Hayati Magufuli alikuwa sahihi kwenye kupinga demokrasia hii tunayohubiri kwa ushahidi kinachotokea sasa kwenye siasa zetu

Hayati Magufuli alikuwa sahihi kwenye kupinga demokrasia hii tunayohubiri kwa ushahidi kinachotokea sasa kwenye siasa zetu

Bora uwe mshamba wa kimataifa ila uyakomeshe majitu yasiotaka maendeleo na nchi Kila siku kuponda yaani ni kama yenyewe yangekua raisi yangeibadilisha tanzania kua USA Kwa mwaka 1
Matanzania hayajui yakitakacho; na kujaribu kuyapambania ni kupoteza muda tu. Acha yanyoroshwe labda siku moja akili zitayakaa sawa. Kwa sasa mkazo ni Simba na Yanga; na umbea. Hata aje kiongozi wa aina gani yaani menyewe yapo yapo tu 🚮

IMG-20240719-WA0126.jpg
 
Siyo Mwamba! Alikuwa Mwoga wa Sanduku la kura.
Angekuwa Mwamba asingevuruga uchaguzi wa 2019/2020!
 
Yaani katika kitu nakichukia ni wapinzani wa tanzania ambao lengo lao ni uroho wa madaraka kipindi Cha magufuli alipokua anaitengeneza nchi Kuna mijitu ya upinzani ikiongozwa na lissu ikawa inampinga yaani hata akifanya kitu kizuri Cha aina Gani inampinga mwisho wa siku akasema wasinitanie ngoja niwaoneshe mfano na kweli aliwakomesha wengine walipotea mazima wengine wamekua vilema sababu walikua sio wazalendo wakweli wanaponda maendeleo ya jiwe nilikubali sana uongozi wa magufuli ulikua hauna utani na mtu yeyote anaeleta masihara na serikali ikiwa unafanya mambo ya kimaendeleo kama sio kifo mtu kama magufuli angetakiwa atuongoze milele
Kiko wapi sasa , upo na matatizo mahala , nchi ya watu m1 unataka watu wote wawe na mtazamo mmoja?
 
Yaani katika kitu nakichukia ni wapinzani wa tanzania ambao lengo lao ni uroho wa madaraka kipindi Cha magufuli alipokua anaitengeneza nchi Kuna mijitu ya upinzani ikiongozwa na lissu ikawa inampinga yaani hata akifanya kitu kizuri Cha aina Gani inampinga mwisho wa siku akasema wasinitanie ngoja niwaoneshe mfano na kweli aliwakomesha wengine walipotea mazima wengine wamekua vilema sababu walikua sio wazalendo wakweli wanaponda maendeleo ya jiwe nilikubali sana uongozi wa magufuli ulikua hauna utani na mtu yeyote anaeleta masihara na serikali ikiwa unafanya mambo ya kimaendeleo kama sio kifo mtu kama magufuli angetakiwa atuongoze milele
Halafu naye akapotea moja Kwa moja. Safi Sana. Jino Kwa jino.
 
Back
Top Bottom