Hayati Magufuli alikosea kwenye mambo mengi mno. Kubwa mojawapo ni kumchagua huyu mtu

Hayati Magufuli alikosea kwenye mambo mengi mno. Kubwa mojawapo ni kumchagua huyu mtu

Mtu huyo ni Rais Samia!
Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.
Mkuu, NN, kwanza asante kwa hoja hii maana tayari imenipa bandiko!.

Pili naomba kuheshimu mawazo yako lakini sio lazima kukubaliana na wewe,
Uwezo wa urais is relative na unafuata principles of relativity kama ganda la mua la jana, kwa wengine ni uchafu la kutupa na wengine ni kivuno!.

Ikifanyika beauty pageant, kushirikisha 100 beautiful girls, wale the last ten, wakishindanishwa kuna the most beautiful wao.

2015 niliendesha shindano hili humu jf Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material? kwa kuwashindanisha wanawake high profile women wa Tanzania kwa sifa za urais, Samia Suluhu Hassan ndio akaibuka the top and the best, hivyo she might be not the best kwa vigezo vyako, but she is the best of what we have!.
Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.
Ana sifa zote hadi za ziada!, naomba nitajie Mwanamke mwingine yeyote mwenye nusu ya sifa hizi Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”
Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].
VP ni president in waiting, hana mamlaka yoyote ya kiutendaji, Samia Suluhu Hassan ni among the highest top profile women in Tanzania, nilimspot tangu 2010 New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!
Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!
She is human, sio super woman, hivyo anahitaji kusaidiwa, na wasaidizi huru tupo tumejitolea kumsaidia. Msaada mkubwa tutakaompa Rais Samia ni anapokosea, tumkosoe kwa lugha ya staha na kumshauri the right thing to do. Ni kweli hana ngozi ngumu ya kuhimili critics, hivyo tunamsaidia kama hivi Mzee Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Hayati Magufuli, walisifiwa, walikosolewa! Haki ya kusifu/kupongeza iende sambamba na haki ya kukosoa!

Hata sisi waandishi alipotuasa tumkune vizuri, na alipotutisha wale tutakao mpara atatuparua, Rais Samia: Ukinikuna Vizuri, mimi nakukuna huku nnakupapasa na kukupuliza. Lakini "Ukinipara...Nakuparura!
kwanza tuliuliza humu Kauli ya Rais kwa waandishi 'Wapara' kuwa wakimpara "Atawaparua", Je Rais Samia ni katili?, Soma Jinsi ya kuwabaini makatili!. Ni kutumia macho tu!. kisha tukamshari https://www.jamiiforums.com/threads...rais-samia-tunakuomba-mama-usiwaparure-wapara

Mimi ni miongoni mwa tuliomshauri JPM, ampishe Samia 2020 Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” nilishauri
Wanabodi,

She is just everything a woman needs to be!. Ingekuwa ni amri yangu ningetaka wanawake wenye uongozi, madaraka na mamlaka waige mfano wa Mwanamke huyu and to be honest I wish if Mungu angemua, huyu mama ndio akawa, then amini usiamini tutakuwa na Tanzania nzuri 100 times kuliko Tanzania hii tulionayo sasa!.

Ingekuwa ni amri yangu, ningemwambia tuu naniliu aamue 2020 asigombee his second term, na badala yake, ampishe ili awe huyu mama!.

Paskali

Kisha 2020 nikarudia "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
Wanabodi,

Kwa hoja za muungano Mama Samia alizoshusha, ningekuwa ni uwezo wangu, ningeshauri October 2020, Mama Samia ndiye ampokee Dr. Shein kule Zanzibar, ili 2025, aje ampokee Magufuli, maana kwa maoni yangu, kwa uongeaji huu, huyu mama ndiye Mzanzibari pekee anayekubalika kuweza kuchagulika kuwa rais wa JMT kutokea Zanzibar, vinginevyo Wazanzibari wausahau kabisa urais wa Muungano, wao mwisho wao ni umakamo wa rais pekee.

Kwa hoja kama hizi za huyu mama Samia, kama age sio issue sana, si huyu mama atatufaa sana 2025 au tuwashauri kwa vile Magufuli analamika sana kuhusu urais, mara ni mateso, mara ni kazi ngumu, mara ni mzigo mzito, tumshauri rais Magufuli, kwa vile Samia anatosha sana, hivyo tumpunguzie mateso, hana haja ya kuendelea na mateso, mzigo mzito na kazi ngumu ya urais, na hata kama ni wale tausi au wanyama wa Magogoni, au yale majabali ya Chamwino, tutamjengea Chato na kumuomba bora apumzike tuu mapema, na kumpisha Mama Samia ndio amalizie ngwe yake iliyobakia?. Hili mnalionaje?.

Paskali
Katika kifupi Samia amefanya mengi, makubwa mazuri, haya ni miongoni mwake
  1. Asante Mungu kwa Rais Samia: Ni Msema Kweli na Mtenda Kweli, Ni Msema Haki na Mtenda Haki. Je, Ataruhusu Ubatili Huu Kuendelea Ndani ya Katiba Yetu?
  2. Samia Mpango wa Mungu kwa Tanzania: Kwa Hili, Atabarikiwa!, Taifa Litabarikiwa!. Asante Mungu kwa Samia, Mungu Mbariki Samia, Mungu Ibariki Tanzania
  3. Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila...
  4. Haki Huinua Taifa! Rais Samia kwa Kauli na Matendo ameonesha ni mtu wa Haki. Akitekeleza hili kama alivyosema, atabarikiwa, Tanzania itabarikiwa
  5. Rais Samia ana nia njema Watanzania wapate haki, ila Watanzania hawajui Haki! Je, Tumsaidie kuelimisha umma Katiba, Sheria na Haki au?
  6. Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito!
  7. Kwa “nonsense” ya Sukari, Rais Samia anastahili pongezi. Je, tuishie kwenye "nonsense" ya Sukari tu au tuangazie na "nonsense" nyingine zote?
  8. Asante Rais Samia kwa kuwasisitiza watendaji wa vyombo vya haki kuwa haki sio hisani, bali ni stahiki. Watende haki, tubadili Katiba kurudisha haki
  9. Kuelekea Usawa wa Kijinsia: Kumbe 50/50 Inawezekana!, Wanawake Hao wa 50/50 Wapo!. Hongera Sana Rais Samia Kwa Kuonyesha Njia! Je 2025 Tuwaonyeshe?
  10. Je, kuna kazi za kike na za kiume? Fupa hili lililowashinda wanaume wanne, mwanamke mmoja ataliweza?
Kufuatia kuzuka tabia ya uchawa, mtu ukimsifu na kumpongeza rais Samia, unaweza kuonekana ni chawa!. Mimi sio chawa wa Mama Samia wala sio chawa wa mtu yoyote!. Tofauti ya pongezi za kichawa na pongezi bonafide genuine, pongezi za kichawa ni kusifu tuu!. Pongezi bonafide genuine ni kupongeza panapostahili pongezi, na akikosea tunamkosoa
  1. Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda
  2. Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
  3. Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!
  4. Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke
  5. Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee!
Namalizia kwa ushauri huu kwa wote Heshima kitu cha bure! Kwanini Rais Samia, japo sio lazima apendwe na wote lakini ni lazima aheshimiwe na wote? Akosolewe kwa staha na asitukanwe!

Paskali.
 
Kwenye mkutano mkuu wa ccm 2020 Magufuli alisema wazi kabisa kwamba yeye chaguo lake namba moja la mgombea mwenza alikuwa Hussein Mwinyi ila wazee wakamchagua Samia yeye hakumpenda kabisa ila chama kiliamua
Huyo Mwinyi mwenyewe lingekuwa bomu hasa.

Sioni la kusifu katika uongozi wake huko visiwani tokea awe rais hadi sasa.
 
Mimi nilikuwa namchukia Magufuli mno. Ila nilikuwa naomba sana hili lililotokea lisitokee i.e. Samia kuwa rais. Nilishaona kengele za tahadhari kuwa hana uwezo. Ukweli ni kwamba kwenye chaguzi karibu zote, vyama vyote vimekuwa vinaona running mates kama wasindikizaji tu. Hakuna aliyekuwa anaona kama rais anaweza kuja kushindwa kuendelea na uongozi na makamu akachukuwa. Ila Magufuli alikuwa na fursa ya kubadilisha mgombea mwenza au hata kubadili katiba na mfumo wa uchaguzi usiwe unahitaji rais na makamu kuwa kama ilivyo sasa.
Hamia Somalia
 
Ndio bahati mbaya iyo clip sina ila alisema wakati akimsifu Hussein Mwinyi kuwa anafaa kuwa rais wa Zanzibar na hapo hapo akimteua Samia kuwa mgombea Mwenza kwa awamu ya pili. Mwisho alisema ukishindana na mwanamke lazima ushindwe ndio maana Samia alimshinda Hussein Mwinyi
Una kumbukumbu nzuri sana.
 
As this Bandari saga goes on, I have of recent met with various people from various Countries East Africa, West Africa, America and Jamaica etc ...they were all agape when I showed them and they read our Inter-governmental Agreement IGA with the Dubai Emirates. Fast forward, they all asked me If the President read the Agreement, but I had no Answer because none of the Information available indicates that she has read it, again they asked "was she elected?" And I had to explain the circumstances she became President, suprisingly, they all had the same view as Nyanni Ngabu did.

Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani].
Pamoja na kuwa nasimama Nyuma ya Raisi wangu Samia Suluhu, kwa hili la Bandari nimeshindwa kumtetea kwa watu wa nje. i have failesd miserably, sio kwa sababu siwezi kumtetea, No, ila kwa sababu Mkataba wenyewe unajitetea upande mmoja, kama alivyosema Profesa Shivji. Tanzania tuna wajibu mkubwa kuliko Dubai Ports. Unakuwa kichwa maji kuutetea.

Sasa kwasababu sijui siasa siwezi kusema nani atachagulika katika chaguzi zijazo, ila naweza kusema Raisi Samia Suluhu hapaswi kutafuta ngwe nyingine, because Chama chake kitaanguka vibaya.
 
Tujilaumu wenyewe Kwa kumpinga na kumtukana Magu aliyedhamiria kuibadili Nchi Kwa muda mfupi,

Hivi sasa, watu wameficha petrol na diesel na hawafanyi kitu,

Magu aliwatisha kufuta lesseni walipogomea EFD na waliufyata.

Aje Dikteta mwingine tafadhali🙏🙏
Ninakubaliana nawe sana kuhusu uhitaji wa DIKTETA TANZANIA, lakini awe ni dikteta mwenye akili.
Awe ni dkteta mwenye UZALENDO kwa nchi yake.

Tanzania inamhitaji sana mtu wa aina hiyo, tena haraka sana.
 
Magufuli alifanyiwa ramli kitambo sana na Shekh yahaya ndiomana msoga aliitega hio
 
Kwa wanawake waliopo madarakani kwa sasa hakuna wa ku match her intellect, sorry to say.

anapenda sana kuamini system kwenye utendaji.. like most world leaders do... but surbofinates keep failing her.
Kwa maajabu ya mtu kama wewe, huwezi kabisa kuona 'contradiction' yoyote katika mistari miwili tu uliyoiandika ikifuatana..., 'in one breath, literally'!

Haya ndiyo maajabu makubwa ya watu wetu wengi tulionao ndani ya nchi hii.
Inashangaza kwelikweli!
 
As this Bandari saga goes on, I have of recent met with various people from various Countries East Africa, West Africa, America and Jamaica etc ...they were all agape when I showed them and they read our Inter-governmental Agreement IGA with the Dubai Emirates. Fast forward, they all asked me If the President read the Agreement, but I had no Answer because none of the Information available indicates that she has read it, again they asked "was she elected?" And I had to explain the circumstances she became President, suprisingly, they all had the same view as Nyanni Ngabu did.


Pamoja na kuwa nasimama Nyuma ya Raisi wangu Samia Suluhu, kwa hili la Bandari nimeshindwa kumtetea kwa watu wa nje. i have failesd miserably, sio kwa sababu siwezi kumtetea, No, ila kwa sababu Mkataba wenyewe unajitetea upande mmoja, kama alivyosema Profesa Shivji. Tanzania tuna wajibu mkubwa kuliko Dubai Ports. Unakuwa kichwa maji kuutetea.

Sasa kwasababu sijui siasa siwezi kusema nani atachagulika katika chaguzi zijazo, ila naweza kusema Raisi Samia Suluhu hapaswi kutafuta ngwe nyingine, because Chama chake kitaanguka vibaya.
Ni Rais empty head yaani sifuri sifuri zero zero
 
Look at the word 'comparatively'..... among all women in power...
You, actually have the guts to make such a sweeping, outlandish statement, ...; and with no backing evidence at that!

Incredible!
 
Ni bahati mbaya sana Samia anaamini system kwenye nchi ya watu wanaotaka kuwa micro managed and she ain't good at that.
This is the crux of the matter. The whole truth, and I am glad you got around everything else you have written and found this truth at last!
Uzuri bado ana muda... anaweza jifunza na akarekebisha mengi kabla mambo hayaja haribika sana.
But, again, you don't seem to get away from the conflict you have in your thought process. Why?

Kama bado unayo matumaini ya yeye kujifunza na kugeuza hali ilipofikia, nadhani utakuwa ni mtu wa miujiza wewe!

She is done.
Tanzania will pickup the pieces and mend itself before it moves forward.
This was a waste of precious time.
 
Uzi mwingine wa chuki unaokosa mantiki yenye kuweza kuingia kichwani. Samia ni sehemu ya serikali tangu miaka hiyo 2000.

Na kwa nchi hizi rais hawi yule anayeongelewa sana midomoni mwa watu. Lowassa alipambana kila alivyoweza akaja kuukosa urais.

January Makamba anapambana sana aje kuwa rais na hatakuwa rais huko tuendako.

Ukiukamia sana urais huwa huupati, unaishi kutengeneza makundi ya majungu na kuwa na wapambe wengi kama huyu mleta mada lakini ikulu huwezi kufika.

Tunakuwa na marais ambao sio maarufu midomoni mwa watu na ni kwa kheri ya taifa zima. Mungu anatuokoa na tabia nyingi za ajabu za hao wanaoutafuta urais kwa udi na uvumba.
Uchawa usikupofushe akili.
Lakini angalau sasa unajitambulisha pia kuwa chawa wa Samia na siyo genge tu lililomweka chini ya himaya yake.

Kuhusu nadharia yako, ni kama hujawahi kumsikia mtu aitwae Kikwete, hadi ukumbushwe, au ustuliwe tu kwa vile ulijisahaulisha kwa maksudi.
 
Ninakubaliana nawe sana kuhusu uhitaji wa DIKTETA TANZANIA, lakini awe ni dikteta mwenye akili.
Awe ni dkteta mwenye UZALENDO kwa nchi yake.

Tanzania inamhitaji sana mtu wa aina hiyo, tena haraka sana.
UtampimJe si akina tundu watasema raisi anaendesha nchi kama mali yake
 
Hii katiba ya Rais akifa basi makamu kuwa Rais haijakaa vzuri ni hatari sana kama ikitokea hujuma juu yake. Pia rahisi kupata Rais wa ajabu kama kinachotukuta sasa hivi.

Ama laah badi ikiwezekana ipatikane mbinu bora ya kumpata makamu pia.
Tuliwambia Katiba Mpya mkadhani ni ya wapinzani.Na bado Samia shikilia hapo hapo Maama
 
This is the crux of the matter. The whole truth, and I am glad you got around everything else you have written and found this truth at last!
But, again, you don't seem to get away from the conflict you have in your thought process. Why?

Kama bado unayo matumaini ya yeye kujifunza na kugeuza hali ilipofikia, nadhani utakuwa ni mtu wa miujiza wewe!

She is done.
Tanzania will pickup the pieces and mend itself before it moves forward.
This was a waste of precious time.
Dear Kalamu, your opinion is guaranteed ...!

Unfortunately we don't have any option near this time soon, may be after 7 years or so,( well aware of 2025 election with the same constitution and instruments to make her stay)

The only thing we have now is "hope"
 
Back
Top Bottom