Hayati Magufuli alikuwa na utashi lakini alikosa uwezo

Hayati Magufuli alikuwa na utashi lakini alikosa uwezo

Yule mzee ni mawazo yake tena ya kijinga ,,,sorry to say this...sio mawazo ya chama dola
Yule mshamba jiwe hao ndio angehangaika nao kwani ndio waligeuza chama kuwa kijiwe chao cha kuipiga nchi, yeye akapoteza muda na kuvunja Billcanas na kuharibu mashamba ya Mbowe na kuwapiga risasi akina Lissu. Yuko wapi sasa!? Wenzake wanaimba "chama kimerudi kwa wenyewe"
 
Kumbuka miaka mitano hakuweza kuajiri kabisa ndo chanzo Cha walimu, madaktari na manesi kujaa mtaani ambapo amempa shida sana mama kuwaabsorb wote Hawa. Kundi ni kubwa mno. Jk alikwenda vizuri sana ambapo alikuwa anaajiri sector hizi kwa maelefu labda ukatae mwenyewe kuajiriwa na serikali na ukumbuke enzi za jk private sector ilikuwa strong kiasi ambacho wengi hawakitaka kuajiriwa serikalini kabisa. Halafu ukumbuke miaka mitano yote hakuweza kuongeza kabisa mishahara ambapo jk alikuwa anaongeza kila mwaka na hii ikapelekea mzunguko wa pesa kuwa mkubwa. Hili neno vyuma vimekaza limeanza kuimbwa kipindi Cha jpm. Hii ni proof kwamba serikali ya jpm haikuwa na hela ila mabavu tu na ndo mana alitamani kuvifuta vyombo vyote vya habari ali asihojiwe kwa lolote na udictator umeanzia kwake.
Alikuwa na Nia na matarajio lakini uwezo hafifu
 
Nimesema kitu chochote kibaya kuhusu JPM ukitaka kumi test nenda mtaani kaongee na wananchi..utapata majibu..lakini unavyosema hivi hapa wewe ndio unaonekana mjinga
Wale wananchi wanaomsikiliza TL kwenye mikutano ni wajinga? Wanafurika vile na ukosoaji unaendelea.

Jpm aliteka nyoyo za watu wajinga wajinga tu. Ila wanaoelewa na kupata habari zake walikinai
 
Nimesema kitu chochote kibaya kuhusu JPM ukitaka kumi test nenda mtaani kaongee na wananchi..utapata majibu..lakini unavyosema hivi hapa wewe ndio unaonekana mjinga
Kupiga risasi wapinzani, kuteka watu na kupoteza watu kulikuwa kunaleta chakula mezani kwa watu, au kuwapa ajira!? Mbona unajaribu kutetea hoja yako kijinga!? Umekazania nenda kwa wananchi, nenda kwa wananchi, mbona hata mimi kuna sehemu nimeandika kuwa jiwe alikuwa ana uchungu kweli na maendeleo ya Tz ila kuna vitu vya kijinga alifanya .
 
Hata wewe unaweza ondoka hata leo.na hata kesho usinione kwani Kuna mtu Ana Mkataba na Mungu, mlete hapa...
Achana na hilo Taahira lililoamua kukujibu kupitia ID nyingine baada ya kulizidi hoja.

Linataka kusema hata wale Watoto wachanga wanaokufa siku za kuzaliwa nao walikuwa wana dhambi kuliko yeye...[emoji2]
 
Ukizungumza haya ukumbuke ni kipindi chake kipi? Cha kwanza nchi ilikuwa na resesrve ya Mkapa ambaye aliuza mashirika ya umma...Ni JPM ndiye aliyekuja na vitu ambavyo ni vya ndani kujenga reserve ya nchi na alikuwa anaenda vizuri, kama asingekatizwa na kifo kipindi hiki ndiyo ungejua uchumi unajengwaje kwakua miradi yake yote ya kimkakati ingeanza kutema na ungeshangaa angeajiri mpaka wakakosekana wakuajiri...JPM hawezi kuwa evaluated kwakua hakufanikiwa kumaliza mipango yake according to plans kwakua plan yake ni 10 years wakati ameitekeleza kwa only 5 years, mchawi mchukie haki yake mpe...
Mashirika yapi yaliuzwa kwa hela nyingi?, BORA au makaa ya mawe mchuchuma? 😂,
NBC iliuzwa hadi mwalimu alitaka kuzuia, mkapa akauza,, KAUMA sijui nayo iliingiza ngapi,, SUKITA nayo hatujui,
Kiufupi mashirika ya umma hata mwinyi aliyakuta yako hoi bin taabani,, government centred economy ilikua imefail,, IMF walitaka yafanyike mageuzi ya kisiasa na kiuchumi ili watoe misaada,
Nwalimu hakukubali, akang'atuka, wakati mwinyi anashika madaraka, tayari mashirika yashakua hoi, ndo akaanzia structual adjustment programme,, ambao ulikua mpango wa IMF kufufua uchumi wa nchi za dunia ya tatu,
Mkapa aliendeleza tu kwa kubinafsisha mashirika, kwani IMF walitaka serikali ijitoe katika kufanya biashara,
Wakati jk anaingia ndo alikuta sector binafsi ndo ikijikongoja kunyanyuka ndo akafungua fursa zaidi ya private sector, market economy🤷🏾‍♂️
 
Mimi hapa Nina mkataba naye na siku akitaka kunichukua ataniambia tu mana nimeokoka haswaa. Mi siyo mpagani kama wafanyavyo wakatoliki
Mtu gani aliyeokoka anayeishi kwa chuki endelevu zinazoweza kumsababishia sonona?

Au ulipoambiwa "samehe 7×70" ulikuwa hujui faida zake?

Wivu mpaka kwa Marehemu, mwili, nafsi na roho yako vinahitaji transformation ili uwe Binadamu badala ya kuwa ibilisi.
 
Kupiga risasi wapinzani, kuteka watu na kupoteza watu kulikuwa kunaleta chakula mezani kwa watu, au kuwapa ajira!? Mbona unajaribu kutetea hoja yako kijinga!? Umekazania nenda kwa wananchi, nenda kwa wananchi, mbona hata mimi kuna sehemu nimeandika kuwa jiwe alikuwa ana uchungu kweli na maendeleo ya Tz ila kuna vitu vya kijinga alifanya .
Kipindi hicho musiba anasema bora watu wachache wapotee ili nchi ya watu milioni 60 ifike🤷🏻‍♂️
 
Wale wananchi wanaomsikiliza TL kwenye mikutano ni wajinga? Wanafurika vile na ukosoaji unaendelea.

Jpm aliteka nyoyo za watu wajinga wajinga tu. Ila wanaoelewa na kupata habari zake walikinai
Hhahaha..kwa kweli walikinai na habari zake za
-kununua midege 11 ndani ya miaka mitano
-kuanzisha mradi wa Stiglers
-kuanzisha mradi wa sgr
-kutengeneza mifumo ya barabara nchi nzima
-kujenga vituo vya mabasi na flyovers
-kujenga madarasa nchi nzima
-kutumbua watumishi hewa, vyeti feki..n.k
N.k n.k.n.k..lakini hii ni kazi ya ccm msijifanye hamuelewi..ni Utekelezaji wa Ilani ya ccm...ambayo mama yetu Dr SSH anaendeleza bila kuchoka..watu waendelee kukinai tu hakuna namna
 
Wewe mshamba unatoka nje ya reli sasa. Muda mrefu hapa unajifanya daktari wakati wewe ni mburula mmoja tu. Kuokoka ndio kitu gani!?
Hahaha mwambie huyo mbulula..hajitambui..hata kama yeye ni me au ke huyo nadhan
 
Mashirika yapi yaliuzwa kwa hela nyingi?, BORA au makaa ya mawe mchuchuma? 😂,
NBC iliuzwa hadi mwalimu alitaka kuzuia, mkapa akauza,, KAUMA sijui nayo iliingiza ngapi,, SUKITA nayo hatujui,
Kiufupi mashirika ya umma hata mwinyi aliyakuta yako hoi bin taabani,, government centred economy ilikua imefail,, IMF walitaka yafanyike mageuzi ya kisiasa na kiuchumi ili watoe misaada,
Nwalimu hakukubali, akang'atuka, wakati mwinyi anashika madaraka, tayari mashirika yashakua hoi, ndo akaanzia structual adjustment programme,, ambao ulikua mpango wa IMF kufufua uchumi wa nchi za dunia ya tatu,
Mkapa aliendeleza tu kwa kubinafsisha mashirika, kwani IMF walitaka serikali ijitoe katika kufanya biashara,
Wakati jk anaingia ndo alikuta sector binafsi ndo ikijikongoja kunyanyuka ndo akafungua fursa zaidi ya private sector, market economy🤷🏾‍♂️
Kaangalie kumbukumbu za BoT researve ya enzi yake na hiyo ya awamu yake kipindi cha pili kisha zi post hapa kupunguza ubishi...Kumbuka ni Mkapa ambaye alisamehewa madeni, kumbuka ndiyo kipindi ambacho aliweza kuongeza mishahara by 60% na mwenzake akaongeza only kipindi cha kwanza 100% kwakya uchumi ulishaanza kukaa vizuri; but kipindi cha pili ndiyo kwa mara ya kwanza katika historia ya utumishi wa umma increament zikaanza kuwa frozen kuanzia 2012...Kufikia 2014 hadi kulipa mishahara ilikuwa taabu.

Huwa sifuati mikumbo, mimi ni beneficiary wa awamu ya JK na victim wa awamu ya JPM, but will never lie hata anagekuwa baba yangu ndiyo mhusika...JK was democratic but uchumi na udhibiti wa mali ya umma no thank you....Sema mengine!
 
Kipindi hicho musiba anasema bora watu wachache wapotee ili nchi ya watu milioni 60 ifike🤷🏻‍♂️
Haya maneno ya kizalendo lakini unasemaje...ameweka mbele utaifa badala ya ubinafsi wenu...unasahau Kuna watu wanafia nchi ili iendelee..watu wanapigana Vita Kongo kutetea nchi yao, wengine wanakufa Kwenye vita ili nchi iendelee kuwa na amani..hivi haya huyaelewi..wewe utakuwa sio Mtanzania halisi
 
Yule mshamba jiwe hao ndio angehangaika nao kwani ndio waligeuza chama kuwa kijiwe chao cha kuipiga nchi, yeye akapoteza muda na kuvunja Billcanas na kuharibu mashamba ya Mbowe na kuwapiga risasi akina Lissu. Yuko wapi sasa!? Wenzake wanaimba "chama kimerudi kwa wenyewe"
Hapa nakubaliana na wewe, alipoteza energy yake kwa watu ambao hata siyo significant kwa nchi; hapa ndipo honesty ya watanzania inapokosa kuvuka mtihani. Wengi wetu tupo partial hata sasa, wengi wanashindwa ku cite makosa ya kweli ya JPM kwakukosa honesty na objectivity character....Utakuta mtu ana kinyongo chake personal kwa mambo yake binafsi anayafungamanisha na nchi as if yeye ni nchi. Ndiyo sababu mtu anaweza tumia cheo chake kumwadabisha mgoni wake na bado akaona okay...Ni dalili ya kukosa integrity na ustaarabu.

Kama kuwa victimized ni wengi tumekuwa victimized kwakua tu JPM alikuwa hana leadership skills na pia hakuwa anaangalia details zaidi ya dhamira yake ya kujenga nchi ambayo ali demonstrate kiuhalisia kila mtu objective analijua hili na kwa maoni yangu, hakuna kiongozi aliyewahi kubeba nchi na agenda zake kwenye nafsi yake kama yeye na baba wa taifa; but a lot of us forget this...Namshukuru Speaker juzi amelisema hili, tunafanya sana personification na kushindwa kuangalia issues at hand...Ni dalili ya kukosa critical thinking na ni indicator ya kutoelimika. Mataifa ya wenzetu wanaweza ku separate issues from persons...Unaweza mchukia mtu lakini ukampa haki yake...
 
Haya maneno ya kizalendo lakini unasemaje...ameweka mbele utaifa badala ya ubinafsi wenu...unasahau Kuna watu wanafia nchi ili iendelee..watu wanapigana Vita Kongo kutetea nchi yao, wengine wanakufa Kwenye vita ili nchi iendelee kuwa na amani..hivi haya huyaelewi..wewe utakuwa sio Mtanzania halisi
Ok, kwa uoni wangu, maendeleo kipindi cha jpm ni kununua ndege, meli mv mwanza(kamalizia mwingine),reli SGR, (atamaliza mwingine),tanzanite bridge, kigongo bridge, nyerere hydro electric project (atamalizia mwingine).

Haya ni maendeleo machache mno kylinganisha na marais wengine, na asilimia 70 ya miradi ya jpm kaiacha bado haijitimia
 
Sijui ndugu yangu naomba unieleweshe. Sisi wazee hii misemo hatuijui
 
Kiongozi mzuri ni yule anayetambua watu wake siyo vitu vyake. Kiongozi mzuri ni yule anayecreate vitu watu wake waajiriwe kama kipindi Cha jk ambapo alibuni shule sa kata ili walimu waajiriwe kusiwe na excess ya walimu. Huyu mwalimu kasomea kufundish ahalafu unasema akauze biskuit kweli! Sasa amepoteza miaka mitatu ya ualimu for what. This is misuse of resources
Kwani mkuu serikali inapangia watu cha kusoma?,hukumbuki enzi hizo mtu anasoma ualimu akijua akitoka atapata ajira tena kwa GPA yoyote na masomo yoyote tu?,je hao nao walaumu serikali ya jpm?,

Hivi ungekua rais ungeajiri kila mwaka hata kama wamejaa na hakuna uhitaji?

Kuhusu shule za kata hazikuanzishwa ili ziweze kuajiri watu bali watu angalau wawe na elimu ya kidato cha nne,na wote tunajua kuwa zile shule ubora wake ni mdogo,isipokua kwa wanafunzi gifted ndio wanafika juu.
 
Back
Top Bottom