Hayati Magufuli alijiona kama Baba wa Taifa na next to none

Hayati Magufuli alijiona kama Baba wa Taifa na next to none

Akiwa Waziri wa ujenzi amewahi kumbebesha Janet kichwani makarai ya mchanga usiku kucha. Ilitokea hivyo kwa kuwa waliopewa kazi ya kumleta mchanga nyumbani walimwaga mahali ambapo sipo alipotaka Magufuli.
Hata hivyo walikuwa wameachana ila baada ya akina CCM kupitisha jina la Magufuli kuwa ndiye mgombea wa Urais mnamo August 2015 ndipo kina JK wakamamfuata Janet kumsihi arudi kwa DIKTETA kwa vile Rais lazima awe na first lady.

Ila Janet aliwaambia akina JK kuwa "mumebugi step kumpa Urais huyo, mtakoma". Na walikoma kweli
umeandika nini sasa

eleza na maisha yako na mkeo au mumeo hapa hayo uliyoandika kwenye maisha ya ndoa ni mambo ambayao yapo na hayashangazi na kuna makubwa zaidi.

wabongo bwana 😕
 
Magufuli alikuwa ni shetani mwenye jicho moja na pembe kichwaniView attachment 2518884
Hapo ukiambiwa una uhasira na chuki na Magufuli utakataa na kusema huna chuki bali unaeleza maovu yake tu, sasa kutuambia Magufuli alikuwa shetani na mwenye jicho sijui na pembe tatu ndio kueleza maovu huko au hasira tu? Magufuli gani aliyekuwa na jicho moja na pembe?
 
Yani wote wanajifanya wanachukia maovu ya Magufuli ndio kumsema kote huko, kati yao humo kuna waliyokatiwa mirija na waliyokuwa wanajihusisha na biashara haramu nao wanajiunga et kueleza maovu ya Magufuli.
yani wanaangaika sana
 
Hapo ukiambiwa una uhasira na chuki na Magufuli utakataa na kusema huna chuki bali unaeleza maovu yake tu, sasa kutuambia Magufuli alikuwa shetani na mwenye jicho sijui na pembe tatu ndio kueleza maovu huko au hasira tu? Magufuli gani aliyekuwa na jicho moja na pembe?
Nimeshasema magufuli alikuwa shetani mwenye jicho moja na pembe kichwani. Matendo yake maovu ndiyo yanaakisi ushetani wake.

Hakuna Mtanzania mwingine including wewe UHURU JR ambaye anaweza kuua wananchi wenzie kama panya buku
 
umeandika nini sasa

eleza na maisha yako na mkeo au mumeo hapa hayo uliyoandika kwenye maisha ya ndoa ni mambo ambayao yapo na hayashangazi na kuna makubwa zaidi.

wabongo bwana 😕
Na wewe mpumbavu kumbe una ujinga kama wa mwendazake? Sasa ndoa Ina maana gani kama unaweza mbebesha mkeo mchanga saizi ya Lori?
 
Nimeshasema magufuli alikuwa shetani mwenye jicho moja na pembe kichwani. Matendo yake maovu ndiyo yanaakisi ushetani wake.

Hakuna Mtanzania mwingine including wewe UHURU JR ambaye anaweza kuua wananchi wenzie kama panya buku
Ni matatizo yako ya akili ndio yanakufanya ufikiri kuwa Magufuli hakuwa na kazi et aanze kuuwa watu tu hovyo, sasa mtu kama wewe akuuwe ili apate nini? Huwa nacheka naposikia mtu humu anasema et alikuwa anaishi kwa mashaka et alikuwa anahofia kuuliwa na Magufuli. Nyie watu mnahitaji msaada wa kisaikolojia.
 
Hao watu walikufa kwenye hayo mauwaji ya mwembechai, sasa labda useme kwamba yalikuwa mauwaji halali.
Uislam una matatizo sana. Tatizo kubwa la Uislam ni kwamba hauwezi kutimia bila ya kushika dola. Mwanzilishi wa Uislam, bwana Muhammad, alikuwa sio tu kiongozi wa dini badli pia alikuwa ni Amiri (yaani kiongozi wa dola, kama ma-Amiri wa Emirates sasa hivi).

Kwa hiyo katika falsafa zake alikuwa anachanganya falsafa za masuala ya kiroho na falsafa za masuala ya kidola. Ndo maana Waislam hawataacha kuona wanaonewa katika nchi ambayo haina dini.

Sasa hao wa Mwembechai walikuwa wanabishana na dola kienyeji kwa kuongozwa na falsafa za Muhammad. Walishindwa kuelewa kuwa baadhi ya falsafa za Muhammad hazina nafasi nchini Tanzania kwa sababu Tanzania sio nchi ya Kiislam.

Na nasema "kienyeji" kwa sababu kuna utaratibu rasmi wa kubishana na dola. Ukitaka kubishana na dola nenda Mahakamani. Dola inaheshimu Mahakama. Kafungue shauri Mahakamani dhidi ya dola hapo mtabishana kwa amani.

Lakini ukiamua kubisha tu, kukataa agizo la dola wewe kama wewe, tegemea kuumia. Ndo kilichowakuta wa Mwembechai.
 
Uislam una matatizo sana. Tatizo kubwa la Uislam ni kwamba hauwezi kutimia bila ya kushika dola. Mwanzilishi wa Uislam, bwana Muhammad, alikuwa sio tu kiongozi wa dini badli pia alikuwa ni Amiri (yaani kiongozi wa dola, kama ma-Amiri wa Emirates sasa hivi).

Kwa hiyo katika falsafa zake alikuwa anachanganya falsafa za masuala ya kiroho na falsafa za masuala ya kidola. Ndo maana Waislam hawataacha kuona wanaonewa katika nchi ambayo haina dini.

Sasa hao wa Mwembechai walikuwa wanabishana na dola kienyeji kwa kuongozwa na falsafa za Muhammad. Walishindwa kuelewa kuwa baadhi ya falsafa za Muhammad hazina nafasi nchini Tanzania kwa sababu Tanzania sio nchi ya Kiislam.

Na nasema "kienyeji" kwa sababu kuna utaratibu rasmi wa kubishana na dola. Ukitaka kubishana na dola nenda Mahakamani. Dola inaheshimu Mahakama. Kafungue shauri Mahakamani dhidi ya dola hapo mtabishana kwa amani.

Lakini ukiamua kubisha tu, kukataa agizo la dola wewe kama wewe, tegemea kuumia. Ndo kilichowakuta wa Mwembechai.
Vyovyote vile mkuu ila mwisho wa siku kulifanyika mauwaji na ndio point yangu.
 
Bandiko limeandikwa kwa nguvu za shetani.

Udhaifu huamsha chuki.

Watu dhaifu mara nyingi wana geuza udhaifu wao kuwa chuki.

Mleta mada na wenzake wana chuki na Magufuli kwakua hawawezi kubadili ukweli kiwa ni Rais aliyejali wananchi na sio kufanya ufisadi kama wao.
 
Salaam Wakuu,

Leo sionglei hela za Wahujumu Uchumi kwenda kufichwa China na mchakato wa Investigating Plea Bargaining. Ni uzi mwingine ntaweka.

Kipindi anaenda kuchukua fomu ya kuomba apendekezwe kugombea urais kupitia CCM, alienda Dodoma kimyakimya kama mwizi na kwa Mjibu wa Zitto ni Mwizi kweli wa Trilioni 1.5.


Halafu alipokuwa anaongea na kitwanga akasema atakahakikisha watu wanalimia Meno. Lakini amekufa bila hata mtu kulimia mikono wala Miguu

Alipofika Ikulu pakamnogea. Akaanza watuma Kibajaji na Musiba wampigie Kampeni ili aongozezewe muda wa Uongozi kutoka miaka 10 hadi 40. Makamba, Kinana, Mangula na Kikwete wakamgomea.

Akapandwa hasira, watu wakaanza kutekwa, kupigwa risasi, Kumbambikiziwa kesi za Uhujumu Uchumi.

Yaani hadi akachafua sifa za Wasukuma, kiasi kwamba mtu akimtetea anaonekana Msukuma na Wasukuma wote wanaonekana wana roho kama Magufuli. Roho Nyeusi. Hadi leo rafiki yangu Ben Saanane sijui yupo wapi, Diwani Wangu Alfonce Mawazo alishazikwa. Yote hayo sababu ya Siasa za Magufuli.

View attachment 2517267
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akifurahia jambo na Mama Janeth Magufuli mjane wa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.

Hata sishangai kuona Mke wa Magufuli kunenepa, alivumilia mengi. Mara alazwe Muhimbili, mara Makovu Mdomoni.

Binadamu tupunguze kiburi cha Uhai, maisha ni Mapito tuishi kwa wema. Wapinzani wa CCM sio Magaidi. Siasa si Uadui.

Tanzania imechanua kwenye Mikono salama ya Samia. Siku nitamuomba Zuhura anikutanishe na Mama nimsalimie tu. Ukigusana na Mama Samia unapata Upako. Hakika ni Mama wa Taifa.
Watu mnapataga wapi muda wa kuandika ujinga?
Huu mda unaotumia si bora ulale tu
 
Salaam Wakuu,

Leo sionglei hela za Wahujumu Uchumi kwenda kufichwa China na mchakato wa Investigating Plea Bargaining. Ni uzi mwingine ntaweka.

Kipindi anaenda kuchukua fomu ya kuomba apendekezwe kugombea urais kupitia CCM, alienda Dodoma kimyakimya kama mwizi na kwa Mjibu wa Zitto ni Mwizi kweli wa Trilioni 1.5.


Halafu alipokuwa anaongea na kitwanga akasema atakahakikisha watu wanalimia Meno. Lakini amekufa bila hata mtu kulimia mikono wala Miguu

Alipofika Ikulu pakamnogea. Akaanza watuma Kibajaji na Musiba wampigie Kampeni ili aongozezewe muda wa Uongozi kutoka miaka 10 hadi 40. Makamba, Kinana, Mangula na Kikwete wakamgomea.

Akapandwa hasira, watu wakaanza kutekwa, kupigwa risasi, Kumbambikiziwa kesi za Uhujumu Uchumi.

Yaani hadi akachafua sifa za Wasukuma, kiasi kwamba mtu akimtetea anaonekana Msukuma na Wasukuma wote wanaonekana wana roho kama Magufuli. Roho Nyeusi. Hadi leo rafiki yangu Ben Saanane sijui yupo wapi, Diwani Wangu Alfonce Mawazo alishazikwa. Yote hayo sababu ya Siasa za Magufuli.

View attachment 2517267
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akifurahia jambo na Mama Janeth Magufuli mjane wa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.

Hata sishangai kuona Mke wa Magufuli kunenepa, alivumilia mengi. Mara alazwe Muhimbili, mara Makovu Mdomoni.

Binadamu tupunguze kiburi cha Uhai, maisha ni Mapito tuishi kwa wema. Wapinzani wa CCM sio Magaidi. Siasa si Uadui.

Tanzania imechanua kwenye Mikono salama ya Samia. Siku nitamuomba Zuhura anikutanishe na Mama nimsalimie tu. Ukigusana na Mama Samia unapata Upako. Hakika ni Mama wa Taifa.
Ulaya watu wanawaza maisha yao yanatakiwa kuwa vipi lakini Tanzania watu wanawaza sifa za kijinga.
Unakuta mtu anawaza kutoa sifa ambazo ni haki yake awe nazo ila anaona ni hisani kapewa.

Watu wanatoa sifa hata hawajuu kesho yao itakuwa vipi ila Utakuta mtu kakomaa na uchawa.

Tanzania hii iliyojaa umasikini na mawazo ya watu hawajui watakula Nini mchana na jioni alafu kuna mtu anasema watu wanachanua.

Kauli ya moleli Ina nguvu kwa watu kama huyu
 
Back
Top Bottom