Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
- Thread starter
-
- #41
Mzee mimi siko hapa kumsafisha Magufuli, ni kweli alikuwa na mapungufu yake lakini hilo la kujiongezea muda anapakaziwa,We chawa wa shetani acha uwongo. Ila pia nashukuru umethibitisha kwamba magufuli alitumia madaraka vibaya kuingilia uchaguzi na kuamua huyu awe au asiwe mbunge.
Zuio la maandamano,mikutano ya siasa na Bunge laivu ni hadaa tu za kusema serikali imesikia kilio cha wanyonge.Mbona hakuendeleza zuio la mikutano ya hadhara na maandamano?
Kumbe yeye ndiye alikuwa anagawa ubunge?Alishinda Nkasi lakini akapewa Aida wa Chadema
Hilo la kufuta vyama vya upinzani alilitamka mara nyingi sana, na kuwa watakaochagua upinzani hawatapewa maendeleo, so hakuna kitu alichodanganya kuhusu upinzani.... aliahidi atawafuta na akatekelezaAngekataa kwenye uchaguzi wa 2020 kupendelea chama chake basi mimi ningeamini aliyokuwa anasema.
Wakristo mlimchukia?!Kweli kabisa
Hata Alhaj Nkamia hakurudi
Waislamu walimpenda sana Shujaa Maguful
Ila si umesema anaendeleza kila kitu cha mtangulizi wake, nimekutolea mfano kuwa hilo sio kweliZuio la maandamano,mikutano ya siasa na Bunge laivu ni hadaa tu za kusema serikali imesikia kilio cha wanyonge.
Kwa hiyo wapinzani leo mnasema ule uchaguzi ulikuwa huru na haki?Kumbe yeye ndiye alikuwa anagawa ubunge?
Yap zile zilikua tactic na danganya toto na ndio maana Magufuli akakomba Majimbo yote ili apate 2/3 Majority. Yule jamaa kwa mambo aliokua akiyafanya hakua na nia ya kuachia nchiYalikuwa maigizo yaani kanyaboya....maana tungepigwa na kitu kizito 2025 bila ya kutegemea
Mbona baada ya kupita kwa kishindo aliruhusu Bunge kurushwa laivu?Ila si umesema anaendeleza kila kitu cha mtangulizi wake, nimekutolea mfano kuwa hilo sio kweli
Ukweli ndiyo huo.Yap zile zilikua tactic na danganya toto na ndio maana Magufuli akakomba Majimbo yote ili apate 2/3 Majority. Yule jamaa kwa mambo aliokua akiyafanya hakua na nia ya kuachia nchi
Hata kugawa bandari haikuwa kwenye ilani ya ccm 2020, aache uongo huyo.Mbona hakuendeleza zuio la mikutano ya hadhara na maandamano?
Rais ndio mteua viongozi wote hadharani na siriniKumbe yeye ndiye alikuwa anagawa ubunge?
Bunge liliruhusiwa na SamiaMbona baada ya kupita kwa kishindo aliruhusu Bunge kurushwa laivu?
Vibaraka wa ubeberu ndio katika mpango wao ilikua muhimu kuonesha magufuli alitaka kujiongezea muda. Hiyo ilikua muhimu kwao ili kuthibitisha uongo wao eti magufuli ni dikteta.Wengi wanamtuhumu Magufuli kuwa alikuwa ana mpango wa kujiongezea muda wa kukaa madarakani baada ya miaka yake 10 kupita,
Lakini zaidi ya mara tano Magufuli alikanusha na kusema hataongeza hata sekunde moja Ikulu baada ya muda wake kupita
Na Mbunge wa Nkasi aliposimama Bungeni na kusema licha ya Magufuli kukataa kuongeza muda watamlazimisha, atake asitake, Magufuli kuthibitisha kuwa yupo serious, mbunge Ally Kesi hakurudi Bungeni, na akawa mbunge pekee wa CCM kung'olewa na mbunge wa Chadema jimboni
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni
Sio kweli angekuwa hapendi angekemia au ungesikia polepole anakemia ndivyo alivyokuwa.Wengi wanamtuhumu Magufuli kuwa alikuwa ana mpango wa kujiongezea muda wa kukaa madarakani baada ya miaka yake 10 kupita,
Lakini zaidi ya mara tano Magufuli alikanusha na kusema hataongeza hata sekunde moja Ikulu baada ya muda wake kupita
Na Mbunge wa Nkasi aliposimama Bungeni na kusema licha ya Magufuli kukataa kuongeza muda watamlazimisha, atake asitake, Magufuli kuthibitisha kuwa yupo serious, mbunge Ally Kesi hakurudi Bungeni, na akawa mbunge pekee wa CCM kung'olewa na mbunge wa Chadema jimboni
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni
Ni mtu mjinga tu kama wewe ambaye anafikiri hilo ingewezeka kwenye nchi ambayo kila kitu kipo wazi kwamba baada ya Miaka10 transition inafanyika.Yule mwehu alikuwa anawazuga tu watu kama ninyi lakini lengo lake lilikuwa ni kutawala milele na ndiyo maana marafiki zake wakubwa walikuwa ni Yoel Mseven na Paul Kagame.Na hata kwenye uchaguzi mkuu wa 2020 alikodi wanajeshi kutoka Burundi,Rwanda na Uganda kuja kusimamia uchaguzi.
Angalia rafiki zake Mseveni na KagameNi mtu mjinga tu kama wewe ambaye anafikiri hilo ingewezeka kwenye nchi ambayo kila kitu kipo wazi kwamba baada ya Miaka10 transition inafanyika.