Hayati Dkt. Magufuli alikuwa akiwaza nini?

Hayati Dkt. Magufuli alikuwa akiwaza nini?

Vyovyote mtu unaweza kutafsiri,

Ubaya wake wote ulilenga mazuri ya badaye!

Vyeti feki ni ubaya?
Wala rushwa nao?
Vigeugeu na wapiga dili wa mabeberu je?
Uhuni wa mkiru nao?
Mafisadi kudhibitiwa napo ni ubaya?
Kudhibiti wafungulia maji mabwawa ya umeme je?
Kuwakata midomo wafaidisha mabeberu na kelele za miga je?

Okay alikuwa mbaya, basi boresheni maisha ya wananchi sasa maana hayupo sasa
Ana mabaya mengi kuliko mazuri
 
Kwa jinsi alivyokuwa amejijengea kuogopwa, kusifiwa, kuabudiwa, kusujudiwa ni wazi alikuwa anawaza kuwa Rais kwa vipindi zaidi ya viwili vile vilivyowekwa kikatiba.

Siku moja nikiwa na jamaa yangu mmoja tulikuwa tunamuangalia Magufuli kwenye runinga akiwa nafikiri Dodoma, alikuwa kwenye ibada kanisani kwa jinsi alivyokuwa anasujudiwa na viongozi mle kanisani, unganisha na Matukio ya akina agrey Mwanri na viongozi wengine wa dini walivyokuwa wanamtukuza kiumbe yule.

Siku ile nkamwambia jamaa yangu maneno yafuatayo" Huyu mtu atakufa mungu hawezi kukubali kiumbe chake alichokiumba kipewe sifa anazostahili kupewa yeye muumba" yule jamaa yangu nae uzuri alikuwa mtu wa hofu japo ni mtu nyeti serikalini akasema hata mimi hii tabia inanipa mashaka sana (binadamu kutukuzwa )

Tulimalizia soda zetu tukaagana, siku ambayo msiba unatangazwa rasmi jamaa yangu alinipigia cm akanambia unakumbuka yale maneno yetu? Nkasema ndiyak akasema yametimia, nkamuuliza yapi? Akasema Magu, alipenda kumuita Magu. Amefariki nilishtuka kdg lkn nkasema wacha aende tu!

Nawatakieni kheri ya mwaka mpya!
Kuna watu wanaojifanya miungu watu zaidi ya wachungaji wa makanisa haya yanayoitwa ya kiroho? Mbona hawafi sasa.

Acha kuhusisha kifo cha mtu na mambo ya kawaida. Wote njia yetu moja uwe raisi au uwe fukara
 
Kwa jinsi alivyokuwa amejijengea kuogopwa, kusifiwa, kuabudiwa, kusujudiwa ni wazi alikuwa anawaza kuwa Rais kwa vipindi zaidi ya viwili vile vilivyowekwa kikatiba.

Siku moja nikiwa na jamaa yangu mmoja tulikuwa tunamuangalia Magufuli kwenye runinga akiwa nafikiri Dodoma, alikuwa kwenye ibada kanisani kwa jinsi alivyokuwa anasujudiwa na viongozi mle kanisani, unganisha na Matukio ya akina agrey Mwanri na viongozi wengine wa dini walivyokuwa wanamtukuza kiumbe yule.

Siku ile nkamwambia jamaa yangu maneno yafuatayo" Huyu mtu atakufa mungu hawezi kukubali kiumbe chake alichokiumba kipewe sifa anazostahili kupewa yeye muumba" yule jamaa yangu nae uzuri alikuwa mtu wa hofu japo ni mtu nyeti serikalini akasema hata mimi hii tabia inanipa mashaka sana (binadamu kutukuzwa )

Tulimalizia soda zetu tukaagana, siku ambayo msiba unatangazwa rasmi jamaa yangu alinipigia cm akanambia unakumbuka yale maneno yetu? Nkasema ndiyak akasema yametimia, nkamuuliza yapi? Akasema Magu, alipenda kumuita Magu. Amefariki nilishtuka kdg lkn nkasema wacha aende tu!

Nawatakieni kheri ya mwaka mpya!
Alijivisha Utukufu wa Mungu, akina Kabudi na akina Mwanri wakaanza kumwita Mheshimiwa Mungu, naye kwa ujinga akawa anazungusha kashingo kake anachekelea kwa fahariiii...I mean kwa ujinga
 
Alijivisha Utukufu wa Mungu, akina Kabudi na akina Mwanri wakaanza kumwita Mheshimiwa Mungu, naye kwa ujinga akawa anazungusha kashingo kake anacheka kwa fahariiii
Unaweza ukawa na kavideo kake alivyokuwa anazungusha kashingo ili tupate kumsimanga mkuu?
 
Alikua na lengo zuri tu mbaba was watu, kwa nchi ilipofikia ilibidi awe mkali ili aweze kutimiza ilani yake
 
Kwa jinsi alivyokuwa amejijengea kuogopwa, kusifiwa, kuabudiwa, kusujudiwa ni wazi alikuwa anawaza kuwa Rais kwa vipindi zaidi ya viwili vile vilivyowekwa kikatiba.

Siku moja nikiwa na jamaa yangu mmoja tulikuwa tunamuangalia Magufuli kwenye runinga akiwa nafikiri Dodoma, alikuwa kwenye ibada kanisani kwa jinsi alivyokuwa anasujudiwa na viongozi mle kanisani, unganisha na Matukio ya akina agrey Mwanri na viongozi wengine wa dini walivyokuwa wanamtukuza kiumbe yule.

Siku ile nkamwambia jamaa yangu maneno yafuatayo" Huyu mtu atakufa mungu hawezi kukubali kiumbe chake alichokiumba kipewe sifa anazostahili kupewa yeye muumba" yule jamaa yangu nae uzuri alikuwa mtu wa hofu japo ni mtu nyeti serikalini akasema hata mimi hii tabia inanipa mashaka sana (binadamu kutukuzwa )

Tulimalizia soda zetu tukaagana, siku ambayo msiba unatangazwa rasmi jamaa yangu alinipigia cm akanambia unakumbuka yale maneno yetu? Nkasema ndiyak akasema yametimia, nkamuuliza yapi? Akasema Magu, alipenda kumuita Magu. Amefariki nilishtuka kdg lkn nkasema wacha aende tu!

Nawatakieni kheri ya mwaka mpya!
Kwamba hukuwah kulidhika na maneno kuwa hawezi kuongeza ata dakika 1 na ataendazake kulima kama Mzee Pinda?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikua na lengo zuri tu mbaba was watu, kwa nchi ilipofikia ilibidi awe mkali ili aweze kutimiza ilani yake
Lengo zuri lililotaka kutimizwa kwa kuua,kutesa,kuteka,kupoteza na hadi kuua wengine ili utengeneze "regase"?#@?!#@*£¢¢¢[]¥√
 
Umesahau hata papa Beneduct wa 16 alikufa zamani sana, utatuambia nini juu ya hili?
 
Lengo zuri lililotaka kutimizwa kwa kuua,kutesa,kuteka,kupoteza na hadi kuua wengine ili utengeneze "regase"?#@?!#@*£¢¢¢[]¥√
Mbona unataja mabaya tu hakuna mazuri aliyoyafanya km miradi ya serikali kuitekeleza kikamilifu
 
Kwa jinsi alivyokuwa amejijengea kuogopwa, kusifiwa, kuabudiwa, kusujudiwa ni wazi alikuwa anawaza kuwa Rais kwa vipindi zaidi ya viwili vile vilivyowekwa kikatiba.

Siku moja nikiwa na jamaa yangu mmoja tulikuwa tunamuangalia Magufuli kwenye runinga akiwa nafikiri Dodoma, alikuwa kwenye ibada kanisani kwa jinsi alivyokuwa anasujudiwa na viongozi mle kanisani, unganisha na Matukio ya akina agrey Mwanri na viongozi wengine wa dini walivyokuwa wanamtukuza kiumbe yule.

Siku ile nkamwambia jamaa yangu maneno yafuatayo" Huyu mtu atakufa mungu hawezi kukubali kiumbe chake alichokiumba kipewe sifa anazostahili kupewa yeye muumba" yule jamaa yangu nae uzuri alikuwa mtu wa hofu japo ni mtu nyeti serikalini akasema hata mimi hii tabia inanipa mashaka sana (binadamu kutukuzwa )

Tulimalizia soda zetu tukaagana, siku ambayo msiba unatangazwa rasmi jamaa yangu alinipigia cm akanambia unakumbuka yale maneno yetu? Nkasema ndiyak akasema yametimia, nkamuuliza yapi? Akasema Magu, alipenda kumuita Magu. Amefariki nilishtuka kdg lkn nkasema wacha aende tu!

Nawatakieni kheri ya mwaka mpya!
magu ana nguvu sana nadhani
iwe kwa mabaya au mazuri ataendelea kuishi kwenye kurasa siku hadi siku
 
Vyovyote mtu unaweza kutafsiri,

Ubaya wake wote ulilenga mazuri ya badaye!

Vyeti feki ni ubaya?
Wala rushwa nao?
Vigeugeu na wapiga dili wa mabeberu je?
Uhuni wa mkiru nao?
Mafisadi kudhibitiwa napo ni ubaya?
Kudhibiti wafungulia maji mabwawa ya umeme je?
Kuwakata midomo wafaidisha mabeberu na kelele za miga je?

Okay alikuwa mbaya, basi boresheni maisha ya wananchi sasa maana hayupo sasa
1. Vipi bashite
2. 1.5 trilioni je
3. Makanekia Noah mpaka vitumbua
5. Ununuzi wa ndege Nani anaujua

Kiufupi zee la ovyo sana limekopa kuliko rais yeyote huku likijitapa tunafanya kwa hela za ndani,
Limepeleka wapi hela lilizokopa?
 
Yeye aliyekufa mnamuona mshamba??
Nyie ambao hamjafa ni wajanja??
Kila mtu na Siku yake,hata ww unayeshangilia kifo Cha JPM,utakufa tu Siku moja.
 
Unashindana na kaburi huu ndio umasikini wa fikra !
Wanafikiri anawasikia 🤣🤣🤣🤣

Yaani wanamsema kama mwanamke anamfumbia hawara wa mumewe chumba cha pili! 🙆‍♂️
 
Back
Top Bottom