Hayati Magufuli alijiona kama Baba wa Taifa na next to none

umeandika nini sasa

eleza na maisha yako na mkeo au mumeo hapa hayo uliyoandika kwenye maisha ya ndoa ni mambo ambayao yapo na hayashangazi na kuna makubwa zaidi.

wabongo bwana 😕
 
Magufuli alikuwa ni shetani mwenye jicho moja na pembe kichwaniView attachment 2518884
Hapo ukiambiwa una uhasira na chuki na Magufuli utakataa na kusema huna chuki bali unaeleza maovu yake tu, sasa kutuambia Magufuli alikuwa shetani na mwenye jicho sijui na pembe tatu ndio kueleza maovu huko au hasira tu? Magufuli gani aliyekuwa na jicho moja na pembe?
 
Yani wote wanajifanya wanachukia maovu ya Magufuli ndio kumsema kote huko, kati yao humo kuna waliyokatiwa mirija na waliyokuwa wanajihusisha na biashara haramu nao wanajiunga et kueleza maovu ya Magufuli.
yani wanaangaika sana
 
Nimeshasema magufuli alikuwa shetani mwenye jicho moja na pembe kichwani. Matendo yake maovu ndiyo yanaakisi ushetani wake.

Hakuna Mtanzania mwingine including wewe UHURU JR ambaye anaweza kuua wananchi wenzie kama panya buku
 
umeandika nini sasa

eleza na maisha yako na mkeo au mumeo hapa hayo uliyoandika kwenye maisha ya ndoa ni mambo ambayao yapo na hayashangazi na kuna makubwa zaidi.

wabongo bwana 😕
Na wewe mpumbavu kumbe una ujinga kama wa mwendazake? Sasa ndoa Ina maana gani kama unaweza mbebesha mkeo mchanga saizi ya Lori?
 
Nimeshasema magufuli alikuwa shetani mwenye jicho moja na pembe kichwani. Matendo yake maovu ndiyo yanaakisi ushetani wake.

Hakuna Mtanzania mwingine including wewe UHURU JR ambaye anaweza kuua wananchi wenzie kama panya buku
Ni matatizo yako ya akili ndio yanakufanya ufikiri kuwa Magufuli hakuwa na kazi et aanze kuuwa watu tu hovyo, sasa mtu kama wewe akuuwe ili apate nini? Huwa nacheka naposikia mtu humu anasema et alikuwa anaishi kwa mashaka et alikuwa anahofia kuuliwa na Magufuli. Nyie watu mnahitaji msaada wa kisaikolojia.
 
Hao watu walikufa kwenye hayo mauwaji ya mwembechai, sasa labda useme kwamba yalikuwa mauwaji halali.
Uislam una matatizo sana. Tatizo kubwa la Uislam ni kwamba hauwezi kutimia bila ya kushika dola. Mwanzilishi wa Uislam, bwana Muhammad, alikuwa sio tu kiongozi wa dini badli pia alikuwa ni Amiri (yaani kiongozi wa dola, kama ma-Amiri wa Emirates sasa hivi).

Kwa hiyo katika falsafa zake alikuwa anachanganya falsafa za masuala ya kiroho na falsafa za masuala ya kidola. Ndo maana Waislam hawataacha kuona wanaonewa katika nchi ambayo haina dini.

Sasa hao wa Mwembechai walikuwa wanabishana na dola kienyeji kwa kuongozwa na falsafa za Muhammad. Walishindwa kuelewa kuwa baadhi ya falsafa za Muhammad hazina nafasi nchini Tanzania kwa sababu Tanzania sio nchi ya Kiislam.

Na nasema "kienyeji" kwa sababu kuna utaratibu rasmi wa kubishana na dola. Ukitaka kubishana na dola nenda Mahakamani. Dola inaheshimu Mahakama. Kafungue shauri Mahakamani dhidi ya dola hapo mtabishana kwa amani.

Lakini ukiamua kubisha tu, kukataa agizo la dola wewe kama wewe, tegemea kuumia. Ndo kilichowakuta wa Mwembechai.
 
Vyovyote vile mkuu ila mwisho wa siku kulifanyika mauwaji na ndio point yangu.
 
Bandiko limeandikwa kwa nguvu za shetani.

Udhaifu huamsha chuki.

Watu dhaifu mara nyingi wana geuza udhaifu wao kuwa chuki.

Mleta mada na wenzake wana chuki na Magufuli kwakua hawawezi kubadili ukweli kiwa ni Rais aliyejali wananchi na sio kufanya ufisadi kama wao.
 
Watu mnapataga wapi muda wa kuandika ujinga?
Huu mda unaotumia si bora ulale tu
 
Ulaya watu wanawaza maisha yao yanatakiwa kuwa vipi lakini Tanzania watu wanawaza sifa za kijinga.
Unakuta mtu anawaza kutoa sifa ambazo ni haki yake awe nazo ila anaona ni hisani kapewa.

Watu wanatoa sifa hata hawajuu kesho yao itakuwa vipi ila Utakuta mtu kakomaa na uchawa.

Tanzania hii iliyojaa umasikini na mawazo ya watu hawajui watakula Nini mchana na jioni alafu kuna mtu anasema watu wanachanua.

Kauli ya moleli Ina nguvu kwa watu kama huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…