Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe wa ajabu!View attachment 2517894Alitupa watu kwenye viroba Ila huyu atauwa watu kwa njaa sifieni ujinga tu.
Umeongea kitu muhimu sana.Watu wana stress sana za maisha,twende nao hivyo hivyo Mkuu.Kuna watu humu wanaamini wasipoanzisha uzi wa kumkandia Magufuli hawatapata replies za kutosha, ndo maana ili uwe maarufu humu we mkandie Magufuli tu
Lakini wenye hekima hufahamu kuwa "kitanda kinacholia ndiyo kibovu"
Lakini Mkuu wewe kwa haya hii comment unaonekana ni very powerful,unaogopa nini kwenda pale Chato? Fika getini,wafokee wote wakupishe uingie mahari alipozikwa ukamfukue na kumchapa viboko.Vinginevyo hili povu la maneno matupu tena ukiwa na ID ya uwongo ni dalili ya uwoga mkubwaTutamsema hadi asikie huko makaburini. Na kabiri lingechapwa viboko, na Serikali inajua ndo maana linalindwa. Mbona la Mkapa halilindwi kwa SMG. Magufuli anaweza fukuliwa akachomwa moto ndo maana kaburi linalindwa kwa Silaha za kivita
Huu ujasiri wa kujificha nyuma ya ID fake na kuonges utakavyo kila mtu anao.Hata wewe ukifanya ubaya sitakuonea haya hata kidogo. Hata Rais Samia abolonge nitalala naye mbele. Sionei soni uovu. Pole sana. Sitabiriki
Achana na mambo Lema na hizo tabiri zake sijui ndio unabii. Mimi nipo hapo kwenye kumshtakia Mungu, sijawahi kusikia Lema akisema anamshatakia Mungu kuhusu Magufuli bali haya mambo yanaongelewa baada ya kuona Magufuli kafariki.Kweli wewe sio mfuatiliaji wa Mambo.
Rejea Kauli ya Lema iliyosababisha mpaka akawekwa gerezani! Kwamba asipoacha anayoyafanya Atakufa na akaenda mbali zaidi kusema ameota jamaa amekufa! Ikawa issue yamkini yeye alikua miongini mwa waliomlilia Mungu kwa kadhia aliyoleta Duniani!
Ambaye aliishi kwa ujanja ujanja.Baba wa Taifa ni mmoja tu, Nyerere
Hiyo picha inaonyesha mke wa magufuli amenenepaSalaam Wakuu,
Leo sionglei hela za Wahujumu Uchumi kwenda kufichwa China za mchakato wa Investigating Plea Bargaining. Ni uzi mwingine ntaweka.
Kipindi anaenda kuchukua fomu ya kuomba apendekezwe kugombea urais kupitia CCM, alienda Dodoma kimyakimya kama mwizi na kwa Mjibu wa Zitto ni Mwizi kweli wa Trilioni 1.5.
Halafu alipokuwa anaongea na kitwanga akasema atakahakikisha watu wanalimia Meno. Lakini amekufa bila hata mtu kulimia mikono wala Miguu
Alipofika Ikulu pakamnogea. Akaanza watuma Kibajaji na Musiba wampigie Kampeni ili aongozezewe muda wa Uongozi kutoka miaka 10 hadi 40. Makamba, Kinana, Mangula na Kikwete wakamgomea.
Akapandwa hasira, watu wakaanza kutekwa, kupigwa risasi, Kumbambikiziwa kesi za Uhujumu Uchumi.
Yaani hadi akachafua sifa za Wasukuma, kiasi kwamba mtu akimtetea anaonekana Msukuma na Wasukuma wote wanaonekana wana roho kama Magufuli. Roho Nyeusi. Hadi leo rafiki yangu Ben Saanane sijui yupo wapi, Diwani Wangu Alfonce Mawazo alishazikwa. Yote hayo sababu ya Siasa za Magufuli.
View attachment 2517267
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akifurahia jambo na Mama Janeth Magufuli mjane wa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.
Hata sishangai kuona Mke wa Magufuli kunenepa, alivumilia mengi. Mara alazwe Muhimbili, mara Makovu Mdomoni.
Binadamu tupunguze kiburi cha Uhai, maisha ni Mapito tuishi kwa wema. Wapinzani wa CCM sio Magaidi. Siasa si Uadui.
Tanzania imechanua kwenye Mikono salama ya Samia. Siku nitamuomba Zuhura anikutanishe na Mama nimsalimie tu. Ukigusana na Mama Samia unapata Upako. Hakika ni Mama wa Taifa.
Watu wanasahau mkuu, mbona kipindi cha Mkapa yalitokea mauwaji polisi waliuwa sana raia ila wamesahau na hata ukiwakumbusha watakwambia hayo ongelea wewe wao wanazungumza maovu ya Magufuli tu.Yaani mpaka leo huwezi Amini..Kuna mtu anateseka about the Past.
Huku nikujionesha ngozi nyeusi ni laana na haitokaa iendelee.
Mambo yalisha pita lakini unakuta Kunguru bado anarudia rudia thread za mambo ya miaka ya nyuma.
Kenya mwaka 2008 walichinjana kama kuku lakini huwezi ona kwenye Forum zao wakijadili mambo ya Nyuma ya kuchinjana kwao.
Ila ninyi watanzania wale machawa wa Taifa msio penda kulima kwenda shamba.
Kutwa kujipendekezaa.
Mtajaliwa ohooo.
Akaanza watuma Kibajaji na Musiba wampigie Kampeni ili aongozezewe muda wa Uongozi kutoka miaka 10 hadi 40...Mbavu zangu.... alitaka kujigeza PAPA hadi afie madarakani..Salaam Wakuu,
Leo sionglei hela za Wahujumu Uchumi kwenda kufichwa China za mchakato wa Investigating Plea Bargaining. Ni uzi mwingine ntaweka.
Kipindi anaenda kuchukua fomu ya kuomba apendekezwe kugombea urais kupitia CCM, alienda Dodoma kimyakimya kama mwizi na kwa Mjibu wa Zitto ni Mwizi kweli wa Trilioni 1.5.
Halafu alipokuwa anaongea na kitwanga akasema atakahakikisha watu wanalimia Meno. Lakini amekufa bila hata mtu kulimia mikono wala Miguu
Alipofika Ikulu pakamnogea. Akaanza watuma Kibajaji na Musiba wampigie Kampeni ili aongozezewe muda wa Uongozi kutoka miaka 10 hadi 40. Makamba, Kinana, Mangula na Kikwete wakamgomea.
Akapandwa hasira, watu wakaanza kutekwa, kupigwa risasi, Kumbambikiziwa kesi za Uhujumu Uchumi.
Yaani hadi akachafua sifa za Wasukuma, kiasi kwamba mtu akimtetea anaonekana Msukuma na Wasukuma wote wanaonekana wana roho kama Magufuli. Roho Nyeusi. Hadi leo rafiki yangu Ben Saanane sijui yupo wapi, Diwani Wangu Alfonce Mawazo alishazikwa. Yote hayo sababu ya Siasa za Magufuli.
View attachment 2517267
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akifurahia jambo na Mama Janeth Magufuli mjane wa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.
Hata sishangai kuona Mke wa Magufuli kunenepa, alivumilia mengi. Mara alazwe Muhimbili, mara Makovu Mdomoni.
Binadamu tupunguze kiburi cha Uhai, maisha ni Mapito tuishi kwa wema. Wapinzani wa CCM sio Magaidi. Siasa si Uadui.
Tanzania imechanua kwenye Mikono salama ya Samia. Siku nitamuomba Zuhura anikutanishe na Mama nimsalimie tu. Ukigusana na Mama Samia unapata Upako. Hakika ni Mama wa Taifa.
Acha kuomba undugu kwa figganigga , yaani una mlailai ili asiongee ukweli?Mada kama hii, kwa watu kama mkuu 'figga100' nisingetegemea ndiye awe mwanzilishi wake.
Sasa usije ukadhani ninamtetea anayezungumziwa; ila nadhani ingependeza zaidi, picha ya anayesifiwa pia ionekane sambamba na huyo anayesemwa kwenye mada.
Mkuu 'figga100', sikutegemea nawe ungekuwa ni mlamba aslai kiasi cha kukosa soni kiasi hiki.
Nani alikuwa anaitwa Mungu? Mbona sijawahi kusikia mtu akiwa anaitwa Mungu hapa Tanzania.Ila kufuru zilizidi jamani. Binadamu kufikia kuitwa "MUNGU" na hashituki?
Una aleji na jiweSalaam Wakuu,
Leo sionglei hela za Wahujumu Uchumi kwenda kufichwa China za mchakato wa Investigating Plea Bargaining. Ni uzi mwingine ntaweka.
Kipindi anaenda kuchukua fomu ya kuomba apendekezwe kugombea urais kupitia CCM, alienda Dodoma kimyakimya kama mwizi na kwa Mjibu wa Zitto ni Mwizi kweli wa Trilioni 1.5.
Halafu alipokuwa anaongea na kitwanga akasema atakahakikisha watu wanalimia Meno. Lakini amekufa bila hata mtu kulimia mikono wala Miguu
Alipofika Ikulu pakamnogea. Akaanza watuma Kibajaji na Musiba wampigie Kampeni ili aongozezewe muda wa Uongozi kutoka miaka 10 hadi 40. Makamba, Kinana, Mangula na Kikwete wakamgomea.
Akapandwa hasira, watu wakaanza kutekwa, kupigwa risasi, Kumbambikiziwa kesi za Uhujumu Uchumi.
Yaani hadi akachafua sifa za Wasukuma, kiasi kwamba mtu akimtetea anaonekana Msukuma na Wasukuma wote wanaonekana wana roho kama Magufuli. Roho Nyeusi. Hadi leo rafiki yangu Ben Saanane sijui yupo wapi, Diwani Wangu Alfonce Mawazo alishazikwa. Yote hayo sababu ya Siasa za Magufuli.
View attachment 2517267
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akifurahia jambo na Mama Janeth Magufuli mjane wa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.
Hata sishangai kuona Mke wa Magufuli kunenepa, alivumilia mengi. Mara alazwe Muhimbili, mara Makovu Mdomoni.
Binadamu tupunguze kiburi cha Uhai, maisha ni Mapito tuishi kwa wema. Wapinzani wa CCM sio Magaidi. Siasa si Uadui.
Tanzania imechanua kwenye Mikono salama ya Samia. Siku nitamuomba Zuhura anikutanishe na Mama nimsalimie tu. Ukigusana na Mama Samia unapata Upako. Hakika ni Mama wa Taifa.
Baba wa Taifa... nani, huyu DIKTETA NDO KATULETEA YOTE HAYA.. tulipo pata uhuru tu, likatunga katIba inatutesa mpaka leo likatawala lenyewe.. kura tunapiga mtu na KIVULI...SHENZI KABISA....Ni jambo zuri kujiona kama Baba wa Taifa. Baba wa Taifa alikuwa ni kiongozi mzuri aliyeishinda tamaa ya mali. Kwa hiyo kiongozi anapojiona kama Baba wa Taifa ni jambo zuri maana anakuwa amemfanya Baba wa Taifa kuwa mfano wake wa kuiga.
Baba wa Taifa... nani, huyu DIKTETA NDO KATULETEA YOTE HAYA.. tulipo pata uhuru tu, likatunga katIba inatutesa mpaka leo likatawala lenyewe.. kura tunapiga mtu na KIVULI...SHENZI KABISA....
Kwa hiyo naye Magufuli alikuwa sahihi kwa alicho kuwa anafanya ?Mazingira yalikuwa yanahitaji maamuzi kama aliyofanya.
Mwalimu alichukua nchi ambayo haikuwa na utaifa.
Huwezi kuruhusu kelele nyingi wakati unapotaka kujenga utaifa.
Ni rahisi kujiona mjanja sasa hivi ukachukulia poa Tanzania unayoiona sasa hivi ambayo tunaongea Kiswahili mimi na wewe na tunaelewana.
Nchi zingine nyingi waafrika wanaelewana kwa lugha za wakoloni wao tu.
DuuhMagufuli ni next to Lucifer.