipa mashaka sana (binadamu kutukuzwa )

Tulimalizia soda zetu tukaagana, siku ambayo msiba unatangazwa rasmi jamaa yangu alinipigia cm akanambia unakumbuka yale maneno yetu? Nkasema ndiyak akasema yametimia, nkamuuliza yapi? Akasema Magu, alipenda kumuita Magu. Amefariki nilishtuka kdg lkn nkasema wacha aende tu!

Nawatakieni kheri ya mwaka

Title ya thread una uliza magufuli alikuwa anawaza nini?
Kweny content unasema alikuwa anaenda jiongezea muda
Huu ndio uchawi wenyewe unajua mtu mwingine anawaza au fikiri nn??

Maiti haiwezi kukujibu ilikuwa inawaza nn ndugu
Alaf Nan alikwambia utumie cheti feki aisee
 
Waliomwabudu ndo wanamponda mawe sasa hivi!!! Vp hushangai!!!?

Mtu yoyote ambaye ulidhani ni mbaya wako,akifa huku hukuwahi kulipa kisasi kwa yale uliyadhani hakukutendea haki,utabaki kuwa mtumwa na kuteseka zaidi kwake.Kuropoka kwa hao wote ni dalili ya kuteswa kwa nafsi zao na hawana pa kuheal mpaka na wao siku yao ya kufa itakapofika.JPM atabaki kuwa mbabe wao maisha yao yote hapa Duniani
 
Yy mwenyew alikuwa na cheti fek
Uchawi



Title ya thread una uliza magufuli alikuwa anawaza nini?
Kweny content unasema alikuwa anaenda jiongezea muda
Huu ndio uchawi wenyewe unajua mtu mwingine anawaza au fikiri nn??

Maiti haiwezi kukujibu ilikuwa inawaza nn ndugu
Alaf Nan alikwambia utumie cheti feki aisee
 
Hivi mnamuwaza na kumsemasema marehemu hamjaridhika alivyokufa kamfukueni mle nyama sasa tumechoka kumsakama magufuli mtafikiri nyie hamfi
 
Kwa jinsi alivyokuwa amejijengea kuogopwa, kusifiwa, kuabudiwa, kusujudiwa ni wazi alikuwa anawaza kuwa Rais kwa vipindi zaidi ya viwili vile vilivyowekwa kikatiba.

Siku moja nikiwa na jamaa yangu mmoja tulikuwa tunamuangalia Magufuli kwenye runinga akiwa nafikiri Dodoma, alikuwa kwenye ibada kanisani kwa jinsi alivyokuwa anasujudiwa na viongozi mle kanisani, unganisha na Matukio ya akina agrey Mwanri na viongozi wengine wa dini walivyokuwa wanamtukuza kiumbe yule.

Siku ile nkamwambia jamaa yangu maneno yafuatayo" Huyu mtu atakufa mungu hawezi kukubali kiumbe chake alichokiumba kipewe sifa anazostahili kupewa yeye muumba" yule jamaa yangu nae uzuri alikuwa mtu wa hofu japo ni mtu nyeti serikalini akasema hata mimi hii tabia inanipa mashaka sana (binadamu kutukuzwa )

Tulimalizia soda zetu tukaagana, siku ambayo msiba unatangazwa rasmi jamaa yangu alinipigia cm akanambia unakumbuka yale maneno yetu? Nkasema ndiyak akasema yametimia, nkamuuliza yapi? Akasema Magu, alipenda kumuita Magu. Amefariki nilishtuka kdg lkn nkasema wacha aende tu!

Nawatakieni kheri ya mwaka mpya!
Si kuna kazi aliiomba Huko mbinguni kuongoza malaika au?
 
Vyovyote mtu unaweza kutafsiri,

Ubaya wake wote ulilenga mazuri ya badaye!

Vyeti feki ni ubaya?
Wala rushwa nao?
Vigeugeu na wapiga dili wa mabeberu je?
Uhuni wa mkiru nao?
Mafisadi kudhibitiwa napo ni ubaya?
Kudhibiti wafungulia maji mabwawa ya umeme je?
Kuwakata midomo wafaidisha mabeberu na kelele za miga je?

Okay alikuwa mbaya, basi boresheni maisha ya wananchi sasa maana hayupo sasa
Zile pesa za Assad je? Ile kampuni ya Mayanga na ile ya kuweka pigment kwenye mafuta unazikumbuka? Na hapa unasemaje? Fisadi ni fisadi tuu👇

Screenshot_20211226-073313.png
 
Back
Top Bottom