Hayati Magufuli alilewa madaraka, akaagiza Polisi Tanzania wamkamate Edward Lowassa awekwe Korokoroni

Hujui kitu.
"Kutakuwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano.Rais atakuwa Mkuu wa Nchi,Kiongozi wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu."
(Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 ibara ya 33.)

"Waziri Mkuu atakuwa na madaraka juu ya udhibiti,usimamiaji,utekelezaji wa siku hata siku wa kazi na shughuli za Serikali ya Jamhuri ya Muungano.Waziri Mkuu atakuwa Kiongozi wa Shughuli za Serikali Bungeni."(Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 ibara ya 52.Pia soma ibara ya 51 na 53)
 
Nchi za watu kamili timamu kichwani hakuna raia ambae hashikiki, sasa huyo Lowassa kama alikosea kwanini taratibu zisifuatwe?

Kwahiyo wewe unaona kwamba kuna watu wana haki ya kushitakiwa na kuna wengine hawapaswi kushitakiwa? Mtu mweusi ni silaha
Vipi alishtakiwa kufanya kosa lipi?
Vipi Rais anashitakiwa hapo kwenu Tz?
 
Heshima kwako mkuu. Kweli CCM ni msiba mkuu wa taifa hili. Ni zaidi ya janga (catastrophe); ni msiba haswa (real National tragedy)!

Bado kichwa kinaniwanga hasa ilikuwaje mtu wa namna ile akawa Rais wa JMT? A unhinged foreigner! Bila shaka JK alimfahamu fika lakini fitna zake kwa Lowassa zilimpofusha akaishia kujisifu tu kuwa katuletea “chuma kinachotema cheche!”

Nasikia hata mama yake Jiwe aliduwaa alipopata taarifa ya mwanawe “Joseph” kuukwaa uRais. Akauliza “hivi kweli wanamfahamu?”. Pale Ujenzi penyewe wengi including kina Mfugale walishangaa sana mwanzoni kabla ya kushtukia “zali” na kudandia “gari la mshahara” chapchap!
 
Usikfananishe JPM na vitu vya ajabu. JPM was a God loving man.
 
"Akatokea Mzilankende mmoja fulani kutokea huko kijiji cha Lubambangwe akaleta tafrani kwenye Nchi.Mzilankende na upara wake tarehe 16/03/2023 muda kama huu alikuwa anapumulia pua moja"
😆😆😆😆😂😂Daaah sio poa
 
Yule mpumbavu wa chatle alikuwa wa hovyo na visasi kama Hutus! Mjinga sana yule! Matajiri mtaishi kama mashetani! Ushamba TU!
 
Chuki mbaya sana, eti Lowasa ndiyo katafuta hela za kujenga chuo kikuu Dodoma na kuanzisha shule za kata!
Sijui alizitafutia wapi?? Sasa hizo sijui anataka nani amjibu? Kwa sababu mhisika ni marehemu! Chuki huua taratibu!!
 

Japo nilikuwa simkubali sana dhalimu magu, lakini alichomfanyia Lowassa niliona ni sawa, maana wakati Lowassa ni mbunge wa Monduli, alikuwa anaagiza wapinzani watekwe, kupigwa na kudhalilishwa. Kilichomtokea Lowassa ilikuwa ni karma kufanya kazi yake.
 
Pitia huu uzi tangu mwanzo kuanzia kwa mleta mada hadi wachangiaji utangundua Magufuli aliwaachia watu mimba nyingi sana, ndio zinawafanya wawe na hasira nae kiasi hiki
We kama alikutia mimba shauri yako. Umeshajifungua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…