Hayati Lowassa alivyomponza Kikwete akatimuliwa Msasani kwa kufokewa na Mwalimu Nyerere

Kama jk alikua kama makonda was Nyerere,Basi makonda wa jpm ni Rais ajaye kama asemavyo magamba matatu happy 2030!noted!
Yule aliyesemaga yeye anakula raha kuliko mtu yeyote Nchini ??!!
πŸ˜…πŸ˜…πŸ™

Akituliza Akili anaweza !!
Lakini wengine wanasema eti anatakiwa aende Lupango πŸ˜… !
Now we don’t know which is which !
Ngoja Tusubiri tuone πŸ™πŸ™
 
Ilitakiwa washitakiwe kwa zile tuhuma walizozitoa !! ???
 
Kwa hiyo kosa la EL ilikiwa ni kukodi ndege badala ya boda wakati wa kusaka wadhamini
1995 ni kama juzi lakini ni karibia 30 years ago,uchumi wa nchi yetu ulikuwa duni,na EL alikuwa kijana 42yrs tena mtumishi wa umma,kwa miaka ile kukodi ndege kuzunguka nchi kutafuta wadhamini halikuwa jambo dogo,lilitakiwa kufanywa na matajiri ,na falsafa za mwalimu ni kuwa tajiri=fisadi
 
Nimekuuliza, yeye hakuwa mla rushwa?? Kumbe Tibaijuka, Iddi Simba, Karamagi, Msabaha na Lowassa walifikishwa mahakamani??
Maswali Yako yamekaa ki darasa la tatu c,,,nimesema awamu yake ndio pekee nchi hii mawaziri wengi waliwajibishwa,,iwe kwa kujiuzulu,kifikishwa mahakamani,etc,,,
Kama unahakika jk alikula rushwa taja lini na wapi,sio unatuletea wasomi wakubwa mambo ya kubuni yasiyo na evidence
 
Ilitakiwa washitakiwe kwa zile tuhuma walizozitoa !! ???
Jk hanaga visasi,,angekuwa rais mwingine hao wangepotea haraka sana,jk alisubiri mda ndo uwe muamuzi mzuri,,,sasa hivi ukiwaulliza hao wachina waliouziwa gesi yote na jk mbona hatuwaoni?,hawana la kujibu,,
Karibuni tena walikuja na ushenzi wao wa kawaida eti bandari zote zimeuzwa kwa DP world,,πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™†
 
Nimekuelewa sana
 
Salim alikuwa kipenzi namba moja ila akashindwa kumbeba,JK alimzidi kura BWM ila ikapigwa magazijuto ni vile JK kakomaa kisiasa vinginevyo angesharopoka hii siri
Mnapo sema hicho mnachojaribu kuwa aminisha watu,muwe mnakumbuka na kanuni za uchaguzi ndani ya ccm,ni kweli kikwete aliongoza kwa kura,lkn hakufikia nusu,ikabidi msuya aliyekuwa wa tatu aondolewe,wakabaki wawili mkapa na kikwete.kambi ya msuya iliyokuwa ni kambi ya wazee,ikahamia kwa mkapa mzee, na kikwete akawa amepigwa kwa kura zaidi ya Mia tatu.
 
Kwa ujinga na upumbavu wako wewe,ungempa nchi rafiki yako kwa sababu ya uswahiba tu.
 
Na huo ndio ukweli,baada ya kikwete kuongoza,hakufikia nusu ya wapiga kura woote,ikabidi msuya aliyekuwa wa tatu aondolewe,wakabaki mkapa na kikwete,ukumbuke kikwete alikuwa anabebwa ujana,na hata kampeni zake ilikuwa ni vijana dhidi ya wazee, hivyo kambi ya wazee kutoka kwa msuya wakahamia kwa mkapa,na kikwete akapigwa.
 
Kwa hiyo tuseme toka moyoni jk chaguo lake ama mbadala wake alikua Jpm?
Hapana,ni mazingira tu yalimlazimisha ampende jpm,japo ni kweli kikwete akiwa amelazwa nje kwa tezi dume, ndipo kwa mala ya kwanza alimwambia jpm ajiandae kuja kugombea urais,jpm alikataa,lkn wakati anarudi alipitia kwa rafiki yake Raila odinga na kumwambia hizo habari, raila akamwambia,kama rais kikwete ndio kakuambia jiandae,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…