Hayati Magufuli alikosea kwenye mambo mengi mno. Kubwa mojawapo ni kumchagua huyu mtu

Hayati Magufuli alikosea kwenye mambo mengi mno. Kubwa mojawapo ni kumchagua huyu mtu

Mr. tabasamu alihusika kumpendekeza na kuhakikisha anateuliwa! Kuna video iko humu ya juzi alilitolea maelezo alipoulizwa na mwandishi wa habari like Arusha.
Alaumiwe huyo mshika remote!
Ndo alipanga safu ya mawaziri baada ya kifo cha magufuli
 
Aliwahi sema mnaniita bi tozo kwenye mitandao yenu, hivyo anasoma yote haya.
 
Ubovu wake kwa wengine ndio uwezo wake. Ulitaka watu waendelee kuogopana bar kwenye ulevi?.

Ulitaka halmashauri ziendelee kusikiliza watu wanaoongea kisukuma muda wote wa vikao?.

Kuna watu wameonewa sana awamu mbili zilizopita hivi sasa wanapumua, huo udhaifu wote unaouona wewe kwao unavumilika,

Ulitaka watu watozwe kodi za TRA mara mbili katika biashara moja licha ya kuonyesha risiti zote kwamba walishalipa hapo awali?.

Mipango ya Mungu kwake kuwa rais kama ilivyokuwa mipango ya Mungu kwa Magufuli kuaga dunia 2021 mwanzoni kabisa mwa miaka yake mitano ya pili.
Kwamba matazo yaliletwa na hizo awamu au
 
Mtu huyo ni Rais Samia!

Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani].

Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].

Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].

Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.

Ukimwangalia Biden, unaona kabisa jamaa anapaswa awe nyumbani. Kazi ya urais wa Marekani kwa sasa haiwezi.

He is a creepy old guy. Hebu angalia hapa



Hivi alikuwa anafanya nini hapo kwa hako katoto? Na hiyo ni wiki iliyopita alipokuwa Finland baada ya kutoka Lithuania kwenye mkutano wa NATO.

Biden muda wowote anaondoka. Iwe kwa kujiuzulu, kuamua kutogombea tena muhula wa pili, au hata kufa [ingawa kifo hakina mwenyewe].

Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.

Haya, tuje kwa huyu wa kwetu hapa.

Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.

Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.

Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.

Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.

Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].

Jahazi limeshamshinda hivi sasa. Kabaki kutoa vitisho na kutumia dola kukabiliana na wanaompinga.

Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!

Rais Magufuli hakuwa kiongozi mzuri. Nilishasema mara nyingi tu kuwa yeye alikuwa msimamizi/ mnyapara mzuri.

Yeye mpe kazi au mradi ausimamie, halafu umpe mamlaka ya kutosha kuweza kufanya maamuzi ndani ya ukomo fulani, utampenda maana hakuwa wa mchezo mchezo.

Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.

Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.

Lakini haikuwa hivyo. Tumeachiwa huyu Samia.

Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too 😀].

Njoo uongee hayo ukiwa Tanzania acha kujificha huko uchochoroni
 
Wapo wengi wanaomuona bora sana kumbuka hata slogan ya KAZI IENDELEE ni muendelezo wa kile alichokianzia hayati JPM

Hawa wakurugenzi nyeti kina Hamza, Kadogosa ni wale wale wa hayati JPM, na miradi yote anakwenda kuimaliza mmoja baada ya mwingine.

Hakuna rais atakayependwa na kila mtu, hayupo duniani pote.
Tofautisha slogan na matendo kazi iendelee wakati hakuna kinachoendelea ni taarabu na ngonjera. Maneno matupu hayafai kitu.
Kwamba baadhi ya watu kuendelea hiyo kwangu sio hoja hoja ni performance hao. Performance ya kadogosa wa awamu ya tano na wa sasa ni kama watu wawili tofauti hiyo yote ni sababu ya who is at the top. Ni bora kuwa na jeshi la kondoo mia linaloongozwa na simba mmoja kuliko kuwa na jeshi la simba mia linaloongozwa na kondoo mmoja. Kwa Sasa every sector is underperforming
 
Kila kitu kimepangwa kuhusu Kamala, wakubwa wa Dunia wanataka kudestroy western Christian civilization na ndiyo maana wamemuweka Biden ambaye atamuachia Kamala ambaye anakwenda kuizika USA na Western christian world kimoja tuombee sana Ukristo (western) usishindwe, kuhusu kwetu Magufuli hakujua wala hakuwahi kudhani nafikiri kama Uraisi wake ungekatishwa nadhani aliamini kabisa kama Maraisi wengine kwamba angeongoza Miaka 5 na mitano mingine na kumwachia mwingine lkn sidhani kama alifikiria hata kidogo kama mambo yangebadilika/shwa wengi TZ maraisi hawakukifikira sana cheo cha Umakamu wa raisi kwa kifupi ni president in waiting.

Women Destroy Nations …
Acha uongo jpm alitaka kutawala Milele.

Sema mapenzi ya Mungu yatimizwe
 
Tujilaumu wenyewe Kwa kumpinga na kumtukana Magu aliyedhamiria kuibadili Nchi Kwa muda mfupi,

Hivi sasa, watu wameficha petrol na diesel na hawafanyi kitu,

Magu aliwatisha kufuta lesseni walipogomea EFD na waliufyata.

Aje Dikteta mwingine tafadhali🙏🙏
Sio kwa ufidadi ule na udikteta wake.

Tofauti ya jpm na huyu wa sasa ni Upole wa Mama. Ila wote ni ccm mafisadi tu.

To lie to the nation my friend
 
Mtu huyo ni Rais Samia!

Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani].

Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].

Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].

Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.

Ukimwangalia Biden, unaona kabisa jamaa anapaswa awe nyumbani. Kazi ya urais wa Marekani kwa sasa haiwezi.

He is a creepy old guy. Hebu angalia hapa



Hivi alikuwa anafanya nini hapo kwa hako katoto? Na hiyo ni wiki iliyopita alipokuwa Finland baada ya kutoka Lithuania kwenye mkutano wa NATO.

Biden muda wowote anaondoka. Iwe kwa kujiuzulu, kuamua kutogombea tena muhula wa pili, au hata kufa [ingawa kifo hakina mwenyewe].

Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.

Haya, tuje kwa huyu wa kwetu hapa.

Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.

Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.

Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.

Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.

Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].

Jahazi limeshamshinda hivi sasa. Kabaki kutoa vitisho na kutumia dola kukabiliana na wanaompinga.

Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!

Rais Magufuli hakuwa kiongozi mzuri. Nilishasema mara nyingi tu kuwa yeye alikuwa msimamizi/ mnyapara mzuri.

Yeye mpe kazi au mradi ausimamie, halafu umpe mamlaka ya kutosha kuweza kufanya maamuzi ndani ya ukomo fulani, utampenda maana hakuwa wa mchezo mchezo.

Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.

Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.

Lakini haikuwa hivyo. Tumeachiwa huyu Samia.

Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too 😀].

Hii katiba ya Rais akifa basi makamu kuwa Rais haijakaa vzuri ni hatari sana kama ikitokea hujuma juu yake. Pia rahisi kupata Rais wa ajabu kama kinachotukuta sasa hivi.

Ama laah badi ikiwezekana ipatikane mbinu bora ya kumpata makamu pia.
 
Tofautisha slogan na matendo kazi iendelee wakati hakuna kinachoendelea ni taarabu na ngonjera. Maneno matupu hayafai kitu.
Kwamba baadhi ya watu kuendelea hiyo kwangu sio hoja hoja ni performance hao. Performance ya kadogosa wa awamu ya tano na wa sasa ni kama watu wawili tofauti hiyo yote ni sababu ya who is at the top. Ni bora kuwa na jeshi la kondoo mia linaloongozwa na simba mmoja kuliko kuwa na jeshi la simba mia linaloongozwa na kondoo mmoja. Kwa Sasa every sector is underperforming
Mkuu kuna mengi yanayoendelea muda huu sema wewe huwezi kuyaona wala kuyathamini na ni haki yako kuwa hivyo.

Mwendo kasi unamaliziwa kujengwa. Utalii unaifungua nchi. Mahoteli kama uyoga yanaajiri wafanyakazi kila kukicha.

Ni mengi tu yanayoendelea, JPM hakuongeza mshahara hata mara moja katika miaka yote sita, SSH keshaongeza hiyo mishahara na marupurupu mengi wanalipwa wafanyakazi.

Samia hana umaarufu kwa sababu hatafuti sifa kwa nguvu, halazimishi kupendwa na watu.
 
Ilikuwa makosa kumweka Magufuli kwenye Urais, mama ndiyo anasafisha madudu ya Magufuli. Hii ni kama Mwinyi alivyosafisha madudu ya nyerere, na Kikwete akaja kusafisha ya Mkapa.

Watende wao ya wenzao huwa mwao.
Kama umeona kikwete alisafisha makosa ya mkapa Anza kusoma suratu kursiyo kimya kimya maana we sio mwenzetu tena
 
Anamsikiliza nani wakati watu wamekataa bandari isiuzwe hajawasikiliza? Mara ngapi watu wanaomba kumwambia kero zao anawafukuzia mbali kwa kishindo kikuu? Au ana ka kikundi kake anakokasikiliza? Awamu iliyopita iliwasikiliza na kuwajali wote
Ubunifu gani unausemea ubunifu wa umeme kupanda bei na wakiulizwa kila siku wanakuja na ngonjera, ubunifu wa bando kupanda bei bila maelezo ya msingi? Ubunifu sasa umekuwa nchi kuwa kama ukoo wa kambale.
Wafanya biashara gani wana amani wakati wanagoma kila siku kisa rushwa kutoka kwa kwenye mamlaka? Kariakoo iwe case study.
Kwamba hujui machinga, mama ntilie na wafanya biashara wadogo wadogo ambao wakilala usiku wanaamka na kukuta biashara zao zimevunjwa na kutupiliwa mbali kwa lugha tamu ya kuwapanga? Wengi wao wameshindwa kuendesha maisha yao huku mali zao zikiuzwa na mabenki sababu biashara zao zimeharibiwa na hawawezi kulipa mikopo. Au wewe mwenzetu wafanya biashara unawazungumzia kina MO na GSM tu?
Mbona huzungumzii masai waliotimuliwa Loliondo kumpisha mwarabu? Mbona huzungumzii kukopa kopa kulikopitiliza huku hatujui kinacho kopwa kinatumikaje? Mbona huzungumzii safari za nje zisizohesabika lakini zenye matokeo sifuri huku ziara za ndani zikiishia Mwanza na Arusha kila siku?
Majambazi ndo wanaona Anafanya kazi nzuri maana wanaweza kuiba bila kuguswa
 
Back
Top Bottom