Hayati Magufuli alikosea kwenye mambo mengi mno. Kubwa mojawapo ni kumchagua huyu mtu

Hayati Magufuli alikosea kwenye mambo mengi mno. Kubwa mojawapo ni kumchagua huyu mtu

Umesema ukweli kabisa hujabakiza hata moja.huyu alichaguliwa ili kubalance muungano na jinsia na siyo vinginevyo.bahati mbaya magufuli kafariki katuachia mzigo mzito wa misumari kichwani.katiba ibadilishwe hawa warithi watawale mwaka mmoja ili kuzuia hasara kubwa itakayofanywa na wao kama haya ya kuuza mali za tanganyika na kuacha za nyumbani kwao zanzibar
 
Uzi mwingine wa chuki unaokosa mantiki yenye kuweza kuingia kichwani. Samia ni sehemu ya serikali tangu miaka hiyo 2000.

Na kwa nchi hizi rais hawi yule anayeongelewa sana midomoni mwa watu. Lowassa alipambana kila alivyoweza akaja kuukosa urais.

January Makamba anapambana sana aje kuwa rais na hatakuwa rais huko tuendako.

Ukiukamia sana urais huwa huupati, unaishi kutengeneza makundi ya majungu na kuwa na wapambe wengi kama huyu mleta mada lakini ikulu huwezi kufika.

Tunakuwa na marais ambao sio maarufu midomoni mwa watu na ni kwa kheri ya taifa zima. Mungu anatuokoa na tabia nyingi za ajabu za hao wanaoutafuta urais kwa udi na uvumba.

Vipi kuhusu JK kuusaka urais?
 
Anamsikiliza nani wakati watu wamekataa bandari isiuzwe hajawasikiliza? Mara ngapi watu wanaomba kumwambia kero zao anawafukuzia mbali kwa kishindo kikuu? Au ana ka kikundi kake anakokasikiliza? Awamu iliyopita iliwasikiliza na kuwajali wote
Ubunifu gani unausemea ubunifu wa umeme kupanda bei na wakiulizwa kila siku wanakuja na ngonjera, ubunifu wa bando kupanda bei bila maelezo ya msingi? Ubunifu sasa umekuwa nchi kuwa kama ukoo wa kambale.
Wafanya biashara gani wana amani wakati wanagoma kila siku kisa rushwa kutoka kwa kwenye mamlaka? Kariakoo iwe case study.
Kwamba hujui machinga, mama ntilie na wafanya biashara wadogo wadogo ambao wakilala usiku wanaamka na kukuta biashara zao zimevunjwa na kutupiliwa mbali kwa lugha tamu ya kuwapanga? Wengi wao wameshindwa kuendesha maisha yao huku mali zao zikiuzwa na mabenki sababu biashara zao zimeharibiwa na hawawezi kulipa mikopo. Au wewe mwenzetu wafanya biashara unawazungumzia kina MO na GSM tu?
Mbona huzungumzii masai waliotimuliwa Loliondo kumpisha mwarabu? Mbona huzungumzii kukopa kopa kulikopitiliza huku hatujui kinacho kopwa kinatumikaje? Mbona huzungumzii safari za nje zisizohesabika lakini zenye matokeo sifuri huku ziara za ndani zikiishia Mwanza na Arusha kila siku?
Wamachinga hawawezi kuigeuza Tanzania nzima kama sehemu ya kufanyia biashara, hawapo peke yao na haitatokea wakawepo wao tu wa kusikilizwa kwa kisingizio cha unyonge.

Huo unyonge ni lugha ya hayati JPM ni lugha ya ulaghai unaowadanganya wafanya biashara wadogo kiasi cha siku zote kujiona wao ni wadogo tu. Mentality ya kijamaa ya kudumaza akili.

Maasai wametoka Loliondo wamekwenda huko Tanga mahali wanapojinafasi pengine kuliko walivyoishi huko Arusha.

Waliomshauri atafute mwekezaji wa bandarini ni ndugu zetu wafanyabiashara waliochoshwa na magumashi ya mahali pale, waliochoshwa na wizi usiokwisha wa bidhaa zetu.

Waliomshauri awatafute DP ni wadau wa bandarini watu ambao maoni yao ni ya muhimu kuliko hizi kelele nyingi za mtaani kutoka kwa watu wasiojua A wala B kuhusu biashara kwa maana pana.

Kwa akili zetu za kitanzania hakuna rais mwenye afadhali siku zote ni kulialia tu.
 
Uwezo Mkubwa wa kutweza, kunanga na kutukana au kukebehi hauipi uhalali hoja yako dhaifu kuwa Sahihi, Pamoja kuwa unayo haki ya kukosoa lakini ulipaswa pia kukumbuka CCM ndio chama kilichopitisha Mgombea Urais na Makamu wake, kadhalika ubora mara 100 wa Mpango kwa Samia haumuinui Magufuli dhidi ya Musa Assad
Unachangia mada ipi maana nineona ghafla bin vuu umemtaja musa Hassad
 
Hilo mi mwenyewe sijawai kukubali kuwa tuna rahisi namna hii.
Jiwe kabla hatujategemea kilichotokea hatukujiandaa.
Ila hatuna kiongozi.
Bora Majaliwa huyo mwingine ndo kabisa anatakiwa akae ofisini tu afanye kazi zingine
 
Wamachinga hawawezi kuigeuza Tanzania nzima kama sehemu ya kufanyia biashara, hawapo peke yao na haitatokea wakawepo wao tu wa kusikilizwa kwa kisingizio cha unyonge.

Huo unyonge ni lugha ya hayati JPM ni lugha ya ulaghai unaowadanganya wafanya biashara wadogo kiasi cha siku zote kujiona wao ni wadogo tu. Mentality ya kijamaa ya kudumaza akili.

Maasai wametoka Loliondo wamekwenda huko Tanga mahali wanapojinafasi pengine kuliko walivyoishi huko Arusha.

Waliomshauri atafute mwekezaji wa bandarini ni ndugu zetu wafanyabiashara waliochoshwa na magumashi ya mahali pale, waliochoshwa na wizi usiokwisha wa bidhaa zetu.

Waliomshauri awatafute DP ni wadau wa bandarini watu ambao maoni yao ni ya muhimu kuliko hizi kelele nyingi za mtaani kutoka kwa watu wasiojua A wala B kuhusu biashara kwa maana pana.

Kwa akili zetu za kitanzania hakuna rais mwenye afadhali siku zote ni kulialia tu.
Naona unakuja vizuri sasa😂😂 kama machinga wana makosa ndo mpaka waharibiwe mali zao? Je kama wana makosa hao wafanyabiashara unaosema waliumizwa kipindi cha jpm hawawezi kuwa na makosa?
Bajeti ya kuwahamisha Masai ilitengwa na bunge gani na ni fungu gani? Kama hakuna je hiyo sio rushwa kutaka kwa waarabu? Unasema walipohamishiwa wanajinafasi je waliwahi kulalamika kwamba walipokuwa palikuwa hapawatoshi? Na kwa nini muwatoe mumpe mwarabu? Na mbona mliwaua na kuwabambikizia kesi ya mauaji waliogoma kuhamishwa?
Kwenye bandari alishauriwa na wafanya biashara gani kwenye kikao gani? Na kama walimshauri jambo kama hilo walimshauri awachague DPW? Je walimshauri awachague bila kufata mchakato wa sheria ya manunuzi ya umma? Kama sheria ya manunuzi ya umma ilifatwa je mwarabu alishindanishwa na nani moaka akashinda yeye? Kama alishindanishwa je tangazo lilitolewa kwenye gazeti gani au tovuti gani? Je hao wafanyabiashara walimshauri aingie mkataba tata na usio na maslahi kwa taifa kama huu? Mkataba wa upande mmoja kuwa na haki tu (upande wa mwekezaji) na upande mwingine kuwa na wajibu tu (upande wa Tanzania) je kama alikubali ushauri wa wafanya biashara kuingia mkataba kama huu huoni unakubali japo kwa maneno tofauti hoja ya mtoa mada kwamba kama nchi tumepigwa na kitu kizito kwenye utosi linapokuja suala la namba moja?
 
Naona unakuja vizuri sasa😂😂 kama machinga wana makosa ndo mpaka waharibiwe mali zao? Je kama wana makosa hao wafanyabiashara unaosema waliumizwa kipindi cha jpm hawawezi kuwa na makosa?
Bajeti ya kuwahamisha Masai ilitengwa na bunge gani na ni fungu gani? Kama hakuna je hiyo sio rushwa kutaka kwa waarabu? Unasema walipohamishiwa wanajinafasi je waliwahi kulalamika kwamba walipokuwa palikuwa hapawatoshi? Na kwa nini muwatoe mumpe mwarabu? Na mbona mliwaua na kuwabambikizia kesi ya mauaji waliogoma kuhamishwa?
Kwenye bandari alishauriwa na wafanya biashara gani kwenye kikao gani? Na kama walimshauri jambo kama hilo walimshauri awachague DPW? Je walimshauri awachague bila kufata mchakato wa sheria ya manunuzi ya umma? Kama sheria ya manunuzi ya umma ilifatwa je mwarabu alishindanishwa na nani moaka akashinda yeye? Kama alishindanishwa je tangazo lilitolewa kwenye gazeti gani au tovuti gani? Je hao wafanyabiashara walimshauri aingie mkataba tata na usio na maslahi kwa taifa kama huu? Mkataba wa upande mmoja kuwa na haki tu (upande wa mwekezaji) na upande mwingine kuwa na wajibu tu (upande wa Tanzania) je kama alikubali ushauri wa wafanya biashara kuingia mkataba kama huu huoni unakubali japo kwa maneno tofauti hoja ya mtoa mada kwamba kama nchi tumepigwa na kitu kizito kwenye utosi linapokuja suala la namba moja?
Mengi unayouliza yameshajibiwa rasmi na serikali, tafuta taarifa hizo kwani zimo humu mitandaoni.

Hizi nongwa zote ulizoziandika zimeshatolewa maelezo rasmi, tusitake kuumizana vichwa bila ya sababu.

Samia anaweza kuwa mwepesi lakini hayati JPM alikuwa na udhaifu wake tena mwingi tu.
 
Naona unakuja vizuri sasa😂😂 kama machinga wana makosa ndo mpaka waharibiwe mali zao? Je kama wana makosa hao wafanyabiashara unaosema waliumizwa kipindi cha jpm hawawezi kuwa na makosa?
Bajeti ya kuwahamisha Masai ilitengwa na bunge gani na ni fungu gani? Kama hakuna je hiyo sio rushwa kutaka kwa waarabu? Unasema walipohamishiwa wanajinafasi je waliwahi kulalamika kwamba walipokuwa palikuwa hapawatoshi? Na kwa nini muwatoe mumpe mwarabu? Na mbona mliwaua na kuwabambikizia kesi ya mauaji waliogoma kuhamishwa?
Kwenye bandari alishauriwa na wafanya biashara gani kwenye kikao gani? Na kama walimshauri jambo kama hilo walimshauri awachague DPW? Je walimshauri awachague bila kufata mchakato wa sheria ya manunuzi ya umma? Kama sheria ya manunuzi ya umma ilifatwa je mwarabu alishindanishwa na nani moaka akashinda yeye? Kama alishindanishwa je tangazo lilitolewa kwenye gazeti gani au tovuti gani? Je hao wafanyabiashara walimshauri aingie mkataba tata na usio na maslahi kwa taifa kama huu? Mkataba wa upande mmoja kuwa na haki tu (upande wa mwekezaji) na upande mwingine kuwa na wajibu tu (upande wa Tanzania) je kama alikubali ushauri wa wafanya biashara kuingia mkataba kama huu huoni unakubali japo kwa maneno tofauti hoja ya mtoa mada kwamba kama nchi tumepigwa na kitu kizito kwenye utosi linapokuja suala la namba moja?
Kupigwa na vitu vizito hatukuanza leo wala jana, ni miaka na miaka, Na wakati mwingine tunapigwa kwa ujinga wetu wenyewe kama taifa.
 
Mtu huyo ni Rais Samia!

Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani].

Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].

Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].

Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.

Ukimwangalia Biden, unaona kabisa jamaa anapaswa awe nyumbani. Kazi ya urais wa Marekani kwa sasa haiwezi.

He is a creepy old guy. Hebu angalia hapa



Hivi alikuwa anafanya nini hapo kwa hako katoto? Na hiyo ni wiki iliyopita alipokuwa Finland baada ya kutoka Lithuania kwenye mkutano wa NATO.

Biden muda wowote anaondoka. Iwe kwa kujiuzulu, kuamua kutogombea tena muhula wa pili, au hata kufa [ingawa kifo hakina mwenyewe].

Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.

Haya, tuje kwa huyu wa kwetu hapa.

Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.

Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.

Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.

Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.

Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].

Jahazi limeshamshinda hivi sasa. Kabaki kutoa vitisho na kutumia dola kukabiliana na wanaompinga.

Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!

Rais Magufuli hakuwa kiongozi mzuri. Nilishasema mara nyingi tu kuwa yeye alikuwa msimamizi/ mnyapara mzuri.

Yeye mpe kazi au mradi ausimamie, halafu umpe mamlaka ya kutosha kuweza kufanya maamuzi ndani ya ukomo fulani, utampenda maana hakuwa wa mchezo mchezo.

Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.

Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.

Lakini haikuwa hivyo. Tumeachiwa huyu Samia.

Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too [emoji3]].
Hakumchagua yeye, bali chama, aliwahi sema hata mimi niliiona hiyo taarifa live na akasema bila kuwa mwañamke mimi nilikuwa namhitaji, Mh Hussein Mwinyi.
 
Kupigwa na vitu vizito hatukuanza leo wala jana, ni miaka na miaka, Na wakati mwingine tunapigwa kwa ujinga wetu wenyewe kama taifa.
My point is Magufuli alikosea kutupa makamu ambaye sasa ni rais wa hivi. Kwa hilo nitamlaumu yeye na chama cha mapinduzi. Walikuwa na nafasi ya kutupatia mgombea mwenza bora na sasa tungekuwa na rais bora ila ona yanayolikuta taifa sasa
 
Hili Jambo nililisema humu hata kabla ya DPW.

SSH alichaguliwa Kwa sababu,
[emoji117]Ni Mdhaifu
[emoji117]Ni mzanzibar
[emoji117]Ni Mwanamke.

Bahati mbaya sana Rais JPM Kwa Uwezo wake mkubwa alokua nao, haikua shida kwake, TATIZO NI KIFO CHAKE, KIFO CHA JPM, NA KATIBA MBOVU, NDIO VIMETUUZIA MBUZI KWENYE GUNIA


Wewe mtu kasoma Kwa kufelifeli weeeeee mpaka hapo alipo.

Hawa kiasili wanakuaga na ujuha wa kuzaliwa, wadhaifu na waoga, Watu Hawa Huwa kwenye kutafuta UKUU, wapo radhi kufanya mambo ya Hatari sana, Kwa sababu wanajua, hawana Uwezo na hivo muda wote wanahisi kudharauliwa .


Hali kama hii, huwafanya kutumia Kila Silaha wanayoweza ,kupambana na mtu anayeonekana ni Tishio !!.



Angalieni Genge lilomzunguka, Genge Zima, ni watu wanaofanana kielimu , Sasa unategemea Nape au Makamba, Wamshauri nn??


Hakujawahi kutokea kua na Rais mbovu kama huyu !!!.

Sahizi tuna makesi mengi mahakaman, hayo yote unaambiwa, Ni makosa ya JPM...Alaaaaa!!.

JPM alipokua hai, hizo kesi uchwara mbona hazikuwepo???.


Tuna Kiongozi mbovuuu kushindwa hata ubovu wenyewe
Amebaki kununua magoli ya yanga na simba ,hiyo ndo kazi anyoimudu kww 90%
 
My point is Magufuli alikosea kutupa makamu ambaye sasa ni rais wa hivi. Kwa hilo nitamlaumu yeye na chama cha mapinduzi. Walikuwa na nafasi ya kutupatia mgombea mwenza bora na sasa tungekuwa na rais bora ila ona yanayolikuta taifa sasa
Wapo wengi wanaomuona bora sana kumbuka hata slogan ya KAZI IENDELEE ni muendelezo wa kile alichokianzia hayati JPM

Hawa wakurugenzi nyeti kina Hamza, Kadogosa ni wale wale wa hayati JPM, na miradi yote anakwenda kuimaliza mmoja baada ya mwingine.

Hakuna rais atakayependwa na kila mtu, hayupo duniani pote.
 
Mtu huyo ni Rais Samia!

Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani].

Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].

Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].

Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.

Ukimwangalia Biden, unaona kabisa jamaa anapaswa awe nyumbani. Kazi ya urais wa Marekani kwa sasa haiwezi.

He is a creepy old guy. Hebu angalia hapa



Hivi alikuwa anafanya nini hapo kwa hako katoto? Na hiyo ni wiki iliyopita alipokuwa Finland baada ya kutoka Lithuania kwenye mkutano wa NATO.

Biden muda wowote anaondoka. Iwe kwa kujiuzulu, kuamua kutogombea tena muhula wa pili, au hata kufa [ingawa kifo hakina mwenyewe].

Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.

Haya, tuje kwa huyu wa kwetu hapa.

Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.

Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.

Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.

Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.

Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].

Jahazi limeshamshinda hivi sasa. Kabaki kutoa vitisho na kutumia dola kukabiliana na wanaompinga.

Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!

Rais Magufuli hakuwa kiongozi mzuri. Nilishasema mara nyingi tu kuwa yeye alikuwa msimamizi/ mnyapara mzuri.

Yeye mpe kazi au mradi ausimamie, halafu umpe mamlaka ya kutosha kuweza kufanya maamuzi ndani ya ukomo fulani, utampenda maana hakuwa wa mchezo mchezo.

Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.

Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.

Lakini haikuwa hivyo. Tumeachiwa huyu Samia.

Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too [emoji3]].
Kwa Samia sikupingi mkuu ila hapo kwa Biden alivyokuwa anamfanyia hivyo huyo dogo Kuna shida gani?
 
Back
Top Bottom