Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,971
- 13,608
Jiwe kuja na sera za serikali kufanya biashara badala ya kujikita kwenye kukusanya kodi alichemsha sana.Aliua sekta binafsi na kuja na swaga za kupata gawiwo fake toka mashirika ya umma. Jamaa alikuwa anajidanganya mwenyewe!Mashirika kama Air Tanzania ni "White Elephant "🤔