Achapombe cha pombe
Member
- Feb 11, 2023
- 96
- 182
Watu wa ajabu Sana... Huyu kiongoz ni fundisho. Lazima kutahadharisha...Kuna watu humu wanaamini wasipoanzisha uzi wa kumkandia Magufuli hawatapata replies za kutosha, ndo maana ili uwe maarufu humu we mkandie Magufuli tu
Lakini wenye hekima hufahamu kuwa "kitanda kinacholia ndiyo kibovu"
Hata wewe ukifanya ubaya sitakuonea haya hata kidogo. Hata Rais Samia abolonge nitalala naye mbele. Sionei soni uovu. Pole sana. SitabirikiMada kama hii, kwa watu kama mkuu 'figga100' nisingetegemea ndiye awe mwanzilishi wake.
Sasa usije ukadhani ninamtetea anayezungumziwa; ila nadhani ingependeza zaidi, picha ya anayesifiwa pia ionekane sambamba na huyo anayesemwa kwenye mada.
Mkuu 'figga100', sikutegemea nawe ungekuwa ni mlamba aslai kiasi cha kukosa soni kiasi hiki.
Tutamsema hadi asikie huko makaburini. Na kabiri lingechapwa viboko, na Serikali inajua ndo maana linalindwa. Mbona la Mkapa halilindwi kwa SMG. Magufuli anaweza fukuliwa akachomwa moto ndo maana kaburi linalindwa kwa Silaha za kivitakila mara magu,toeni ajenda za maana,alikula hela na aliwekeza.
Hatujapata majibu ya Ben Saanane alipo wala walompiga Risasi Lissu. Unataka tujenge nchi gani. Hatusahau wala hatusamehi. Baba zetu wameteswa na kuumizwa. Ndugu wameuawa viroba vinaokotwa Coco Beach halafu unataka tusameheNi mwaka wa 2 huu toka jamaa aondoke ila bado kutwa kumnanga tu ....ina maana matatizo yote ya hii nchi aliyaleta yeye na ameondoka nayo ?.....
Tuendelee kujenga taifa na kukabili changamoto zilizopo, ndio muhimu kwa sasa.
Hakuna ajenda ya maana kama Uhai wa watu. Ben Saanane yupo wapi? Mawazo yupo wapi? Kwenye Uhai, madaraja na barabara ni takatakakila mara magu,toeni ajenda za maana,alikula hela na aliwekeza.
Shinikizeni waliopo madarakani sasa hivi ili watoe majibu ya kilichowakuta hao watanzania wenzetu, huyu aliyetangulia hawezi kujibu tena.Hatujapata majibu ya Ben Saanane alipo wala walompiga Risasi Lissu. Unataka tujenge nchi gani. Hatusahau wala hatusamehi. Baba zetu wameteswa na kuumizwa. Ndugu wameuawa viroba vinaokotwa Coco Beach halafu unataka tusamehe
Tunadeal na aliyehusika. Kwanini kesi za Magu tumpe Samia? Atajibu tu. Kakutumaje umtetee kama hawezi? Tuache tumnange yeye na familia yake wajue balaa waliloletea NchiShinikizeni waliopo madarakani sasa ili watoe majibu ya kilichowakuta hao watanzania wenzetu, huyu aliyetangulia hawezi kujibu tena.
Okay!...endelea kupambana na marehemu huku JF, siku akipata bando atakujibu kutokea huko alipo.Tunadeal na aliyehusika. Kwanini kesi za Magu tumpe Samia? Atajibu tu. Kakutumaje umtetee kama hawezi? Tuache tumnange yeye na familia yake wajue balaa waliloletea Nchi
Hakuna ajenda ya maana kama Uhai wa watu. Ben Saanane yupo wapi? Mawazo yupo wapi? Kwenye Uhai, madaraja na barabara ni takataka
Not next, Magufuli was Lucifer himself! In fact Magufuli alitenda maovu ya ajabu hadi kupelekea hata mashetani wengine walibaki midomo wazi wakimshangaa!Magufuli ni next to Lucifer.
Tujiulize tulifanya nini kama jitihada za kuzuia vifo vilivyokuwa vikiendelea wakati huo ikiwa kweli tunathamini uhai kuliko chochote?Hakuna ajenda ya maana kama Uhai wa watu. Ben Saanane yupo wapi? Mawazo yupo wapi? Kwenye Uhai, madaraja na barabara ni takataka
Si tulimshtakia Kwa Mungu? Kwani majibu ya Mungu hujayaona?Tujiulize tulifanya nini kama jitihada za kuzuia vifo vilivyokuwa vikiendelea wakati huo ikiwa kweli tunathamini uhai kuliko chochote?
Hilo ni suala la imani maana hilo unaloamini wewe kuwa ni majibu ya Mungu mwengine yeye akalitazama tofauti kwa sura isiyo ya kiimani, hasa ukizingatia hoja ya kumshitaki Mungu imekuja baada ya Magufuli kufariki ila kabla yake hatukuona watu kupanga kuwa sasa tunamshtakia Mungu na kusubiri majibu yake na kuwa hicho ndicho walichoamua kufanya.Si tulimshtakia Kwa Mungu? Kwani majibu ya Mungu hujayaona?
Hitra,Idi amini na Bokasa hadi leo wanakumbukwa sembuse huyu aliyekufa jana tu?!!Ni mwaka wa 2 huu toka jamaa aondoke ila bado kutwa kumnanga tu ....ina maana matatizo yote ya hii nchi aliyaleta yeye na ameondoka nayo ?.....
Tuendelee kujenga taifa na kukabili changamoto zilizopo, ndio muhimu kwa sasa.