Hayati Lowassa alivyomponza Kikwete akatimuliwa Msasani kwa kufokewa na Mwalimu Nyerere

Hayati Lowassa alivyomponza Kikwete akatimuliwa Msasani kwa kufokewa na Mwalimu Nyerere

Mkuu pohamba nakufuatilia hapa JF toka 2014

Unaweza kuhisi kwanini jana kikwete alitoweka pale Monduli msibani ghafla tena akavunja protocol ya kuondoka meza kuu kabla mkuu wa nchi kuondoka?
Inadaiwa hata hakuaga!!
Alikuwa anawahi kumpokea Mh.Rais Ethiopia na ameonekana leo kwny picha kadhaa akiwa kwny uzinduzi wa Sanamu la Baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere
 
Jk hajawahi kumbatia wara rushwa,, kumbuka ni awamu ya jk ambako mawaziri kibao walifungwa na kufikidhwa mahakamani ,wengine kujiuzulu akiwemo lowasa,msabaha,karamagi,tibaijuka,idd simba,etc,
Bora nmewaambia
Lowassa kujiuzulu imekuwa nongwa

Akina Zakhia Hamdan Meghji walipoteza nyadhifa zao kwa tuhuma ndogo zaid lakini hawakuwa na nongwa
 
Kumbe Jakaya ni jina la Babu mzaa mama! Interesting.
Kuna video youtube mzee mmoja mwanafamilia kule msoga kalieza hilo vizuri na sababu ya kupewa hilo jina la babu yake mzaa mama kwa sababu jina hasa alilopewa ni lile la babu upande wa baba lakini kutokana changamoto fulani iliyojitokeza akiwa bado mdogo ilibidi taratibu za kimila na tamaduni zitumike ndipo ikalazimika atumie majina yote ya babu zake.
 
Jk hajawahi kumbatia wara rushwa,, kumbuka ni awamu ya jk ambako mawaziri kibao walifungwa na kufikidhwa mahakamani ,wengine kujiuzulu akiwemo lowasa,msabaha,karamagi,tibaijuka,idd simba,etc,
Nimekuuliza, yeye hakuwa mla rushwa?? Kumbe Tibaijuka, Iddi Simba, Karamagi, Msabaha na Lowassa walifikishwa mahakamani??
 
Bora nmewaambia
Lowassa kujiuzulu imekuwa nongwa

Akina Zakhia Hamdan Meghji walipoteza nyadhifa zao kwa tuhuma ndogo zaid lakini hawakuwa na nongwa
Hawa watu wanakuaga na nongwa za kijinga sana,,just imagine Tibaijuka alikuwa kamati kuu,,leo yuko nje ya cheo,,analaumu Lowasa kukatwa,,wakati na yeye alikua kamati kuu
Nimekuuliza, yeye hakuwa mla rushwa?? Kumbe Tibaijuka, Iddi Simba, Karamagi, Msabaha na Lowassa walifikishwa mahakamani??
Katika history ya nchi hii,hakuna awamu mawaziri wanewajibika kwa wingi kama kipindi cha jk,,kuna waluofungwa,kuna waluofikishwa mahakamani,kuna waliojiuzulu,kuna walitumbuliwa,etc
 
Hawa watu wanakuaga na nongwa za kijinga sana,,just imagine Tibaijuka alikuwa kamati kuu,,leo yuko nje ya cheo,,analaumu Lowasa kukatwa,,wakati na yeye alikua kamati kuu

Katika history ya nchi hii,hakuna awamu mawaziri wanewajibika kwa wingi kama kipindi cha jk,,kuna waluofungwa,kuna waluofikishwa mahakamani,kuna waliojiuzulu,kuna walitumbuliwa,etc
Waliofikishwa mahakamani ni wangapi kwenye awamu ya JK? Hili swali limekuwa gumu kujibu au?
 
Screenshot_20240216-234416.png
 
We jamaa vipi,,si ufanye research,,kwani mi nalipwa hapa?,nimekutajia majina,,ina maana wewe una akili nzito sana hadi huwezi ku cross check mpaka nikufanyie kila kitu?
Hujataja jina hata moja la waziri wa JK aliyepelekwa mahakamani, na huwezi fanya hivyo maana hawapo. Punguza uongo na upashkuna, kama wapo niandikie hapa yupi alipelekea mahakamani kuwajibishwa kwa ufisadi aliofanya!!
 
Acha porojo. Kura za maoni tangu na tangu haziangalii mtu kupata asilimia zaidi ya 50.

Hata leo hii majimboni kura za maoni huwa zinapigwa na mtu akizidiwa hata kura moja tu basi shughuli imeisha. Unaelewa maana ya kura ya maoni?

Mwaka 1995 baada ya duru ya kwanza ya kura Kikwete aliongoza na alipaswa ndiye awe mgombea. Hakuna katiba wala kanuni iliyoongelea chochote kuhusu kura ya maoni mtu kupata zaidi ya asilimia 50. Ni kamati ya uchaguzi ndio ilileta huo muongozo baada ya kuona mtoto wa mjini kawakalia kooni.

Wakati huo aliyekuwa mwenyekiti wa vijana mkoa wa Dar-es-salaam marehemu Masaburi alihoji hilo ila wazee wa chama wakamnyamazisha. Hata marehemu Sukwa Saidi Sukwa, mjumbe wa sekretarieti ya CCM taifa na katibu wa UVCCM alijua wazi utaratibu haukufuatwa.

hizo ni porojo tu. Nchi hii ina wenyewe. Katiba na kanuni si chochote si lolote. Hata Lowassa hakukatwa jina na kamati kuu bali ni watu wachache walitimba kwenye kikao na majina yao matano mfukoni. Kumbuka marehemu mzee Ngombalimwilu alilalamikia hili.
Huenda hujui kuwa mkutano mkuu CCM sio Kura za maoni.

Fuatilia chaguzi za CCM namna kamati kuu inatoa majina matano;
then Halmashauri Kuu inachagua 3 kati ya 5;
Mwisho mkutano mkuu unataka mshindi awe na zaidi ya 51%.

Kumbukumbu za mwisho za 2015, maana 1995 hukuwepo;
Halmashauri Kuu ya CCM ilikuwa na majina 5 January, Bernard, John, Amina na Asha.

NEC ikawapa kura nyingi John, Amina na Asha.
Mkutano Mkuu John akawa na Kura nyingi.
Kama hukuwepo 1995 na 2005; kubali kujifunza kwa waliokuwepo.
 
Mwaka 1995 Jakaya Kikwete akijifanya ni masikini na Edward Lowassa akinukia noti, walisindikizana kuchukua fomu za kugombea urais, nyuma yao akiwepo king maker Rostam Aziz na Samuel Sitta.

Lowassa aliamua kukodi ndege binafsi chini ya captain Minje baba yake Lilian, walizunguka Tanzania nzima kusaka wadhamini, walikuwa na miaka 42 kwa 45 mtawalia. Wakajiita Boys II Men.

Aliyekodi ndege ni Lowassa Jk alipewa lift tu, makubaliano ni kuwa yeyote ambaye angepita amteue mwenzake kuwa Waziri mkuu na baada ya miaka kumi huyo waziri mkuu agombee urais, hapa ni kama Putin na medinedev wanavyofanyaga.

Taarifa zikamfikia mwalimu Nyerere kuwa kijana Lowassa anagawa pesa kama njugu na amekodi ndege, na akaambiwa anaambatana na mtoto wa rafiki yake marehemu Mrisho Kikwete, yaani Jakaya.

Mwalimu akamuita Jakaya Msasani ili kumuonya akae mbali na EL. JK bila kutambua akampa lift EL kwenye gari aina ya Ssang yong Musso mpaka msasani.

Taarifa zikamfikia mwalimu kuwa Jk kaja na EL, mwalimu akajifanya anatoka nje kwa hasira na kumfokea kuwa amechelewa appointnent atoweke haraka mahali hapo kufumba na kufumbua Jk kwa shingo upande akaondoka bila kujua sababu.

Mwalimu akidhani JK amegundua kosa lake, kumbe wapi, kwenye vikao vya mchujo Jk uso kwa uso tena na mwalimu, na akaulizwa if you become a president who gonna be your prime minister, JK akayakoroka kwa kusema Edward Lowassa, mwalimu akamwambia asante kwa kushiriki ,jina la JK likakatwa kibabe na akapachikwa Benjamin Mkapa.

Matumizi makubwa ya pesa katika kusaka madaraka yalimponza EL.

.....,....Itaendelea
Sawa mzee wa systems

Sent from my SM-G998B using JamiiForums mobile app
 
kumzuia Dr Ibrahim Msabah aliekuwa Waziri wa Nishati na Mbunge wa Kibaha ku approve advance payment ya 10 Billion kwa Kampuni feki ya Richmond ambayo ilikuwa ya mwisho kwenye Procurement process lakini Management ya Tanesco ikalazimishwa kwa Vimemo iwape Tender

baada ya kupewa Tender wakataka walipwe advance payment hiyo wakati haikuwemo kwny terms of contract

ndipo Mh.Rais akastukia kitu akatumia weledi wake wa kimedani akajua Watu aliowaamini wameanza kumzunguka.

Media zikaanza ku report hiyo kashfa nae akaridhia uchunguzi huru kwa Bunge kuchunguza

Report kabambe ya Uchunguzi ya Dr Harrison Mwakyembe, akisaidiwa na Eng. Stella Manyanya kama Makamu Mwenyekiti pamoja na Wajumbe kina Lucas Selelii Mbunge wa Nzega wa wakati huo wakafanya kazi kubwa na ya kizalendo

matokeo kuletwa Bungeni ikabidi ijadiliwe then watuhumiwa ambao ni Wabunge wajibu hoja

Hoja za Utetezi zilipoanza alisimama Peter Serukamba Mbunge wa Kigoma Mjini kumtetea Lowassa

lowassa akamuomba Spila Sitta amzuie Serukamba na badala yake akatangaza kujiuzulu akafuatia Karamagi then Msabaha

Rostam akiwa Katibu wa Uchumi wakati huo akabadilishwa baada ya muda mfupi

JK hakuwafanyia figisu lolote zaid ya kuwatoa kwny Serikali yake na nongwa ikaanzia hapo
Daah Ila kikwete ni mtu na nusu....ninamkubali sana huyu mwamba
 
Back
Top Bottom