Hayati Magufuli alijiona kama Baba wa Taifa na next to none

Hayati Magufuli alijiona kama Baba wa Taifa na next to none

hata wewe ulieandika uzi huu umesukumwa na kiburi cha uzima,,,,,,,,,,,,,siku zako pia zaja tena si nyingi,,,,,si vyema sana kumzungumzia marehemu na ukizingatia unaelezea mambo ya kale hayana tija yoyote kwa sasa ni kama unamsimanga.

halafu muache kumsema na Mama Janeth kwamba kanenepa sijui kapumzika sidhani kama kuna kitu kibaya na kinachouma humu Duniani kama kumpoteza mtu wako wa karibu bila kujali alikuwaje.

USIRUDIE TENA.
 
Acha kuomba undugu kwa figganigga , yaani una mlailai ili asiongee ukweli?
Muache afunguke, hata yeye kama Mtanzania ni mhanga wa awamu ile
Wewe una undugu naye, mbona ni kama unamshikia akili zake.
Mada yenyewe iko chini ya kiwango katika uwasilishaji tu, hata bila kuzungumzia maudhui yanayowasilishwa.

Kwa hiyo, kama ni ndugu yako, nyote mko chini ya kiwango stahiki.
 
Wewe una undugu naye, mbona ni kama unamshikia akili zake.
Mada yenyewe iko chini ya kiwango katika uwasilishaji tu, hata bila kuzungumzia maudhui yanayowasilishwa.

Kwa hiyo, kama ni ndugu yako, nyote mko chini ya kiwango stahiki.
Sawa, tufanye ipo chini ya kiwango, ila ndiyo usiombea undugu. Mara ooh, mimi sikutegemea mtu kama wewe. Kama umgeona ipo chini ya kiwango si umgepita kimya tu, kuliko kuanza kubembeleza undugu
 
Sawa, tufanye ipo chini ya kiwango, ila ndiyo usiombea undugu. Mara ooh, mimi sikutegemea mtu kama wewe. Kama umgeona ipo chini ya kiwango si umgepita kimya tu, kuliko kuanza kubembeleza undugu
Hivi unayo akili ya kuelewa kilichoandikwa?
Nani kaomba undugu hapa na yeyote,..., au ni bangi zimekuzidi kichwani?
 
Hivi unayo akili ya kuelewa kilichoandikwa?
Nani kaomba undugu hapa na yeyote,..., au ni bangi zimekuzidi kichwani?
Mimi nielewe kilichoandikwa ili inisaidie nini? Bangi nduyo huwa zinan8zidia hilo sikatai, ila Usirudie tena kuomba omba undugu.
 
Mauwaji ya mwembechai.
Kwa hiyo ulichokiona Mwembechai ni mauaji tu. Sababu iliyopelekea watu wakafa hutaki kuiona?

Halafu unajua tofauti ya kuua na watu kufa?

Mwembechai watu walikufa, lakini hakukuwa na mauaji.
 
Kwa hiyo ulichokiona Mwembechai ni mauaji tu. Sababu iliyopelekea watu wakafa hutaki kuiona?

Halafu unajua tofauti ya kuua na watu kufa?

Mwembechai watu walikufa, lakini hakukuwa na mauaji.
Hao watu walikufa kwenye hayo mauwaji ya mwembechai, sasa labda useme kwamba yalikuwa mauwaji halali.
 
Na wewe ni msomi?

Kuna jinai yoyote mtu kujiona baba wa Taifa?

Lakini pia, alipojiona baba wa Taifa ilikupunguzia nini wewe kwenye maisha yako?
Ilimfanya asipige dili, aliachia kazi kwa kuwa na elimu feki na leo kalipwa pesa na malkia wa nyuki..ataachaje kutukana na kusifia.
 
Salaam Wakuu,

Leo sionglei hela za Wahujumu Uchumi kwenda kufichwa China na mchakato wa Investigating Plea Bargaining. Ni uzi mwingine ntaweka.

Kipindi anaenda kuchukua fomu ya kuomba apendekezwe kugombea urais kupitia CCM, alienda Dodoma kimyakimya kama mwizi na kwa Mjibu wa Zitto ni Mwizi kweli wa Trilioni 1.5.


Halafu alipokuwa anaongea na kitwanga akasema atakahakikisha watu wanalimia Meno. Lakini amekufa bila hata mtu kulimia mikono wala Miguu

Alipofika Ikulu pakamnogea. Akaanza watuma Kibajaji na Musiba wampigie Kampeni ili aongozezewe muda wa Uongozi kutoka miaka 10 hadi 40. Makamba, Kinana, Mangula na Kikwete wakamgomea.

Akapandwa hasira, watu wakaanza kutekwa, kupigwa risasi, Kumbambikiziwa kesi za Uhujumu Uchumi.

Yaani hadi akachafua sifa za Wasukuma, kiasi kwamba mtu akimtetea anaonekana Msukuma na Wasukuma wote wanaonekana wana roho kama Magufuli. Roho Nyeusi. Hadi leo rafiki yangu Ben Saanane sijui yupo wapi, Diwani Wangu Alfonce Mawazo alishazikwa. Yote hayo sababu ya Siasa za Magufuli.

View attachment 2517267
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akifurahia jambo na Mama Janeth Magufuli mjane wa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.

Hata sishangai kuona Mke wa Magufuli kunenepa, alivumilia mengi. Mara alazwe Muhimbili, mara Makovu Mdomoni.

Binadamu tupunguze kiburi cha Uhai, maisha ni Mapito tuishi kwa wema. Wapinzani wa CCM sio Magaidi. Siasa si Uadui.

Tanzania imechanua kwenye Mikono salama ya Samia. Siku nitamuomba Zuhura anikutanishe na Mama nimsalimie tu. Ukigusana na Mama Samia unapata Upako. Hakika ni Mama wa Taifa.
Magufuli alikuwa ni shetani mwenye jicho moja na pembe kichwani
Screenshot_20230211-214648.png
 
hata wewe ulieandika uzi huu umesukumwa na kiburi cha uzima,,,,,,,,,,,,,siku zako pia zaja tena si nyingi,,,,,si vyema sana kumzungumzia marehemu na ukizingatia unaelezea mambo ya kale hayana tija yoyote kwa sasa ni kama unamsimanga.

halafu muache kumsema na Mama Janeth kwamba kanenepa sijui kapumzika sidhani kama kuna kitu kibaya na kinachouma humu Duniani kama kumpoteza mtu wako wa karibu bila kujali alikuwaje.

USIRUDIE TENA.
Akiwa Waziri wa ujenzi amewahi kumbebesha Janet kichwani makarai ya mchanga usiku kucha. Ilitokea hivyo kwa kuwa waliopewa kazi ya kumleta mchanga nyumbani walimwaga mahali ambapo sipo alipotaka Magufuli.
Hata hivyo walikuwa wameachana ila baada ya akina CCM kupitisha jina la Magufuli kuwa ndiye mgombea wa Urais mnamo August 2015 ndipo kina JK wakamamfuata Janet kumsihi arudi kwa DIKTETA kwa vile Rais lazima awe na first lady.

Ila Janet aliwaambia akina JK kuwa "mumebugi step kumpa Urais huyo, mtakoma". Na walikoma kweli
 
Back
Top Bottom