Hayati Lowassa alivyomponza Kikwete akatimuliwa Msasani kwa kufokewa na Mwalimu Nyerere

Hayati Lowassa alivyomponza Kikwete akatimuliwa Msasani kwa kufokewa na Mwalimu Nyerere

Tumeshazika sasa tunajibu hoja kwa hoja

Walioshadadia Kashfa ya Monduli

1) Freeman Mbowe
2) Godbless Lema
3) Chrstopher Ole sendeka
4) Anne Kilango Malecela

wote hawa wanatokea unapotokea Wewe mbaguzi

au wakati wa Kashfa ya Richmond mlikuwa bado wadogo

Waliotupiwa zigo la Monduli walifanyie kazi walikuwa Home boy ambao leo ndio hao hao wanalalamikia wakwere walivyokuwa akili nusu Mlingoti

hao hao ndio walikuwa wanamtukana Mkwere kuwalinda wana mtandao!
Mwanasiasa Mahiri na madhubuti lazima uwe mtulivu, akili nyingi sana na mvumilivu na sifa zote hizo Adui yenu mkuu anazo

Sifa kubwa sana ambayo Mkwere na Mzee wa Monduli pamoja na kutofautiana walikuwa nayo ni kutopenda kulalamika lalamika

ukim snitch anaku snitch na wakikutana kila mmoja anajibu am fine

Walimzunguka Bosi kwny Richmond nae akawapelekea moto kwa kutumia hiyo hiyo Richmond

walipotolewa nje ya Game wakaunda magenge mengi sana ya hujuma hadi migomo mikubwa mikubwa akapiga kimya akawasubiri 2015 akala kichwa

Wakahamia upande wa pili wamuoneshe show kwa kuwa wana watu na pesa nae akawaonesha ana akili na dola wakamalizana kibingwa

na wote hawakuwahi kulalamika hadharan

Kitu cha kujivunia Jk alisikiliza kilio cha Wengi cha kulipasua Kundi lake la Wanamtandao

2017 alimtumia Mzee wa Kundi Samwel Sitta kumpumzisha Ngoyai na 2010 akatumia nguvu na ushawishi wa Ngoyai kupitia NEC kuweka vipengele cha Jinsia kumpumzisha Uspika Mzee Sitta

2011 akamtumia aliekuwa Mwanamtandao wa Mzee Sumaye Ndugu Nape akampa Ukatibu wa Itikadi akaanza ku deal na mapacha watatu na Tajiri wa Igunga akavua jezi

na 2015 akakamilisha madaraka yake kwa kuhakikisha Wanamtandao hawapo tena kama kundi


Pamoja na tofauti zote na rafu zote za Siasa hakuwa na muda kuhujumu uchumi au biashara ya Mtu japo alikuwa na uwezo wa kufanya hivyo

alijua Michezo ya Siasa itaishia kwny Siasa sio kutafutana kwenye Bank Accounts na Assets za mtu
Safi sana
 
Huyo ni mfuasi wa kikwete huwa anamfanya kikwete kama dude fulani la kutisha wakati ukweli ni kwamba hakuna raisi wa ovyo kumzidi kikwete na huyu wa leo...magufuli alishawahi kuongea kuwa anamshukuru kikwete kwa kumwachia uraisi na anamshukuru mno mkapa kwa kumfanya kuwa raisi
Umemaliza, humu wanamwagia sifa za uongo jk
 
Na unaweza kukumbuka Kauli ya JK kwamba mlisema Mimi mpole nimewaletea chuma.

Kiufupi Urais wa JPM ni kama alivyopata Thisekedi baada ya kuona first 11 wamezingua akaona hapa atafute super sub ambae atakuoa chama na atawapelekea moto Wapinzani.

Sema super sub alianza kuita sharubu sana [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ndio maana Suk gang Huwa hawamkubaki kabisa JK wanahisia aliwakatisha ulaji [emoji16][emoji16]
Hahahaha
 
Yaan unaamua kutunga hadithi ndefu Sana ili tu kupotosha ukweli halisi. Mwalimu, Nyerere hajawahi kumfikiria kabisa, Kikwete kama MTU wake muhimu katika, nafasi ya urais. Happy mzee umetudanganya. Nakumbuka MTU wa, kwanza kufikiriwa kwenye hiyo nafasi ya, urais na mwalimu alikuwa Dr Salim Ahmed Salim. Lakin Salim alikuwa, bado ni katibu mkuu wa OAU.Term yake ilikuwa haijaisha. Mwalimu alisema wazi kabisa kuwa, kijana, safi kabisa, nitakaye mpendekeza na nitampigia, kampeni nchi nzima ni Benjamin Mkapa. Na wote tuliona na kushuhudia. Leo tunatungiwa uongo kuwa JK wa msoga alikuwa pendezo la JK wa, Butiama.sio kweli.
Hapa kuna uongo mwingi unatembea hadi inashangaza.
 
Muwe mnatunga vizuri hizo hadithi zenu tena muwe mnafanya utafiti kabla ya kuandika,huyo Mrisho Kikwete unayedai Nyerere alikuwa rafiki yake ukimaanisha baba yake Kikwete jina lake ni Halfan Mrisho Kikwete hivyo Mrisho ni jina la Jakaya akirithi jina la babu yake na Jakaya nalo ni jina lake akirithi jina la babu yake upande wa mama yake.Halafu unavyohadithia utafikiri ulikuwa ukiongozana naye kwenye hizo harakati zake zote!
Kumbe Jakaya ni jina la Babu mzaa mama! Interesting.
 
Nilicho gundua kuna kitu kimemkwaza jk , kwenye msiba wa El, jk anaona kuna watu wanamchafua Huku wakimsifu El , bila kujua El ni jambazi Tu 😂.

Jk kwangu ni kiongozi Bora kabisa, alijali wananchi, shida ni mtandao ndio ulikuwa ukimtia aibu
Kwa kauli ya magufuli alidai kuwa laiti watanzania wangejua kilichofanyika kwenye gesi ya mtwara wangempiga mtu mawe...unadhani ni nani huyo alieiuza gesi yetu?
 
Kwa UFISADI mkubwa alioufanya Edward Lowassa nashangaa kuona ANAAGWA KIHESHIMA, ANASIFIWA na kuonekana alikuwa ni MTU WA MAANA. Sasa nimeamini kuna Taifa hapa Afrika Mashariki lina Watu / Raia WAPUMBAVU ( FOOLS ) mno.
Nitajie kiongozi ambae ana record mzuri ukimuondoa nyerere na mwinyi...kwasababu hata mumeo magufuli alikuwa anapiga kimtindo
 
Back
Top Bottom