Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Cna la kusema acha nijisomee comments tu!!Chuki mbaya sana, eti Lowasa ndiyo katafuta hela za kujenga chuo kikuu Dodoma na kuanzisha shule za kata!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cna la kusema acha nijisomee comments tu!!Chuki mbaya sana, eti Lowasa ndiyo katafuta hela za kujenga chuo kikuu Dodoma na kuanzisha shule za kata!
Hakina faida kwako ila sisi kina faida kwa maana asili ya mwanadamu au nchi ni historia.Asa we uoni kuna kasoro,
Unaokota uchafu jalalani , unaingiza ndani
Wakati huo huo , kunae anaye jifunza kitu kitakacho kuwa na faida kwa sasa na baadae
Kila kitu kina faida,Hakina faida kwako ila sisi kina faida kwa maana asili ya mwanadamu au nchi ni historia.
furaha ya kula mlo mmoja kwa sikuNchi sasa ina furaha. Mungu amuweke anapo stahili
Haijatuwa hiyo storiHizo stori za kutunga Watanzania tulishazikataa. Chuki itawaua mbwa nyie.
DuhKama tunavyojua, Hayati Magufuli, pamoja na kuwa rais wa Tanzania, hajawahi kuwa Balozi hata wa Nyumba kumi. Ndani ya Miaka Miwili akalewa madaraka.
Kumbuka Lowassa ni Mwanajeshi wa zamani na aliyewahi kupigana wakati wa vita kati ya Uganda na Tanzania mwaka 1978/79. Kaitumikia Nchi hadi uzee wake.
View attachment 2553514
Edward Lowassa
Lowasa ndiye alifanikisha upatikanaji wa fedha za kujenga chuo kikuu cha Dodoma kilichoanzishwa 2007 pia alianzisha Shule za Kata. Miradi ya Maji kutoka Ziwa Victoria hadi Shinyanga nk.
Akatokea Mzilankende mmoja fulani kutokea huko kijiji cha Lubambangwe akaleta tafrani kwenye Nchi.
Mungu akamjalia
nafasi ya juu ambayo kabila zote za watu, mataifa na watu wa kila lugha walimhofu na kumwogopa. Wale ambao mzilankende huyu alitaka kuwaua, aliwaua; wale aliotaka kuwaacha hai, aliwaacha hai; wale aliotaka kuwapandisha cheo, aliwapandisha; aliotaka kuwashusha, aliwashusha. Lakini moyo wake ulipokuwa na majivuno na kuwa mgumu kwa kiburi, aliondolewa kutoka kwa kiti chake cha ufalme na kuvuliwa utukufu wake.
Kwamba Lowassa hatakiwi kusimama Geita kusalimiana na watu. Akachukuliwa na Polisi akapelekwa korokoroni Geita. Magufuli akawapongeza Polisi kwa kazi nzuri.
Hivi Magufuli alikuwa anajiona nani? Hakuwa na Tofauti na Belshaza.
Belshaza ni nani?
Belshaza ambaye alirithi ufalme toka kwa mfalme Nebukadneza. Siku moja Mfalme Belshaza alifanya karamu kubwa kwa ajili ya maelfu ya wakuu wake na akanywa mvinyo pamoja nao. Wakati Belshaza alipokuwa akinywa mvinyo wake, aliamuru viletwe vile vikombe vya dhahabu na fedha ambavyo Nebukadneza baba yake alikuwa amevichukua kutoka hekaluni huko Yerusalemu, ili mfalme na wakuu wake, wake zake na masuria wake waweze kuvinywea. Kwa hiyo wakavileta vile vikombe vya dhahabu ambavyo vilikuwa vimechukuliwa kutoka Hekalu la Mungu huko Yerusalemu, naye mfalme na wakuu wake, wake zake na masuria wake wakavinywea.
Ghafula vidole vya mkono wa mwanadamu vilitokea na kuandika juu ya ukuta, karibu na kinara cha taa ndani ya jumba la mfalme. Mfalme akatazama kitanga kilivyokuwa kikiandika.
Mfalme akawaita wasihiri, wanajimu na waganga waletwe, naye akawaambia hawa wenye hekima wa Babeli, “Yeyote asomaye maandishi haya.
Ndipo Danieli akamjibu mfalme, “Waweza kubaki na zawadi zako mwenyewe na kumpa mtu mwingine zawadi zako. Hata hivyo, nitasoma maandishi kwa mfalme na kumwambia maana yake.
Ndipo Danieli akamjibu mfalme, “Waweza kubaki na zawadi zako mwenyewe na kumpa mtu mwingine zawadi zako. Hata hivyo, nitasoma maandishi kwa mfalme na kumwambia maana yake.
“Haya ndiyo maneno yaliyoandikwa mene, mene, tekeli na peresi
“Mene: Mungu amezihesabu siku za utawala wako na kuukomesha.
Tekeli: Wewe umepimwa katika mizani na umeonekana umepungua.
Peresi: Ufalme wako umegawanywa na kupewa Wamedi na Waajemi.”
Ndipo kwa amri ya Belshaza, Danieli akavikwa nguo za zambarau na mkufu wa dhahabu shingoni, tena akatangazwa kuwa mtawala wa tatu katika ufalme.
Usiku ule ule, Belshaza mfalme wa Wakaldayo akauawa.
View attachment 2553528
Mwenye serikali yake ni rais naye ndio mtendaji wa kila jambo ndio maana hata leo tunaimba kumsifia rais acha ubwege wa kuniuliza maswali ya kijinga.Shule za Kata mhamasishaji na msimamizi ni nani??Au ulikuwa hujazaliwa??Na Chuo Kikuu Dodoma wakati kinajengwa Waziri Mkuu alikuwa nani??
NakataaUnabisha au unakataa
Magufuli alivyokuwa akijisifia mlikuwa na utafiti gani,nchi hii udini ni tatizo sana maana naona leo umeungana na wapinzani wako ku support ujinga kwa sababu tu ya chuki binafsi dhidi ya Kikwete hata sasa wengi wanamtukana na kumponda Rais Samia si kwamba hafanyi kitu ila tatizo ni dini yake, Uzanzibari wake na jinsia yake.Tafiti hupingwa kwa Tafiti mpya
Uamuzi mzuri kuliko waliohamua kujiropokea tu.Cna la kusema acha nijisomee comments tu!!
Sasa mbona ana watesa sana?Hasira za nini na marihemu uyo tushamalizana nae bwashekh
Nani anasoma huo utopolo,
Sema unapojisomea wewe
Sina uhakika na kutafuta pesa za kujengea chuo kikuu Dodoma.Chuki mbaya sana, eti Lowasa ndiyo katafuta hela za kujenga chuo kikuu Dodoma na kuanzisha shule za kata!
Watu wanajadili mambo ya maana wewe unaleta utani wa kijinga. Huko kwenye mambo ya mimba, bila shaka ndiyo akili zako zinakoishia.Pitia huu uzi tangu mwanzo kuanzia kwa mleta mada hadi wachangiaji utangundua Magufuli aliwaachia watu mimba nyingi sana, ndio zinawafanya wawe na hasira nae kiasi hiki