TimeOut
JF-Expert Member
- Sep 20, 2022
- 3,894
- 8,454
Power![emoji123]Hata wewe ukifanya ubaya sitakuonea haya hata kidogo. Hata Rais Samia abolonge nitalala naye mbele. Sionei soni uovu. Pole sana. Sitabiriki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Power![emoji123]Hata wewe ukifanya ubaya sitakuonea haya hata kidogo. Hata Rais Samia abolonge nitalala naye mbele. Sionei soni uovu. Pole sana. Sitabiriki
[emoji2962] duh!Tutamsema hadi asikie huko makaburini. Na kabiri lingechapwa viboko, na Serikali inajua ndo maana linalindwa. Mbona la Mkapa halilindwi kwa SMG. Magufuli anaweza fukuliwa akachomwa moto ndo maana kaburi linalindwa kwa Silaha za kivita
[emoji2957][emoji51]Not next, Magufuli was Lucifer himself! In fact Magufuli alitenda maovu ya ajabu hadi kupelekea hata mashetani wengine walibaki midomo wazi wakimshangaa!
Asante Mungu
Alianzia mbali sana [emoji26][emoji22]Hakika ntamshukuru Mungu daima kwa zawadi hii aliyotupa kwani alituonesha kwa vitendo kuwa tukiamua inawezekana, hakuna asie na makosa wala alie mkamilifu Mungu amlaze mahali pema Rais wetu mpendwa JPM kwa utumishi wake uliotukuka.
Kuna watu humu wanaamini wasipoanzisha uzi wa kumkandia Magufuli hawatapata replies za kutosha, ndo maana ili uwe maarufu humu we mkandie Magufuli tu
Lakini wenye hekima hufahamu kuwa "kitanda kinacholia ndiyo kibovu"
Umesha zoom mzee[emoji3166]Subili mda ufike utakuambia. RIP King, katufumbua sana na watakuja makufuri wengi baadae. Mpira ndokwanza kipindi cha kwanza. Wait my call [emoji338]
Kwa ushetani alioufanya, ni haki na wajibu kumnanga daily ili viongozi wawe aware kwamba kila mmoja wao atakumbukwa kwa matendo yake. You reap what you sow.Wakuu eeh! Sasa mmezidi, mkilala mkiamka ni JPM
Kama hujitumi kufanya kazi lazima ufe njaa. Zamani soda ilikuwa tsh70.View attachment 2517894Alitupa watu kwenye viroba Ila huyu atauwa watu kwa njaa sifieni ujinga tu.
Marehemu asemwi kwa mabayaKwa ushetani alioufanya, ni haki na wajibu kumnanga daily ili viongozi wawe aware kwamba kila mmoja wao atakumbukwa kwa matendo yake. You reap what you sow.
Kweli wewe sio mfuatiliaji wa Mambo.Hilo ni suala la imani maana hilo unaloamini wewe kuwa ni majibu ya Mungu mwengine yeye akalitazama tofauti kwa sura isiyo ya kiimani, hasa ukizingatia hoja ya kumshitaki Mungu imekuja baada ya Magufuli kufariki ila kabla yake hatukuona watu kupanga kuwa sasa tunamshtakia Mungu na kusubiri majibu yake na kuwa hicho ndicho walichoamua kufanya.
Hii Sheria ilitungwa Lini! If you are a Christian, mbona tunasoma habari za Farao na alihowatendea Wana wa Israel? Mbona tunawasema wazungu na Ukoloni wao? Kwani Carl Peters Yuko hai mpaka Sasa?Marehemu asemwi kwa mabaya
Baba wa Taifa ni mmoja tu, NyerereNa wewe ni msomi?
Kuna jinai yoyote mtu kujiona baba wa Taifa?
Lakini pia, alipojiona baba wa Taifa ilikupunguzia nini wewe kwenye maisha yako?
Yaani mpaka leo huwezi Amini..Kuna mtu anateseka about the Past.Kuna watu humu wanaamini wasipoanzisha uzi wa kumkandia Magufuli hawatapata replies za kutosha, ndo maana ili uwe maarufu humu we mkandie Magufuli tu
Lakini wenye hekima hufahamu kuwa "kitanda kinacholia ndiyo kibovu"
Kwa kuwa umesema wewe mwanaccm kindaki ndaki labda watasikia.Binadamu tupunguze kiburi cha Uhai, maisha ni Mapito tuishi kwa wema. Wapinzani wa CCM sio Magaidi. Siasa si Uadui.
Hayawezi kupita hivi hivi wakati bado kuna watu wenye akili kama zake bado mpo.Yaani mpaka leo huwezi Amini..Kuna mtu anateseka about the Past.
Huku nikujionesha ngozi nyeusi ni laana na haitokaa iendelee.
Mambo yalisha pita lakini unakuta Kunguru bado anarudia rudia thread za mambo ya miaka ya nyuma.
Kenya mwaka 2008 walichinjana kama kuku lakini huwezi ona kwenye Forum zao wakijadili mambo ya Nyuma ya kuchinjana kwao.
Ila ninyi watanzania wale machawa wa Taifa msio penda kulima kwenda shamba.
Kutwa kujipendekezaa.
Mtajaliwa ohooo.
Binadamu tupunguze kiburi cha Uhai, maisha ni Mapito tuishi kwa wema. Wapinzani wa CCM sio Magaidi. Siasa si Uadui.[emoji1752][emoji817][emoji818]
Magufuli ni next to Lucifer.
Ila kufuru zilizidi jamani. Binadamu kufikia kuitwa "MUNGU" na hashituki?ALIKUWA ANATAKA KUWA RAIS WA MALAIKA.
AKINA KABUDI, SHEHE WA DAR, NA WAJINGA WENGINE WENGI WALIMWITA...
Magufuli ni zaidi ya Mungu
Atashtuka vipi na yeye ndio alipenda daraja la umungu?Ila kufuru zilizidi jamani. Binadamu kufikia kuitwa "MUNGU" na hashituki?