Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Mwingine huyu!Watu wanajadili mambo ya maana wewe unaleta utani wa kijinga. Huko kwenye mambo ya mimba, bila shaka ndiyo akili zako zinakoishia.
Utajifungua tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwingine huyu!Watu wanajadili mambo ya maana wewe unaleta utani wa kijinga. Huko kwenye mambo ya mimba, bila shaka ndiyo akili zako zinakoishia.
Kwahiyo mawaziri wakuu wengine hawakuwa na mawazo wakati wa uongozi wao? Mbona miaka yote tulisikia sifa zikiwaendea marais wao tu hadi wakati wa Magufuli ilikuwa hivyo na hata sasa sifa anamwagiwa rais Samia,vipi kwa Kikwete iwe tofauti! Acheni roho za kwanini kwa sababu ya chuki binafsi.Sina uhakika na kutafuta pesa za kujengea chuo kikuu Dodoma.
LAKINI NI KWELI kuwa sekondari za kata lilikuwa ni wazo la Lowasa, na ujenzi wa shule hizo kwa nchi nzima, ulisimamiwa na yeye mwenyewe akiwa Waziri Mkuu.
Suala pia la kuvuta maji kutoka ziwa Victoria, lilikuwa wazo lake, na hata walipletewa upinzani toka Misri, alitoa maelekezo mradi uendelee.
Utetezi pekee unaoweza kuutoa kumtetea marehemu Magufuli kwa uovu mkubwa kwenye uongozi wake, ni ule ukweli kuwa aliwahi kuugua ugonjwa wa akili. Mara moja alitibiwa Milembe Hospital, na mara moja alitibiwa Ujerumani.Nchi ilipitia kipindi kigumu sana,hiyo ni historia imeshaandikwa,wale wanaotetea jina hilo lisisemwe na kusingizia kuwa watu wenye vyeti feki ndiyo wanamsema vibaya Magufuri je hawaoni matendo aliyokuwa anatenda jpm?
Wanasoma watu wenye akili timamu. Historia inatusaidia kuweka mazingira ya kuzuia mambo mabaya yaliyokwishatokea au kutengeneza mazingira yanayosaidia mambo ya kale yaliyo mema kuendelea kumea na kustawi.Nani anasoma huo utopolo,
Sema unapojisomea wewe
Mtendaji mkuu wa Serikali ni Waziri Mkuu ndiyo maana tangu awamu ya Kwanza hadi awamu ya Nne walikuwa wanaheshimika sana,lakini alipokuja dictator magufuri akapora madaraka ya Waziri Mkuu na mawaziri mbalimbali wa wizara za serikali akawa ndiyo mtendaji mkuu nao wakageuka kuwa wasifiaji na walamba viatu.Mwenye serikali yake ni rais naye ndio mtendaji wa kila jambo ndio maana hata leo tunaimba kumsifia rais acha ubwege wa kuniuliza maswali ya kijinga.
Asante kwa ufafanuzi mzuriUtetezi pekee unaoweza kuutoa kumtetea marehemu Magufuli kwa uovu mkubwa kwenye uongozi wake, ni ule ukweli kuwa aliwahi kuugua ugonjwa wa akili. Mara moja alitibiwa Milembe Hospital, na mara moja alitibiwa Ujerumani.
Baba zake wadogo ambao wapo Bukoba mpaka leo, wote wana matatizo ya magonjwa ya akili. Baba yake mzazi naye anatajwa kuwa kuna wakati alikuwa haonekani kuwa ni mtimamu wa akili. Na alikuwa mtu katili aliyetumia utajiri wake wa ng'ombe kuwafunga watu aliodhania wamemkosea. Na hiyo ndiyo sababu ya wenyeji hawa wasukuma kule maeneo ya Nzera, kumpa mgeni huyo mhamiaji toka mkoani Kigoma (na Kigoma alihamia tokea Burundi) jina la Magufuli, wakitohoa neno kufuli, kumaanisha mtu anayewafunga.
Wewe inaelekea husali wala kuswali. Watu huko wanamkemea shetani na watenda maovu kila wiki. Kilicho kiovu ni lazima kitajwe kila siku ili watu wasiusahau uovu, na wajitenge nao.Imagine miaka miwili jamaa hayupo lakini hawanywi maji bila kutaja jina lake.
JPM hakika ulikuwa chuma. Bwana litoa, bwana alitwaa jina lake libarikiwe.
Nchi yetu ni jamhuri hivyo rais anakuwa rais mtendaji na ndiye muamuzi wa mwisho katika mipango ya serikali ndio maana mambo yakienda vizuri anasifiwa yeye na yakienda kombo lawama zote kwake,nchi yetu sio kama Uingereza au Israel ambapo waziri mkuu ndiye muamuzi maana yeye ndiye anayeunda serikali.Mtendaji mkuu wa Serikali ni Waziri Mkuu ndiyo maana tangu awamu ya Kwanza hadi awamu ya Nne walikuwa wanaheshimika sana,lakini alipokuja dictator magufuri akapora madaraka ya Waziri Mkuu na mawaziri mbalimbali wa wizara za serikali akawa ndiyo mtendaji mkuu nao wakageuka kuwa wasifiaji na walamba viatu.
Huyo hatapumzika kamwe. Miaka mingapi imepita tangu Hitler, Stallin, Mussolin, Amin, Bokasa, Nguema, Doe, wafe? Je, wamepumzika?Muacheni huyo baba apumzike jaman! [emoji848]
Rais ni mkuu wa nchi na Waziri Mkuu ni mtendaji mkuu.Nchi yetu ni jamhuri hivyo rais anakuwa rais mtendaji na ndiye muamuzi wa mwisho katika mipango ya serikali ndio maana mambo yakienda vizuri anasifiwa yeye na yakienda kombo lawama zote kwake,nchi yetu sio kama Uingereza au Israel ambapo waziri mkuu ndiye muamuzi maana yeye ndiye anayeunda serikali.
Hujui kitu.Rais ni mkuu wa nchi na Waziri Mkuu ni mtendaji mkuu.
Hata jambazi huwa shujaa kwa familia yake. Mtu hata awe mwovu kiasi gani, kuna baadhi watamwona ni shujaa wao. Licha ya Magufuli kuwa muuaji, katili, mporaji wa mali za watu na nchi, lakini wapo waliokuwa wanafaidika na uovu wake. Kwao hao, Magufuli ni shujaa ambaye hatapatikana kwenye yoyote. Lakini kwa watu wema na wapenda haki, Magufuli atabakia kwenye historia ya viongozi waovu Duniani.Tanzania bado tuna wajinga wengi sana,Yaan mtu mzima na akili zake timamu unaweza kumdhihaki marehem.R.I.P Jembe
Kama una ndugu wa karibu, waombe wakuwahishie hospitali. You are at a wrong place. Wahi sehemu ikufaayo kwa sasa, unaweza kupata unafuu, japo ukweli magonjwa ya akili, siyo rahisi kupona kwa 100%. Na hii imedhihirika hata kwa Magufuli. Kuna wakati alikuwa ahueni, kuna wakati alionekana dhahiri kuwa alikuwa na tatizo kichwani.Mwingine huyu!
Utajifungua tu
Utanyooka tuKama una ndugu wa karibu, waombe wakuwahishie hospitali. You are at a wrong place. Wahi sehemu ikufaayo kwa sasa, unaweza kupata unafuu, japo ukweli magonjwa ya akili, siyo rahisi kupona kwa 100%. Na hii imedhihirika hata kwa Magufuli. Kuna wakati alikuwa ahueni, kuna wakati alionekana dhahiri kuwa alikuwa na tatizo kichwani.
Bado tu mnapambana na marehemu?,kichwa umebebea kamasi tuKama tunavyojua, Hayati Magufuli, pamoja na kuwa rais wa Tanzania, hajawahi kuwa Balozi hata wa Nyumba kumi. Ndani ya Miaka Miwili akalewa madaraka.
Kumbuka Lowassa ni Mwanajeshi wa zamani na aliyewahi kupigana wakati wa vita kati ya Uganda na Tanzania mwaka 1978/79. Kaitumikia Nchi hadi uzee wake.
View attachment 2553514
Edward Lowassa
Lowasa ndiye alifanikisha upatikanaji wa fedha za kujenga chuo kikuu cha Dodoma kilichoanzishwa 2007 pia alianzisha Shule za Kata. Miradi ya Maji kutoka Ziwa Victoria hadi Shinyanga nk.
Akatokea Mzilankende mmoja fulani kutokea huko kijiji cha Lubambangwe akaleta tafrani kwenye Nchi.
Mzilankende na upara wake
Mungu akamjalia nafasi ya juu ambayo kabila zote za watu, mataifa na watu wa kila lugha walimhofu na kumwogopa. Wale ambao mzilankende huyu alitaka kuwaua, aliwaua; wale aliotaka kuwaacha hai, aliwaacha hai; wale aliotaka kuwapandisha cheo, aliwapandisha; aliotaka kuwashusha, aliwashusha. Lakini moyo wake ulipokuwa na majivuno na kuwa mgumu kwa kiburi, aliondolewa kutoka kwa kiti chake cha ufalme na kuvuliwa utukufu wake.
Kwamba Lowassa hatakiwi kusimama Geita kusalimiana na watu. Akachukuliwa na Polisi akapelekwa korokoroni Geita. Magufuli akawapongeza Polisi kwa kazi nzuri.
Hivi Magufuli alikuwa anajiona nani? Hakuwa na Tofauti na Belshaza.
Belshaza ni nani?
Belshaza ambaye alirithi ufalme toka kwa mfalme Nebukadneza. Siku moja Mfalme Belshaza alifanya karamu kubwa kwa ajili ya maelfu ya wakuu wake na akanywa mvinyo pamoja nao. Wakati Belshaza alipokuwa akinywa mvinyo wake, aliamuru viletwe vile vikombe vya dhahabu na fedha ambavyo Nebukadneza baba yake alikuwa amevichukua kutoka hekaluni huko Yerusalemu, ili mfalme na wakuu wake, wake zake na masuria wake waweze kuvinywea. Kwa hiyo wakavileta vile vikombe vya dhahabu ambavyo vilikuwa vimechukuliwa kutoka Hekalu la Mungu huko Yerusalemu, naye mfalme na wakuu wake, wake zake na masuria wake wakavinywea.
Ghafula vidole vya mkono wa mwanadamu vilitokea na kuandika juu ya ukuta, karibu na kinara cha taa ndani ya jumba la mfalme. Mfalme akatazama kitanga kilivyokuwa kikiandika.
Mfalme akawaita wasihiri, wanajimu na waganga waletwe, naye akawaambia hawa wenye hekima wa Babeli, “Yeyote asomaye maandishi haya.
Ndipo Danieli akamjibu mfalme, “Waweza kubaki na zawadi zako mwenyewe na kumpa mtu mwingine zawadi zako. Hata hivyo, nitasoma maandishi kwa mfalme na kumwambia maana yake.
Ndipo Danieli akamjibu mfalme, “Waweza kubaki na zawadi zako mwenyewe na kumpa mtu mwingine zawadi zako. Hata hivyo, nitasoma maandishi kwa mfalme na kumwambia maana yake.
“Haya ndiyo maneno yaliyoandikwa mene, mene, tekeli na peresi
“Mene: Mungu amezihesabu siku za utawala wako na kuukomesha.
Tekeli: Wewe umepimwa katika mizani na umeonekana umepungua.
Peresi: Ufalme wako umegawanywa na kupewa Wamedi na Waajemi.”
Ndipo kwa amri ya Belshaza, Danieli akavikwa nguo za zambarau na mkufu wa dhahabu shingoni, tena akatangazwa kuwa mtawala wa tatu katika ufalme.
Usiku ule ule, Belshaza mfalme wa Wakaldayo akauawa.
View attachment 2553528
Hahaha!!! Kweli kabisa chuki humuua anaye ihifadhi moyoni.Hizo stori za kutunga Watanzania tulishazikataa. Chuki itawaua mbwa nyie.