johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wabunge wengi wa CCM walifeli lakini Leo wako bungeni ndio tunauliza kulikoni Kesi na Hawa Ghasia tu?!Wewe uko Iringa hapo, sogea hapo Mbarali ni jirani mtafute Mtu anaitwa Misana Kwangura. Msituketee uongo eti Kessy alitolewa na Magufuli.
Nimekuuliza Kwa hiyo wote "walioshinda" walishinda?Endelea kujifunza
Ila Ally Kesi hakushinda , na mkurugenzi aliondolewa katika nafasi yake by that
Ajenda hiyo ilikuwa powered by the late JPM
Kilitokea nini?Hajui kilichotokea akae kimya tu. Mkurugenzi aliyekuwa Nkasi kipindi hicho Kwa sasa yuko Mbarali amuulize atamjibu kilichotokea.
Kwamba alitaka kujiongezea muda kweli? Mlaumu kwa vitu vingine ila hilo la kujiongezea muda alilipinga kwa nguvu, kwa maneno na matendoMMM kamaliza kila kitu kumhusu huyu jamaa. Yaani ni kwamba aendelee kulala panapomstahili
Sasa kama kura hazikutosha ulikuwa unataka abebwe mgongoni? Ukweli ni kuwa wananchi walichukizwa na hoja yake na wakamkataa kwenye sanduku la kuraWengi wanamtuhumu Magufuli kuwa alikuwa ana mpango wa kujiongezea muda wa kukaa madarakani baada ya miaka yake 10 kupita,
Lakini zaidi ya mara tano Magufuli alikanusha na kusema hataongeza hata sekunde moja Ikulu baada ya muda wake kupita
Na Mbunge wa Nkasi aliposimama Bungeni na kusema licha ya Magufuli kukataa kuongeza muda watamlazimisha, atake asitake, Magufuli kuthibitisha kuwa yupo serious, mbunge Ally Kesi hakurudi Bungeni, na akawa mbunge pekee wa CCM kung'olewa na mbunge wa Chadema jimboni
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni
Kwa hiyo Wote walioshinda kura zao zilitosha?Sasa kama kura hazikutosha ulikuwa unataka abebwe mgongoni? Ukweli ni kuwa wananchi walichukizwa na hoja yake na wakamkataa kwenye sanduku la kura
Ulikuwa ndani ya mawazo na moyo wake?Yule mwehu alikuwa anawazuga tu watu kama ninyi lakini lengo lake lilikuwa ni kutawala milele na ndiyo maana marafiki zake wakubwa walikuwa ni Yoel Mseven na Paul Kagame.Na hata kwenye uchaguzi mkuu wa 2020 alikodi wanajeshi kutoka Burundi,Rwanda na Uganda kuja kusimamia uchaguzi.
Umeanza udini wakoKweli kabisa
Hata Alhaj Nkamia hakurudi
Waislamu walimpenda sana Shujaa Maguful
Kumbe haukuwa uchaguzi yalikuwa ni maelekezo?Alishinda Nkasi lakini akapewa Aida wa Chadema
Ulikuwa ndani ya mawazo na moyo wake?
Mpuuzi weweWengi wanamtuhumu Magufuli kuwa alikuwa ana mpango wa kujiongezea muda wa kukaa madarakani baada ya miaka yake 10 kupita,
Lakini zaidi ya mara tano Magufuli alikanusha na kusema hataongeza hata sekunde moja Ikulu baada ya muda wake kupita
Na Mbunge wa Nkasi aliposimama Bungeni na kusema licha ya Magufuli kukataa kuongeza muda watamlazimisha, atake asitake, Magufuli kuthibitisha kuwa yupo serious, mbunge Ally Kesi hakurudi Bungeni, na akawa mbunge pekee wa CCM kung'olewa na mbunge wa Chadema jimboni
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni
Wabunge 19? Mbona wapo mpaka muda huu ili hali yeye hayupo?Mawazo yake????Ona alichofanya 2019.Baada ya kulaumiwa na watu mbalimbali pamoja na baadhi ya wastaafu pamoja na wapinzani wote kutishia kuwa 2020 hawatashiriki uchaguzi alifanyaje?Aliwaita viongozi wa dini pamoja na baadhi ya viongozi wa dini kuwa kilichotokea 2019 hakiwezi kutokea kwenye Uchaguzi mkuu.Lakini matokeo yake mpaka leo kuna wabunge 19 feki Bungeni kwa sababu yake.Yule mwehu alikuwa anacheza na akili za wajinga.
Huo ndio ukweli 😀Umeanza udini wako
Wabunge 19? Mbona wapo mpaka muda huu ili hali yeye hayupo?
Acha basi masikhala boss
Ndio maana nikasema mlaumuni kwa vitu vingine ila hilo la kujiongezea muda alikataa kwa vitendo na kauli mara nyingiKwa hoja hiyo Magufuli alikuwa anaamua nani arudi bungeni! Mtu wa aina hiyo angeshindwa nini kubadili katiba?
We chawa wa shetani acha uwongo. Ila pia nashukuru umethibitisha kwamba magufuli alitumia madaraka vibaya kuingilia uchaguzi na kuamua huyu awe au asiwe mbunge.Wengi wanamtuhumu Magufuli kuwa alikuwa ana mpango wa kujiongezea muda wa kukaa madarakani baada ya miaka yake 10 kupita,
Lakini zaidi ya mara tano Magufuli alikanusha na kusema hataongeza hata sekunde moja Ikulu baada ya muda wake kupita
Na Mbunge wa Nkasi aliposimama Bungeni na kusema licha ya Magufuli kukataa kuongeza muda watamlazimisha, atake asitake, Magufuli kuthibitisha kuwa yupo serious, mbunge Ally Kesi hakurudi Bungeni, na akawa mbunge pekee wa CCM kung'olewa na mbunge wa Chadema jimboni
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni
Mbona hakuendeleza zuio la mikutano ya hadhara na maandamano?Kila alichokianzisha kama Mwenyekiti wa CCM pia mrithi wake lazima akiendeleze huo ndiyo msimamo wa chama kwenye ilani ya ccm iliyosimamiwa na yeye ambayo ndiyo inayotumika mpaka 2025.
Angekataa kwenye uchaguzi wa 2020 kupendelea chama chake basi mimi ningeamini aliyokuwa anasema.Ndio maana nikasema mlaumuni kwa vitu vingine ila hilo la kujiongezea muda alikataa kwa vitendo na kauli mara nyingi