Hayati Magufuli alilewa madaraka, akaagiza Polisi Tanzania wamkamate Edward Lowassa awekwe Korokoroni

maskini lowassa alijua kuhangaika kuusaka uRais wa nchi hii nikikumbuka 2015 nacheka kimoyomoyo 😃
 
Duh
 
ahahha kazi mnayo kwakweli enyi watumwa wa mafisadi. Hivi mnalipwa shilingi ngapi? Ni kwa mwezi au kwa kila uzi wa kipuuzi kama huu mnaoandika?
 
ahahha kazi mnayo kwakweli enyi watumwa wa mafisadi. Hivi mnalipwa shilingi ngapi? Ni kwa mwezi au kwa kila uzi wa kipuuzi kama huu mnaoandika?
 
Shule za Kata mhamasishaji na msimamizi ni nani??Au ulikuwa hujazaliwa??Na Chuo Kikuu Dodoma wakati kinajengwa Waziri Mkuu alikuwa nani??
Mwenye serikali yake ni rais naye ndio mtendaji wa kila jambo ndio maana hata leo tunaimba kumsifia rais acha ubwege wa kuniuliza maswali ya kijinga.
 
Tafiti hupingwa kwa Tafiti mpya
Magufuli alivyokuwa akijisifia mlikuwa na utafiti gani,nchi hii udini ni tatizo sana maana naona leo umeungana na wapinzani wako ku support ujinga kwa sababu tu ya chuki binafsi dhidi ya Kikwete hata sasa wengi wanamtukana na kumponda Rais Samia si kwamba hafanyi kitu ila tatizo ni dini yake, Uzanzibari wake na jinsia yake.
 
Tanzania bado tuna wajinga wengi sana,Yaan mtu mzima na akili zake timamu unaweza kumdhihaki marehem.R.I.P Jembe
 
Marais wote walikuwa na mawaziri wakuu na sifa wakapata marais lakini wakati wa rais Kikwete anasifiwa waziri mkuu au tuseme mawaziri wakuu wengine hawajafanya lolote kuwasaidia marais wao ila Lowassa tu.
 
Chuki mbaya sana, eti Lowasa ndiyo katafuta hela za kujenga chuo kikuu Dodoma na kuanzisha shule za kata!
Sina uhakika na kutafuta pesa za kujengea chuo kikuu Dodoma.

LAKINI NI KWELI kuwa sekondari za kata lilikuwa ni wazo la Lowasa, na ujenzi wa shule hizo kwa nchi nzima, ulisimamiwa na yeye mwenyewe akiwa Waziri Mkuu.

Suala pia la kuvuta maji kutoka ziwa Victoria, lilikuwa wazo lake, na hata walipletewa upinzani toka Misri, alitoa maelekezo mradi uendelee.
 
Pitia huu uzi tangu mwanzo kuanzia kwa mleta mada hadi wachangiaji utangundua Magufuli aliwaachia watu mimba nyingi sana, ndio zinawafanya wawe na hasira nae kiasi hiki
Watu wanajadili mambo ya maana wewe unaleta utani wa kijinga. Huko kwenye mambo ya mimba, bila shaka ndiyo akili zako zinakoishia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…