Hayati Magufuli alifanikiwa kutengeneza kundi lililomuamini na kumtii mithili ya wafia Dini

Rwanda waliweka lock down wangapi walikufa ?
 
Kwenye inshu ya kuteuwa mtu yeyote kutoka upinzan au mtaani hii mbinu nayo alifanya ashangiliwe na kila mjinga mwenye njaa akiamini siku yoyote anaweza teuliwa

Kingine alichofanikiwa ni kuhakikisha vyombo vyote vya habari vinatangaza na kusifia maujinga yake,huwez amini mpaka bbc na sahara media waliufyata maana bbc akizingua sahara inabeba mzigo wa makosa
 
Alikuwa na karama tofauti na wewe ery au mbowe. Ndio maana tulikusanywa kumuabudu.

Na wewe ukifanya mambo makubwa tutakusanywa kukuabudu.
Mimi sitaki laana ya Mungu
 
Haya alishakufa miaka 2 sasa ilitosha kusifiwa akiwa hai. Mtu akifa na bado akaishi mioyoni mwetu hakika hakulazimisha kupendwa ila alipendwa kwelikweli. Tanzania watu waliowahi kupendwa wa kwanza ni magufuli akifuatiwa na nyerere
Kwani nimebisha basi ! Walaaa !!
 
Acha uongo
 
Unazisikia tena hotuba zake TBC ? yaani kusema kwamba " nitapiga hadi shangazi zako" ndio hotuba za kugusa wananchi hizo ?
 
haki ya kupoteza watu ni haki hiyo ?
 
kama ni ME ?
 

Kati ya hizi picha mbili ni ipi inayotoa taswira ya wafia dini? Nani anayefoka mithili ya Wainjilisti ?Muwe wakweli.....btw picha zote kwa hisani ya CHADEMA Ufipa Digital Propaganda studio
Moja ya kampeni za wazi hadharani , nyingine ya kupanga mipango isiyojulikana gizani
 
Miaka 30 umeitoa wapi ? liongo liikubwa weee !!
 
Jamaa hawawezi kupitisha wiki bila kutaja Mwamba.
R. I. P my president.
 
Nchi ilizizima Kwa furaha alipokufa watu mabaa yalifunguliwa upyaaaaa na yaliyobakiza wanywaji wawili kufumba na kufumbua kukawa na wateja kama wote Arusha mbeya dar acha kabisa Arusha ngombe na mbuzi walichakaa!
Acha uongo, huoni hata aibu!
 
haki ya kupoteza watu ni haki hiyo ?
Hakuna utawala ambao haujawahi kuua, kuteka wala kupoteza watu kwa africa

Katiba zetu mbovu ndiyo zinawafanya watawala wafanye wanavyotaka

Kwani Dr mwamboka alitekwa kwenye utawala wa Magufuli? Na Mawazo aliuwawa kwenye utawala wa Magufuli?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…