Hayati Dkt. Magufuli aliletwa duniani mahsusi na Mungu ili kuleta masomo fulani tujifunze

Katika kipindi cha JPM kuangalia hotuba ya raia ilikuwa raha sana...ni kama mechi ya simba na yanga.. Taifa linasimama kwa muda kumsikiliza...kwa machache mapungufu, mengi mazuri yalikuwa upande wa wengi..RIP magufuli
 
asanteeeeeeeeeeee
 
zikipigwa kura, umeshindwa!!!!
 
Yesu alikufa kifo cha fedheha lakini hakuwa na dhambi. Kwahiyo kifo siyo kigezo cha kwamba mtu hayuko na Mungu.
Mkuu Dunia ya leo! una danganywa na kale, kakijana ka yesu kenu kazungu? katapeli! (white chapel,) ''white jesus will never come ma dear! ''. mtasubiri sana! mwana wa Mungu hafi kijinga wewe, unashindwa kujijibu swali rahisi hivo.

Ok! alikufa ajili ya nini?? dhambi zenu siyo!! , km alikufa kiudhalili ajili ya dhambi zenu! kwa nini na wewe ufe?, tena premature death! ndo huyo mungu wenu mzungu aliwaambia? hata siku ukijua mshahara wa dhambi ni nini?,,,,,, utatulia tuli!

Kama haitoshi dogo ni hivi Manabii wamepiga kelele miaka dahari kuwa ''ukiishi kwa upanga .........majibu unayo!! lkn ukitenda haki utakufa umeshiba umri tele!

hivi kabisaa mwana wa Mungu apate kichapo cha mbwa mwizi vile? acha utani bana wee!! sasa km hujui kile kipigo kilikuwa cha yuda Msaliti....... kujinyonga ilikuwa zuga tu! ila kibinadamu utaona hivyo!

kwani si Yesu alijua kuwa juda atamsaliti? unadhani kwa nini hakumsaidia mwanafunzi wake mpendwa na mtunza fedha? ili aepuke hiyo fedheha?
 
Mwenyezi Mungu ninakuamini,ninakuabudu na ninakutukuza na nawaombea msamaha wale wote wasiokuamini,wasiokuabudu na wasiokutukuza..AMEN
 
Siyo kishabiki Mkuu!! hongera kwa kuletewa maji!! ila sisi kijini kwetu tulikataa kuletewa maji na sirikali mpaka kesho, bali tulifanya kwa hela yetu wenyewe na nguvu zetu wnyewe, tukitumia mikokoteni ya ng;ombe kujenga barabara . mpaka leo ikipata mashimo tuna ziba wenyewe kwa kweli iko vizuri!

Umeme tulitumia kufua kwa Dynamor za baiskeli lkn baadae tuka nunua kubwa vijana wetu walileta tulio wasomesha kwa hela za kijiji, yaani mpaka leo mlikuwa hamjui kutumia umeme? mna akili au mmesha kufa?
 
Duh! umeupiga mwiiiingii..👌
 
SoMo la nane
Usielekeze nguvu zako zote kwenye ulinzi wa nje,
Wakati ulinzi wa ndani haueleweki
 
Rejea sababu zilizopelekea kudai na kupigania Uhuru wa Tanganyika zilikuwa ni zipi?

Maendeleo ya vitu hata Mkoloni angeweza kuleta zaidi ya tulipo!
Mbona hao wakoloni hawakuyafanya basi hayo maendeleo?
 
Yote uliyoandika yametokea na kufanywa na viongozi mbalimbali duniani, ni MUNGU wako pekee mwenye upumbavu wa kumtumia JPM kufundisha uyasemayo, wakati si mapya hapa duniani we

Sisi tunayeamini ktk MUNGU mwema tunajua MUNGU amemtumia JPM kufundisha uzalendo wa kweli na uongozi wa kutetea wanyonge
Siku zote MUNGU yupo upande wa wanyonge
 
Sifa za kijinga! Ukiona unazo au unazitoa fahamu tu kuwa wewe ni mjinga!
 
Hizo siyo sifa... Huo ni ujinga wa baadhi ya wananchi kujidhania kuwa wao ni wanyonge... Na yupo mmoja pekee ambaye atawapambania! Sifa za kijinga hizi kutoka kwa wajinga kwenda kwa wajinga!
Tunahitaji mind liberations!
Tunahitaji stronger organizations.
Hatuhitaji stronger people!
People come and go!
Strong institutions will stay to be improved!
#Shame!
 
Ilikuwakuwaje wewe hukuuliwa ili hali kila kona kulitapakaa mauwaji yake??

Hao wanafunzi wa vyou kwa sasa wameondokana na khali hiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…