Hayati Magufuli alikuwa na uelewa mdogo wa masuala ya dini, asilaumiwe

Ukiacha eneo la ujenzi na ukandarasi wa mabarabara ambalo ndio specialty yake, mambo mengine ilikua “anajiongeza” tu!

Ila mzee wetu alikua “mweupe” sana kwenye uchumi, siasa na utu!
 
Sema JPM alikuwa kiongozi bora sana kwa mstakabari wa maendeleo ya Taifa la Tanzania: Rest in eternal peace 🙏🏽
 
Lini amemjua Mungu zaidi ya dakika za mwisho alipoonyeshwa maandishi ukutani mene mene tekeleki.
 
Wengine hatujashiriki ktk mauaji ya watu wengine, hivyo hatufanani kweli wala kudhulumu watu haki au mali zao.

Tuseme ukweli, Magufuli alikuwa ni mtu mwenye roho mbaya sana na labda ndio chanzo cha Mungu kumchukia na kukatisha urais wake ili aokoe watu wake na ukatili wake. Kazi ya Mungu haina makosa.
 
Ukiangalia kwa umakini wote wanaomtetea jiwe utaona kama Wana mental disorder, wengine huita mtindio wa ubongo yani hawapo sawa
Hata wale wanaompinga JPM nao pia wanamatatizo ya akili mental disorder.. Yaani badala ya kupambania maisha yao wanagombana na mtu alie kufa.. Halafuwanajiona wanshinda eti kwasababu hajibu mashambulizi... 🙄. R. I. P JPM 🙏
 
Sio kosa Lao,

Ukitumia media kuaminisha watu Jambo Fulani Kwa miaka mitano mfululizo watu huamini.

Media ni hatari Mkuu
Media itakujenga au itakubomoa mazima! Media ilimpa umaarufu sana Magu miongoni mwao walalahoi lakini ikamharibia sana heshima kwa watu wenye akili timamu! Amekufa akiwa amekata tamaa kabisa ndio maana alianza ngonjera za "kuna siku mtanikumbuka", eti kwa mazuri akijua alitenda maovu mengi sana kwa wananchi!
 
Brilliant! Asante sana
 
Mwanangu toa japo ushahidi na siyo tuhuma ambazo zinapwaya. As for me your dad, I will go wherever facts lead me.
 
Usahaulifu ni moja ya sifa mojawapo kubwa sana kwa binaadam!
 
Hivi Magufuli alipinga uvaaji wa barakoa kweli? ninachokumbuka alisema tuwe makini na barakoa ikiwezekana tushone za kwetu, pia hakupinga chanjo bali alisema tuzipokee na kuzichunguza na kuwa na uhakika nazo!

Unasema hakuwa na uelewa wa masuala ya dini; hivyo asilaumiwe-wakati huohuo unamlaume kuwa alikuwa mpotoshaji.

Uwezo wa Magufuli ulikuwa beyond juu ya uwezo wako finyu hasa katika kuyang'amua mambo hii utaibaini endapo uelewa wako haujafungwa kwenye minyororo ya kiimani(your psyche or mental gamption being tied up in religious angle).

Ukijifinya kwenye uelewa huo utakwama mzee, ulishawahi kujiuliza aliwezaje kuivusha nchi kipindi kila jirani yetu kafunga mipaka lakini sisi tukawa imara na hatukujifungia akiwemo wewe 'MJINGA'?

Ni Magufuli huyuhuyu akiwa Rais WB waliitangaza Tz kuwa Taifa la uchumi wa kati ndani ya janga la Corona nenda Geneva ukaipinge WB maana hakutangaza yeye.

Mnakuwa wajinga mno yaani kupitiliza,mnasema alikuwa mpotoshaji kwa kupotosha ukweli juu yake hivyo hamjui kuwa hamjui (you know nothing on your imbecile you pumpkin of no commercial value).
 
Magumashi alikuwa poyoyo asiyejua kitu, sio dini tu, hata siasa, Uongozi na ustaaraabu kwake vilimpita kushoto
 
Huu Uzi umeandikwa na mtoto aliyezaliwa kwenye mbio za mwenge au alipatika kwenye vilabu vya pombe za kienyeji


USSR
 
Umeweka namba ili uolewe humu unatafuta bwana humu

USSR
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…