Hayati Magufuli alikosea kwenye mambo mengi mno. Kubwa mojawapo ni kumchagua huyu mtu

Hayati Magufuli alikosea kwenye mambo mengi mno. Kubwa mojawapo ni kumchagua huyu mtu

Mimi nilikuwa namchukia Magufuli mno. Ila nilikuwa naomba sana hili lililotokea lisitokee i.e. Samia kuwa rais. Nilishaona kengele za tahadhari kuwa hana uwezo. Ukweli ni kwamba kwenye chaguzi karibu zote, vyama vyote vimekuwa vinaona running mates kama wasindikizaji tu. Hakuna aliyekuwa anaona kama rais anaweza kuja kushindwa kuendelea na uongozi na makamu akachukuwa. Ila Magufuli alikuwa na fursa ya kubadilisha mgombea mwenza au hata kubadili katiba na mfumo wa uchaguzi usiwe unahitaji rais na makamu kuwa kama ilivyo sasa.
Kipi kimekufanya uamini Samia Hana uwezo!?..siasa,uchumi?!
 
Mtu huyo ni Rais Samia!

Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani].

Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].

Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].

Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.

Ukimwangalia Biden, unaona kabisa jamaa anapaswa awe nyumbani. Kazi ya urais wa Marekani kwa sasa haiwezi.

He is a creepy old guy. Hebu angalia hapa



Hivi alikuwa anafanya nini hapo kwa hako katoto? Na hiyo ni wiki iliyopita alipokuwa Finland baada ya kutoka Lithuania kwenye mkutano wa NATO.

Biden muda wowote anaondoka. Iwe kwa kujiuzulu, kuamua kutogombea tena muhula wa pili, au hata kufa [ingawa kifo hakina mwenyewe].

Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.

Haya, tuje kwa huyu wa kwetu hapa.

Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.

Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.

Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.

Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.

Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].

Jahazi limeshamshinda hivi sasa. Kabaki kutoa vitisho na kutumia dola kukabiliana na wanaompinga.

Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!

Rais Magufuli hakuwa kiongozi mzuri. Nilishasema mara nyingi tu kuwa yeye alikuwa msimamizi/ mnyapara mzuri.

Yeye mpe kazi au mradi ausimamie, halafu umpe mamlaka ya kutosha kuweza kufanya maamuzi ndani ya ukomo fulani, utampenda maana hakuwa wa mchezo mchezo.

Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.

Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.

Lakini haikuwa hivyo. Tumeachiwa huyu Samia.

Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too 😀].

Shukuru uko kubeba ma box ungevunjwa miguu hadi upate adabu.
 
Mtu huyo ni Rais Samia!

Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani].

Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].

Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].

Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.

Ukimwangalia Biden, unaona kabisa jamaa anapaswa awe nyumbani. Kazi ya urais wa Marekani kwa sasa haiwezi.

He is a creepy old guy. Hebu angalia hapa



Hivi alikuwa anafanya nini hapo kwa hako katoto? Na hiyo ni wiki iliyopita alipokuwa Finland baada ya kutoka Lithuania kwenye mkutano wa NATO.

Biden muda wowote anaondoka. Iwe kwa kujiuzulu, kuamua kutogombea tena muhula wa pili, au hata kufa [ingawa kifo hakina mwenyewe].

Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.

Haya, tuje kwa huyu wa kwetu hapa.

Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.

Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.

Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.

Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.

Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].

Jahazi limeshamshinda hivi sasa. Kabaki kutoa vitisho na kutumia dola kukabiliana na wanaompinga.

Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!

Rais Magufuli hakuwa kiongozi mzuri. Nilishasema mara nyingi tu kuwa yeye alikuwa msimamizi/ mnyapara mzuri.

Yeye mpe kazi au mradi ausimamie, halafu umpe mamlaka ya kutosha kuweza kufanya maamuzi ndani ya ukomo fulani, utampenda maana hakuwa wa mchezo mchezo.

Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.

Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.

Lakini haikuwa hivyo. Tumeachiwa huyu Samia.

Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too [emoji3]].
JPM Aliwahi kukiri katika moja ya speech zake kuwa Samia hakua chaguo lake... Yeye alikuwa anamtaka Hussein Mwinyi... chama kilimlazimisha..
 
Kwenye mkutano mkuu wa ccm 2020 Magufuli alisema wazi kabisa kwamba yeye chaguo lake namba moja la mgombea mwenza alikuwa Hussein Mwinyi ila wazee wakamchagua Samia yeye hakumpenda kabisa ila chama kiliamua
Kikwete kathibitisha hilo. Maza alikuwa ni chagua la JK. As we all know, JK huwa anaangalia sura kuliko uwezo. Hasa kwa hiyo jinsia. Teuzi zake nyingi zilisababisha kudilute hai ya ngazi nyingi serikalini hasa Ukuu wa Wilaya.
 
Hili Jambo nililisema humu hata kabla ya DPW.

SSH alichaguliwa Kwa sababu,
👉Ni Mdhaifu
👉Ni mzanzibar
👉Ni Mwanamke.

Bahati mbaya sana Rais JPM Kwa Uwezo wake mkubwa alokua nao, haikua shida kwake, TATIZO NI KIFO CHAKE, KIFO CHA JPM, NA KATIBA MBOVU, NDIO VIMETUUZIA MBUZI KWENYE GUNIA


Wewe mtu kasoma Kwa kufelifeli weeeeee mpaka hapo alipo.

Hawa kiasili wanakuaga na ujuha wa kuzaliwa, wadhaifu na waoga, Watu Hawa Huwa kwenye kutafuta UKUU, wapo radhi kufanya mambo ya Hatari sana, Kwa sababu wanajua, hawana Uwezo na hivo muda wote wanahisi kudharauliwa .


Hali kama hii, huwafanya kutumia Kila Silaha wanayoweza ,kupambana na mtu anayeonekana ni Tishio !!.



Angalieni Genge lilomzunguka, Genge Zima, ni watu wanaofanana kielimu , Sasa unategemea Nape au Makamba, Wamshauri nn??


Hakujawahi kutokea kua na Rais mbovu kama huyu !!!.

Sahizi tuna makesi mengi mahakaman, hayo yote unaambiwa, Ni makosa ya JPM...Alaaaaa!!.

JPM alipokua hai, hizo kesi uchwara mbona hazikuwepo???.


Tuna Kiongozi mbovuuu kushindwa hata ubovu wenyewe
Home boy, now you are talking
 
Hili Jambo nililisema humu hata kabla ya DPW.

SSH alichaguliwa Kwa sababu,
👉Ni Mdhaifu
👉Ni mzanzibar
👉Ni Mwanamke.

Bahati mbaya sana Rais JPM Kwa Uwezo wake mkubwa alokua nao, haikua shida kwake, TATIZO NI KIFO CHAKE, KIFO CHA JPM, NA KATIBA MBOVU, NDIO VIMETUUZIA MBUZI KWENYE GUNIA


Wewe mtu kasoma Kwa kufelifeli weeeeee mpaka hapo alipo.

Hawa kiasili wanakuaga na ujuha wa kuzaliwa, wadhaifu na waoga, Watu Hawa Huwa kwenye kutafuta UKUU, wapo radhi kufanya mambo ya Hatari sana, Kwa sababu wanajua, hawana Uwezo na hivo muda wote wanahisi kudharauliwa .


Hali kama hii, huwafanya kutumia Kila Silaha wanayoweza ,kupambana na mtu anayeonekana ni Tishio !!.



Angalieni Genge lilomzunguka, Genge Zima, ni watu wanaofanana kielimu , Sasa unategemea Nape au Makamba, Wamshauri nn??


Hakujawahi kutokea kua na Rais mbovu kama huyu !!!.

Sahizi tuna makesi mengi mahakaman, hayo yote unaambiwa, Ni makosa ya JPM...Alaaaaa!!.

JPM alipokua hai, hizo kesi uchwara mbona hazikuwepo???.


Tuna Kiongozi mbovuuu kushindwa hata ubovu wenyewe
Ubovu wake kwa wengine ndio uwezo wake. Ulitaka watu waendelee kuogopana bar kwenye ulevi?.

Ulitaka halmashauri ziendelee kusikiliza watu wanaoongea kisukuma muda wote wa vikao?.

Kuna watu wameonewa sana awamu mbili zilizopita hivi sasa wanapumua, huo udhaifu wote unaouona wewe kwao unavumilika,

Ulitaka watu watozwe kodi za TRA mara mbili katika biashara moja licha ya kuonyesha risiti zote kwamba walishalipa hapo awali?.

Mipango ya Mungu kwake kuwa rais kama ilivyokuwa mipango ya Mungu kwa Magufuli kuaga dunia 2021 mwanzoni kabisa mwa miaka yake mitano ya pili.
 
Mtu huyo ni Rais Samia!

Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani].

Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].

Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].

Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.

Ukimwangalia Biden, unaona kabisa jamaa anapaswa awe nyumbani. Kazi ya urais wa Marekani kwa sasa haiwezi.

He is a creepy old guy. Hebu angalia hapa



Hivi alikuwa anafanya nini hapo kwa hako katoto? Na hiyo ni wiki iliyopita alipokuwa Finland baada ya kutoka Lithuania kwenye mkutano wa NATO.

Biden muda wowote anaondoka. Iwe kwa kujiuzulu, kuamua kutogombea tena muhula wa pili, au hata kufa [ingawa kifo hakina mwenyewe].

Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.

Haya, tuje kwa huyu wa kwetu hapa.

Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.

Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.

Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.

Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.

Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].

Jahazi limeshamshinda hivi sasa. Kabaki kutoa vitisho na kutumia dola kukabiliana na wanaompinga.

Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!

Rais Magufuli hakuwa kiongozi mzuri. Nilishasema mara nyingi tu kuwa yeye alikuwa msimamizi/ mnyapara mzuri.

Yeye mpe kazi au mradi ausimamie, halafu umpe mamlaka ya kutosha kuweza kufanya maamuzi ndani ya ukomo fulani, utampenda maana hakuwa wa mchezo mchezo.

Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.

Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.

Lakini haikuwa hivyo. Tumeachiwa huyu Samia.

Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too 😀].

Mpindue uwe wewe.Unataka aweje?
 
Uzi mwingine wa chuki unaokosa mantiki yenye kuweza kuingia kichwani. Samia ni sehemu ya serikali tangu miaka hiyo 2000.

Na kwa nchi hizi rais hawi yule anayeongelewa sana midomoni mwa watu. Lowassa alipambana kila alivyoweza akaja kuukosa urais.

January Makamba anapambana sana aje kuwa rais na hatakuwa rais huko tuendako.

Ukiukamia sana urais huwa huupati, unaishi kutengeneza makundi ya majungu na kuwa na wapambe wengi kama huyu mleta mada lakini ikulu huwezi kufika.

Tunakuwa na marais ambao sio maarufu midomoni mwa watu na ni kwa kheri ya taifa zima. Mungu anatuokoa na tabia nyingi za ajabu za hao wanaoutafuta urais kwa udi na uvumba.
Kina Buhari na Hichilema waliukamia wakaupata
 
Mwenye uwezo wa kuweka ile video ya JPM akisema yeye chaguo lake kuwa Dr Mwinyi lakini ikabadilishwa na akawa SSH, tafadhali aiweke hapa ili tuisikilize tena.

Kwa maoni yangu mimi ni kwamba JPM alikuwa kama akilalamika (maana alisema ni siri ila lazima aiseme) kuwa hakupewa nafasi kumchagua mtu aliemtaka yeye ili awe Makamu.

Maana alisema wazi kuwa alimfahamu Dr Mwinyi kwa miaka 10 na hata kusifia kuwa aliongoza wizara ya Ulizni kwa miaka hiyo 10.

Wengi humu ni wajuvi hivyo mwafahamu kuwa ukigundua umekosea mahala ni lazima utafute namna ya kuja kurekebisha kosa lako.
 
Hili ndilo tatizo la mtanzania. Akipenda, chongo anaita kengeza. What are you try to suggest? Hivi rais kama anapelekeshwa na walio pembeni yake na halioni hilo, huoni ana kasoro kubwa kabisa? Hiyo system si ndiyo yeye ameisuka? Tafadhali sana usilete propaganda za kizamani hapa. Samia hana uwezo na ndiyo maana anapelekeshwa! Hivi rais wa nchi utakuwa uko serious kumchagua mtu kama Mwingulu kuwa waziri wa fedha? Na siyo huyo tu. Mawaziri wengi amechagua kwa kuangalia sifa ya kuitikia hewala mama kwa kila watakachoambiwa!
Hakuna statement inaniudhi kama hiyo eti anapotoshwa na walio mzunguka, ila kadiri wanavyozidi kuihubiri ndo wana admit alichokisema mtoa mada kwamba ndugu yetu ni empty set maana anapelekeshwa tu yeye hana anachokijua
 
Mwenye uwezo wa kuweka ile video ya JPM akisema yeye chaguo lake kuwa Dr Mwinyi lakini ikabadilishwa na akawa SSH, tafadhali aiweke hapa ili tuisikilize tena.

Kwa maoni yangu mimi ni kwamba JPM alikuwa kama akilalamika (maana alisema ni siri ila lazima aiseme) kuwa hakupewa nafasi kumchagua mtu aliemtaka yeye ili awe Makamu.

Maana alisema wazi kuwa alimfahamu Dr Mwinyi kwa miaka 10 na hata kusifia kuwa aliongoza wizara ya Ulizni kwa miaka hiyo 10.

Wengi humu ni wajuvi hivyo mwafahamu kuwa ukigundua umekosea mahala ni lazima utafute namna ya kuja kurekebisha kosa lako.
Kwanini amchague mtu anayemtaka yeye?. Hakuna rais aliyeweza kuweka mrithi wake anayemtaka mwenyewe.

Alishindwa Mwalimu Nyerere kumuweka Salim Ahmed Salim angeweza JPM ambaye hakuwa na misingi ndani ya CCM?.
 
Back
Top Bottom