Hayati Magufuli alikuja kuharibu maisha ya vijana, Mimi ni mmoja wa wahanga

Jiwe kuja na sera za serikali kufanya biashara badala ya kujikita kwenye kukusanya kodi alichemsha sana.Aliua sekta binafsi na kuja na swaga za kupata gawiwo fake toka mashirika ya umma. Jamaa alikuwa anajidanganya mwenyewe!Mashirika kama Air Tanzania ni "White Elephant "🤔
 
hospitali za umma zinaupungufu mkubwa wa watumishi, lakini vijana wahitimu wapo tu mitaani wanafanya vibarua
 
True
 
Dah!mi nilikuwa nachukua used zanzibar nakujakuuza dar baada ya mwamba kuingia nilikutana na makodi utafkiri mzigo unatoka UK mwenyewe nilisanda mpaka leo sijaunga .
Acha nicheke,maendeleo hayana chama
 
Utaenda ughaibuni kwa mluzi?
 

Acha siamba Mkuu, watu wote tumejionea ajira hazikuwa kipaumbele awamu iliyopita.

Kuhusu umaskini wa nchi hii hoja haina mashiko ukumbuke ilisemekana hii nchi ni "tajiri" alias "Dona Kantre" tatizo kubwa tuliwaza maendeleo ya vitu zaidi na kusahau maendeleo ya watu.

Binafsi I don't get it kwanini hizi project Nyerere dam na SGR ziliendeshwa pamoja kwanini tusingeanza na Nyerere dam ambapo ingechochea maendeleo ya viwanda huku ajira nazo zikiendelea then the next project ije kuwa SGR huku ajira na nyongeza za watumishi zikiendelea? Ku run maproject makubwa makubwa kama haya at once ni sawa na kukanyaga Brakes and Accelerator at once.
Ni hayo Mkuu
 
Babu yule alikua na roho ndogo sana, roho ya uharibifu na kimaskini, alitufanya kama Taifa zima ni wanae na anaweza kutuamulia atakavyo, daah acha
 
Maisha ndivyo yalivyo kuna kupanda na kushuka wewe muda huu unainjoi kuna mwenzako anapitia magumu.
 
Usimlaumu kwenye suala la Ualimu wewe uliziba nafasi ya ajira kwa wenye taaluma yao kwann hukuenda kujitolea kwenye fani yako JPM alikua anaweka mambo kwenye mstari hakutaka makanjanja
 
Mungu ambariki Rais wetu Samia. Hayo ndiyo matokeo ya conducive business environment and investment climate.

Mwendazake alikuwa HOSTILE na foreign investors na alikuwa reckless tyrant hata kwa local business people.

He had to DIE by any means for our country to escape becoming another Zimbabwe. Praise to our Lord
 
ukweli umuweka mtu huru , umeandika ukweli mtu . shida inakuja nani atakiona kilio cha vijana waliomaliza 2015 na 2016. jibu hakuna .
Maisha lazima yaendelee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…