Hayati Magufuli alikuwa na utashi lakini alikosa uwezo

Hayati Magufuli alikuwa na utashi lakini alikosa uwezo

Jk aliwezaje? wakati wa Jk ndipo kulikuwepo migomo kibao,akina Olimboka walipigwa na kutekwa kwasababu ya upungufu wa madaktari na vifaa duni katika hospital zote za umma pamoja na maslahi duni,Wewe naona ni mtoto wa 2000,haujui kitu.
Migomo ni indicator ya maendeleo dogo. Ukiona rais hapendi migomo kipmbia hiyo nchi ni mateso tu na hakuna maendeleo yoyote. Ulaya kila siku ni migomo ndo maana Kuna maendeleo makubwa
 
Hapa nilipo kiniweni tu Kuna madaktari watano hawana ajira ila Wana matumaini mama atasolve tatizo Hilo na wanafurahia sana kifo Cha jpm kwamba kimeleta unafuu wa maisha. Yaani wata walimu ilikuwa vilio wamejazana mtaani tu hata shule binafsi zikawa zinafunga biashara daily. Kwa Sasa angalau
"kiniweni"...[emoji1732][emoji4]
 
Mimi nakubali Sana kuwa JPM alikuwa na utashi mkubwa na nchi hii lakini uwezo alikuwa Hana. Hii inadhihirishwa na miradi mikubwa aliyoianzisha japo Nina uhakika asingeweza kuimaliza mana tayari alinipiga Pini yeye mwenye kwa kuweza mazingira magumu kwa wafanyabiashara wakubwa kutoamini kuwekeza tena nchini kwa sababu ya kufokafoka kwake na ikumbukwe Hawa ndo walipa Kodi. Yeye alibaki tu anazalisha machinga wengi ambapo kimsingi hawalipi Kodi.

Pili alishajenga ukuta na mayaifa wahosani kwa kauli zake hivyo mikopo au misaada tukanyimwa kabisa.
Ndiyo alipenda nchi yake lakini uwezo alikuwa Hana. Akaanza kuvamia akaunti za matajiri ili kuiba hela kwa ajiri ya kumaliza miradi hiyo ambapo in the long run nchi ingeburuzwa mahakamani ndo ndo mana kila kukicha ndege zilikuwa zinakamatwa hapa na pale ambapo baadae shirika lingejikuta halina ndege tena.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kweli we ni Daktari wa mchongo [emoji28]

"Kukalili" ndiyo nini? na nilipotezea ujumbe wako mwingine uliochapia vile vile "udakatari"

You are really a failed mind sets with 100% full hatred mental disorders.

You're very poor, poor, PUA...[emoji16]
Kwa nini nyie mliosoma arts m apenda sana kukosoa miandiko badara ya akili. Akili haipimwi na kuandika vizuri mdogo wangu. Come on achaneni na ujinga huo kwanza kuandika ni kupoteza mda tu wengine walioendelea ni voice note tu
 
Migomo ni indicator ya maendeleo dogo. Ukiona rais hapendi migomo kipmbia hiyo nchi ni mateso tu na hakuna maendeleo yoyote. Ulaya kila siku ni migomo ndo maana Kuna maendeleo makubwa
Nitajie nchi mojawapo ulaya uliyoiona madaktari wakigoma,kama Sio kenya na hapa Tanganyika, kwasababu ya ufisadi.
 
Ukiangalia daraja la Tanzanite, daraja la Busisi, daraja la kigamboni, bwawa la Nyerere, fly over na barabara zote alizojenga. Magufuli ni Rais alikuwa na akili nyingi Sana.
 
Mi Nina ajira kubwa sana na niliajiriwa enzi za jk siyo lile li vampire ambalo linaaim kuua watu tu. Enzi zetu hata private sector ilikuwa inaajiri mpaka ikafikia hatua elimu ikawa na value lakini value ya elimu ikaanza kuzima kipindi Cha jpm.
Comment yako mbona niya kipumbavu sana,hiyo ajirakubwa uliipataje.

You must be cheti feki wewe.
 
Nitajie nchi mojawapo ulaya uliyoiona madaktari wakigoma,kama Sio kenya na hapa Tanganyika, kwasababu ya ufisadi.
Uingereza wafanyakazi wote wamegima kutaka mishahara ipande. Ufaransa juzijuzi wafanyakazi wote wamegima kupinga ongezeko la mda wa kustaafu ambapo ilikuwa umeongezw badala ya miaka 60 iwe 64
 
Comment yako mbona niya kipumbavu sana,hiyo ajirakubwa uliipataje.

You must be cheti feki wewe.
Njoo dm nikutumie matokeo yangu. Nina A kumi zote. Jpm alikuwa anawapiga fix eti Kuna wenye vyeti feki wakati hakuna ilimradi apate sababu ya kupunguza wafanyakazi baada ya serikali yake kufirisika kifedha. Jiulize kwa Nini hakuwa anareplace badala yake anaongeza unemployment rate tu
 
Ni bora uajiri madaktari na walimu kuliko kupeleka hizo pesa katika serikali kuhamia Dodoma na kujenga Airport Chato.
Kupanga ni kuchagua!

Uajiri kidogo na miradi iende ama uajiri tuu ili pesa iende kulipa mishahara

Kupiga hatua ya maendeleo, kuna watu wengine waumie

Hata hivyo suala la ajira halitamalizwa na serikali yoyote
 
Tafuta tarifa ujisomee acha kukalili maneno ya vijiweni,uliza Magufuli alifungua hospital na Zahanati ngapi,hao walopelekwa kwenye Zahanati na hospital walitokea wapi kama sio kuajiliwa?unaweza kuonyesha malalamiko ya hospital yeyeto nchini ikionyesha upungufu wa madaktari kama kipindi cha Kikwete? Magufuli aliajiri kwa tija sio kwa miemuko ,mradi umeajili.
Africa tunayo laana sio bure, Yani sababu tu ya ushabiki upo radhi kutetea hata ambacho kinakuumiza wewe mwenyewe.

Sent from my Pixel 3 using JamiiForums mobile app
 
Jpm alitaka kufanya mengi ndani ya Muda mfupi!!

Na kwa namna Mambo alivoyakuta akaona afanye haraka kea ghafla ndio maana effect ikawa kubwa Sana!aliona tumechelewa Sana!!

Angeenda Pole pole angeanza kuimarisha kwanza mifumo ya ukusanyaji mapato juju akitumbua pole pole!Baadae ujenzi wa mega projects ungeanza Sasa Baada pesa kupatikana ya kutosha kuliko kukopa kwa pupa na kujenga miundombinu kea pupa!!!

Jpm amekuwa Case study KWETU viongozi wa KESHO hapa nchini!tutafanya kama yeye huku tukipunguza risk zitakazojitokeza kwenye ujenzi!!
Wewe umeandika vyema kabisa. Kufanya miradi mikubwa kwa mpigo kwa uchumi mdogo wa Tz, ilikuwa lazima ushindwe kupandisha mishahara, kuajiri vile inavyopaswa na hata kupandisha vyeo. Maumivu kwa uchumi yalikuwa makubwa mno.
 
Ujui uwezo wa Magufuli Wewe, Magufuli alifungua masoko ya madini na akaingia mkataba na warabu kuwa madini yote yatanunuliwa kutoka hapa nchini,akawa anapata kodi yake bila buguza,ndio maana haukuweza kuona mambo ya tozo,mashariti ya hovyo kwenye mambo ya mikopo,mairais wa nchi kubwa waliomwitaji walikuja wenyewe, pasipo yeye kujipereka kama changu kuuza rasilimali za nchi eti unatafuta wawekezaji,huku wakija unawaambia wasilipe kodi miaka 5, lakini wananchi wako unawaibia chao kupitia tozo na kodi mbalimbali.
😬😬
 
Njoo dm nikutumie matokeo yangu. Nina A kumi zote. Jpm alikuwa anawapiga fix eti Kuna wenye vyeti feki wakati hakuna ilimradi apate sababu ya kupunguza wafanyakazi baada ya serikali yake kufirisika kifedha. Jiulize kwa Nini hakuwa anareplace badala yake anaongeza unemployment rate tu
Sasahivi upo kazini ama unafanya shughuli zako binafsi?.
 
Hizi ni porojo tu.
Embu soma hii

[emoji847]
Benki ya Standard Chartered iliamua kufanya utafiti wa maisha halisi ya wastaafu wapatao 100 kutoka kwenye ajira za Serekalini, Mashirika ya Umma na Makampuni binafsi kwa muda wa miaka mitano (5) wakapata na matokeo yafuatayo:

1. Wastaafu 49 kati ya 100 (49%) walikuwa tegemezi kwa ndugu zao na jamaa zao. (walishindwa kujimudu).

2. Wastaafu 29 kati ya 100 (29%) walikufa kwa sababu ya msongo wa mawazo, masononeko na magonjwa ya moyo kutokana na ugumu wa maisha.

3. Wastaafu 12 kati ya 100 (12%) walifilisika na kuishiwa mali zote walizokusanya wakati wakiwa wanafanya kazi.

4. Wastaafu 5 kati 100 (5%) walilazimika kutafuta kazi nyingine za kuajiriwa baada ya kustaafu ili waweze kujikimu na ugumu wa maisha.

5. Wastaafu 4 kati ya 100 (4%) walikuwa na uhuru wa kifedha, waliweza kuyamudu mahitaji yao bila changamoto kwa kuwa waliwekeza.

6. Mstaafu 1 kati ya 100 (1%) alikuwa tajiri kwa kuwa alijiandalia vyanzo vya mapato wakati bado yuko kazini.

49 + 29 + 12+ 5 + 4 + 1 = 100%

Wewe uliyestaafu unajijua uko kundi gani na Mungu akusaidie na akutie Nguvu.(naomba Usinichukie mimi)

Wewe uliye kazini bado angalia mafungu hayo sita (6) na ujitafakari sasa utakuja kuishia fungu lipi.
 
Back
Top Bottom