Hayati Magufuli alionesha mara kadhaa kuwa ni mgonjwa wa moyo

Hayati Magufuli alionesha mara kadhaa kuwa ni mgonjwa wa moyo

Mimi simshangai bali namkubali kwa kitu kimoja. Akijuia kabisa ana shida ya moyo lakini bado alipata guts za kugombea nafasi ya juu kabisa katika utawala wa nchi yetu ...

Afu kuna pimbi nyingine zina complications ndogo tu kama BP na kisukari zinaogopa hata kuongoza vikao vya familia...

Nilikuwa namdis sana Magu, ila leo nimemvuia kofia rasmi...
In all fairness, matatizo ya moyo si na yasiwe disqualification ya kugombea urais.

Na ni wazi matatizo hayo hayakumzuia kufanya kazi.

Hakuna binadamu mwenye guarantee ya uhai sekunde ijayo, dakika ijayo, lisaa lijalo, siku ijayo, na kadhalika.

Hata kesho twaweza amka tukapata habari Mama Samia hatunaye tena.

Mi mwenyewe sina uhakika nitaamka nikiwa hai kesho. Na sina matatizo ya moyo wa kiafya niyajuayo.

Wewe una uhakika wa kuiona kesho Komredi?
 
Kosa kubwa kuliko yote aliyoyafanya ni alipoidharau corona na kufuata ushauri wa Msukuma

Tulikuwa tunasema anajiamini nini au ameshachanjwa
Hahahaha. PhD holder anafuata ushauri wa msukuma. Chaaaaaaaaaali
 
Je, yawezekana pia hayo matatizo yake ya moyo ndo yaliyomfanya asiwe anasafiri sana hususan nchi za nje?

Manake wakati mwingine ujinga unaweza ukamfanya mtu amhukumu kimakosa mtu mwingine.

Sisi tulikuwa tukitania ni kwa sababu alikuwa haongei vizuri Kiingereza na ndo maana alikuwa hasafiri sana kwenda nchi za nje.

Nimelifikiria sana hili suala na naona lina make sense.

Dah! I wish I knew he had some serious heart problems.

Kuhusu kusafiri moja ya sababu ni pacemaker ,haitakiwi kukaa hewani kwenye ndege kwa saa nyingi,na pia swala la "KINGE" nalo ni la pili.

Kuhusu kwamba ni tatizo la moyo ndio lilimuondoa inawezekana ni kweli kwasababu uviko(covid) nayo inaleta complications kwenye moyo kwa tatizo lake.

Magufuli anaye Dr wake wa moyo KISENGE ambaye alikuwa anamonitor afya yake kila muda si rahisi afikie kuumwa serious na kufariki kwa ghafla....UVIKO ime accelerate ugonjwa wa moyo.
 
Pamoja na majonzi ya kuondokewa na mh. Rais lakini ni vema tukakumbuka maisha aliyoishi.

Magufuli kwa kutambua kwamba ana maradhi yasiyotibika alienda kupata kikombe Cha miujiza kwa Babu wa Liliondo . Baadae iligundulika kwamba kikombe kile ulikuwa usanii tu hivyo JPM aliendelea kuwa mgonjwa.

Pili kwa kutambua kwamba ana matatizo ya moyo- Magufuli Mara kadhaa amekuwa akijiepusha kushiriki katika masuala ya simanzi Kama misiba kwa sababu za kiafya.

Hi misiba ya karibuni hasa wa Balozi Kijazi bila Shaka ilimuathiri sana Magufuli.

Naamini si CORONA Wala Mabeberu

Alale salama.
Mbona alikuwa anaweza piga push ups wakati Lowassa mgonjwa alikuwa hawezi?
 
How I wish angetufahamisha ili baadhi ya maneno ya kumkejeli kuhusu uwezo wake wa kutumia kimombo ungepungua..ilifika wakati nikajiuliza kama hajui kimombo,si angetembelea nchi kama Urusi,ufaransa,ujerumani,japani, Scandinavian countries au ata Koreas... anyways now watawala wajifunze kutumia power of information..inasaidia Sana kupunguza sintofahamu katika jamii.

..alikuwa hasafiri kwasababu ya tatizo la moyo.

..alikuwa ana-promote kiswahili kwasababu kiingereza kilikuwa kinampa shida.
 
Corona wengi waliomzunguka imewaua na mlinzi wake tunaambiwa, amefia Nairobi walikokua wanauguzana.
Moyo mbovu unapona vipi Corona
Sijui kuhusu mlinzi wa Magufuli kama kafaliki, lakini hili kuugulia Nairobi ni uwongo kabisa. Inawezekana naye kafariki kama ni kweli akiwa hosptali hiyo ya VIP Dar. Hospitali hiyo ya VIP Dar ni bora mara kumi kuliko Nairobi
 
Sijui kuhusu mlinzi wa Magufuli kama kafaliki, lakini hili kuugulia Nairobi ni uwongo kabisa. Inawezekana naye kafariki kama ni kweli akiwa hosptali hiyo ya VIP Dar. Hospitali hiyo ya VIP Dar ni bora mara kumi kuliko Nairobi
.
.kwani ni dhambi kufia Nairobi?

..si tunaweza kumsifia kuwa angeweza kwenda Ulaya kutibiwa lakini akaamua kutibiwa na Waafrika wenzake Nairobi?
 
Pamoja na majonzi ya kuondokewa na mh. Rais lakini ni vema tukakumbuka maisha aliyoishi.

Magufuli kwa kutambua kwamba ana maradhi yasiyotibika alienda kupata kikombe Cha miujiza kwa Babu wa Liliondo . Baadae iligundulika kwamba kikombe kile ulikuwa usanii tu hivyo JPM aliendelea kuwa mgonjwa.

Pili kwa kutambua kwamba ana matatizo ya moyo- Magufuli Mara kadhaa amekuwa akijiepusha kushiriki katika masuala ya simanzi Kama misiba kwa sababu za kiafya.

Hi misiba ya karibuni hasa wa Balozi Kijazi bila Shaka ilimuathiri sana Magufuli.

Naamini si CORONA Wala Mabeberu

Alale salama.
Vetting ya Tanzania iko very poor,unaruhusu vipi mtu mwenye serious heart problems kuwa Rais wa nchi? imetucost sana
 
.
.kwani ni dhambi kufia Nairobi?

..si tunaweza kumsifia kuwa angeweza kwenda Ulaya kutibiwa lakini akaamua kutibiwa na Waafrika wenzake Nairobi?
siyo dhambi kufia nairobi, lakini hadithi siyo siyo sahihi. Nimeshaongea na mmoja wa madakatria waliokuwa wanamtibu hapo Dar.
 
ficha upumbavu wako..

ina maana hata vyombo vya habari hamsikilizi.??

unadhani kwanin vijana wengi hawafi kwa corona bali watu wazima na wazee.???

corona inapenda sana watu wenye matatizo ya moyo, sukari, presha e.t.c

refer hata kwa viongozi waliokufa RWAKATARE, MAHIGA, KIJAZI, MKAPA ,MAGUFULI,..

hawa wote angalia umri wao ulizia historia zao za maradhi..
Yaani hawa jamaa wana mzaha sana.
Hata huyy mama simuelewi


Mpaka sasa hivi namuelewa JK tu
 
Corona wengi waliomzunguka imewaua na mlinzi wake tunaambiwa, amefia Nairobi walikokua wanauguzana.
Moyo mbovu unapona vipi Corona
Hivi ni mlinzi wake huyo aliyefariki?kuna yule bodyguard na kuna wale wanaosimamia nyuma walikua wawili wakipeana zamu ,ni yupi kati yao?
 
Kila alipotokea hadharani alikua na feni nyuma yake. Hakua anasimama muda mrefu. Na inawezekana miguu yake ilikua inavimba kila mara ndiyo maana alikua na muda mwingi wa kufanyia kazi Chato akiwa amepumzika.
Feni sikua naiona jamani [emoji23]
 
Pamoja na majonzi ya kuondokewa na mh. Rais lakini ni vema tukakumbuka maisha aliyoishi.

Magufuli kwa kutambua kwamba ana maradhi yasiyotibika alienda kupata kikombe Cha miujiza kwa Babu wa Liliondo . Baadae iligundulika kwamba kikombe kile ulikuwa usanii tu hivyo JPM aliendelea kuwa mgonjwa.

Pili kwa kutambua kwamba ana matatizo ya moyo- Magufuli Mara kadhaa amekuwa akijiepusha kushiriki katika masuala ya simanzi Kama misiba kwa sababu za kiafya.

Hi misiba ya karibuni hasa wa Balozi Kijazi bila Shaka ilimuathiri sana Magufuli.

Naamini si CORONA Wala Mabeberu

Alale salama.
Hizi taarifa unazotoa zilisha expire siku nyingi.Kwa nini tangu 2015 hukuzitoa unazitoa leo baada ya yeye kufariki? Zinatusaidia nini.Unasema alikuwa mgonjwa vipi na alikuwa anapiga push up kwenye mikutanao.Usituongopee hapa.Mmezoea kuongopa na kutupa habari za uongo kama huyu alisema,ameongea naye kwenye simu ni mzima wa afya.Haya huyu naye akasema anachapa kazi kama kawaida, mnataka kukutana naye kariakoo,mwingine akasema,Rais sio.............Hizi kauli sijui walizipata wapi.Afadhali hata mngesema afya ya mzee sio nzuri tufunge na kuomba.Mmetusikitisha sana.
 
...hata kuna wakati walimshauri "mzee leo pumzika"

ila yeye akasema hapana Nitajitahidi nitaenda,ila huku nnje kwakutokujua kwetu tulikua tukilalama.
Hata kuna wakati walimshauri "mzee vaa barakoa" ila yeye akasema hapana, sitavaa na hata walionizunguka sitaki wavae. Kwa kutojua kwetu hatukulalama.
 
Feni sikua naiona jamani [emoji23]
1616213059921.png


..FENI hilo hapo.

..pia angalia umbali toka alipokaa na mtu anayemfuatia.

cc Sky Eclat
 
wewe hukusikia watu wenye matatizo ya moyo,sukari na HIV wapo vulnerable sana na Corona?
Tunaojua hiyo shida tulielewa sana kwa nini alikuwa anafichwa Chato. Lakini tulishangazwa pia na jeuri yake kwa Corona. Alipoanza ziara hapo majuzi tukaamini huyu ameshakula chanjo,hawezi kujitia wazima wakati ana shida ya moyo. Yaliyotokea unaweza kusema ni mambo ya kujitakia
 
Back
Top Bottom