Ndo alipanga safu ya mawaziri baada ya kifo cha magufuliMr. tabasamu alihusika kumpendekeza na kuhakikisha anateuliwa! Kuna video iko humu ya juzi alilitolea maelezo alipoulizwa na mwandishi wa habari like Arusha.
Alaumiwe huyo mshika remote!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo alipanga safu ya mawaziri baada ya kifo cha magufuliMr. tabasamu alihusika kumpendekeza na kuhakikisha anateuliwa! Kuna video iko humu ya juzi alilitolea maelezo alipoulizwa na mwandishi wa habari like Arusha.
Alaumiwe huyo mshika remote!
Unatatizo mahala mpaka hapa ,kama hujui rais hana uwezo utakuwa kituko ,Kipi kimekufanya uamini Samia Hana uwezo!?..siasa,uchumi?!
Ndiyo JK aliona wafanye hivyo na Magufuli naye akakubali kwanza ni Mzanzibar
Ila hakuna jinsi ndo imetokea
Kwamba matazo yaliletwa na hizo awamu auUbovu wake kwa wengine ndio uwezo wake. Ulitaka watu waendelee kuogopana bar kwenye ulevi?.
Ulitaka halmashauri ziendelee kusikiliza watu wanaoongea kisukuma muda wote wa vikao?.
Kuna watu wameonewa sana awamu mbili zilizopita hivi sasa wanapumua, huo udhaifu wote unaouona wewe kwao unavumilika,
Ulitaka watu watozwe kodi za TRA mara mbili katika biashara moja licha ya kuonyesha risiti zote kwamba walishalipa hapo awali?.
Mipango ya Mungu kwake kuwa rais kama ilivyokuwa mipango ya Mungu kwa Magufuli kuaga dunia 2021 mwanzoni kabisa mwa miaka yake mitano ya pili.
Alikuwa anamfanyia nini? Wewe unaona ni sawa kabisa?Kwa Samia sikupingi mkuu ila hapo kwa Biden alivyokuwa anamfanyia hivyo huyo dogo Kuna shida gani?
Mtu huyo ni Rais Samia!
Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani].
Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].
Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].
Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.
Ukimwangalia Biden, unaona kabisa jamaa anapaswa awe nyumbani. Kazi ya urais wa Marekani kwa sasa haiwezi.
He is a creepy old guy. Hebu angalia hapa
Hivi alikuwa anafanya nini hapo kwa hako katoto? Na hiyo ni wiki iliyopita alipokuwa Finland baada ya kutoka Lithuania kwenye mkutano wa NATO.
Biden muda wowote anaondoka. Iwe kwa kujiuzulu, kuamua kutogombea tena muhula wa pili, au hata kufa [ingawa kifo hakina mwenyewe].
Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.
Haya, tuje kwa huyu wa kwetu hapa.
Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.
Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.
Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.
Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.
Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].
Jahazi limeshamshinda hivi sasa. Kabaki kutoa vitisho na kutumia dola kukabiliana na wanaompinga.
Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!
Rais Magufuli hakuwa kiongozi mzuri. Nilishasema mara nyingi tu kuwa yeye alikuwa msimamizi/ mnyapara mzuri.
Yeye mpe kazi au mradi ausimamie, halafu umpe mamlaka ya kutosha kuweza kufanya maamuzi ndani ya ukomo fulani, utampenda maana hakuwa wa mchezo mchezo.
Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.
Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.
Lakini haikuwa hivyo. Tumeachiwa huyu Samia.
Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too 😀].
Tofautisha slogan na matendo kazi iendelee wakati hakuna kinachoendelea ni taarabu na ngonjera. Maneno matupu hayafai kitu.Wapo wengi wanaomuona bora sana kumbuka hata slogan ya KAZI IENDELEE ni muendelezo wa kile alichokianzia hayati JPM
Hawa wakurugenzi nyeti kina Hamza, Kadogosa ni wale wale wa hayati JPM, na miradi yote anakwenda kuimaliza mmoja baada ya mwingine.
Hakuna rais atakayependwa na kila mtu, hayupo duniani pote.
Acha uongo jpm alitaka kutawala Milele.Kila kitu kimepangwa kuhusu Kamala, wakubwa wa Dunia wanataka kudestroy western Christian civilization na ndiyo maana wamemuweka Biden ambaye atamuachia Kamala ambaye anakwenda kuizika USA na Western christian world kimoja tuombee sana Ukristo (western) usishindwe, kuhusu kwetu Magufuli hakujua wala hakuwahi kudhani nafikiri kama Uraisi wake ungekatishwa nadhani aliamini kabisa kama Maraisi wengine kwamba angeongoza Miaka 5 na mitano mingine na kumwachia mwingine lkn sidhani kama alifikiria hata kidogo kama mambo yangebadilika/shwa wengi TZ maraisi hawakukifikira sana cheo cha Umakamu wa raisi kwa kifupi ni president in waiting.
Women Destroy Nations …
Samia hana hulka ya kutaka sifa mbele ya watu, yeye ni kimya kimya. Miradi aliyoachiwa anaimaliza mmoja baada ya mwingine bila ya kuwepo kipindi kwenye TV kinachotwa kishindo cha awamu ya sita!.Unatatizo mahala mpaka hapa ,kama hujui rais hana uwezo utakuwa kituko ,
Sio kwa ufidadi ule na udikteta wake.Tujilaumu wenyewe Kwa kumpinga na kumtukana Magu aliyedhamiria kuibadili Nchi Kwa muda mfupi,
Hivi sasa, watu wameficha petrol na diesel na hawafanyi kitu,
Magu aliwatisha kufuta lesseni walipogomea EFD na waliufyata.
Aje Dikteta mwingine tafadhali🙏🙏
A very good answerUliona wapi mtu anachagua msaidizi smart kuzidi yeye
Mtu huyo ni Rais Samia!
Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani].
Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].
Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].
Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.
Ukimwangalia Biden, unaona kabisa jamaa anapaswa awe nyumbani. Kazi ya urais wa Marekani kwa sasa haiwezi.
He is a creepy old guy. Hebu angalia hapa
Hivi alikuwa anafanya nini hapo kwa hako katoto? Na hiyo ni wiki iliyopita alipokuwa Finland baada ya kutoka Lithuania kwenye mkutano wa NATO.
Biden muda wowote anaondoka. Iwe kwa kujiuzulu, kuamua kutogombea tena muhula wa pili, au hata kufa [ingawa kifo hakina mwenyewe].
Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.
Haya, tuje kwa huyu wa kwetu hapa.
Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.
Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.
Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.
Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.
Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].
Jahazi limeshamshinda hivi sasa. Kabaki kutoa vitisho na kutumia dola kukabiliana na wanaompinga.
Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!
Rais Magufuli hakuwa kiongozi mzuri. Nilishasema mara nyingi tu kuwa yeye alikuwa msimamizi/ mnyapara mzuri.
Yeye mpe kazi au mradi ausimamie, halafu umpe mamlaka ya kutosha kuweza kufanya maamuzi ndani ya ukomo fulani, utampenda maana hakuwa wa mchezo mchezo.
Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.
Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.
Lakini haikuwa hivyo. Tumeachiwa huyu Samia.
Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too 😀].
Ndo maana tunasema bibi yetu ni empty set si Ana smart yule anashindwa jujiridhisha kwa mambo madogo hivyo je makubwaJuzi alisema Kenya wamekimbilia kuwekewa bendera kwenye jengo refu la Dubai kumbe iliwekwa toka 2019.
Mkuu kuna mengi yanayoendelea muda huu sema wewe huwezi kuyaona wala kuyathamini na ni haki yako kuwa hivyo.Tofautisha slogan na matendo kazi iendelee wakati hakuna kinachoendelea ni taarabu na ngonjera. Maneno matupu hayafai kitu.
Kwamba baadhi ya watu kuendelea hiyo kwangu sio hoja hoja ni performance hao. Performance ya kadogosa wa awamu ya tano na wa sasa ni kama watu wawili tofauti hiyo yote ni sababu ya who is at the top. Ni bora kuwa na jeshi la kondoo mia linaloongozwa na simba mmoja kuliko kuwa na jeshi la simba mia linaloongozwa na kondoo mmoja. Kwa Sasa every sector is underperforming
Kama umeona kikwete alisafisha makosa ya mkapa Anza kusoma suratu kursiyo kimya kimya maana we sio mwenzetu tenaIlikuwa makosa kumweka Magufuli kwenye Urais, mama ndiyo anasafisha madudu ya Magufuli. Hii ni kama Mwinyi alivyosafisha madudu ya nyerere, na Kikwete akaja kusafisha ya Mkapa.
Watende wao ya wenzao huwa mwao.
Unavyoandika utadhani hiyo 2025 utatoka nje kwenda kupiga kura.Porojo...
subiri hiyo 2025 ndo mtajua kumtetea huyu ajuza ni kazi rahusi au ngumu ,
Mm naona alikuwa anachezea naye kama Mjukuu tu, ndio maana nikaomba ufafanuzi pengine Kuna vitu sivielewiAlikuwa anamfanyia nini? Wewe unaona ni sawa kabisa?
Majambazi ndo wanaona Anafanya kazi nzuri maana wanaweza kuiba bila kuguswaAnamsikiliza nani wakati watu wamekataa bandari isiuzwe hajawasikiliza? Mara ngapi watu wanaomba kumwambia kero zao anawafukuzia mbali kwa kishindo kikuu? Au ana ka kikundi kake anakokasikiliza? Awamu iliyopita iliwasikiliza na kuwajali wote
Ubunifu gani unausemea ubunifu wa umeme kupanda bei na wakiulizwa kila siku wanakuja na ngonjera, ubunifu wa bando kupanda bei bila maelezo ya msingi? Ubunifu sasa umekuwa nchi kuwa kama ukoo wa kambale.
Wafanya biashara gani wana amani wakati wanagoma kila siku kisa rushwa kutoka kwa kwenye mamlaka? Kariakoo iwe case study.
Kwamba hujui machinga, mama ntilie na wafanya biashara wadogo wadogo ambao wakilala usiku wanaamka na kukuta biashara zao zimevunjwa na kutupiliwa mbali kwa lugha tamu ya kuwapanga? Wengi wao wameshindwa kuendesha maisha yao huku mali zao zikiuzwa na mabenki sababu biashara zao zimeharibiwa na hawawezi kulipa mikopo. Au wewe mwenzetu wafanya biashara unawazungumzia kina MO na GSM tu?
Mbona huzungumzii masai waliotimuliwa Loliondo kumpisha mwarabu? Mbona huzungumzii kukopa kopa kulikopitiliza huku hatujui kinacho kopwa kinatumikaje? Mbona huzungumzii safari za nje zisizohesabika lakini zenye matokeo sifuri huku ziara za ndani zikiishia Mwanza na Arusha kila siku?
Iba naww kama ni simple, wakristo acheni cchukiMajambazi ndo wanaona Anafanya kazi nzuri maana wanaweza kuiba bila kuguswa