Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,843
- 31,057
Ila huyu jamaa, alijiona mungu-mtu!View attachment 2517894Alitupa watu kwenye viroba Ila huyu atauwa watu kwa njaa sifieni ujinga tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila huyu jamaa, alijiona mungu-mtu!View attachment 2517894Alitupa watu kwenye viroba Ila huyu atauwa watu kwa njaa sifieni ujinga tu.
Ni mshenzi tuu yule,afazali alifyekelewa mbali.alitaka kutuumiza na mambo yake ya hovyohovyoMimi nadhani mkafukue tu labda bei za vyakula zitashuka!
Si unajua mambo yalikuwaje wakati wa Kikwete?Kwa hiyo naye Magufuli alikuwa sahihi kwa alicho kuwa anafanya ?
Lini na wapi?Watu wanasahau mkuu, mbona kipindi cha Mkapa yalitokea mauwaji polisi waliuwa sana raia ila wamesahau na hata ukiwakumbusha watakwambia hayo ongelea wewe wao wanazungumza maovu ya Magufuli tu.
Wewe una undugu naye, mbona ni kama unamshikia akili zake.Acha kuomba undugu kwa figganigga , yaani una mlailai ili asiongee ukweli?
Muache afunguke, hata yeye kama Mtanzania ni mhanga wa awamu ile
Sawa, tufanye ipo chini ya kiwango, ila ndiyo usiombea undugu. Mara ooh, mimi sikutegemea mtu kama wewe. Kama umgeona ipo chini ya kiwango si umgepita kimya tu, kuliko kuanza kubembeleza unduguWewe una undugu naye, mbona ni kama unamshikia akili zake.
Mada yenyewe iko chini ya kiwango katika uwasilishaji tu, hata bila kuzungumzia maudhui yanayowasilishwa.
Kwa hiyo, kama ni ndugu yako, nyote mko chini ya kiwango stahiki.
Kila mtu na mapungufu yake!Ni mshenzi tuu yule,afazali alifyekelewa mbali.alitaka kutuumiza na mambo yake ya hovyohovyo
Hivi unayo akili ya kuelewa kilichoandikwa?Sawa, tufanye ipo chini ya kiwango, ila ndiyo usiombea undugu. Mara ooh, mimi sikutegemea mtu kama wewe. Kama umgeona ipo chini ya kiwango si umgepita kimya tu, kuliko kuanza kubembeleza undugu
Mimi nielewe kilichoandikwa ili inisaidie nini? Bangi nduyo huwa zinan8zidia hilo sikatai, ila Usirudie tena kuomba omba undugu.Hivi unayo akili ya kuelewa kilichoandikwa?
Nani kaomba undugu hapa na yeyote,..., au ni bangi zimekuzidi kichwani?
Sina muda wa kupoteza hapa na chizi kama wewe.Mimi nielewe kilichoandikwa ili inisaidie nini? Bangi nduyo huwa zinan8zidia hilo sikatai, ila Usirudie tena kuomba omba undugu.
Sisi machizi ndiyo wenyewe sasa. Njoo tupige tori mbili tatu mwana au viiipii babuSina muda wa kupoteza hapa na chizi kama wewe.
Mauwaji ya mwembechai.Lini na wapi?
Kwa hiyo ulichokiona Mwembechai ni mauaji tu. Sababu iliyopelekea watu wakafa hutaki kuiona?Mauwaji ya mwembechai.
Hao watu walikufa kwenye hayo mauwaji ya mwembechai, sasa labda useme kwamba yalikuwa mauwaji halali.Kwa hiyo ulichokiona Mwembechai ni mauaji tu. Sababu iliyopelekea watu wakafa hutaki kuiona?
Halafu unajua tofauti ya kuua na watu kufa?
Mwembechai watu walikufa, lakini hakukuwa na mauaji.
Ilimfanya asipige dili, aliachia kazi kwa kuwa na elimu feki na leo kalipwa pesa na malkia wa nyuki..ataachaje kutukana na kusifia.Na wewe ni msomi?
Kuna jinai yoyote mtu kujiona baba wa Taifa?
Lakini pia, alipojiona baba wa Taifa ilikupunguzia nini wewe kwenye maisha yako?
Magufuli alikuwa ni shetani mwenye jicho moja na pembe kichwaniSalaam Wakuu,
Leo sionglei hela za Wahujumu Uchumi kwenda kufichwa China na mchakato wa Investigating Plea Bargaining. Ni uzi mwingine ntaweka.
Kipindi anaenda kuchukua fomu ya kuomba apendekezwe kugombea urais kupitia CCM, alienda Dodoma kimyakimya kama mwizi na kwa Mjibu wa Zitto ni Mwizi kweli wa Trilioni 1.5.
Halafu alipokuwa anaongea na kitwanga akasema atakahakikisha watu wanalimia Meno. Lakini amekufa bila hata mtu kulimia mikono wala Miguu
Alipofika Ikulu pakamnogea. Akaanza watuma Kibajaji na Musiba wampigie Kampeni ili aongozezewe muda wa Uongozi kutoka miaka 10 hadi 40. Makamba, Kinana, Mangula na Kikwete wakamgomea.
Akapandwa hasira, watu wakaanza kutekwa, kupigwa risasi, Kumbambikiziwa kesi za Uhujumu Uchumi.
Yaani hadi akachafua sifa za Wasukuma, kiasi kwamba mtu akimtetea anaonekana Msukuma na Wasukuma wote wanaonekana wana roho kama Magufuli. Roho Nyeusi. Hadi leo rafiki yangu Ben Saanane sijui yupo wapi, Diwani Wangu Alfonce Mawazo alishazikwa. Yote hayo sababu ya Siasa za Magufuli.
View attachment 2517267
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akifurahia jambo na Mama Janeth Magufuli mjane wa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.
Hata sishangai kuona Mke wa Magufuli kunenepa, alivumilia mengi. Mara alazwe Muhimbili, mara Makovu Mdomoni.
Binadamu tupunguze kiburi cha Uhai, maisha ni Mapito tuishi kwa wema. Wapinzani wa CCM sio Magaidi. Siasa si Uadui.
Tanzania imechanua kwenye Mikono salama ya Samia. Siku nitamuomba Zuhura anikutanishe na Mama nimsalimie tu. Ukigusana na Mama Samia unapata Upako. Hakika ni Mama wa Taifa.
Akiwa Waziri wa ujenzi amewahi kumbebesha Janet kichwani makarai ya mchanga usiku kucha. Ilitokea hivyo kwa kuwa waliopewa kazi ya kumleta mchanga nyumbani walimwaga mahali ambapo sipo alipotaka Magufuli.hata wewe ulieandika uzi huu umesukumwa na kiburi cha uzima,,,,,,,,,,,,,siku zako pia zaja tena si nyingi,,,,,si vyema sana kumzungumzia marehemu na ukizingatia unaelezea mambo ya kale hayana tija yoyote kwa sasa ni kama unamsimanga.
halafu muache kumsema na Mama Janeth kwamba kanenepa sijui kapumzika sidhani kama kuna kitu kibaya na kinachouma humu Duniani kama kumpoteza mtu wako wa karibu bila kujali alikuwaje.
USIRUDIE TENA.