Hayati Magufuli alikuwa na utashi lakini alikosa uwezo

Hayati Magufuli alikuwa na utashi lakini alikosa uwezo

Mimi nakubali Sana kuwa JPM alikuwa na utashi mkubwa na nchi hii lakini uwezo alikuwa Hana. Hii inadhihirishwa na miradi mikubwa aliyoianzisha japo Nina uhakika asingeweza kuimaliza mana tayari alinipiga Pini yeye mwenye kwa kuweza mazingira magumu kwa wafanyabiashara wakubwa kutoamini kuwekeza tena nchini kwa sababu ya kufokafoka kwake na ikumbukwe Hawa ndo walipa Kodi. Yeye alibaki tu anazalisha machinga wengi ambapo kimsingi hawalipi Kodi.

Pili alishajenga ukuta na mayaifa wahosani kwa kauli zake hivyo mikopo au misaada tukanyimwa kabisa.
Ndiyo alipenda nchi yake lakini uwezo alikuwa Hana. Akaanza kuvamia akaunti za matajiri ili kuiba hela kwa ajiri ya kumaliza miradi hiyo ambapo in the long run nchi ingeburuzwa mahakamani ndo ndo mana kila kukicha ndege zilikuwa zinakamatwa hapa na pale ambapo baadae shirika lingejikuta halina ndege tena.
Hahahaa uwe unajua unaongea na watu gani...hiv unadhani woote hatuna akili kama wewe..shule ya msingi umesoma mpaka la ngapi jomba..embu nenda mtaani uka test theory yako..upate findings za kutosha na conclusion..halaf uje na uharo wako
 
Hahahaa uwe unajua unaongea na watu gani...hiv unadhani woote hatuna akili kama wewe..shule ya msingi umesoma mpaka la ngapi jomba..embu nenda mtaani uka test theory yako..upate findings za kutosha na conclusion..halaf uje na uharo wako
Nina masters ya uchumi dogo nimeshafanya utafiti kila kitu
 
Nina masters ya uchumi dogo nimeshafanya utafiti kila kitu
Labda utafiti wa chumbani kwako...nenda ka test uchumi wako Sasa mtaani...msitafute fursa kwa kupandia mgongoni mwa marehem..hamtafanikiwa kamwe..
 
Labda utafiti wa chumbani kwako...nenda ka test uchumi wako Sasa mtaani...msitafute fursa kwa kupandia mgongoni mwa marehem..hamtafanikiwa kamwe..
Yule anapendendwa na mbulula tu mtaani hasa wale waliokuwa na wivu kwamba flani aje afanane na sisi baada ya kutumbuliwa
 
Yule anapendendwa na mbulula tu mtaani hasa wale waliokuwa na wivu kwamba flani aje afanane na sisi baada ya kutumbuliwa
Kama wale wa mtaani na ambao ndio wengi wapiga Kura ni mbulula..Basi sawa
 
Nitajie nchi mojawapo ulaya uliyoiona madaktari wakigoma,kama Sio kenya na hapa Tanganyika, kwasababu ya ufisadi.
Ulaya daktari analipwa kuanzia milioni 200 na kwenda juu zaidi mpaka bilioni 1 kwa mwaka inategemea na specializations kwa hiyo hana haja kugoma kwani fani ya udaktari haiendeshwi kisiasa huku ulaya ni demand and supply and how good you are and how much you are needed and how useful you are to the society you live in
 
Utaletewa bili ya kodi ya million 300 na wewe mapato yako hayafiki milioni 100 huo uzalendo utautaftia wapi?
Machine si huwa inarekodi matumizi yangu mkuu na ikitokea kinyume na ninavyolipa siku zote, kesi inaanzia hapo mkuu
 
Kama wale wa mtaani na ambao ndio wengi wapiga Kura ni mbulula..Basi sawa
Kinachowasbua ni kukosa shule tu hakuna mwenye shule yake alikuwa anampenda jpm. Waliokuwa wanampenda ni akina sabaya na makonda na wanaofanana na Hao na unakumbuka akina makonda hata form four tu hana
 
Alikua mzuri, tatizo roho ya kwanini tu,, mfano aligoma kuendeleza miradi ya mtangulizi wake mfani gesi mtwara, bandari bagamoyo, etc kwa kuhisi tu JK ndo atasifiwa,, na akaamua kufanya miradi yake, ambayo Rais aliefuata angekuwa na roho ya kwanini nae angeiacha ili afanye ya kwake,,
 
Machine si huwa inarekodi matumizi yangu mkuu na ikitokea kinyume na ninavyolipa siku zote, kesi inaanzia hapo mkuu
Wanasema lipa kwanza alafu kesi baadae hivi wewe umeshawahi kulipa kodi Tanzania kama mfanyabiashara au unazungumzia hadithi??
 
Kinachowasbua ni kukosa shule tu hakuna mwenye shule yake alikuwa anampenda jpm. Waliokuwa wanampenda ni akina sabaya na makonda na wanaofanana na Hao na unakumbuka akina makonda hata form four tu hana
Nimekwambia nenda ka test uchumi wako unaousema mitaani..utapata jibu...muulize Lissu yaliyompata
 
Enzi za jk. Mi kwa Sasa naweza jiajiri kwa sababu Nina ajira na imenipatia kipato. Lakini enzi jpm hakukuwa na jaira kabisa ikawa ni vilio kwa wasomi. Sisi kipindi Cha jk hatukukutana na dhahama hiyo kabisaa
"jaira" [emoji2960]
 
Enzi za jk. Mi kwa Sasa naweza jiajiri kwa sababu Nina ajira na imenipatia kipato. Lakini enzi jpm hakukuwa na jaira kabisa ikawa ni vilio kwa wasomi. Sisi kipindi Cha jk hatukukutana na dhahama hiyo kabisaa
jk [emoji777]

Mh. JK [emoji736]
 
Alikua mzuri, tatizo roho ya kwanini tu,, mfano aligoma kuendeleza miradi ya mtangulizi wake mfani gesi mtwara, bandari bagamoyo, etc kwa kuhisi tu JK ndo atasifiwa,, na akaamua kufanya miradi yake, ambayo Rais aliefuata angekuwa na roho ya kwanini nae angeiacha ili afanye ya kwake,,
Unasahau kwamba wote hao ni Serikali ya ccm..na maamuzi yao yanafanywa na central committee...hahahaha....wewe lengo lako ni kuwatenganisha kwa sifa..sijui utawezaje...the ultimate goal ya ccm ni kuendelea kutawala na kushika hatam ya uongozi milele.. upo hapo..!!! Sasa wewe hatukuelewi lengo lako
 
Kweli kabisa Magufuli ndio maana walimwita Bulldozer (tingatinga), na ndivyo alivyokuwa. Hakuwahi kustahili kuwa rais wa nchi hata siku moja! Alitakiwa awe chini ya mtu siku zote kama yalivyo matingatinga popote pale.
Mimi nakubali Sana kuwa JPM alikuwa na utashi mkubwa na nchi hii lakini uwezo alikuwa Hana. Hii inadhihirishwa na miradi mikubwa aliyoianzisha japo Nina uhakika asingeweza kuimaliza mana tayari alinipiga Pini yeye mwenye kwa kuweza mazingira magumu kwa wafanyabiashara wakubwa kutoamini kuwekeza tena nchini kwa sababu ya kufokafoka kwake na ikumbukwe Hawa ndo walipa Kodi. Yeye alibaki tu anazalisha machinga wengi ambapo kimsingi hawalipi Kodi.

Pili alishajenga ukuta na mayaifa wahosani kwa kauli zake hivyo mikopo au misaada tukanyimwa kabisa.
Ndiyo alipenda nchi yake lakini uwezo alikuwa Hana. Akaanza kuvamia akaunti za matajiri ili kuiba hela kwa ajiri ya kumaliza miradi hiyo ambapo in the long run nchi ingeburuzwa mahakamani ndo ndo mana kila kukicha ndege zilikuwa zinakamatwa hapa na pale ambapo baadae shirika lingejikuta halina ndege tena.

Ujui uwezo wa Magufuli Wewe, Magufuli alifungua masoko ya madini na akaingia mkataba na warabu kuwa madini yote yatanunuliwa kutoka hapa nchini,akawa anapata kodi yake bila buguza,ndio maana haukuweza kuona mambo ya tozo,mashariti ya hovyo kwenye mambo ya mikopo,mairais wa nchi kubwa waliomwitaji walikuja wenyewe, pasipo yeye kujipereka kama changu kuuza rasilimali za nchi eti unatafuta wawekezaji,huku wakija unawaambia wasilipe kodi miaka 5, lakini wananchi wako unawaibia chao kupitia tozo na kodi mbalimbali.


Miradi yote ingelifika bila shida, na tukumbuke, maendeleo ni gharama' ni kujinyima sana ili kufikia lengo,

Serikali yeyote inayoona haya kudai kodi iwe kistarabu ama kwa nguvu! Ni vigumu kufikia lengo maana asilimia kubwa ya kiumbe anaitwa binadamu hapendi kulipa kodi bila kushinikizwa na hata asiposhinikizwa hatalipa anayotakiwa alipe

JPM hakuwapa nafasi kina Mbowe na wengine wafanya biashara wahuni na wasiolipa kodi, mpaka leo wamekunja sura kama ndimu kisa, kulipa kodi

Mi mwenyewe dakatari hapa singida hospitali ya rufaa niliajiriwa kipindi Cha jk. Hapa Kuna uhaba mkubwa wa madaktari kama kumi hivi wanahitajika upande wa epidemiology nk. Sasa kama mjini Kuna uhaba he vijijini si ni kero na wakati huohuo mtaani wamejaa.
Ninachosema inapaswa uelewe wewe Bado mdogo sana. Enzi za jk hakuna dakatari hata mmoja aliyemaliza akakaa mtaani bila ajira ila jpm aliwarindika mtaani na tatizo likaanzia hapo. Unakuta dakatari amesota miaka mitano muhimbili halafu anauza mitumba kariakoo elimu ikaanza kushuka thamani kipindi chake. We unafikiri kwa Nini wasomi au graduates wamefurahia sana uongozi wa mama

Kumbuka maisha Huwa hayasimami kupisha miradi. Huwezi kusema ngoja watu wafe kwanza ili baadae wafafuke wakute miradi IPO. Huo ni ufinyu wa akili
 
Unasahau kwamba wote hao ni Serikali ya ccm..na maamuzi yao yanafanywa na central committee...hahahaha....wewe lengo lako ni kuwatenganisha kwa sifa..sijui utawezaje...the ultimate goal ya ccm ni kuendelea kutawala na kushika hatam ya uongozi milele.. upo hapo..!!! Sasa wewe hatukuelewi lengo lako
Mimi nakupa fact, angalia mtiririko wa viongozi, hawa,, kambarage nae alikuja akataifisha mali za watu akitaka umiliki sawa wa mapato, wakati ilitakiwa kiuchumi wawepo matajiri ili waweze kutoa ajira kwa wengine,, yeye akasema njia kuu za uchumi lazima zimilikiwe na umma,, matokeo yake watu wakafirisi mashirika ya umma na uchumi wa nchi ukastuck,,
Jpm nae alikuwa na kauli kuwa lazima serikali ifanye miradi mikubwa na pesa ziko nyingi tu kwa watu na zitapatikana, 😂,akaanza kushika mali za matajiri ambazo walizinunua kipindi cha Privatisation cha mkapa, mfano kama ulinunua mfano kiwanda cha ngozi na kiwe kimesimama, anakichukua.
Account bank zikaanza kutembelewa pia,matokeo yake,wawekezaji wakakosa confidence na kuanza kupepea,
 
Back
Top Bottom