Good Ending..Nashukuru kwa sasa naendelea vizuri na ajira za mama nimebahatika hivyo naanza maisha upya
Machinga! Kitambulisho 20,000 fanya kazi popote ,tembea kifua mbere!
hospitali za umma zinaupungufu mkubwa wa watumishi, lakini vijana wahitimu wapo tu mitaani wanafanya vibaruaAlikuwa na roho mbaya,vijana wote waliomaliza vyuo 2015 aliwatumbukiza kwenye janga la kukosa ajira.
Hivi daktari au mwalimu anakosaje ajira wakati shule nyingi na hospitali hadi leo wafanyakazi hawatoshi ,shule ina wanafunzi 500+ waalimu wako 6 halafu ajira hamna.
Jamaa alikuwa mfalme Juha .
TrueJiwe kuja na sera za serikali kufanya biashara badala ya kujikita kwenye kukusanya kodi alichemsha sana.Aliua sekta binafsi na kuja na swaga za kupata gawiwo fake toka mashirika ya umma. Jamaa alikuwa anajidanganya mwenyewe!Mashirika kama Air Tanzania ni "White Elephant "🤔
Kwaiyo ulitaka kufanya biashara bila kulipa Kodi?Dah!mi nilikuwa nachukua used zanzibar nakujakuuza dar baada ya mwamba kuingia nilikutana na makodi utafkiri mzigo unatoka UK mwenyewe nilisanda mpaka leo sijaunga .
Devil's never restHe's no more. Let him Rest well.
Magufuli alichagua kuishi public life.He's no more. Let him Rest well.
Acha nicheke,maendeleo hayana chamaDah!mi nilikuwa nachukua used zanzibar nakujakuuza dar baada ya mwamba kuingia nilikutana na makodi utafkiri mzigo unatoka UK mwenyewe nilisanda mpaka leo sijaunga .
Utaenda ughaibuni kwa mluzi?Mimi nashauri vijana wote waliomaliza vyuo vya elimu juu, ufundi stadi, VETA wapewe pasipoti kubwa ya kusafiri nje bila masharti yoyote, wazewe kwenda ughaibuni.
Every United States citizen is entitled to a U.S. passport provided that they, or an adult acting on a child’s behalf, comply with all applicable requirements, and that there is no statutory or regulatory reason to deny the passport .. more : source : Fact Sheet on Passports for Judges and Lawyers
More links :
https://www.tcu.go.tz/?q=content/higher-education-statistics,
about us
The Vocational Education and Training Authority (VETA) is an autonomous Government Agency established by an Act of parliament in 1994 (Cap 82 Revised edition 2006). The overall objective of VETA is to oversee the Vocational Education and Training system in Tanzania.www.veta.go.tz
Mkapa hakuajiri?
Maswali yaliyomo kwenye andiko langu, kama utataka kuyajibu, tunaweza kujua ukweli wa mambo.
Ukijibu hivyo, maana yake unataka kusikia yale yakupendazayo bila kujali uhalisia na ukweli wake.
Nchi ina uwezo huo? Inahitaji waajiriwa kwa kiasi hicho? Waliopo, wanalingana na uzalishaji na huduma watoazo?
Wewe ukiwa na biashara, utafanya kwa mtindo huo? Mnapotaka wawekezaji, wao wanaajili kwa mtindo huo?
Wawekezaji, kazi za watu 4 mpaka 6 serikalini zinafanywa na mtu mmoja, hii inatengeneza ajira?
Mungu ambariki Rais wetu Samia. Hayo ndiyo matokeo ya conducive business environment and investment climate.Nasikitika sana!
Mimi ni kijana mmoja wapo kati ya vijana wengi walioharibiwa maisha yao!
Siku zote ukweli hujitenga na uongo, sisemi uongo utawala wote wa awamu ya tano nimehangaika sana.
Nilihitimu chuo 2015 kada ya afya!
Kutokana na uhaba wa ajira nilikaa sana kitaa nikifanya mishe mishe mpaka nikaamua kwenda kuomba kufundisha shule ya private kwakuwa nilikua ninaufaulu mzuri wa masomo ya physics na hesabu, japo mshahara ulikuwa kiduchu lakini niliendelea kukomaa.
Nimefanya kazi pale baadae ukatoka waraka kuwa shule zote zifundishwe na walimu proffesionally sisi hatutakiwi! Mkurugenzi wa shule alinishauri nikasomee ualimu nikirudi atanipa nafasi tena, sikuamua kufanya hivyo kwakuwa tayari nilikua nina fani ya Afya na ugumu wa ajira ndio ulionileta hapo! Baasi nikapewa barua ya kuachishwa kazi, tulikua wawili wote tuliachishwa kazi kwa kigezo hicho kilichotoka Serikalini!
Nilikaaa bila ramani na baada ya muda nilijikita kwenye mambo ya habari nilifungua blog baada ya kuvutiwa na blog ya jamaa yangu aliyekua anavuta hela kupitia blog yake!
Kweli nilijitahidi sana mpaka nilianza kupata matangazo nakumbuka tangazo la kwanza kabisa nilipewa kutangaza ibada za hija na kanisa flani hivi, na tangazo la pili nilipewa kutangaza cables na dawa za mitishamba kupitia blog yangu!
Kiasi flani nilikua napata pata pesa japo zilikuwa kidogo.
Sikuchukua muda sana Serikali ya awamu ya tano ikazuia kuchapisha maudhui bila leseni na leseni ilikuwa mpaka 3M. Hapo ndo ukawa mwisho wa blog yangu nikajielekeza pengine kutafuta kipato!
Kiufupi ni kuwa mitego yangu yote awamu ya tano iligoma! JPM ametuharibia maisha wengi.
Nashukuru kwa sasa naendelea vizuri na ajira za mama nimebahatika hivyo naanza maisha upya.
Asante SSH, wakumbuke vijana wengi wanaishi maisha ya shida sana.