Hayati Magufuli alimpenda sana Nape Nnauye na alikuwa mwalimu bora kwake, ipo siku Nape atamkumbuka sana Magufuli

Hayati Magufuli alimpenda sana Nape Nnauye na alikuwa mwalimu bora kwake, ipo siku Nape atamkumbuka sana Magufuli

Nape Moses Nnauye anamchukia Magufuli kwa sababu Magufuli alikuwa anamtaka Nape aishi maisha ya uhalisia aishi maisha ya kutokula rushwa atosheke na mshahara wake

Magufuli alijua kuwa Nape ni kijana mdogo akiishi kwa kufanywa vuvuzela ataharibikiwa hapo baadaye endapo wanaombeba wakipotea lkn kama kawaida ya watoto waliolelewa kwa kubembelezwa Magufuli alionekana Mbaya sana na hatimaye Nape akatengeneza Chuki kwa Magufuli lkn wakati ni mwalimu mzuri Sana ipo siku Nape atayakumbuka maneno ya Magufuli
Hadidhi yako inatusaidia nini wana jamvi? labda ungemwandikia barua Nape mwenyewe ili akusikilize, sisi hizi ni hadithi za abunuasi.
 
Huyu Kichuguu ni mbumbumbu tu pengine ni Sukuma Gang
Assad anaongea maneo yake yatokanayo na uchungu wa kunyimwa nafasi ya kuongoza ofisi ya CAG tu. Ofisi ya CAG ni zaid ya mtu mmoja, na ndiyo iliyotayarisha ripoti hizi huku yeye akizisaini kama mkuu wa taasisi. Iweje leo aje na viroja ambavyo havimo kwenye ripoti hizo kama siyo mtu wa kulialia tu. Ripoti zenyewe ni hizi; zisome zote uonyese pale ilipo hiyo trilioni 1.5, na yeye akasaini.
 

Attachments

Ohooo usisemeee ndugu....kumbe alikuwa amewapanga hvyo only to eliminate them all....sasa ilikuwaje Mission ikawa impossible?
Aliipanga kisham a Sana eti anakodi makomando wa rwada kumuua jk. Issue aliyeilikisha ni waziri wa Mambo wa Mambo ya ndani kangi lugola ndo Mana akapigwa chini fasta kwa kisingizio eti amesign mkataba nje. Wale makomando walikuta ulinzi mkali Sana getini kwa jk na waliuawa hapohapo
 
Nape Moses Nnauye anamchukia Magufuli kwa sababu Magufuli alikuwa anamtaka Nape aishi maisha ya uhalisia aishi maisha ya kutokula rushwa atosheke na mshahara wake

Magufuli alijua kuwa Nape ni kijana mdogo akiishi kwa kufanywa vuvuzela ataharibikiwa hapo baadaye endapo wanaombeba wakipotea lkn kama kawaida ya watoto waliolelewa kwa kubembelezwa Magufuli alionekana Mbaya sana na hatimaye Nape akatengeneza Chuki kwa Magufuli lkn wakati ni mwalimu mzuri Sana ipo siku Nape atayakumbuka maneno ya Magufuli
Kwa hyo kina 7ya na bashite hao walikua hawali rushwa na wanatosheka na mishahara yao ndio maana magu aliwapenda??
 
Rais gani ambaye unafikiri success yako ni kuwaua watangulizi wako. Alimuua mkapa na next target ilikuwa jk sema jk kwa sababu ni mtoto wa mjini akakikwepa kikombe kile Mana mpaka Sasa jk angekuwa marehemu. Yule baba alikuwa katili Sana na kifo chake kila mtu kakifurahia mmi tu nilikunya cret ya bia siku hiyo
Sheikh una mkund.u wa aina gani unaopitisha kreti
 
Nape Moses Nnauye anamchukia Magufuli kwa sababu Magufuli alikuwa anamtaka Nape aishi maisha ya uhalisia aishi maisha ya kutokula rushwa atosheke na mshahara wake

Magufuli alijua kuwa Nape ni kijana mdogo akiishi kwa kufanywa vuvuzela ataharibikiwa hapo baadaye endapo wanaombeba wakipotea lkn kama kawaida ya watoto waliolelewa kwa kubembelezwa Magufuli alionekana Mbaya sana na hatimaye Nape akatengeneza Chuki kwa Magufuli lkn wakati ni mwalimu mzuri Sana ipo siku Nape atayakumbuka maneno ya Magufuli
Nape anamkumbuka sana Magufuli lakini tofauti na matamanio yako yeye anamkumbuka kwa uhalisia wake, jinsi alikuwa 'bully' na aliyosababishia mpasuko ndani ya chama chao kwa kutengeneza kikundi chake pendwa ambacho kiliamua kudhalilisha viongozi wengine ndani ya chama ambao hawakuwa kwenye 'click' moja na wao.
Nape naamini anamfahamu Magu kwa uhalisia wake zaidi ya unavyomfahamu wewe.
 
Ukishazungumza 1.5 trilioni tu, basi unakosa credibility katika arguments zako zote bali unajitangaza kama mfuata mkumbo wa maneno ya Zitto tu.
Maneno ya Zitto au ya Prof Assad?
 
Maneno ya Zitto au ya Prof Assad?
Ni Uzushgi wa Zitto. Ripoti za CAg ni hizi hapa, onyesha hiyo 1.5 triulion iko wapi kama na wewe hukulishwa matope na Zitto na ukaryameza yote. Anajua kuna wajinga wengi watasubiri yeye awasomee na kuwaambia alivyosoma lakini wao hawataki kusoma. Haya ripiti hizo hapo wewe let jibu la kwako
 

Attachments

Hakufunga mirija ndugu usidanganywe fungua akiri. Alichokifanya ni kuua watu asiowapenda na kuwasingizia eti Ni mafisadi bila ushahidi ndo Mana dpp amefuta kesi zote zilizoachwa na jpm Mana hajuna ushahidi. Akikuchukia tu alikuwa anakubambika kesi. Yule alikuwa wa visasi tu
Umesahau kuwa awamu ya Kikwete ndiyo awamu pekee iliyowafunga mpaka mawaziri kwa ufisadi? Tanzania hatujapata Rais bora na mwenye muono mpana na aliyeibadilisha Tanzania kama Kikwete. Nyingi ya "tuhuma" kwa Kikwete ni uongo mtupu na propaganda za majitaka tu. Tunasubiri sasa wale wale waanzishe shutuma kwa Mama. Tunawaona mitandaoni humu wakijitahidi kurusha uongo uleule wa propaganda za kijinga. Wenye kufikiri tunafahamu yanaanzia wapi hayo.

Hakufunga mirija ndugu usidanganywe fungua akiri. Alichokifanya ni kuua watu asiowapenda na kuwasingizia eti Ni mafisadi bila ushahidi ndo Mana dpp amefuta kesi zote zilizoachwa na jpm Mana hajuna ushahidi. Akikuchukia tu alikuwa anakubambika kesi. Yule alikuwa wa visasi tu
Naomba list na uthibitisho wa hao aliyowaua kwa sababu ya kuwachukia.Kuna tofauti gani kati ya wale waliofutiwa kesi na dpp na wale maelfu waliotoka kwq msamaha wa Rais magerezani?
Unajua itikadi zinaweza kukufanya hata usiweze kuona kasoro ya hicho unachojaribu kukitetea.
 
Itabidi ujiulize kwanini nguvu kubwa inatumiaka kumsemea marehemu. Wafanye Mambo mazuri ili wasifiwe waachane na kumsemea vibaya marehemu ambaye hawezi kuzungumza
Mbona na nyinyi mnatumia nguvu kubwa kupinga Mwendazake asisemwe? Si mkae kimya tu maana kama wanayomsema hayana ukweli watu watapuuza!!

Ila kwa vile Yana ukweli mnaona kabisa mungu wenu wa Chato anachafuliwa! Yule shetani Magufuli hatumpunzishi kamwe!!
Assad anaongea maneo yake yatokanayo na uchungu wa kunyimwa nafasi ya kuongoza ofisi ya CAG tu. Ofisi ya CAG ni zaid ya mtu mmoja, na ndiyo iliyotayarisha ripoti hizi huku yeye akizisaini kama mkuu wa taasisi. Iweje leo aje na viroja ambavyo havimo kwenye ripoti hizo kama siyo mtu wa kulialia tu. Ripoti zenyewe ni hizi; zisome zote uonyese pale ilipo hiyo trilioni 1.5, na yeye akasaini.
Wewe ndiyo hujui kusoma ripoti za CAG, mbona aliainisha kabisa
 
Nape Moses Nnauye anamchukia Magufuli kwa sababu Magufuli alikuwa anamtaka Nape aishi maisha ya uhalisia aishi maisha ya kutokula rushwa atosheke na mshahara wake

Magufuli alijua kuwa Nape ni kijana mdogo akiishi kwa kufanywa vuvuzela ataharibikiwa hapo baadaye endapo wanaombeba wakipotea lkn kama kawaida ya watoto waliolelewa kwa kubembelezwa Magufuli alionekana Mbaya sana na hatimaye Nape akatengeneza Chuki kwa Magufuli lkn wakati ni mwalimu mzuri Sana ipo siku Nape atayakumbuka maneno ya Magufuli
Hiyo siyo kwa nape to Bali kwa wezi wote nchini akiwemo lz
 
Back
Top Bottom