Hayati Magufuli alijiona kama Baba wa Taifa na next to none

Hayati Magufuli alijiona kama Baba wa Taifa na next to none

Mwingine huyu alieachiwa mimba changa na Magufuli
 
Not next, Magufuli was Lucifer himself! In fact Magufuli alitenda maovu ya ajabu hadi kupelekea hata mashetani wengine walibaki midomo wazi wakimshangaa!
Asante Mungu
Alifanya nini ambacho kina kikwete hawakufanya?
 
Wewe utakuwa na Mimba ya magufuli kitu gani magufuli mnasema alifanya kina kikwete hawajafanya?
Ukiweza kuniambia walipo Ben Rabiu Saanane,Azory Gwanda na wengineo basi nitakuwa na mimba ya huyo shetani wako mjaa laana
Pia,niambie ni nani aliyewatuma wale matahira wakampiga risasi Tundu Lissu?
Kwanini kwenye utawala wake watu walikuwa wanaokotwa kwenye viroba?
Fedha za Pleabaggain alizipeka wapi?
Hapa tunamzungumzia Magufuli na siyo Kikwete,huwezi kukwepa hukumu yako mbinguni eti kwa sababu fulani hazungumziwi!
 
Marehemu asemwi kwa mabaya
Hiyo ni excuse ya kipumbavu, Hitler, Mussolini, Idd Amin and the likes kila siku wanasemwa kwa mabaya na mabaya yao yako mpaka kwenye vitabu vya rejea ili vizazi na vizazi visisahau so why Jiwe peke yake ndiyo awe excluded kwenye kutajwa mabaya yake.
Mimi nashauri atungiwe kitabu kabisa ili iwe onyo,fundisho na kuweka kumbukumbu. Narudia kusema mtu anavuna alichopanda.
 
Ukiweza kuniambia walipo Ben Rabiu Saanane,Azory Gwanda na wengineo basi nitakuwa na mimba ya huyo shetani wako mjaa laana
Pia,niambie ni nani aliyewatuma wale matahira wakampiga risasi Tundu Lissu?
Kwanini kwenye utawala wake watu walikuwa wanaokotwa kwenye viroba?
Fedha za Pleabaggain alizipeka wapi?
Hapa tunamzungumzia Magufuli na siyo Kikwete,huwezi kukwepa hukumu yako mbinguni eti kwa sababu fulani hazungumziwi!
Tatizo mnamzungumzia kuwa kafanya vitu ambavyo havikuwai kuwepo huko nyuma na ndio maana watu wanawakumbusha ya Kikwete.
 
Hiyo ni excuse ya kipumbavu, Hitler, Mussolini, Idd Amin and the likes kila siku wanasemwa kwa mabaya na mabaya yao yako mpaka kwenye vitabu vya rejea ili vizazi na vizazi visisahau so why Jiwe peke yake ndiyo awe excluded kwenye kutajwa mabaya yake.
Mimi nashauri atungiwe kitabu kabisa ili iwe onyo,fundisho na kuweka kumbukumbu. Narudia kusema mtu anavuna alichopanda.
Lissu alipanda nini hadi akavuna kupigwa zile risasi? Kwanini Mungu hakumuepusha kabisa na lile shambulizi?
 
Ukiweza kuniambia walipo Ben Rabiu Saanane,Azory Gwanda na wengineo basi nitakuwa na mimba ya huyo shetani wako mjaa laana
Pia,niambie ni nani aliyewatuma wale matahira wakampiga risasi Tundu Lissu?
Kwanini kwenye utawala wake watu walikuwa wanaokotwa kwenye viroba?
Fedha za Pleabaggain alizipeka wapi?
Hapa tunamzungumzia Magufuli na siyo Kikwete,huwezi kukwepa hukumu yako mbinguni eti kwa sababu fulani hazungumziwi!
Basi uambiwe na waliouwa enzi za tawala nyingine kama utawala WA kikwete Kwa Sababu hata Enzi za kikwete watu wengi waliumizwa Sana.yule muandishi Wa habari yupo wapi?uliza pia walioumizwa enzi za tawala zingine.unamkomalia magufuli kama unamimba yake.
 
Basi uambiwe na waliouwa enzi za tawala nyingine kama utawala WA kikwete Kwa Sababu hata Enzi za kikwete watu wengi waliumizwa Sana.yule muandishi Wa habari yupo wapi?uliza pia walioumizwa enzi za tawala zingine.unamkomalia magufuli kama unamimba yake.
Wanakwambia Hitler anasemwa hadi leo ila wao wao hawataki kusema maovu yaliyotokea kipindi cha Kikwete au Mkapa wao wamechagua Magufuli tu.
 
Hilo ni suala la imani maana hilo unaloamini wewe kuwa ni majibu ya Mungu mwengine yeye akalitazama tofauti kwa sura isiyo ya kiimani, hasa ukizingatia hoja ya kumshitaki Mungu imekuja baada ya Magufuli kufariki ila kabla yake hatukuona watu kupanga kuwa sasa tunamshtakia Mungu na kusubiri majibu yake na kuwa hicho ndicho walichoamua kufanya.
Unasema hoja ya kumshtakia kwa Mungu imekuja baada ya kifo chake ? Ama naona maandishi tofauti ?

Sent from my Pixel 3 using JamiiForums mobile app
 
Unasema hoja ya kumshtakia kwa Mungu imekuja baada ya kifo chake ? Ama naona maandishi tofauti ?

Sent from my Pixel 3 using JamiiForums mobile app
Nimeuliza kama wananchi kwa umoja wetu tulifanya nini kama jitihada za kuzuia hayo mauwaji yaliyokuwa yakiendelea ndio nikajibiwa kuwa walimshtakia Mungu na Mungu akajibu walichokiomba, binafsi sikuwa na najua hilo suala la watu kuamua kupeleka mashtaka kwa Mungu kuhusu Magufulia na kumuachia yeye ila alipokufa ndio tunasikia watu wanasema mara alidharau corona ndio imemuuwa,wengine wakisema Mungu kaamuwa kuingilia kati na wengine ndio wanadai walimshtakia Mungu hivyo kifo cha Magufuli ni majibu ya mashtaka yao kwa Mungu.
 
Salaam Wakuu,

Leo sionglei hela za Wahujumu Uchumi kwenda kufichwa China na mchakato wa Investigating Plea Bargaining. Ni uzi mwingine ntaweka.

Kipindi anaenda kuchukua fomu ya kuomba apendekezwe kugombea urais kupitia CCM, alienda Dodoma kimyakimya kama mwizi na kwa Mjibu wa Zitto ni Mwizi kweli wa Trilioni 1.5.


Halafu alipokuwa anaongea na kitwanga akasema atakahakikisha watu wanalimia Meno. Lakini amekufa bila hata mtu kulimia mikono wala Miguu

Alipofika Ikulu pakamnogea. Akaanza watuma Kibajaji na Musiba wampigie Kampeni ili aongozezewe muda wa Uongozi kutoka miaka 10 hadi 40. Makamba, Kinana, Mangula na Kikwete wakamgomea.

Akapandwa hasira, watu wakaanza kutekwa, kupigwa risasi, Kumbambikiziwa kesi za Uhujumu Uchumi.

Yaani hadi akachafua sifa za Wasukuma, kiasi kwamba mtu akimtetea anaonekana Msukuma na Wasukuma wote wanaonekana wana roho kama Magufuli. Roho Nyeusi. Hadi leo rafiki yangu Ben Saanane sijui yupo wapi, Diwani Wangu Alfonce Mawazo alishazikwa. Yote hayo sababu ya Siasa za Magufuli.

View attachment 2517267
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akifurahia jambo na Mama Janeth Magufuli mjane wa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.

Hata sishangai kuona Mke wa Magufuli kunenepa, alivumilia mengi. Mara alazwe Muhimbili, mara Makovu Mdomoni.

Binadamu tupunguze kiburi cha Uhai, maisha ni Mapito tuishi kwa wema. Wapinzani wa CCM sio Magaidi. Siasa si Uadui.

Tanzania imechanua kwenye Mikono salama ya Samia. Siku nitamuomba Zuhura anikutanishe na Mama nimsalimie tu. Ukigusana na Mama Samia unapata Upako. Hakika ni Mama wa Taifa.
Ukiona mtu kafunga kibwebwe kumzungumzia magufuli halafu haongei hata kitu kimoja kizuri juu yake ujue hana tofauti na yule malaya kule facebook alianza kumtukana akazomewa hadi akazimiwa line.
Mtu unazungumzia ooh alisema watalima kwa ulimi ooh ametoka alidhani hatoki ikulu..hadi cheti feki wako wana akili wewe utakua mjinga tu. Mtu fisadi mzoea vya kunyonga hadi anafikiri ndio sahihi.
 
Tutamsema hadi asikie huko makaburini. Na kabiri lingechapwa viboko, na Serikali inajua ndo maana linalindwa. Mbona la Mkapa halilindwi kwa SMG. Magufuli anaweza fukuliwa akachomwa moto ndo maana kaburi linalindwa kwa Silaha za kivita
Mimi nadhani mkafukue tu labda bei za vyakula zitashuka!
 
Back
Top Bottom