Alikuwa anawahi kumpokea Mh.Rais Ethiopia na ameonekana leo kwny picha kadhaa akiwa kwny uzinduzi wa Sanamu la Baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage NyerereMkuu pohamba nakufuatilia hapa JF toka 2014
Unaweza kuhisi kwanini jana kikwete alitoweka pale Monduli msibani ghafla tena akavunja protocol ya kuondoka meza kuu kabla mkuu wa nchi kuondoka?
Inadaiwa hata hakuaga!!
Bora nmewaambiaJk hajawahi kumbatia wara rushwa,, kumbuka ni awamu ya jk ambako mawaziri kibao walifungwa na kufikidhwa mahakamani ,wengine kujiuzulu akiwemo lowasa,msabaha,karamagi,tibaijuka,idd simba,etc,
Kuna video youtube mzee mmoja mwanafamilia kule msoga kalieza hilo vizuri na sababu ya kupewa hilo jina la babu yake mzaa mama kwa sababu jina hasa alilopewa ni lile la babu upande wa baba lakini kutokana changamoto fulani iliyojitokeza akiwa bado mdogo ilibidi taratibu za kimila na tamaduni zitumike ndipo ikalazimika atumie majina yote ya babu zake.Kumbe Jakaya ni jina la Babu mzaa mama! Interesting.
Chadema wao ndio walimfata, hilo la mchakato mlaumu Mbowe kummwaga Slaa sio yeyeAlitumia Mchakato huru kuteuliwa ndani ya Chadema ?
au mchakato huru hukumbukwa pale tu unapokosa ?
Mliosoma shule za kata mnajulikana tu, hamuachi kuzitaja wakati wote.No wonder ndiye aliyekuajiri na kukusomesha kwa mkopo Elimu ya chuo na uemsoma Shule ya kata!
Nimekuuliza, yeye hakuwa mla rushwa?? Kumbe Tibaijuka, Iddi Simba, Karamagi, Msabaha na Lowassa walifikishwa mahakamani??Jk hajawahi kumbatia wara rushwa,, kumbuka ni awamu ya jk ambako mawaziri kibao walifungwa na kufikidhwa mahakamani ,wengine kujiuzulu akiwemo lowasa,msabaha,karamagi,tibaijuka,idd simba,etc,
Hawa watu wanakuaga na nongwa za kijinga sana,,just imagine Tibaijuka alikuwa kamati kuu,,leo yuko nje ya cheo,,analaumu Lowasa kukatwa,,wakati na yeye alikua kamati kuuBora nmewaambia
Lowassa kujiuzulu imekuwa nongwa
Akina Zakhia Hamdan Meghji walipoteza nyadhifa zao kwa tuhuma ndogo zaid lakini hawakuwa na nongwa
Katika history ya nchi hii,hakuna awamu mawaziri wanewajibika kwa wingi kama kipindi cha jk,,kuna waluofungwa,kuna waluofikishwa mahakamani,kuna waliojiuzulu,kuna walitumbuliwa,etcNimekuuliza, yeye hakuwa mla rushwa?? Kumbe Tibaijuka, Iddi Simba, Karamagi, Msabaha na Lowassa walifikishwa mahakamani??
Waliofikishwa mahakamani ni wangapi kwenye awamu ya JK? Hili swali limekuwa gumu kujibu au?Hawa watu wanakuaga na nongwa za kijinga sana,,just imagine Tibaijuka alikuwa kamati kuu,,leo yuko nje ya cheo,,analaumu Lowasa kukatwa,,wakati na yeye alikua kamati kuu
Katika history ya nchi hii,hakuna awamu mawaziri wanewajibika kwa wingi kama kipindi cha jk,,kuna waluofungwa,kuna waluofikishwa mahakamani,kuna waliojiuzulu,kuna walitumbuliwa,etc
Unamjua Mramba?Waliofikishwa mahakamani ni wangapi kwenye awamu ya JK? Hili swali limekuwa gumu kujibu au?
We jamaa vipi,,si ufanye research,,kwani mi nalipwa hapa?,nimekutajia majina,,ina maana wewe una akili nzito sana hadi huwezi ku cross check mpaka nikufanyie kila kitu?Waliofikishwa mahakamani ni wangapi kwenye awamu ya JK? Hili swali limekuwa gumu kujibu au?
Mramba alikuwa Waziri kipindi cha Mkapa. Nitajieni Waziri wa JK aliyewahi fikishwa mahakamani kwa rushwa!!Unamjua Mramba?
Hujataja jina hata moja la waziri wa JK aliyepelekwa mahakamani, na huwezi fanya hivyo maana hawapo. Punguza uongo na upashkuna, kama wapo niandikie hapa yupi alipelekea mahakamani kuwajibishwa kwa ufisadi aliofanya!!We jamaa vipi,,si ufanye research,,kwani mi nalipwa hapa?,nimekutajia majina,,ina maana wewe una akili nzito sana hadi huwezi ku cross check mpaka nikufanyie kila kitu?
Hapo alikosea sana !!Nyerere alitaifisha nyumba za watu kwa maelfu,,unaweza ku justify vipi hii?watu wamesota tangu ukoloni huko,akaja kuchukua majumba...
Huenda hujui kuwa mkutano mkuu CCM sio Kura za maoni.Acha porojo. Kura za maoni tangu na tangu haziangalii mtu kupata asilimia zaidi ya 50.
Hata leo hii majimboni kura za maoni huwa zinapigwa na mtu akizidiwa hata kura moja tu basi shughuli imeisha. Unaelewa maana ya kura ya maoni?
Mwaka 1995 baada ya duru ya kwanza ya kura Kikwete aliongoza na alipaswa ndiye awe mgombea. Hakuna katiba wala kanuni iliyoongelea chochote kuhusu kura ya maoni mtu kupata zaidi ya asilimia 50. Ni kamati ya uchaguzi ndio ilileta huo muongozo baada ya kuona mtoto wa mjini kawakalia kooni.
Wakati huo aliyekuwa mwenyekiti wa vijana mkoa wa Dar-es-salaam marehemu Masaburi alihoji hilo ila wazee wa chama wakamnyamazisha. Hata marehemu Sukwa Saidi Sukwa, mjumbe wa sekretarieti ya CCM taifa na katibu wa UVCCM alijua wazi utaratibu haukufuatwa.
hizo ni porojo tu. Nchi hii ina wenyewe. Katiba na kanuni si chochote si lolote. Hata Lowassa hakukatwa jina na kamati kuu bali ni watu wachache walitimba kwenye kikao na majina yao matano mfukoni. Kumbuka marehemu mzee Ngombalimwilu alilalamikia hili.
Sawa mzee wa systemsMwaka 1995 Jakaya Kikwete akijifanya ni masikini na Edward Lowassa akinukia noti, walisindikizana kuchukua fomu za kugombea urais, nyuma yao akiwepo king maker Rostam Aziz na Samuel Sitta.
Lowassa aliamua kukodi ndege binafsi chini ya captain Minje baba yake Lilian, walizunguka Tanzania nzima kusaka wadhamini, walikuwa na miaka 42 kwa 45 mtawalia. Wakajiita Boys II Men.
Aliyekodi ndege ni Lowassa Jk alipewa lift tu, makubaliano ni kuwa yeyote ambaye angepita amteue mwenzake kuwa Waziri mkuu na baada ya miaka kumi huyo waziri mkuu agombee urais, hapa ni kama Putin na medinedev wanavyofanyaga.
Taarifa zikamfikia mwalimu Nyerere kuwa kijana Lowassa anagawa pesa kama njugu na amekodi ndege, na akaambiwa anaambatana na mtoto wa rafiki yake marehemu Mrisho Kikwete, yaani Jakaya.
Mwalimu akamuita Jakaya Msasani ili kumuonya akae mbali na EL. JK bila kutambua akampa lift EL kwenye gari aina ya Ssang yong Musso mpaka msasani.
Taarifa zikamfikia mwalimu kuwa Jk kaja na EL, mwalimu akajifanya anatoka nje kwa hasira na kumfokea kuwa amechelewa appointnent atoweke haraka mahali hapo kufumba na kufumbua Jk kwa shingo upande akaondoka bila kujua sababu.
Mwalimu akidhani JK amegundua kosa lake, kumbe wapi, kwenye vikao vya mchujo Jk uso kwa uso tena na mwalimu, na akaulizwa if you become a president who gonna be your prime minister, JK akayakoroka kwa kusema Edward Lowassa, mwalimu akamwambia asante kwa kushiriki ,jina la JK likakatwa kibabe na akapachikwa Benjamin Mkapa.
Matumizi makubwa ya pesa katika kusaka madaraka yalimponza EL.
.....,....Itaendelea
Nope chifu..nimesoma Shule kongwe ambazo KABLA ya uhuru zilimikiwa na wamisheniMliosoma shule za kata mnajulikana tu, hamuachi kuzitaja wakati wote.
ina maana hujui kuwa Mramba alikuwa pia kwny Cabinet ya Jk?Mramba alikuwa Waziri kipindi cha Mkapa. Nitajieni Waziri wa JK aliyewahi fikishwa mahakamani kwa rushwa!!
Daah Ila kikwete ni mtu na nusu....ninamkubali sana huyu mwambakumzuia Dr Ibrahim Msabah aliekuwa Waziri wa Nishati na Mbunge wa Kibaha ku approve advance payment ya 10 Billion kwa Kampuni feki ya Richmond ambayo ilikuwa ya mwisho kwenye Procurement process lakini Management ya Tanesco ikalazimishwa kwa Vimemo iwape Tender
baada ya kupewa Tender wakataka walipwe advance payment hiyo wakati haikuwemo kwny terms of contract
ndipo Mh.Rais akastukia kitu akatumia weledi wake wa kimedani akajua Watu aliowaamini wameanza kumzunguka.
Media zikaanza ku report hiyo kashfa nae akaridhia uchunguzi huru kwa Bunge kuchunguza
Report kabambe ya Uchunguzi ya Dr Harrison Mwakyembe, akisaidiwa na Eng. Stella Manyanya kama Makamu Mwenyekiti pamoja na Wajumbe kina Lucas Selelii Mbunge wa Nzega wa wakati huo wakafanya kazi kubwa na ya kizalendo
matokeo kuletwa Bungeni ikabidi ijadiliwe then watuhumiwa ambao ni Wabunge wajibu hoja
Hoja za Utetezi zilipoanza alisimama Peter Serukamba Mbunge wa Kigoma Mjini kumtetea Lowassa
lowassa akamuomba Spila Sitta amzuie Serukamba na badala yake akatangaza kujiuzulu akafuatia Karamagi then Msabaha
Rostam akiwa Katibu wa Uchumi wakati huo akabadilishwa baada ya muda mfupi
JK hakuwafanyia figisu lolote zaid ya kuwatoa kwny Serikali yake na nongwa ikaanzia hapo
Kwa taarifa yako, elimu yangu yote nimesoma wakati wa Nyerere. Kusema nimesoma kwenye shule za kata ni kunishushia hadhi!Nope chifu..nimesoma Shule kongwe ambazo KABLA ya uhuru zilimikiwa na wamisheni