Hayati Magufuli alichukizwa sana na waliotaka abadili katiba ajiongezee muda ndio maana Ally Kessy hakurudi Bungeni

Hayati Magufuli alichukizwa sana na waliotaka abadili katiba ajiongezee muda ndio maana Ally Kessy hakurudi Bungeni

We chawa wa shetani acha uwongo. Ila pia nashukuru umethibitisha kwamba magufuli alitumia madaraka vibaya kuingilia uchaguzi na kuamua huyu awe au asiwe mbunge.
Mzee mimi siko hapa kumsafisha Magufuli, ni kweli alikuwa na mapungufu yake lakini hilo la kujiongezea muda anapakaziwa,
Kama una ushahidi kuwa alikuwa akifanya mipango hebu weka hapa
 
Angekataa kwenye uchaguzi wa 2020 kupendelea chama chake basi mimi ningeamini aliyokuwa anasema.
Hilo la kufuta vyama vya upinzani alilitamka mara nyingi sana, na kuwa watakaochagua upinzani hawatapewa maendeleo, so hakuna kitu alichodanganya kuhusu upinzani.... aliahidi atawafuta na akatekeleza
 
Wengi wanamtuhumu Magufuli kuwa alikuwa ana mpango wa kujiongezea muda wa kukaa madarakani baada ya miaka yake 10 kupita,

Lakini zaidi ya mara tano Magufuli alikanusha na kusema hataongeza hata sekunde moja Ikulu baada ya muda wake kupita

Na Mbunge wa Nkasi aliposimama Bungeni na kusema licha ya Magufuli kukataa kuongeza muda watamlazimisha, atake asitake, Magufuli kuthibitisha kuwa yupo serious, mbunge Ally Kesi hakurudi Bungeni, na akawa mbunge pekee wa CCM kung'olewa na mbunge wa Chadema jimboni

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni
Vibaraka wa ubeberu ndio katika mpango wao ilikua muhimu kuonesha magufuli alitaka kujiongezea muda. Hiyo ilikua muhimu kwao ili kuthibitisha uongo wao eti magufuli ni dikteta.
Kwa kawaida madikteta kama paul kagame na wale marais wa gabon, uganda, equatorial guenee, na togo hung'ang'ani madara hadi wafe au wapinduliwe na kwa kawaida walirithi urais toka kwa baba au wenyewe hupanga kuwarithisha urais watoto wao. Magufuli hakua kabisa kundi hilo. Yeye alizingatia katiba na fisadi wapinga maendeleo hawakutaka rais anayesimamia haki badala yakupiga kelele tu eti anasiamia utawala wa sheria.
 
Wengi wanamtuhumu Magufuli kuwa alikuwa ana mpango wa kujiongezea muda wa kukaa madarakani baada ya miaka yake 10 kupita,

Lakini zaidi ya mara tano Magufuli alikanusha na kusema hataongeza hata sekunde moja Ikulu baada ya muda wake kupita

Na Mbunge wa Nkasi aliposimama Bungeni na kusema licha ya Magufuli kukataa kuongeza muda watamlazimisha, atake asitake, Magufuli kuthibitisha kuwa yupo serious, mbunge Ally Kesi hakurudi Bungeni, na akawa mbunge pekee wa CCM kung'olewa na mbunge wa Chadema jimboni

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni
Sio kweli angekuwa hapendi angekemia au ungesikia polepole anakemia ndivyo alivyokuwa.
Ally mwenyewe alisema alifanya hivyo kumfurahisha magu baada ya kutofautiana naye
 
Yule mwehu alikuwa anawazuga tu watu kama ninyi lakini lengo lake lilikuwa ni kutawala milele na ndiyo maana marafiki zake wakubwa walikuwa ni Yoel Mseven na Paul Kagame.Na hata kwenye uchaguzi mkuu wa 2020 alikodi wanajeshi kutoka Burundi,Rwanda na Uganda kuja kusimamia uchaguzi.
Ni mtu mjinga tu kama wewe ambaye anafikiri hilo ingewezeka kwenye nchi ambayo kila kitu kipo wazi kwamba baada ya Miaka10 transition inafanyika.
 
Back
Top Bottom