Hayati Lowassa alivyomponza Kikwete akatimuliwa Msasani kwa kufokewa na Mwalimu Nyerere

Hayati Lowassa alivyomponza Kikwete akatimuliwa Msasani kwa kufokewa na Mwalimu Nyerere

Huenda hujui kuwa mkutano mkuu CCM sio Kura za maoni.

Fuatilia chaguzi za CCM namna kamati kuu inatoa majina matano;
then Halmashauri Kuu inachagua 3 kati ya 5;
Mwisho mkutano mkuu unataka mshindi awe na zaidi ya 51%.

Kumbukumbu za mwisho za 2015, maana 1995 hukuwepo;
Halmashauri Kuu ya CCM ilikuwa na majina 5 January, Bernard, John, Amina na Asha.

NEC ikawapa kura nyingi John, Amina na Asha.
Mkutano Mkuu John akawa na Kura nyingi.
Kama hukuwepo 1995 na 2005; kubali kujifunza kwa waliokuwepo.S
Sure
 
ina maana hujui kuwa Mramba alikuwa pia kwny Cabinet ya Jk?
kwa kukusaidia tu alikuwa Waziri wa Miundombinu, Daniel Yona ndio hakuwa kabisa kwny Cabinet ya JK
Sawa, msaidie huyo jamaa mniambie mawaziri gani walipandishwa karandinga waliofanya ubadhirifu awamu ya JK?
 
Sawa, msaidie huyo jamaa mniambie mawaziri gani walipandishwa karandinga waliofanya ubadhirifu awamu ya JK?
kwani kuna Rais wa Tanzania aliwahi kufunga Waziri wake ? kwanini umechagua kwa JK sio wengine wote ?

Ila kwa taarifa yako tu

Jakaya ndio Rais pekee Tanzania kawatia hatiani Mawaziri wawili, Katibu Mkuu, Balozi kwa tuhuma za Rushwa
 
kwani kuna Rais wa Tanzania aliwahi kufunga Waziri wake ? kwanini umechagua kwa JK sio wengine wote ?

Ila kwa taarifa yako tu

Jakaya ndio Rais pekee Tanzania kawatia hatiani Mawaziri wawili, Katibu Mkuu, Balozi kwa tuhuma za Rushwa
Asante sana....
Watu wanajifanya mazuri ya jk hawayaoni kabisa. Ila ipo siku watamkubali na kumkumbuka.
 
Hujaelewa wanaosema jk aliwageuka wanamtandao?[emoji848][emoji23]


Nimefundishwa ya kwamba vitendo ni bora zaidi ya maneno.


Kuna kuwageuka wenzako kwa sababu unao uwezo na ni vizuri zaidi kwako kwa ajili ya image yako kisiasa, lakini nyuma ya Pazia wewe ndio Dalali mkuu wa madalali na alama za mikono yako ziko kila mahala unapogusa kiasi sio Siri tena.

He wanted to rule the game, stepping on his brethren was merely a political timing and a business strategy.

Only problem, mwisho wa mbio za hivi huwa sio mzuri.
 
Ni vema kuweka records Sawa.
1995 majina matatu yalipelekwa mkutano mkuu.
Wagombea walikuwa
Cleopa Msuya (Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais)
Benjamin Mkapa (Waziri wa Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia)
Jakaya Kikwete (Waziri wa Fedha)

JK aliongoza kwa kura akifuatiwa na BWM na Msuya akawa wa 3.
Katiba ya CCM ilitaka mshindi awe na zaidi ya 51%, kitu ambacho JK hakufikisha.

Ni uongo kuonesha JK alionewa.

Ndio maana aliposhinda kwa wingi wa kura 2005 kwa kuwabwaga SAS na Mark Mwandosya, alikuja na kauli..."safari hii, kura zimetosha".

Hoja za wazi ni vema zikajengewa hoja kwa uwezi maana kumbukumbu za 1995 tunazo.

Wasalaam!
Hoja nzuri ila siyo sahihi. Katiba ya CCM haisemi hivyo ila kanuni za uchaguzi. Ila zilikuwan na mapungufu- hazisemi uchaguzi au kura za maoni. Kwenye uchaguzi ndani ya chama kujaz nafasi za chama lazima mshindi apate 50% + kura moja au zaidi. Kwenye kura za maoni hili si lazima kwani ni maoni tu ya kusaidia uteuzi wa nani ateuliwe kusimama kwenye uchaguzi kwenye dola. Bado kanuni za CCM HAZIJAJIBU CHANGAMOTO HIYO
 
Hoja nzuri ila siyo sahihi. Katiba ya CCM haisemi hivyo ila kanuni za uchaguzi. Ila zilikuwan na mapungufu- hazisemi uchaguzi au kura za maoni. Kwenye uchaguzi ndani ya chama kujaz nafasi za chama lazima mshindi apate 50% + kura moja au zaidi. Kwenye kura za maoni hili si lazima kwani ni maoni tu ya kusaidia uteuzi wa nani ateuliwe kusimama kwenye uchaguzi kwenye dola. Bado kanuni za CCM HAZIJAJIBU CHANGAMOTO HIYO
Tofautisha kura za maoni kwenye level ya majimbo na kura za mkutano mkuu wa CCM (T).
Kinachofanyika kati ya majina 3 lazima kwenye duru kwa kwanza mshindi apate zaidi ya 51%.
1995 JK aliongoza kwa kura, akifuatiwa na BM na Msuya akawa wa mwisho.
Then kura zikarudiwa kati ya JK na BM, ndipo Mkapa akaongoza.

Tofautisha kabisa kura za maoni na kura za maamuzi ya Mkutano mkuu CCM (T).

Labda nikusaidie kujua nguvu ya mkutano mkuu CCM (T), Mkutano mkuu CCM (T) ukipiga kura; maana ya yake hayo ni maamuzi ya chama.
Wakati SSH anataka kujaza nafasi ya uenyekiti, ililazimu Mkutano Mkuu maalumu CCM uitishwe ili kumthibitisha kwa kura.
Hivyo, ondoa neno kura ya maoni kwenye kuchagua Mgombea Urais CCM. Pale ni kura ya maamuzi sio maoni.
 
Kwa kauli ya magufuli alidai kuwa laiti watanzania wangejua kilichofanyika kwenye gesi ya mtwara wangempiga mtu mawe...unadhani ni nani huyo alieiuza gesi yetu?
Gesi ni mali ya TPDC shirika la umma ila bomba la kuisafirisha lilijengwa na wachina
 
Tofautisha kura za maoni kwenye level ya majimbo na kura za mkutano mkuu wa CCM (T).
Kinachofanyika kati ya majina 3 lazima kwenye duru kwa kwanza mshindi apate zaidi ya 51%.
1995 JK aliongoza kwa kura, akifuatiwa na BM na Msuya akawa wa mwisho.
Then kura zikarudiwa kati ya JK na BM, ndipo Mkapa akaongoza.

Tofautisha kabisa kura za maoni na kura za maamuzi ya Mkutano mkuu CCM (T).

Labda nikusaidie kujua nguvu ya mkutano mkuu CCM (T), Mkutano mkuu CCM (T) ukipiga kura; maana ya yake hayo ni maamuzi ya chama.
Wakati SSH anataka kujaza nafasi ya uenyekiti, ililazimu Mkutano Mkuu maalumu CCM uitishwe ili kumthibitisha kwa kura.
Hivyo, ondoa neno kura ya maoni kwenye kuchagua Mgombea Urais CCM. Pale ni kura ya maamuzi sio maoni.
Kanuni zinasemaje kuhusu kura ya maamuzi?
 
Kama EL alikuwa fisadi kuliko JK, basi Mwl. JKN aliona mbali sana. Maana huenda leo nchi ingekuwa ishapigwa mnada hii kwa sababu ya ufisadi.
Nyerere aliongozwa na Itikadi zake za kijamaa.

Aliamini ukiwa masikini ndio mzalendo[emoji2]

Ukiwa Tajiri basi wewe ni mwizi.

Kwa bahati nzuri au mbaya lowassa alibahatika kushika Hela nyingi mapema akiwa kijana.

Sasa mjamaa-apendaye umasikini Nyerere akaona jamaa mwizi kumbe mmasai wa watu anafanya biashara zake huko Kando.

Nyerere was the best kabla ga uhuru tu.

Aftwer uhuru alitucost vibaya sana kama nchi. Kisiasa, kiuchumi, kijamii.

Legacy pekee itayoishi ya Nyerere ni kuwa freedom fighter na pan africanist ila kwenye uchumi alikua sifuri. Huo ndio ukweli.

Plan zae zote za kiuchumi mwisho wa siku zilifeli.

Na kwa Aibu akaamua kustafu mwenyewe just imagine angefanikiwa kiasi Cha juu zaidi angestaafu.
 
Alianza kidogo kidogo akiwa CCM mikoani.aliposhinda ubunge 1990 na kuwa ofisi ya waziri mkuu kitengo cha maafa alizipiga kweli,akiwa ardhi ndio balaa kajimilikisha ardhi na viwanja vingi sana prime areas,kaingia mikataba ya kimagumashi sana,aliwahi kumtapeli hadi john malecele mgawo wa rushwa,malecela skiwa bosi wake,jamaa slikuwa fisadi kweli sio uongo
Jamaa wanamshabikia ila alikuwa muhujumu uchumi hasa
 
Back
Top Bottom