Hayati Magufuli alionesha mara kadhaa kuwa ni mgonjwa wa moyo

tukisema chuki binafsi watu wanabisha
 
Heee ulikuwa haujawahi kuona ...alikuwa anatembea na acc mpaka kwenye open space anawekewa
Duuh ngoja nicheki tena clip zake[emoji22][emoji22]

Nimetoka kumuaga sio siri nimeumia daah[emoji24][emoji24][emoji22]
 
Mbona KISENGE[emoji848][emoji848]

ila wazazi tuwe makini na majina ya watoto wetu
 
Heee bwawa la mamba? Wapi huko?
 
Naona tabiri za haya mambo zilishatolewa na hawa watu huku..fuata hii link..

 
magufuli kama yeye mwanaume angepambana na tundu lissu kwa hoja kikwete kafurahi kimoyomoyo magufuli kufa maana alimuonya hakusikia.afe tu kwani nani anapata hasara
Haya yoote yeye hata Hana habari, haya yanakuhusu wewe ambaye zamu yako bado inakuja
 
N Ninacho jua ni kimoja tu watanzania wanalia juu ya Magufuli na Afrika nzima inalia nenda huko YouTube ukajionee mwenyewe lakini pia ninauhakika Magufuli ameingia mbinguni
 
Korona imempeleka mzee baba. Acheni ubishi korona ipo. Korona imepelekea moyo kufeli
Naona wale watu wa usalama wanaoongoza watu kuaga hata hawajajihami na barakoa hata za kuzugia. Watu wengi sana pale hawajajihami.

Seems these lessons are hard to learn
 
Naona wale watu wa usalama wanaoongoza watu kuaga hata hawajajihami na barakoa hata za kuzugia. Watu wengi sana pale hawajajihami.

Seems these lessons are hard to learn
Baada ya wiki mbili tunazika kiongozi mwingine kwa uzembe ulofanywa pale uwanjani. Mark my words.
 
Magufuli mtu mmoja selfish sana.

Pamoja na kujua ana matatizo yote hayo ya moyo kwa siku nyingi, kaenda kugombea urais, kazi yenye mikiki mingi kwa mtu mwenye matatizo ya moyo kuifanya. Na kutufia akiwa rais kwa kuwa mbinafsi.

This is very selfish. Yani alitaka kuwa rais yeye tu bila kujali afya yake.

Zaidi ya ubinafsi alikuwa na ubishi wa kijinga.

Mtu unajijua una matatizo ya moyo, unaleta ubishi kwenye mambo ya msingi kujikinga na maradhi yanayojulikana yanafyeka watu wenye matatizo kama yako.

Hapa tunajifunza mara nyingi elimu ya mtu haizidi utamaduni.

The guy supposedly had a Ph.D in Chemistry but he couldn't do basic protective science!
 
This was an open secret for quite sometime.
 
Ndio mjue, msipende kuwahukumu watu bila kujua wanakumbana na majanga gani maishani mwao! Ngosha alikuwa kidume, pamoja na mivuvuzera ya ufipa hayakumuondoa kwenye reli hata nucta! Huyu mzee ameteka heshima kwangu sana!
 
Pia alishindwa kufanya Kampeni za Urais, badala ya kukiri kuwa ni mgonjwa akatumia Polisi kumzuia Lissu kufanya Kampeni
 
Kosa kubwa kuliko yote aliyoyafanya ni alipoidharau corona na kufuata ushauri wa joseph Msukuma

Tulikuwa tunasema anajiamini nini au ameshachanjwa?
Joseph musukuma amemdanganya sana Rais, tusipoheshimu masharti ya kijikinga corona, kabla ya tar 26.3 tutakuwa na msiba mwingine mkubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…