Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Matanzania hayajui yakitakacho; na kujaribu kuyapambania ni kupoteza muda tu. Acha yanyoroshwe labda siku moja akili zitayakaa sawa. Kwa sasa mkazo ni Simba na Yanga; na umbea. Hata aje kiongozi wa aina gani yaani menyewe yapo yapo tu 🚮Bora uwe mshamba wa kimataifa ila uyakomeshe majitu yasiotaka maendeleo na nchi Kila siku kuponda yaani ni kama yenyewe yangekua raisi yangeibadilisha tanzania kua USA Kwa mwaka 1
Kiko wapi sasa , upo na matatizo mahala , nchi ya watu m1 unataka watu wote wawe na mtazamo mmoja?Yaani katika kitu nakichukia ni wapinzani wa tanzania ambao lengo lao ni uroho wa madaraka kipindi Cha magufuli alipokua anaitengeneza nchi Kuna mijitu ya upinzani ikiongozwa na lissu ikawa inampinga yaani hata akifanya kitu kizuri Cha aina Gani inampinga mwisho wa siku akasema wasinitanie ngoja niwaoneshe mfano na kweli aliwakomesha wengine walipotea mazima wengine wamekua vilema sababu walikua sio wazalendo wakweli wanaponda maendeleo ya jiwe nilikubali sana uongozi wa magufuli ulikua hauna utani na mtu yeyote anaeleta masihara na serikali ikiwa unafanya mambo ya kimaendeleo kama sio kifo mtu kama magufuli angetakiwa atuongoze milele
Halafu naye akapotea moja Kwa moja. Safi Sana. Jino Kwa jino.Yaani katika kitu nakichukia ni wapinzani wa tanzania ambao lengo lao ni uroho wa madaraka kipindi Cha magufuli alipokua anaitengeneza nchi Kuna mijitu ya upinzani ikiongozwa na lissu ikawa inampinga yaani hata akifanya kitu kizuri Cha aina Gani inampinga mwisho wa siku akasema wasinitanie ngoja niwaoneshe mfano na kweli aliwakomesha wengine walipotea mazima wengine wamekua vilema sababu walikua sio wazalendo wakweli wanaponda maendeleo ya jiwe nilikubali sana uongozi wa magufuli ulikua hauna utani na mtu yeyote anaeleta masihara na serikali ikiwa unafanya mambo ya kimaendeleo kama sio kifo mtu kama magufuli angetakiwa atuongoze milele
Anishikishe adhabu Mimi naishi bongo?. Unajua Mimi ninapoishi?. Cha msingi kafa Kwa aibu Tena mafichoni. Safi Sana.Hata wewe utakufa ila kashakushikisha ADABU na Cha kufanya huna yupo ardhini mwenzio
Msigwa ni CCM wewe mnafiki.Wapinzani wanaoendelea akina mchungaji Msigwa 😂😂
Msigwa siyo CCM amekuja kutafuta Ajira tuMsigwa ni CCM wewe mnafiki.
Wewe upo bongo tena machame huko umdanganye nani weweAnishikishe adhabu Mimi naishi bongo?. Unajua Mimi ninapoishi?. Cha msingi kafa Kwa aibu Tena mafichoni. Safi Sana.
Hata wewe utapotea ila sindano kashawachoma nazo hahahahaHalafu naye akapotea moja Kwa moja. Safi Sana. Jino Kwa jino.