Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,631
- 3,527
Siwapangii cha kusema.Kwa hiyo unawapangia watu la kutoa mawazoni mwao?Waache watoe sumu iliyotengenezwa na utawala dhalimu.
Hayo ni maoni yangu,..
Wanaweza kuendelea wakipenda..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwapangii cha kusema.Kwa hiyo unawapangia watu la kutoa mawazoni mwao?Waache watoe sumu iliyotengenezwa na utawala dhalimu.
Very good!Let them be!Watoe nyongo hadi mwisho.Hatakiwi mtu kununa.Siwapangii cha kusema.
Hayo ni maoni yangu,..
Wanaweza kuendelea wakipenda..
Ana mabaya mengi kuliko mazuriVyovyote mtu unaweza kutafsiri,
Ubaya wake wote ulilenga mazuri ya badaye!
Vyeti feki ni ubaya?
Wala rushwa nao?
Vigeugeu na wapiga dili wa mabeberu je?
Uhuni wa mkiru nao?
Mafisadi kudhibitiwa napo ni ubaya?
Kudhibiti wafungulia maji mabwawa ya umeme je?
Kuwakata midomo wafaidisha mabeberu na kelele za miga je?
Okay alikuwa mbaya, basi boresheni maisha ya wananchi sasa maana hayupo sasa
Halafu alipendelea akumbukwe kwa tumambo tuchache alitorufanya!😝😝😝😝Ana mabaya mengi kuliko mazuri
Kuna watu wanaojifanya miungu watu zaidi ya wachungaji wa makanisa haya yanayoitwa ya kiroho? Mbona hawafi sasa.Kwa jinsi alivyokuwa amejijengea kuogopwa, kusifiwa, kuabudiwa, kusujudiwa ni wazi alikuwa anawaza kuwa Rais kwa vipindi zaidi ya viwili vile vilivyowekwa kikatiba.
Siku moja nikiwa na jamaa yangu mmoja tulikuwa tunamuangalia Magufuli kwenye runinga akiwa nafikiri Dodoma, alikuwa kwenye ibada kanisani kwa jinsi alivyokuwa anasujudiwa na viongozi mle kanisani, unganisha na Matukio ya akina agrey Mwanri na viongozi wengine wa dini walivyokuwa wanamtukuza kiumbe yule.
Siku ile nkamwambia jamaa yangu maneno yafuatayo" Huyu mtu atakufa mungu hawezi kukubali kiumbe chake alichokiumba kipewe sifa anazostahili kupewa yeye muumba" yule jamaa yangu nae uzuri alikuwa mtu wa hofu japo ni mtu nyeti serikalini akasema hata mimi hii tabia inanipa mashaka sana (binadamu kutukuzwa )
Tulimalizia soda zetu tukaagana, siku ambayo msiba unatangazwa rasmi jamaa yangu alinipigia cm akanambia unakumbuka yale maneno yetu? Nkasema ndiyak akasema yametimia, nkamuuliza yapi? Akasema Magu, alipenda kumuita Magu. Amefariki nilishtuka kdg lkn nkasema wacha aende tu!
Nawatakieni kheri ya mwaka mpya!
Alijivisha Utukufu wa Mungu, akina Kabudi na akina Mwanri wakaanza kumwita Mheshimiwa Mungu, naye kwa ujinga akawa anazungusha kashingo kake anachekelea kwa fahariiii...I mean kwa ujingaKwa jinsi alivyokuwa amejijengea kuogopwa, kusifiwa, kuabudiwa, kusujudiwa ni wazi alikuwa anawaza kuwa Rais kwa vipindi zaidi ya viwili vile vilivyowekwa kikatiba.
Siku moja nikiwa na jamaa yangu mmoja tulikuwa tunamuangalia Magufuli kwenye runinga akiwa nafikiri Dodoma, alikuwa kwenye ibada kanisani kwa jinsi alivyokuwa anasujudiwa na viongozi mle kanisani, unganisha na Matukio ya akina agrey Mwanri na viongozi wengine wa dini walivyokuwa wanamtukuza kiumbe yule.
Siku ile nkamwambia jamaa yangu maneno yafuatayo" Huyu mtu atakufa mungu hawezi kukubali kiumbe chake alichokiumba kipewe sifa anazostahili kupewa yeye muumba" yule jamaa yangu nae uzuri alikuwa mtu wa hofu japo ni mtu nyeti serikalini akasema hata mimi hii tabia inanipa mashaka sana (binadamu kutukuzwa )
Tulimalizia soda zetu tukaagana, siku ambayo msiba unatangazwa rasmi jamaa yangu alinipigia cm akanambia unakumbuka yale maneno yetu? Nkasema ndiyak akasema yametimia, nkamuuliza yapi? Akasema Magu, alipenda kumuita Magu. Amefariki nilishtuka kdg lkn nkasema wacha aende tu!
Nawatakieni kheri ya mwaka mpya!
Unaweza ukawa na kavideo kake alivyokuwa anazungusha kashingo ili tupate kumsimanga mkuu?Alijivisha Utukufu wa Mungu, akina Kabudi na akina Mwanri wakaanza kumwita Mheshimiwa Mungu, naye kwa ujinga akawa anazungusha kashingo kake anacheka kwa fahariiii
Kwamba hukuwah kulidhika na maneno kuwa hawezi kuongeza ata dakika 1 na ataendazake kulima kama Mzee Pinda?Kwa jinsi alivyokuwa amejijengea kuogopwa, kusifiwa, kuabudiwa, kusujudiwa ni wazi alikuwa anawaza kuwa Rais kwa vipindi zaidi ya viwili vile vilivyowekwa kikatiba.
Siku moja nikiwa na jamaa yangu mmoja tulikuwa tunamuangalia Magufuli kwenye runinga akiwa nafikiri Dodoma, alikuwa kwenye ibada kanisani kwa jinsi alivyokuwa anasujudiwa na viongozi mle kanisani, unganisha na Matukio ya akina agrey Mwanri na viongozi wengine wa dini walivyokuwa wanamtukuza kiumbe yule.
Siku ile nkamwambia jamaa yangu maneno yafuatayo" Huyu mtu atakufa mungu hawezi kukubali kiumbe chake alichokiumba kipewe sifa anazostahili kupewa yeye muumba" yule jamaa yangu nae uzuri alikuwa mtu wa hofu japo ni mtu nyeti serikalini akasema hata mimi hii tabia inanipa mashaka sana (binadamu kutukuzwa )
Tulimalizia soda zetu tukaagana, siku ambayo msiba unatangazwa rasmi jamaa yangu alinipigia cm akanambia unakumbuka yale maneno yetu? Nkasema ndiyak akasema yametimia, nkamuuliza yapi? Akasema Magu, alipenda kumuita Magu. Amefariki nilishtuka kdg lkn nkasema wacha aende tu!
Nawatakieni kheri ya mwaka mpya!
Lengo zuri lililotaka kutimizwa kwa kuua,kutesa,kuteka,kupoteza na hadi kuua wengine ili utengeneze "regase"?#@?!#@*£¢¢¢[]¥√Alikua na lengo zuri tu mbaba was watu, kwa nchi ilipofikia ilibidi awe mkali ili aweze kutimiza ilani yake
Yule mzee ovyo sanaHalafu alipendelea akumbukwe kwa tumambo tuchache alitorufanya!😝😝😝😝
Mbona unataja mabaya tu hakuna mazuri aliyoyafanya km miradi ya serikali kuitekeleza kikamilifuLengo zuri lililotaka kutimizwa kwa kuua,kutesa,kuteka,kupoteza na hadi kuua wengine ili utengeneze "regase"?#@?!#@*£¢¢¢[]¥√
magu ana nguvu sana nadhaniKwa jinsi alivyokuwa amejijengea kuogopwa, kusifiwa, kuabudiwa, kusujudiwa ni wazi alikuwa anawaza kuwa Rais kwa vipindi zaidi ya viwili vile vilivyowekwa kikatiba.
Siku moja nikiwa na jamaa yangu mmoja tulikuwa tunamuangalia Magufuli kwenye runinga akiwa nafikiri Dodoma, alikuwa kwenye ibada kanisani kwa jinsi alivyokuwa anasujudiwa na viongozi mle kanisani, unganisha na Matukio ya akina agrey Mwanri na viongozi wengine wa dini walivyokuwa wanamtukuza kiumbe yule.
Siku ile nkamwambia jamaa yangu maneno yafuatayo" Huyu mtu atakufa mungu hawezi kukubali kiumbe chake alichokiumba kipewe sifa anazostahili kupewa yeye muumba" yule jamaa yangu nae uzuri alikuwa mtu wa hofu japo ni mtu nyeti serikalini akasema hata mimi hii tabia inanipa mashaka sana (binadamu kutukuzwa )
Tulimalizia soda zetu tukaagana, siku ambayo msiba unatangazwa rasmi jamaa yangu alinipigia cm akanambia unakumbuka yale maneno yetu? Nkasema ndiyak akasema yametimia, nkamuuliza yapi? Akasema Magu, alipenda kumuita Magu. Amefariki nilishtuka kdg lkn nkasema wacha aende tu!
Nawatakieni kheri ya mwaka mpya!
Tuchache sana.Hatufiki shinda,hatujai pomoni.Hooovyoooo!Mbona unataja mabaya tu hakuna mazuri aliyoyafanya km miradi ya serikali kuitekeleza kikamilifu
Hakuna pan africanist aliye kwapua fedha za umma na kugawa nyumba kwa vimada wake.Magufuli tulimheshimu, hatukumuogopa.
Wahuni tu ndio walimuogopa maana alikuwa kiboko ya wahuni na vibaraka wote wa mabeberu.
He was a true Pan Africanist.
#kataawahuni
1. Vipi bashiteVyovyote mtu unaweza kutafsiri,
Ubaya wake wote ulilenga mazuri ya badaye!
Vyeti feki ni ubaya?
Wala rushwa nao?
Vigeugeu na wapiga dili wa mabeberu je?
Uhuni wa mkiru nao?
Mafisadi kudhibitiwa napo ni ubaya?
Kudhibiti wafungulia maji mabwawa ya umeme je?
Kuwakata midomo wafaidisha mabeberu na kelele za miga je?
Okay alikuwa mbaya, basi boresheni maisha ya wananchi sasa maana hayupo sasa
Wanafikiri anawasikia 🤣🤣🤣🤣Unashindana na kaburi huu ndio umasikini wa fikra !