Hayati Lowassa alivyomponza Kikwete akatimuliwa Msasani kwa kufokewa na Mwalimu Nyerere

Acha porojo. Kura za maoni tangu na tangu haziangalii mtu kupata asilimia zaidi ya 50.

Hata leo hii majimboni kura za maoni huwa zinapigwa na mtu akizidiwa hata kura moja tu basi shughuli imeisha. Unaelewa maana ya kura ya maoni?

Mwaka 1995 baada ya duru ya kwanza ya kura Kikwete aliongoza na alipaswa ndiye awe mgombea. Hakuna katiba wala kanuni iliyoongelea chochote kuhusu kura ya maoni mtu kupata zaidi ya asilimia 50. Ni kamati ya uchaguzi ndio ilileta huo muongozo baada ya kuona mtoto wa mjini kawakalia kooni.

Wakati huo aliyekuwa mwenyekiti wa vijana mkoa wa Dar-es-salaam marehemu Masaburi alihoji hilo ila wazee wa chama wakamnyamazisha. Hata marehemu Sukwa Saidi Sukwa, mjumbe wa sekretarieti ya CCM taifa na katibu wa UVCCM alijua wazi utaratibu haukufuatwa.

hizo ni porojo tu. Nchi hii ina wenyewe. Katiba na kanuni si chochote si lolote. Hata Lowassa hakukatwa jina na kamati kuu bali ni watu wachache walitimba kwenye kikao na majina yao matano mfukoni. Kumbuka marehemu mzee Ngombalimwilu alilalamikia hili.
 
Magufuli alishindwa uchaguzi ule, kura za mmonduli zilikuwa nyingi zikazikwa. Lkn kwa nn magu aliwaadhibu Januari na wenzake ila Emmanuel nchimbi akampa ubalozi?? Wakati nchinbi alimuunga mkono mmomonduli waziwazi??
 
Kwenye hiyo hotuba Jakaya aliongea nini? Mbona unatupa kazi ya kupatwa hisia bila sababu🤣
Weka japo Summary Mkuu.
Summary ni jk alikubali matokeo na akatangaza kuvunja mtandao na kutaka wote sasa wamusupport mkapa,,ndo nyerere akasimama kupiga makofi,watu wakafuatia kusimama kupiga makofi huku mkapa akitoka na kwenda kumkumbatia jk🤷
 
Another sadist fella
Roho ya kwa korosho tu, kwa nn mnorth ana pesa kuliko yeye. Amekufa maskini hakuna mtoto.wake hata mmoja aliyetoboa, alitaka waTZ wabaki maskini. Huyu mwanakwenda naye kafuata ujinga uleule eti kanda fulani usipeleke fedha, wawasubiri wenzao. Kalagha baho, yuko wapi? Kwenda mwana kwenda kafie mbali kama ulivyomtumbua yule baba na kweli akaenda kufa. Dunia jamani, kweli kila kwenye ngoma na acheze
 
☝️🙆
 
Msli
Malima alichafuliwa na story ya fedha zake sijui kuwa freezed itakuwa fake
 
Nyerere alitaifisha nyumba za watu kwa maelfu,,unaweza ku justify vipi hii?watu wamesota tangu ukoloni huko,akaja kuchukua majumba...
 
Alivyokuwa anajitapa kichinjio cha 2015 anacho yeye alikuwa anamaanisha nini??

Baada ya kuwaondoa hao kwenye serikali yake, Rushwa na ufisadi wa kutisha uliisha??
Naona hujaelewa,pohamba anamaana,baada ya kugundua kuna watu wake wanamzunguka concerning ishu ya Richmond,,JK alimpiga stop msabaha waziri wa nishati kulipa advance na akabariki kamati ya mwakyembe kufanya uchunguzi,,then things started to happen,,
Ni Rais wa ajabu tu atakubali mtu aliyechafuliwa na kashifa eti ampe nchi kwa kisingizio eti ni Rafiki wa karibu,,
 
EL hakuwa anataka favor ya JK. Alihitaji mchakato huru tu. Ni wangapi wala rushwa JK aliwakumbatia? Yeye pia hakuwa mla rushwa??
 
EL hakuwa anataka favor ya JK. Alihitaji mchakato huru tu. Ni wangapi wala rushwa JK aliwakumbatia? Yeye pia hakuwa mla rushwa??
Jk hajawahi kumbatia wara rushwa,, kumbuka ni awamu ya jk ambako mawaziri kibao walifungwa na kufikidhwa mahakamani ,wengine kujiuzulu akiwemo lowasa,msabaha,karamagi,tibaijuka,idd simba,etc,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…