Hayati Magufuli alikuwa na utashi lakini alikosa uwezo

Mbona jpm Sasa alikuwa anatuingiza Chaka.
 
Kinachonisikitisha mimi mpaka kesho ni badala kama nchi kujaribu ku own vision yake kwa faida ya nchi na kumwondoa yeye kama person katika scene, ili nchi isiingie hasara mara mbili, tumeweka visasi at individuals mpaka tumefanya kuwa agenda ya kitaifa vitu ambavyo ni very personal na kwasababu hiyo vitaliumiza taifa zima na kuongeza hasara mara mbili kisha kama nchi itatubidi turudi nyuma kwanza badala ya kuendelea mbele....Hapa tumeonyesha udhaifu katika tasnia ya uongozi, we are not resilient!
Na tunakubali kuleta uhasama wa individuals kwenye level ya utendaji wa kitaifa badala ya kuzingatia uongozi wa kitaasisi...Hapa ndipo napokubaliana na watu wote wanaopendekeza Katiba mpya...Maana individuals wameonyesha ku abuse power zao kwakua tu hakuna instruments strong za kuwa mitigate preferences zao....A big weakness kwa katiba tuliyonayo sasa
 
Mkuu acha uongo tuliopata ajira chini ya JPM tupo wengi sana ninawashkaji zangu walipata ajira TANAPA huko 2018 na walimaliza chuo 2014, nina watu ninaowafahamu walisoma biomedical waliajiriwa 2017 ninawafahamu pia jamaa zangu tena mainjinia waliajiriwa na JPM 2020 kwenda kufundisha shule za ufundi. Achilia mbali wahasibu. Sasa unaposema hakuajiri unamaana gani kama hauna ushahidi kaa kimya usitende dhambi bure na inawezekana wewe sio mfuatiliaji wa mambo unapenda kusikiliza maneno ya wanasiasa bila wewe kufanya utafiti.
 
Wale wananchi wanaomsikiliza TL kwenye mikutano ni wajinga? Wanafurika vile na ukosoaji unaendelea.

Jpm aliteka nyoyo za watu wajinga wajinga tu. Ila wanaoelewa na kupata habari zake walikinai
Hapa una prove kitu, kwamba hao unaowaita waelewa na unaodai wana access kwenye taarifa sahihi, ndiyo ambao unawachongea hapa ujinga wao, maana wameshindwa kuonyesha kwa vitendo aliyoonyesha JPM kwa hao unaowaita wajinga. Then it means tuna watu ambao siyo sahihi kwenye hizo positions kwa context ya wapiga kura wao na una verify kwamba siyo democracy inaamua bali dola, sorry to say so!
 
Hivi umelewa kweli nilichoandila? Nimesemea kwamba aim ni kujiajiri ili kupata kipato kikubwa ila lazima upate pa kuanzia. Huwezi kujiajiri from no where. Ndo mana nikatoa mfano wa Elon musk

Mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe…acha kupotosha jamii kwa uvivu wako bro…kusoma sio utajiri…na I doubt km hata hio elimu unayo na kama kweli unayo basi una shida nyingine maana nina marafiki madaktari wasingeongea hivi..

Baada ya kusoma comment zako naona wewe unachuki tu na huyu mwamba..ebu msikilize mzee huyu upate picha kidogo ya wapambanaji…maana nikikuandikia vitabu vya kusoma hutasoma…maana ushasema kuandika hujui una prefer voice notes..

 
Naunga mkono hoja
 
Hakuna maana ya kuongeza mishahara kama huwezi kudhibiti mfumko wa bei,unawaongeza unawaongeza tsh 12000,halafu unaruhusu mfumko mkubwa wa bei?
 
Reactions: Ame
Ni kipindi gn madaktari waligoma?
 
Hakuna maana ya kuongeza mishahara kama huwezi kudhibiti mfumko wa bei,unawaongeza unawaongeza tsh 12000,halafu unaruhusu mfumko mkubwa wa bei?
Kuongeza mishahara siyo wishes za rais Bali ni sheria na IPO inafanyakazi unless kama jpm aliamia awe dictator kama alivyoamua kuwaambia wakurugenzi watangaze hivyohivyo mgombea wa ccm hata kama hajashinda ubunge. Ukiona rais ambaye anakanyaga sheria zilizopo Kuna tatizo kubwa
 
Naamin angeifikisha mbali hii nchi hasa kimiundombinu na uwajibikaji! But kilichofanya nione ana tatizo ni pale kuona upinzani ni adui no 1 Nchi hii. Pia kama kwel alitaman hii Nchi ifike mbali na ainyooshe alipaswa kuikita katiba mpya ambayo ni msumeno kama china, ukiiba au kufisad ni kifungo maisha au kunyongwa! Lkn unataka unyooshe Nchi kwa katiba hii? Never ever.
 
Well said! Ndio maana mara zote nasema jpm alikuwa na dhamira ya dhati ya kuona nchi inasonga mbele na kwa nafasi yake kama kiongozi senior kwenye serikali miaka mingi anajua uhuni mwingi uliokuwa unaiumiza nchi . Shida ni pale alipoanza kuhangaika na upinzani wakati wapinzani wake wa kweli waliokuwa wanaifisadi nchi wako chamani mwake.
 
Kama hakuna chakuongeza sheria itaongeza? Vitu vingine mtumie akili kuvisema...
 
Acha ku panic ndugu hoja kwa hoja au ndo msiojulikana
 
Hhahaha..kwa kweli walikinai na habari zake za
-kununua midege 11 ndani ya miaka mitano
-kuanzisha mradi wa Stiglers
-kuanzisha mradi wa sgr
-kutengeneza mifumo ya barabara nchi nzima
-kujenga vituo vya mabasi na flyovers
-kujenga madarasa nchi nzima
-kutumbua watumishi hewa, vyeti feki..n.k
N.k n.k.n.k..lakini hii ni kazi ya ccm msijifanye hamuelewi..ni Utekelezaji wa Ilani ya ccm...ambayo mama yetu Dr SSH anaendeleza bila kuchoka..watu waendelee kukinai tu hakuna namna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…