Hayati Magufuli alichukizwa sana na waliotaka abadili katiba ajiongezee muda ndio maana Ally Kessy hakurudi Bungeni

Mkuu una uhakika??

Unajua maana ya bunge lote kuwa la wabunge wa CCM?

Unajua sababu ya Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar licha ya wabunge kutoka Zanzibar kumkataa??

Unajua sababu ya Maalim seif kwenda Chato??

Unajua sababu ya kifo Mkapa???

Shukuru, Mungu aliingilia kati!
 
Sijui mkuu, hebu nielezee
 
Alimfukuza kwa vile ali-leak-isha mpango mapema. Alitoa siri ya Magufuli kuongeza muda kabla ya wakati
 
Kwa hiyo Ndugai hakurudi Bungeni? Na alipolipanga bunge lote liwe la CCM?
 
Vipi kuhusu Ndugai mbona alirudi mjengoni licha ya kusisitiza kwamba "atake asitake tutamuongezea muda".
 
Vipi kuhusu Ndugai mbona alirudi mjengoni licha ya kusisitiza kwamba "atake asitake tutamuongezea muda".
Aliyesema atake asitake ni Ally Kesi sio ndugai, kasikilize tena video
 
Alishinda Nkasi lakini akapewa Aida wa Chadema
Ulikuwa ni usanii tu,ili aonekane kuwa hana nia ya kutaka aongezewe muda,na ANAWACHUKIA wanaotaka aongezewe muda. Kama angekuwa halitaki hilo,angemkemea Spika Ndugai, alivyosema, "ATAKE ASITAKE,ATAONGEZEWA MUDA"
 
Wakati ndo alikuwa anawatuma akina ndugai na kessy wapush agenda na yeye ajifanyr hataki. Yule angefia madarakani ama jeshi limpindue. Awamu moja tu nchi kaisambaratisha vibaya mno. Ukabila, udini, ukanda, umaskini aliviimarisha haswaa
 
Sasa ukisha nyongwa hiyo haki utaipataje katika hali ya umarehemu?
 
Iko hivi, lile kundi la mafisadi lilijipanga kutengeneza uongo kama ule wa kusema Dkt Ahmed Salim ni Mhizibu, na iliaminika kweli kuwa ni gaidi. Dkt Samia wanaweza mtafutia kitu kabla ya 2025 kama vile ile dhana ya termination ya old ambayo iko imesambaa kama moto mitaani ila yeye hajui na walivyoona Makonda anataka kuifuta hiyo dhana kumsafisha Dkt Samia wakamtoa fasta fasta na wanataka wampoteze kabisa kwenye siasa. Ila hilo kundi kuongozi wake sijui nani huyu ambaye historia yake inaanzia kumsingizia Dkt Salim ni Mhizibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…