Hayati Magufuli alikuwa na utashi lakini alikosa uwezo

Hayati Magufuli alikuwa na utashi lakini alikosa uwezo

una takwimu za wanaomaliza vyuo mbalimbali ni wangapi kwa mwaka?

Je wanaoajiriwa kwa mwaka ni wangapi pia?

Ukishajua haya ujiulize pia kwamba, wale ambao hawapati ajira huwa wanaenda wapi?

Ukisha jibu hilo utajiona jinsi ulivyo!

Watu tunasoma ili elimu yetu itusaidie kusonga ili kuyakabili maisha, itokee tunaajiliwa ama hapana!

We daktari wa nini vile?
Tatizo lilianzia kwa jpm but thanks now Hali inajireatore taratinu under Mama's leadership
 
Haiwezekani unless unatoka kwenye familia ambayo angalau wanauwezo wa kupata hata elfu moja kwa siku. Vijana wengi wametoka kwenye familia ambazo ni hohehahe ambazo hata kula tu ni shida. Acheni hizo theory zenu bwana
Unajua kaka, akili yangu inanikatalia kabisa kukuita wewe ni msomi

Kwa sababu gani?

Labda nikuulize hivi?

Kati ya pesa na mipango, hutangulia nini
 
Jpm alitaka kufanya mengi ndani ya Muda mfupi!!

Na kwa namna Mambo alivoyakuta akaona afanye haraka kea ghafla ndio maana effect ikawa kubwa Sana!aliona tumechelewa Sana!!

Angeenda Pole pole angeanza kuimarisha kwanza mifumo ya ukusanyaji mapato juju akitumbua pole pole!Baadae ujenzi wa mega projects ungeanza Sasa Baada pesa kupatikana ya kutosha kuliko kukopa kwa pupa na kujenga miundombinu kea pupa!!!

Jpm amekuwa Case study KWETU viongozi wa KESHO hapa nchini!tutafanya kama yeye huku tukipunguza risk zitakazojitokeza kwenye ujenzi!!
 
Unajua kaka, akili yangu inanikatalia kabisa kukuita wewe ni msomi

Kwa sababu gani?

Labda nikuulize hivi?

Kati ya pesa na mipango, hutangulia nini
Nimekwambia hivi kwa mfano Mimi Nina mpango wa kuacha kazi soon na hii ni kwa sababu nikiangalia account yangu Ina angalau mil 40. Lakini huwezi kujiajiri from no where. Mtu anamaliza chuo hata nauli ya kumrudisha kwao Hana amabyo ni elfu kumi tu halafu eti jiajiri labda ajiuze kama ni mdada
 
Nimekwambia hivi kwa mfano Mimi Nina mpango wa kuacha kazi soon na hii ni kwa sababu nikiangalia account yangu Ina angalau mil 40. Lakini huwezi kujiajiri from no where. Mtu anamaliza chuo hata nauli ya kumrudisha kwao Hana amabyo ni elfu kumi tu halafu eti jiajiri labda ajiuze kama ni mdada
Kwa hiyo wanafanyeje wasio na ajira mpaka sasa,
 
Alikuwa anadokoa dokoa ila jk hakuwa hivyo. Sisi muhimbili tulimaliza kama arobaini hivi ma wote tuliajiriwa pasi na kuomba Wala mainterview ya kijinga ya kipindi Cha jpm
Kwahiyo ulitaka tu wakimaliza waajiriwe wote sio?,
Vipi unaongeleaje shule ina waalimu wa kiswahili 10,na inaongezewa tena watatu,lengo tu ni kuajiri au kufikia uhitaji?.

Pia,ukiona mtu anakwepa au hataki interview kwenye eneo alilosomea,huyo hayuko competent kabisa.

Kama nchi hatupaswi kuajiri ili kufurahisha watu,bali kukidhi uhitaji.

Serikali ianze kufanya interview kada zote hata waalimu,maana huko nyuma tumejaza watu incompetent ofisi za umma.

Nashukuru kwa interview ile,ilikua halali,hakuna vimemo,watu waliokua wakiisema vibaya ile taasisi tuliwaprove wrong,na hata wasiotaka usaili ufanyike nawaprove wrong.
 
Embu soma hii

🤗
Benki ya Standard Chartered iliamua kufanya utafiti wa maisha halisi ya wastaafu wapatao 100 kutoka kwenye ajira za Serekalini, Mashirika ya Umma na Makampuni binafsi kwa muda wa miaka mitano (5) wakapata na matokeo yafuatayo:

1. Wastaafu 49 kati ya 100 (49%) walikuwa tegemezi kwa ndugu zao na jamaa zao. (walishindwa kujimudu).

2. Wastaafu 29 kati ya 100 (29%) walikufa kwa sababu ya msongo wa mawazo, masononeko na magonjwa ya moyo kutokana na ugumu wa maisha.

3. Wastaafu 12 kati ya 100 (12%) walifilisika na kuishiwa mali zote walizokusanya wakati wakiwa wanafanya kazi.

4. Wastaafu 5 kati 100 (5%) walilazimika kutafuta kazi nyingine za kuajiriwa baada ya kustaafu ili waweze kujikimu na ugumu wa maisha.

5. Wastaafu 4 kati ya 100 (4%) walikuwa na uhuru wa kifedha, waliweza kuyamudu mahitaji yao bila changamoto kwa kuwa waliwekeza.

6. Mstaafu 1 kati ya 100 (1%) alikuwa tajiri kwa kuwa alijiandalia vyanzo vya mapato wakati bado yuko kazini.

49 + 29 + 12+ 5 + 4 + 1 = 100%

Wewe uliyestaafu unajijua uko kundi gani na Mungu akusaidie na akutie Nguvu.(naomba Usinichukie mimi)

Wewe uliye kazini bado angalia mafungu hayo sita (6) na ujitafakari sasa utakuja kuishia fungu lipi.
Watu wanaanza kuona 100m wakistaafu unategema nini. Wakati kwa shule alionayo angeweza kuipata in 6-10 years baada ya kutoka chuo.
 
Nchi za kiafrika zinatakiwa kuongozwa kisayansi zaidi, Nyerere alijitahidi sana kwenye hilo, siasa nyingi hazina manufaa kabisa kwa mataifa maskini na yenye wananchi maskini kupindukia, so mi naona Jpm alikuwa na mtazamo wa kisayansi, wanasiasa ni ngumu kumkubali mtu kama huyu, ni kama China ilivokuwa hapo awali
 
Kwahiyo ulitaka tu wakimaliza waajiriwe wote sio?,
Vipi unaongeleaje shule ina waalimu wa kiswahili 10,na inaongezewa tena watatu,lengo tu ni kuajiri au kufikia uhitaji?.

Pia,ukiona mtu anakwepa au hataki interview kwenye eneo alilosomea,huyo hayuko competent kabisa.

Kama nchi hatupaswi kuajiri ili kufurahisha watu,bali kukidhi uhitaji.

Serikali ianze kufanya interview kada zote hata waalimu,maana huko nyuma tumejaza watu incompetent ofisi za umma.

Nashukuru kwa interview ile,ilikua halali,hakuna vimemo,watu waliokua wakiisema vibaya ile taasisi tuliwaprove wrong,na hata wasiotaka usaili ufanyike nawaprove wrong.
Kiongozi mzuri ni yule anayetambua watu wake siyo vitu vyake. Kiongozi mzuri ni yule anayecreate vitu watu wake waajiriwe kama kipindi Cha jk ambapo alibuni shule sa kata ili walimu waajiriwe kusiwe na excess ya walimu. Huyu mwalimu kasomea kufundish ahalafu unasema akauze biskuit kweli! Sasa amepoteza miaka mitatu ya ualimu for what. This is misuse of resources
 
Miradi yote ingelifika bila shida, na tukumbuke, maendeleo ni gharama' ni kujinyima sana ili kufikia lengo,

Serikali yeyote inayoona haya kudai kodi iwe kistarabu ama kwa nguvu! Ni vigumu kufikia lengo maana asilimia kubwa ya kiumbe anaitwa binadamu hapendi kulipa kodi bila kushinikizwa na hata asiposhinikizwa hatalipa anayotakiwa alipe

JPM hakuwapa nafasi kina Mbowe na wengine wafanya biashara wahuni na wasiolipa kodi, mpaka leo wamekunja sura kama ndimu kisa, kulipa kodi
Nasikia Lissu alipigwa risasi kisa tu alikuwa hataki kulipa Kodi, hata Mbowe walimvunjia ile Billcanas kwa vile alikuwa hataki kulipa kodi.

Kutetea uovu wa JPM sometimes lazima ujitoe kwanza akili.
 
Mi mwenyewe dakatari hapa singida hospitali ya rufaa niliajiriwa kipindi Cha jk. Hapa Kuna uhaba mkubwa wa madaktari kama kumi hivi wanahitajika upande wa epidemiology nk. Sasa kama mjini Kuna uhaba he vijijini si ni kero na wakati huohuo mtaani wamejaa.
Ninachosema inapaswa uelewe wewe Bado mdogo sana. Enzi za jk hakuna dakatari hata mmoja aliyemaliza akakaa mtaani bila ajira ila jpm aliwarindika mtaani na tatizo likaanzia hapo. Unakuta dakatari amesota miaka mitano muhimbili halafu anauza mitumba kariakoo elimu ikaanza kushuka thamani kipindi chake. We unafikiri kwa Nini wasomi au graduates wamefurahia sana uongozi wa mama
Wafanyakazi wa Serikali mnahitaji ajira za mikataba badala ya hizi ajira za kudumu akili zenu ziamke.
 
Nasikia Lissu alipigwa risasi kisa tu alikuwa hataki kulipa Kodi, hata Mbowe walimvunjia ile Billcanas kwa vile alikuwa hataki kulipa kodi.

Kutetea uovu wa JPM sometimes lazima ujitoe kwanza akili.
Kulipa kodi ni uzalendo mkuu, acheni ubishi
 
Kwa hiyo wanafanyeje wasio na ajira mpaka sasa,
Huku mtaani ni vilio na kusaga meno ilia angalau Wana matumaini na mama anaweza kufanya jambo. Jpm angeendelea kuwepo mngeanza kuokota mizoga barabarani watu wanakufa kwa kujinyonga au stress za maisha.
 
Hapa nilipo kiniweni tu Kuna madaktari watano hawana ajira ila Wana matumaini mama atasolve tatizo Hilo na wanafurahia sana kifo Cha jpm kwamba kimeleta unafuu wa maisha. Yaani wata walimu ilikuwa vilio wamejazana mtaani tu hata shule binafsi zikawa zinafunga biashara daily. Kwa Sasa angalau
Hakuna Serikali yeyeto duniani inayoweza kuajili wasomi wote, maana kila mwaka wahitimu wa vyuo wanatoa, Serikali inachukua kidogo tu, Sasahivi hata American na nchi za Ulaya na makampuni makubwa yenye Uchumi mkubwa yanapunguza wafanyakazi.Kama umebatika kupata elimu jiajili wala usimsubili Samia,Samia hawezi kiajili waitimu wote, utasubiri sana.
 
Vipi Samia anauwezo au??

Maana ndio anaendesha serikali kwa sasa.
 
Hakuna Serikali yeyeto duniani inayoweza kuajili wasomi wote, maana kila mwaka wahitimu wa vyuo wanatoa, Serikali inachukua kidogo tu, Sasahivi hata American na nchi za Ulaya na makampuni makubwa yenye Uchumi mkubwa yanapunguza wafanyakazi.Kama umebatika kupata elimu jiajili wala usimsubili Samia,Samia hawezi kiajili waitimu wote, utasubiri sana.
Jk aliweza ndo mana kila anakopita watu wanampa salute ya juu hahitaji hata ulinzi mana anapendwa sana. Jpm ndo alianza kuharibu kila eneo kwa kibri tu na kuendesha nchi kana kwamba ni kafamilia kake na kwa visasi na kila mtu
 
Kupanga ni kuchagua!

Uajiri kidogo na miradi iende ama uajiri tuu ili pesa iende kulipa mishahara

Kupiga hatua ya maendeleo, kuna watu wengine waumie

Hata hivyo suala la ajira halitamalizwa na serikali yoyote
Kwani wanaosema JPM hakuajiri wanamaanisha kuwa yeye ndio angemaliza suala la ajira!?
 
Jk aliweza ndo mana kila anakopita watu wanampa salute ya juu hahitaji hata ulinzi mana anapendwa sana. Jpm ndo alianza kuharibu kila eneo kwa kibri tu na kuendesha nchi kana kwamba ni kafamilia kake na kwa visasi na kila mtu
Jk aliwezaje? wakati wa Jk ndipo kulikuwepo migomo kibao,akina Olimboka walipigwa na kutekwa kwasababu ya upungufu wa madaktari na vifaa duni katika hospital zote za umma pamoja na maslahi duni,Wewe naona ni mtoto wa 2000,haujui kitu.
 
Sisi hatuna mambo mengi siyo wanasiasa hatujasoma madomo yenu ya kijinga ya kukalili miaka na akina kinjekitile
Kweli we ni Daktari wa mchongo [emoji28]

"Kukalili" ndiyo nini? na nilipotezea ujumbe wako mwingine uliochapia vile vile "udakatari"

You are really a failed mind sets with 100% full hatred mental disorders.

You're very poor, poor, PUA...[emoji16]
 
Back
Top Bottom